Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji

  Рет қаралды 237,749

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

3 жыл бұрын

jinsi ya kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji
Ufagaji wa vifaranga vya kuku wa kienyeji una changomoto nyingi, wafugaji wengi wamekuwa hawajui mbinu ambazo zitawasadia kuweza kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji katika mbinu ambazo zitawafanya vifaranga wasife. kama nawe ni miongoni mwa wafugaji hoa, siku ya leo nitakupa mbinu bora za kutunza vifaranga vya kuku wa kienyeji.

Пікірлер: 153
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
*OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA* TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo. wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1
@mkumbushilwasamuelmkisi5123
@mkumbushilwasamuelmkisi5123 Жыл бұрын
Yt
@mkumbushilwasamuelmkisi5123
@mkumbushilwasamuelmkisi5123 Жыл бұрын
D
@didahibrahim8243
@didahibrahim8243 Жыл бұрын
W
@AbulAbbas-yp5ph
@AbulAbbas-yp5ph 4 ай бұрын
Nimeshindwa kudowloard hiyo pdf nilikuwa naomba jinsi ya kudowloard nikijaribu kudowloard inaleta whattaapps
@ibrahimsanga690
@ibrahimsanga690 3 жыл бұрын
Maoni yangu... 1. Mama yao anapata shda kula. 2. Hiyo nyavu inaleta baridi kutoka chini hata kama wanakumbatiwa. Iwepo space ya isiyo na nyavu hapohapo ndani atakapolala na watoto. Iwe na insulation materials kama maranda. 4. Kuna kiasi cha chakula kinapotea kupitia wavu. 4. Upo vizuri kwenye kutumia local materials. Kudos..unatoa hamasa nzuri.. 👏👏👏👏👏
@ezekielkofa6734
@ezekielkofa6734 2 жыл бұрын
Ningependa kufahamu hii pillet ni chakula aina gani
@uswazinews4047
@uswazinews4047 3 жыл бұрын
Asante sana bro sharing is caring
@alexmmari1807
@alexmmari1807 2 жыл бұрын
Safin sana
@HalidDaniel
@HalidDaniel 4 ай бұрын
Oo sawa
@beatricealkard4685
@beatricealkard4685 3 жыл бұрын
Asant, nn kinasababisha kuku kuharibu mayai wakati anapolalia?
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 2 жыл бұрын
Maashaallaah nimependa sana somo ubalikiwe
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Amina
@christinahenryevna9961
@christinahenryevna9961 2 жыл бұрын
Very good explanation...Grrat work!!!👏👏...i love your innovations... Very creative...
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Thanks 😊
@kafulumalima7853
@kafulumalima7853 2 жыл бұрын
Nime.wapata.vizuri
@fidesbenard2836
@fidesbenard2836 3 жыл бұрын
Uko vizuri
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@user-fg8wn2mc9y
@user-fg8wn2mc9y Жыл бұрын
Dawa ya macho mkuu macho yanafunga na hayafunguki
@vitusvedastus3781
@vitusvedastus3781 2 жыл бұрын
Asante sana sikujua kama maj ya bard huwafanya wakose raha asubuh kumbe tatizo ndo hilo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Asante kwa kufatilia vipindi vyetu
@salehejumanne9243
@salehejumanne9243 3 жыл бұрын
Nakubal Sanaa somoo zur Sanaa mkuu ja blessed
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@salehejumanne9243
@salehejumanne9243 3 жыл бұрын
@@changamkiafursa 🙏🙏🙏mkuu tunajifunzaa kupitia ww ili tufikie malengo na ss
@jacksonmakombe7439
@jacksonmakombe7439 3 жыл бұрын
Nzuri sana hii njia
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@nsiaelieza9568
@nsiaelieza9568 3 жыл бұрын
Hongera sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@OvithaMlonganile
@OvithaMlonganile Күн бұрын
njia gani ya kufanya kuku atage mayai mengi?
@abdallahidarous
@abdallahidarous 3 жыл бұрын
Nakukubali sana ndugu yangu yani kila nikitazama vidio zako napata kitu ambacho nilikua skijui au nakijua ila sikitumii kwa sana Allah akuongoze
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Amin 🤲
@nassorokigaga2091
@nassorokigaga2091 3 жыл бұрын
Habari za kazi nahitaji kuwa mfugaji na Nina eneo kubwa sana naomba tuwasiliane
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Karibu sana
@dinnahkiliba5363
@dinnahkiliba5363 3 жыл бұрын
ongera sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana kiongozi
@halimaleila2323
@halimaleila2323 3 жыл бұрын
Asante. Kwamafunzo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@irenetolo9106
@irenetolo9106 3 жыл бұрын
@@changamkiafursa naomba namba yako ya simu
@jamessichimata36
@jamessichimata36 3 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@marystellankongoki-vp1fn
@marystellankongoki-vp1fn 9 ай бұрын
Nitatofautishaje kifaranga mtetea na jogoo?
