Those tz train sets are so dope for real no doubts
@alfinmbilinyi59853 ай бұрын
🇹🇿Tanzania also is constructing SAMIA maglev 320km/h sgr from Mtwara to lake nyasa via songea in Ruvuma Region.God bless Tanzania for a good job to its people.🇹🇿
@billgussy609921 күн бұрын
As a Tanzanian i think Kenya and Tanzania should aim at cooperation and not competition. Mashirikiano yatainua uchumi wa nchi hizi mbili. Tunahitaji reli kati ya Mombasa Voi Moshi hadi Arusha na tunahitaji reli kutoka Nairobi iunganishe Arusha hadi Dar es Salaam. Lengo kuimarisha uchumi wa wananchi na si vinginevyo.
@hassanlikwenangu84719 күн бұрын
Waache waandamane, saa hz tupo na Ngerengere to Morogoro
@nyambegamatoro6817Ай бұрын
Tanzania acheni uzembe, angalao mgekuwa mfekia Makutopora Singida na sio Dodoma tu. Toeni fedha nakaza buti, kazi masaa ishiri na manne. Nadhani mpo katika kulinda mabasi na malori ya usafirishaji ya wakubwa.
@francismadoshi85296 ай бұрын
Kenya wamefrisika wakashindwa kuimaliza reli!
@ananiasangwa77613 күн бұрын
Treni la Diesel 😂😂😂
@user-ou8sp5bb7n15 күн бұрын
Acha ujinga, usitufananishe na Kenya
@user-cn9br7en7w6 ай бұрын
Mbona ya kenya inatoa moshi mweusi sio inamanisha haitumii umeme
@imanikichali5 күн бұрын
kwani kitu gani mnatuzidi Tz itawapita Kenya speed ya Tz nikubwa mno kimaendeleo
@sskondopoleani96162 ай бұрын
Wana Tz Tusonge mbele tuachane na Kenya, Debe haliachi kutika.
@mediacare67442 ай бұрын
Of what significance is Dodoma?
@abdalahally31136 ай бұрын
Kizuri kisemwe hio ya Kenya mm nimeipanda ni bure kabisa
@abasssy99092 ай бұрын
Nous devons lutter pour que notre continent puis avoir du chemin de fer partout.
@manefuture8212Ай бұрын
wakenya wajaribu 🚂 ya stima⚡
@OmarBNAKHICLASSIC-xy6nb2 ай бұрын
Kenya n role model ya tz ndo maana kila siku wanajifananisha na kenya.yaan paka kenya ifanye kitu ndio tz iige nayo ifanye.tunajivunia kua role model ya east africa countries.
@yustomwaisomania25872 ай бұрын
Imefanya nn Kenya ambacho sisi tuige an sisi tuige hiyo mafuta ya taa
@emmanuelmasanja604020 күн бұрын
Tuige train ya diesel?
@hassanlikwenangu84719 күн бұрын
Kaandamane Kaka ya TZ tuachie sisi wenyewe.
@davidwalalason76306 ай бұрын
Bigup to tz government for not rushing to there deal while kenya they rush for the deal and politicians took advantage to steal the project money
@Kabwela7766 ай бұрын
Kwa nini mnapenda mambo yenu kujilinganisha na Kenya
@iddykwangaya27944 ай бұрын
Kwa sababu sisi tunavijua vitu vizuri kuliko nyie😂😂😂
@emmanuelmasanja60408 күн бұрын
Kwasababu Kenya wanavihetehere😂😂😂😂
@aminata37023 ай бұрын
Wewe ni mkenya uliyejifunza kiswahili acha kutuektia hapa
@ContentSmartphone-rq6po6 ай бұрын
Wakenya hawatuwezi kwasasa wajiangalie😂
@Wastara0016 ай бұрын
Very true. Am a Kenyan but Tanzanians are far much ahead of us as far as SGR is concerned. Kudos Tz
@brysonkaale30032 ай бұрын
@@Wastara001Thank you very much,lTanzania is growing faster!
