Aisee somo zuri sana...nitalifanyia kazi na nikiwa na issue nitakupigia simu. Ubarikiwe sana 🙏
@felisternicholaus328121 күн бұрын
Ninaomba kazi famer
@user-dn2su5mq3p3 ай бұрын
Hongera, wanyama wazuri sana..endelea kufundisha.
@elizabethkazungu6793Ай бұрын
Hongera sn. Wapo vizuri sana . Ahsante kwa ushauri. Napenda sana kufuga nguruwe
@mulapfarm9664Ай бұрын
Karibu sana
@EGBERTNTURWAАй бұрын
Asante sana kwa somo zuri sana... Nlikuwa natafta elimu kama hii kwa muda mrefu ... Unaweza kudisplay mawasiliano yenu ili kurahisisha upatikanaji wenu..?
@annesmatemu4264Ай бұрын
Mpo wapi
@omtuya58923 ай бұрын
Safi, mi ni msikilizaji wako sana..
@Phinefarms2 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana, chris kutoka Nairobi Kenya. Pia mimi naanza ukulima hivi karibuni
@mulapfarm96642 ай бұрын
Tunashukuru Chris
@khamadnkumba13952 ай бұрын
Wapo vizuri
@MaikoJoseph-ym9keАй бұрын
Kaka mungu akubaliki sana ni likuwa natamani kufuga ila nilikuwa sinaujuz sasa umeninowa vikali❤
@mulapfarm9664Ай бұрын
Tunashukuru sana ndugu
@margarethollomi5489Ай бұрын
hivi nguruwe anaweza kunywa maji ya kisimani?
@mengikibona1405Ай бұрын
Naomba kuuliza watoto bei gn
@mulapfarm9664Ай бұрын
Tupigie simu 0659770886
@tumsifumaro13873 ай бұрын
Hongera sana kaz mzuri sana
@mulapfarm96643 ай бұрын
Tunashukuru sana
@angelomfilinge86628 күн бұрын
naomba mawasiliano yako mkuu
@mulapfarm96648 күн бұрын
@@angelomfilinge8662 0659770886
@lazarokasanga4056Ай бұрын
Naitaji kuanza kufuga nianzaje
@user-yq9gu3bx4g3 ай бұрын
Bei ya kibwagala mmoja Ni kiac gani ?
@mulapfarm96643 ай бұрын
Tucheki namba zipo hapo chief
@timotheokiss48702 ай бұрын
mna patikana wapi
@mulapfarm96642 ай бұрын
Kibaha
@claudjohn2 ай бұрын
Sasa kama ni kijana upo chin ya miaka 25 , na unapenda kufuga nguruwe unatakiwa uanze na nguruwe aina gan
@mulapfarm96642 ай бұрын
Miaka haihusiani na aina ya mbegu mkuu. Fuata maelekezo kwenye video zetu utapata majibu