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Kwa nini chanjo ya matone hutolewa mara 1 halafu ya kunywa kila baada ya miezi 3?
@margaretwanjiku9621
@margaretwanjiku9621 2 жыл бұрын
Nivizuri kuwapa dawa ya kinga wakiwa na siku moja?
@fatmasmarimbo9519
@fatmasmarimbo9519 3 жыл бұрын
Ahsante tuelimishen
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tunashukuru kwa kufatilia
@eddahmwinzi
@eddahmwinzi 2 жыл бұрын
Nmependa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Asante sana
@maryamhamad9149
@maryamhamad9149 2 жыл бұрын
Vifaranga wa kienyeji wanapewa chanjo au hiyo anti biotic tu ndo inatosha?
@mishikai1367
@mishikai1367 2 жыл бұрын
smart
@teng5222
@teng5222 3 жыл бұрын
Kazi ya wavu hiyo chini ya banda?
@abshamsadick2209
@abshamsadick2209 3 жыл бұрын
Habari, asante kwa somo zur, naomba kuuliza khs banda la kulelea vifaranga je hua hakina dirisha la hewa au linatakiwa kuwa je?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Linawekwa kwa juu ili kulinda joto
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m 2 жыл бұрын
Namba zako tupe
@drallicemugasa3086
@drallicemugasa3086 3 жыл бұрын
Ongela kwa ufugaji Bora naomba namba yako ya simu
@faridahamadi1450
@faridahamadi1450 2 жыл бұрын
Naomba unipe elimu usipoandaa banda la kulelea vifaranga wakashinda wanapolala na mama Yao inafaa kwa vifaranga ?
@TEACHER.CLEOPHAS
@TEACHER.CLEOPHAS 3 жыл бұрын
Very beautiful chicks. 💜❤️💚💙💖 Unawachanganyia maji na antibiotic gani haswa?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Neoxychick formula
@alanami2846
@alanami2846 2 жыл бұрын
Mimi naomba namba zako mtaalam mimi niko Zanzibar nahitaji msaada katika ufugaji
@StephanMabuga
@StephanMabuga 4 ай бұрын
Saf kabisa nimejifunza kitu apo
@monicamajebele9165
@monicamajebele9165 2 жыл бұрын
Naomba namba yako kaka kunamaswali nataka kukuuliza
@aminaseha5043
@aminaseha5043 8 ай бұрын
Hizo chupa za patika na wapi
@kelementbushishi3687
@kelementbushishi3687 Жыл бұрын
Hogela sana nimepanda sana ufugaji wako vp nawaza nakapata namba yako tuwasiliane zaind
@aqulinaprotas-yx8qk
@aqulinaprotas-yx8qk Жыл бұрын
Hiyo sijui pilet ndio nini kwa kiswahili na inapatikana wapi
@abelsonmaserimaseri4377
@abelsonmaserimaseri4377 3 жыл бұрын
Unafanya Kaz nzuri sana,,,,ila naomba utuwekee video ya jins ya kutengeneza Banda Bora la kulelea vifaranga!
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@gwamakamartin1618
@gwamakamartin1618 Жыл бұрын
@@changamkiafursa nataka mniunge kwenye group la wasap
@HalidDaniel
@HalidDaniel 3 ай бұрын
Napenda sn
@hafidhichagila91
@hafidhichagila91 2 жыл бұрын
Hii piret ndio ile wanayokula kuku wa nyama au tofaut
@RehemaMajura-vo6dw
@RehemaMajura-vo6dw Жыл бұрын
Habari naomba kujua dawa ya vidonda vinavyowatoka vifaranga kichwani
@emanuelkatoli2298
@emanuelkatoli2298 2 жыл бұрын
Piret nini?....
@eliudmagnus7965
@eliudmagnus7965 3 жыл бұрын
Kwa siku huwa wanakula kuasi gan Cha chakula? Na janjo unawapa wakiwa na umri gan au siku ngap?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Wakiwa vifaranga siwapimii ila wakifikisha wiki 4 naanza kuwapumia. Chanjo nawapa siku ya 7, 14, 21, 28 na wakifikisha wiki 8
@naizymsangi7713
@naizymsangi7713 10 ай бұрын
Tangu niijue hii channel nafurahia ufugaji niliteseka sana na vifo vya vifaranga
@dorcasassenga2005
@dorcasassenga2005 3 жыл бұрын
Hongera sana kaka. Video iko vizuri na maelezo yako yanaeleweka. Swali ,Je hicho chakula chao hakichanganywi na pumba? Na wanatakiwa kipewa hicho chakula kwa muda gani?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hakichanganywi, wanapewa kwa wiki 5-6
@rahachuma8948
@rahachuma8948 2 жыл бұрын
Bei ikoje ya hicho chakula?