@danogeto782 ай бұрын
Wewe ni Simp@@Wastara001
@geoffreymutisya97472 ай бұрын
matako ya mamako
@daviddeus416 ай бұрын
We acha kuifananisha SGR ya Tz inayotumia umeme na iyo ya Kenya inayotumia Mafuta ya Taa
@user-bu5jv2st4b4 ай бұрын
Kenya uses diesel (120km/hr), Tanzania (160km/hr)???????what is the esense of electrifying it
@JenafaTV4 ай бұрын
For a jurney of 1400 km Dar es salaam to mwanza this could mean a difference of more than 8 ours between 120kmh and 160kmh,
@ActionLabInFocus4 ай бұрын
KE is about the economy (Moving goods from Mombasa Port to EA Countries). I understand TZ is more about moving the people(Passengers). A clear reason for you to understand why the track wasn't electrified is the Double Cargo Cars the Loc pulls
@JenafaTV3 ай бұрын
@@ActionLabInFocus tz has mgr track for good & cargo purposes it is parallel with new built sgr
@JenafaTV3 ай бұрын
@@ActionLabInFocus tz has mgr track for good & cargo purposes it is parallel with new built sgr
@user-lt1bi5nr1x2 ай бұрын
Ndo magufuli alisema itabeba mbogamboga sio kwa wahudumu hao
@janiafaomaa51204 ай бұрын
WEWE MTAGAZAJI UNATIA AIBU UNAJUWA MANA YA S G R NIMFUMO WA KUEDESHWA KWAKUTUMIA UMEME KENYA TRENI YAO WANATUMIA MASHINE DEISEL SIO UMEME JAMANI MWENDAGE SHULE
@JenafaTV4 ай бұрын
Reli yenye mfumo wa sgr sio reli ya umeme bali ni upana wa reli tu, inaitwa standard gauge railway upana wa kisasa wa 120 cm au zaidi ni tofaut na mgr yani meter gauge railway upana wa mita 1. Hivyo usichanganye madesa, sgr sio lazima iwe ya umeme, kenya wana reli ya sgr ya upana wa zaidi ya metre 1 ila sio ya umeme. pole kwa kukosa elimu juu ya hili, tunaimani sasa umejua, karibu sana
@majaliwaking450023 күн бұрын
Mbona kama nyoka
@fransicmushenyera93023 ай бұрын
wewe ni mkenya
@MoMshuty3 ай бұрын
Kenya ni Bure kabisa😅😅😅
@user-kr5dp2ip9g6 ай бұрын
Nyie Jenafa(Fadhili Mtevangu) Kama vitu vingine huvijui ni bora kukaa kimya tu..nani alikwambia treni ya umeme haiwezi kubeba (double stuck container)?? na je umefanya research ya kutosha kuhusu reli ya Tanzania kuhusu kubeba kontena mbili mbili?
@JenafaTV6 ай бұрын
Elewa urefu wa treni kimo na urefu inducer ya waya za umeme
@user-kr5dp2ip9g6 ай бұрын
@@JenafaTV nikuulize kitu..kwa nn mabehewa ya gorofa ya abiria tuliyonunua ujerumani kwa nini yanaweza kupita katika reli yetu alafu daouble stuck container yashindwe kama kigezo ni urefu??!
@JenafaTV6 ай бұрын
Tofautisha double staking ya makontena hasa kwenye mizigo na mabehewa ya abiria ya ghorofa au rejea trc website utaelewa
@user-kr5dp2ip9g6 ай бұрын
@@JenafaTV inducer ya waya za umeme kama mabehewa ya gorofa yameweza kupita au kufit ktk reli ina maana hata double stuck container itaweza labda uniambie uwezo wa reli yetu kubeba uzito mkubwa uwe ni mdogo..nakwambia hv kwa sababu ujerumani wanatumia double stuck container na kimo na kama chetu na inducer pia na hata hayo mabehewa ya gorofa yametoka ujerumani pia! pia unatakiwa ufahamu mabehewa au chases/kichanja au kitako cha mabehewa yanayochukua makontena mawili mawili kitako chake hakiko juu..kitako kipo chini kidogo na nafasi hubaki ya kutosha juu..
@user-ui1qs9yl1nАй бұрын
treni za kenya kama zile za hitler
@ezekielmlay82192 ай бұрын
Ni mawazo ya mtuma post, achana naye tuangalie mambo yetu. Ya kenya haituhusu bana
@KelvyKessy-sy4dd3 ай бұрын
Yani una compare gari Moshi na electrical train iv uko na akili Ata kidogo tu
@ChristopherNelian-ko7jr13 күн бұрын
Anashirikiana na ndugu zake kufanya uaribifu wa ozone layer
@willywaire502 ай бұрын
Sisi kenya temeitumia mpaka tumeizoea,Tanzania hapo ndio mwanzo
@JenafaTV2 ай бұрын
Kenya bado haijawahi kutumia treni za umeme wala emu ..ni Tanzania pekee kwa africa mashariki na kati ndie anatumia treni za umeme na za kisasa emu
@user-lt1bi5nr1x2 ай бұрын
Alafu haliendi mbali ni km daladala tu
@emmanuelmasanja604020 күн бұрын
Unaiweza kuwa wa kwanza,ukawa wa mwisho😂😂😂
@sponsalfathedj81772 ай бұрын
Tanzania should be very careful with electricity blackouts ( very sensitive)
@susanhyaola2370Ай бұрын
Congratulations tz
@Kim19onlinetv6 ай бұрын
Acha upuuuzi wewe
@geoffreymutisya97472 ай бұрын
kenya iko mbele💓 tanzania itachukua miaka 100000 kuwa kama Kenya
@stepentush60162 ай бұрын
Tz muko na miaka 50 kufika mahala tupo😅 ukweli usemwe