JINSI YA KUTUMIA ALOE VERA (SHUBIRI MWITU) KUTIBU MAGOJWA YA KUKU

  Рет қаралды 2,859

Frida Homestead

Frida Homestead

2 жыл бұрын

Kumekuwepo na njia mbalimbali za kutibu kuku, zikiwemo za asili na zisizokuwa za asili. Moja wapo ya tiba rahisi ya asili kwa kuku ni kwa kutumia shubiri mwitu maarufu kama Aloe Vera. Mmea ambao umekuwa ukisifika kwa kutibu magonjwa mbalimbali kwa binadamu, wanyama na ndege.Tafiti zilizofanyika kwa kutmia mmea huu kutibu ugonjwa wa Coccidiosis ambao unamadhara makubwa kwa wafugaji wa kuku zinaonesha kuwa mti huu unaweza kutumiwa kama mbadala wa dawa za viwandani. Maji maji ya mmea huu yana uwezo wa kutibu magonjwa na kuponyesha majeraha yanayotokana na maambukizi ya magonjwa pamoja na kupandisha kinga ya kuku kwa asilimia kubwa dhidi ya maonjwa mbalimbali. Tazama video hii kuona ni magonjwa gani yanatibiwa na aloe vera na matumizi sahihi ya mmea huu.

Пікірлер: 8
@pierregahimbare1383
@pierregahimbare1383 2 жыл бұрын
Asante sana
@mlandagodfrey121
@mlandagodfrey121 2 жыл бұрын
Ndoto yangu ya KUFUGA KUKU Yani natamani sana
@emanuelboay3298
@emanuelboay3298 2 жыл бұрын
Kwa hyo hapo unaiexpose jelly then unakata kata au unaondoa jelly kabixa then unalata
@emanuelboay3298
@emanuelboay3298 2 жыл бұрын
Kwa hyo hapo unaiexpose jelly then unakata kata au unaondoa jelly kabixa then unalata
@fridahomestead6890
@fridahomestead6890 2 жыл бұрын
Unatakiwa kwanza ukwangue hiyo jelly kwanza ndo ukatekate. Maana usipofanya hivyo inamaana utakosa kuvipata virutubisho vilivyopo kwenye jelly ambavyo viko kwa wingi ukilinganisha na sehemu nyingine. Sio kama unaimwaga hiyo jelly, la hasha, unapaswa kuichanganya na maji
@fridahomestead6890
@fridahomestead6890 2 жыл бұрын
Unatakiwa kwanza ukwangue hiyo jelly kwanza ndo ukatekate. Maana usipofanya hivyo inamaana utakosa kuvipata virutubisho vilivyopo kwenye jelly ambavyo viko kwa wingi ukilinganisha na sehemu nyingine. Sio kama unaimwaga hiyo jelly, la hasha, unapaswa kuichanganya na maji
@fridahomestead6890
@fridahomestead6890 2 жыл бұрын
Unatakiwa kwanza ukwangue hiyo jelly kwanza ndo ukatekate. Maana usipofanya hivyo inamaana utakosa kuvipata virutubisho vilivyopo kwenye jelly ambavyo viko kwa wingi ukilinganisha na sehemu nyingine. Sio kama unaimwaga hiyo jelly, la hasha, Bali unapaswa kuichanganya na maji.
@fridahomestead6890
@fridahomestead6890 2 жыл бұрын
Unatakiwa kwanza ukwangue hiyo jelly kwanza ndo ukatekate. Maana usipofanya hivyo inamaana utakosa kuvipata virutubisho vilivyopo kwenye jelly ambavyo viko kwa wingi ukilinganisha na sehemu nyingine. Sio kama unaimwaga hiyo jelly, la hasha, Bali unapaswa kuichanganya na maji.
JIFUNZE MBINU MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA GHARAMA YA CHAKULA CHA KUKU
11:36
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 13 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 21 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
The Health Benefits Of Drinking Aloe Vera
3:02
Newsweek
Рет қаралды 239 М.
Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kabla ya Kuanza Ufugaji wa Kuku
13:53
Frida Homestead
Рет қаралды 1,2 М.
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI
11:14
Frida Homestead
Рет қаралды 1,6 М.
Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji
8:19
Changamkia Fursa
Рет қаралды 237 М.
How to Start a Layer Chicken Farm with  a Small Budget
11:39
AIM Agriculture Farm
Рет қаралды 309 М.
NAMNA MBALIMBALI YA KUPATA FAIDA KWENYE UFUGAJI WA MBUZI
10:05
Frida Homestead
Рет қаралды 4,6 М.
IJUE FAIDA NA TIBA YA MTI WA MU ALOE VERA | MSHUBIRI | SHEIKH YUSSUF BIN ALLY
10:42
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 13 МЛН