@user-my2tp8iz9d
@user-my2tp8iz9d 7 ай бұрын
hicho chakula nikienda dukani nisema nataka chakula Gani?
@monicashayo7340
@monicashayo7340 Ай бұрын
Naomba maelekezo kutengeneza chakula cha vifaranga nisinunue vya kiwandani
@geofreyjoseph9246
@geofreyjoseph9246 2 ай бұрын
Niko mazingira yenye baridi sana eneo la makete sasa kuku vifaranga havikui kabisa vya kienyeji na huwa sijui shida ni nini boss
@StephanMabuga
@StephanMabuga 4 ай бұрын
Nitumie namba yako
@filbertnolasco2277
@filbertnolasco2277 3 ай бұрын
Naomba orodha ya chanjo anatakiwa kupew kifaranga mpk kufikisha miez 2
@leedsoldat2961
@leedsoldat2961 2 жыл бұрын
Hiv hiyo anti biotic haitohasiriwa na maji ya moto
@fatimahants1526
@fatimahants1526 3 жыл бұрын
Hongera brother nimejifanza jmbo kutoka kwako......✍🇴🇲🇹🇿 Je ktk hayo maji unatiya chonjo gani kuwapa vifaranga?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante brother
@lawrencemayengo9416
@lawrencemayengo9416 2 жыл бұрын
Nimepend na nimejifunza pia
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Vizuri
@zenaiskilawe9766
@zenaiskilawe9766 2 жыл бұрын
Je wanapewa chanjo wakiwa na umri gani
@owarejevason6296
@owarejevason6296 3 жыл бұрын
Hii chakula naeza pata wapi
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kipo maduka ya vyakula vya mifugo
@mercypeter162
@mercypeter162 3 жыл бұрын
Kuku mmoja jike anauwezo wa kutoto hadi mayai mangapi??
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Itategemea na ukubwa wa umbo Lake, wengine ni kuanzia 14 - 18
@soniabulyota6557
@soniabulyota6557 3 жыл бұрын
Unauza vifaranga
@halimamashimba4424
@halimamashimba4424 2 жыл бұрын
Hiyo antibaytic ni ipi Mbona hujataja Jina lake
@agnessfabian3292
@agnessfabian3292 3 жыл бұрын
apo kwenye machupa ya maji bdo cjaelewa vzr mkuu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Sawa nitandaa tutorial yake
@agnessfabian3292
@agnessfabian3292 3 жыл бұрын
Asante mkuu
@oskamsafiri2814
@oskamsafiri2814 3 жыл бұрын
Pilet ni chakula kipo madukani special?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Ndio
@beatricealkard4685
@beatricealkard4685 3 жыл бұрын
Kwann kweny band chini umewek wavu kwan mbao hazifai
@shinoneydah9399
@shinoneydah9399 2 жыл бұрын
kifaranga wa mwezi m1 shi ngapi
@mkumbushilwasamuelmkisi5123
@mkumbushilwasamuelmkisi5123 Жыл бұрын
Have
@maryamhamad9149
@maryamhamad9149 3 жыл бұрын
hao vifaranga ulowahamisha , wana siku ngapi
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Walikuwa na siku 4
@rahachuma8948
@rahachuma8948 2 жыл бұрын
Hayo machupa umeyafanyaje mpaka yamekuwa hivyo natamani niwe na vyombo kama hivyo kwa kulishia vifaranga
@faithwanyoike1201
@faithwanyoike1201 3 жыл бұрын
Kazi nzuri lakini hio nyumba ya kuku haijanipendeza..
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
😅😅😅
@salimnazir6000
@salimnazir6000 Жыл бұрын
Namba ya Ili tufanye biashara
@edrickgration1173
@edrickgration1173 2 жыл бұрын
Pileti ni nini?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Chakula cha chengachenga
@emanuelkatoli2298
@emanuelkatoli2298 2 жыл бұрын
Kiukweli kuku wa kienyeji wakubwa ni wana mwamwa hikchakula una kabiliana aje naiyo changamoto
@ericknyoso3643
@ericknyoso3643 2 жыл бұрын
keep up bro
@mamamlezi9520
@mamamlezi9520 2 жыл бұрын
chakula cha vifalanga nini na nini
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 3 жыл бұрын
Vifaranga wa mama mwengine hawapigwi ns hy mama alokuwa sio wake?? Mama mlezi unampa hy hy starter wanayokula vifaranga??
