kwani huwezi kukausha na kutwanga kisha ukatumia kwenye juice
@saidmussongo1527Күн бұрын
jinsi ya kukaanga mbegu za mlonge kwa ajili ya nguvu za kiume
@saidmussongo1527Күн бұрын
kwani huwezi kutengeneza juice ya mlonge pekee?
@AzizaNgonda12 күн бұрын
Dada uko mkoa gani
@user-rj5zq1fq3vАй бұрын
Mbegu ya sasso inapatikana wapi?Nahitaji
@RWATOMIXEDFARM-pd4ljАй бұрын
Asante sana dada, Kuna watu wanauza elimu kama hii youtube lkn wewe umeitoa free kabisa. Mungu akubariki sana
@asheryobeid2459Ай бұрын
Dada farida umbuzi unauzaje,beberu na jike, hongera sana
@user-rm7sf5zj2kАй бұрын
Naam, ni mawazo tundufu na fikra mkruro na hakika nitakuwa na wewe sako kwa bako kila mdaharo!"
@user-jx4sx4qj5g2 ай бұрын
Unapatikana wapi?
@shedracktanu2072 ай бұрын
Idadi ya vifaranga waheshimiwa.
@filipinadaud8852 ай бұрын
tunaombs no yako ya cm
@filipinadaud8852 ай бұрын
pia hiyo lyisine hicho kipimo chake unapimia nini maana hujusema ni robo au kilo pia kuku hao wanakula kilo 52 hapo sijaelewa dada.ni kwa siku au wiki tafadhali
@filipinadaud8852 ай бұрын
hao ni chotara au?
@user-qg1iy5ov3u2 ай бұрын
Hongera sana naomba uweke namba yako
@user-qg1iy5ov3u2 ай бұрын
Je ni dawa ya kutibu huu ukimwi?
@AtulehemuMtivike2 ай бұрын
Kuku wenu tunawatamani lakini tunajiuliza tunawapataje
@filipinadaud8853 ай бұрын
NAOMBA FORMULA YA KUTENGENEZA CHAKULA CHA KUKU 100 CHOTARA WANAOTAGS
@rasmomsabaha65713 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri, naomba namba yako ili nikiwa na swali iwe rahisi kupata msaada.
@user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын
Asante naomba no yako
@Joylandfarms2543 ай бұрын
Hello I am from Kenya and i love chickens, where can i get F1 Kuroiler breed that is reliable.
@Joylandfarms2543 ай бұрын
Good Teaching indeed.
@stevensamwel48544 ай бұрын
Mazingira gani bora kufuga kuku kwa kuwaachia? Mjini au vijijini.
@jefftabar72124 ай бұрын
Asante sana nataka kufuga kuko za mayayi kivyashara Nifundishe kutengeneza chakula cha vifaranga
@michaelkatabila44614 ай бұрын
Thx madam
@michaelkatabila44614 ай бұрын
Dr. Thx more kwa elimu unayo tupa by Katabila michael
@maxmillianmarwa59434 ай бұрын
Asante sana,
@maxmillianmarwa59434 ай бұрын
Asante sana
@ahmedsoudathman50884 ай бұрын
Good job
@lupakisyomwambungu3474 ай бұрын
Je ni milonge mibichii
@nickson34735 ай бұрын
sasa wewe ndo mbuzi au kuna mbuzi wengine?tunataka kuona mbuzi sio wewe clip yote😂😂
@DanielManyangu-sq9bt6 ай бұрын
Unaruhusiwa kutia sukar kweny iyo. chai ya mlonge ?
@martinamasagasi32136 ай бұрын
Asante sn dada umenisaidia sn
@bosimanigoja.-jb2wl7 ай бұрын
Nice
@hmedm80937 ай бұрын
Habari yako Dada, hii formula inawezatumika kwa broiler!?
@kokusimamtumbi34427 ай бұрын
Na kuhusu magonjwa dr
@evakomba23897 ай бұрын
Kama sina asali naweza kutumia sukari?
@manchuse69808 ай бұрын
umeeleweka kwa uzur sana
@bahariaAboud8 ай бұрын
Nisaidieni namba yake
@bahariaAboud8 ай бұрын
Nisaidieni namba yake
@mengikibona14058 ай бұрын
Asanta kwa ushauli
@user-fb6dh6sz2g8 ай бұрын
Dada nashukuru sana kwa maelezo yaliyoshiba
@josephinemeena25018 ай бұрын
Mawasiliano yake nahitaji mbuzi na kondoo
@stevensamwel48548 ай бұрын
Asante, namba Yako ya mawasiliano tafadhali.
@saadharoub52009 ай бұрын
Asante sanaa Kwa elimu ya ufugaji
@princekapocho21329 ай бұрын
Asane sana ,
@user-xe8rf3uh4x9 ай бұрын
Asante sana
@user-zh2gi4ld6c9 ай бұрын
Nawataka cloiler Niko geita Please give us WhatsApp number
@johnnykrantz16589 ай бұрын
Ahsante kwa mafunzo
@user-by2wx5iy1m10 ай бұрын
Nimeipenda
@vumiliarwiza10 ай бұрын
Asante sana.umenipa maarifa kwa sehemu kubwa MUNGU akuzidishie maarifa zaidi na zaidi.