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hapana, huwa nawaatamisha siku moja hivyo ukiwachangaya wanakua hawajajua kuwatofautisha
@jumamnyonge
@jumamnyonge 3 жыл бұрын
@@changamkiafursa hapo kuna maswali mawili kama sijakosea umejibu moja....mama kuku nae anatumia hiyohiyo starter na hayo maji ya vitamini
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Ndio wala haina madhara kwake. Baada ya wiki 4, unamtoa nje aendelee na mzunguko wa utagaji
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 3 жыл бұрын
@@changamkiafursa shukran sana mkuu nimekuelewa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@edgersikanda
@edgersikanda Жыл бұрын
Madawa za chanjo kwa vifaranga ni zipi
@iddakafuku3521
@iddakafuku3521 3 жыл бұрын
Mbona vifaranga ni vikubwa vina umli. Gani.pia mbegu gani
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hapo walikuwa na siku 6 toka kuanguliwa
@user-ts9jc5zt9f
@user-ts9jc5zt9f 3 ай бұрын
Pilet inatengenezwaje au inauzwa dukani
@helgamasaki6239
@helgamasaki6239 2 жыл бұрын
Naipata wap samahani nipo dodoma,
@mkumbushilwasamuelmkisi5123
@mkumbushilwasamuelmkisi5123 Жыл бұрын
Y
@jacklinealphonse5760
@jacklinealphonse5760 Жыл бұрын
Inakuaje kuku wa kienyeji anataga mayai mengi
@christinaexaud1506
@christinaexaud1506 2 жыл бұрын
Kuku wawil wanaanguaje vifaranga 33
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Inawezekana kama umewapa 20 kila mmoja
@GRACENYONI-pp4st
@GRACENYONI-pp4st Ай бұрын
Pilet nini
@jacksontumaini9108
@jacksontumaini9108 3 жыл бұрын
Hizi pellets za vifaranga 0 - 4 weeks hakuna namna ya kutengeneza, maana maeneo nlipo ziwezi pata
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hakuna kwa sababu ili kupata hizo punje unachukua stater ambayo imechanganywa tayari
@siyakinga2769
@siyakinga2769 3 жыл бұрын
What if nikitia maji starter ili isipotee nyingi??
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Sio sahihi
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kuku hatakiwi kula chakula chenye unyevu
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Kaka tusaiedie mawasiliano yako
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Mbona yako kwenye video nyingi
@jumamnyonge
@jumamnyonge 3 жыл бұрын
hayo maji unabadiri kwa mda gani kiongozi
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kila ninapoona yamechafuka
@agnessfabian3292
@agnessfabian3292 3 жыл бұрын
hbr mkali hayo machupa ya maji unayatoboatoboa ili kutoa maji?
@bibletv9818
@bibletv9818 3 жыл бұрын
Unakaa wapi? Namba yako tafadhali
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
0656528455
@westmanmoses541
@westmanmoses541 2 жыл бұрын
Maji hayo unachanganya na nini mkuu
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Neoxychick formula ni antibiotiki yenye vitamins
@gilbatcarlo8418
@gilbatcarlo8418 3 жыл бұрын
Mbona vifaranga wanaingia ndani ya chombo Cha chakula?watakunya humo WATAOTA gonjwa ww
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Kadri wanavyokuwa wanakosa uwezo wa kuingia lakini wakiwa chini ya umri wa wiki moja hakuna namna. Hawawezi kuugua maana wanapata antibiotics
@musalalika5888
@musalalika5888 2 жыл бұрын
Ni umri gani unafaa kuwapa chanjo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 2 жыл бұрын
Siku 7, 14, 21 na 28
@kishingochangawa5383
@kishingochangawa5383 Жыл бұрын
naomba kuuliza pumba nini
@halimashaib9102
@halimashaib9102 3 жыл бұрын
Napenda Sana ufugaji wa kuku lkn najua wanataka malezi ya hali ya juu ndio ufanikiwe. Nilijaribu na Nikawa naenda kwa kasi Sana ila nilipoondoka kumuachia mtunzi mwengine walikufa km nzige na sikujua sababu. Nn sababu ya kuku kufa kwa mpigo Tena wakubwa kwa wadogo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Ugonjwa wa Kideri
@lembrislaboo7247
@lembrislaboo7247 3 жыл бұрын
Chanjo ya ugonjwa wa kideri ni ipi na huchanjwa Kila baada ya muda gani ?
@benardmwaipaja8577
@benardmwaipaja8577 2 жыл бұрын
Hongera Sana naomba unielekeze kutengeneza hicho kidude Cha kuwekea chakula,kazi njema
@selemansuleiman9603
@selemansuleiman9603 2 жыл бұрын
Naomba kama una group whatsap niunge tafadhali
NJIA  RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI UKIANZA NA KUKU WA 5
10:53
Utunzaji wa Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji BILA VIFO
8:05
Changamkia Fursa
Рет қаралды 42 М.
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 45 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 133 МЛН
Jinsi ya Kuwalisha Kuku wa Kienyeji Wakuwe Haraka
8:29
Changamkia Fursa
Рет қаралды 41 М.