jionee tofauti ya treni za sgr za kenya vs za tanzania utashangaa uchambuzi kwa kina

  Рет қаралды 50,348

Jenafa TV

Jenafa TV

6 ай бұрын

kenyan sgr trains vs tanzania sgr train

Пікірлер: 64
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 6 ай бұрын
Those tz train sets are so dope for real no doubts
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 3 ай бұрын
🇹🇿Tanzania also is constructing SAMIA maglev 320km/h sgr from Mtwara to lake nyasa via songea in Ruvuma Region.God bless Tanzania for a good job to its people.🇹🇿
@billgussy6099
@billgussy6099 21 күн бұрын
As a Tanzanian i think Kenya and Tanzania should aim at cooperation and not competition. Mashirikiano yatainua uchumi wa nchi hizi mbili. Tunahitaji reli kati ya Mombasa Voi Moshi hadi Arusha na tunahitaji reli kutoka Nairobi iunganishe Arusha hadi Dar es Salaam. Lengo kuimarisha uchumi wa wananchi na si vinginevyo.
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 9 күн бұрын
Waache waandamane, saa hz tupo na Ngerengere to Morogoro
@nyambegamatoro6817
@nyambegamatoro6817 Ай бұрын
Tanzania acheni uzembe, angalao mgekuwa mfekia Makutopora Singida na sio Dodoma tu. Toeni fedha nakaza buti, kazi masaa ishiri na manne. Nadhani mpo katika kulinda mabasi na malori ya usafirishaji ya wakubwa.
@francismadoshi8529
@francismadoshi8529 6 ай бұрын
Kenya wamefrisika wakashindwa kuimaliza reli!
@ananiasangwa7761
@ananiasangwa7761 3 күн бұрын
Treni la Diesel 😂😂😂
@user-ou8sp5bb7n
@user-ou8sp5bb7n 15 күн бұрын
Acha ujinga, usitufananishe na Kenya
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w 6 ай бұрын
Mbona ya kenya inatoa moshi mweusi sio inamanisha haitumii umeme
@imanikichali
@imanikichali 5 күн бұрын
kwani kitu gani mnatuzidi Tz itawapita Kenya speed ya Tz nikubwa mno kimaendeleo
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 2 ай бұрын
Wana Tz Tusonge mbele tuachane na Kenya, Debe haliachi kutika.
@mediacare6744
@mediacare6744 2 ай бұрын
Of what significance is Dodoma?
@abdalahally3113
@abdalahally3113 6 ай бұрын
Kizuri kisemwe hio ya Kenya mm nimeipanda ni bure kabisa
@abasssy9909
@abasssy9909 2 ай бұрын
Nous devons lutter pour que notre continent puis avoir du chemin de fer partout.
@manefuture8212
@manefuture8212 Ай бұрын
wakenya wajaribu 🚂 ya stima⚡
@OmarBNAKHICLASSIC-xy6nb
@OmarBNAKHICLASSIC-xy6nb 2 ай бұрын
Kenya n role model ya tz ndo maana kila siku wanajifananisha na kenya.yaan paka kenya ifanye kitu ndio tz iige nayo ifanye.tunajivunia kua role model ya east africa countries.
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 2 ай бұрын
Imefanya nn Kenya ambacho sisi tuige an sisi tuige hiyo mafuta ya taa
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 20 күн бұрын
Tuige train ya diesel?
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 9 күн бұрын
Kaandamane Kaka ya TZ tuachie sisi wenyewe.
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 6 ай бұрын
Bigup to tz government for not rushing to there deal while kenya they rush for the deal and politicians took advantage to steal the project money
@Kabwela776
@Kabwela776 6 ай бұрын
Kwa nini mnapenda mambo yenu kujilinganisha na Kenya
@iddykwangaya2794
@iddykwangaya2794 4 ай бұрын
Kwa sababu sisi tunavijua vitu vizuri kuliko nyie😂😂😂
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 8 күн бұрын
Kwasababu Kenya wanavihetehere😂😂😂😂
@aminata3702
@aminata3702 3 ай бұрын
Wewe ni mkenya uliyejifunza kiswahili acha kutuektia hapa
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 6 ай бұрын
Wakenya hawatuwezi kwasasa wajiangalie😂
@Wastara001
@Wastara001 6 ай бұрын
Very true. Am a Kenyan but Tanzanians are far much ahead of us as far as SGR is concerned. Kudos Tz
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 2 ай бұрын
​@@Wastara001Thank you very much,lTanzania is growing faster!
@danogeto78
@danogeto78 2 ай бұрын
Wewe ni Simp​@@Wastara001
@geoffreymutisya9747
@geoffreymutisya9747 2 ай бұрын
matako ya mamako
@daviddeus41
@daviddeus41 6 ай бұрын
We acha kuifananisha SGR ya Tz inayotumia umeme na iyo ya Kenya inayotumia Mafuta ya Taa
@user-bu5jv2st4b
@user-bu5jv2st4b 4 ай бұрын
Kenya uses diesel (120km/hr), Tanzania (160km/hr)???????what is the esense of electrifying it
@JenafaTV
@JenafaTV 4 ай бұрын
For a jurney of 1400 km Dar es salaam to mwanza this could mean a difference of more than 8 ours between 120kmh and 160kmh,
@ActionLabInFocus
@ActionLabInFocus 4 ай бұрын
KE is about the economy (Moving goods from Mombasa Port to EA Countries). I understand TZ is more about moving the people(Passengers). A clear reason for you to understand why the track wasn't electrified is the Double Cargo Cars the Loc pulls
@JenafaTV
@JenafaTV 3 ай бұрын
@@ActionLabInFocus tz has mgr track for good & cargo purposes it is parallel with new built sgr
@JenafaTV
@JenafaTV 3 ай бұрын
@@ActionLabInFocus tz has mgr track for good & cargo purposes it is parallel with new built sgr
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 2 ай бұрын
Ndo magufuli alisema itabeba mbogamboga sio kwa wahudumu hao
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 4 ай бұрын
WEWE MTAGAZAJI UNATIA AIBU UNAJUWA MANA YA S G R NIMFUMO WA KUEDESHWA KWAKUTUMIA UMEME KENYA TRENI YAO WANATUMIA MASHINE DEISEL SIO UMEME JAMANI MWENDAGE SHULE
@JenafaTV
@JenafaTV 4 ай бұрын
Reli yenye mfumo wa sgr sio reli ya umeme bali ni upana wa reli tu, inaitwa standard gauge railway upana wa kisasa wa 120 cm au zaidi ni tofaut na mgr yani meter gauge railway upana wa mita 1. Hivyo usichanganye madesa, sgr sio lazima iwe ya umeme, kenya wana reli ya sgr ya upana wa zaidi ya metre 1 ila sio ya umeme. pole kwa kukosa elimu juu ya hili, tunaimani sasa umejua, karibu sana
@majaliwaking4500
@majaliwaking4500 23 күн бұрын
Mbona kama nyoka
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 3 ай бұрын
wewe ni mkenya
@MoMshuty
@MoMshuty 3 ай бұрын
Kenya ni Bure kabisa😅😅😅
@user-kr5dp2ip9g
@user-kr5dp2ip9g 6 ай бұрын
Nyie Jenafa(Fadhili Mtevangu) Kama vitu vingine huvijui ni bora kukaa kimya tu..nani alikwambia treni ya umeme haiwezi kubeba (double stuck container)?? na je umefanya research ya kutosha kuhusu reli ya Tanzania kuhusu kubeba kontena mbili mbili?
@JenafaTV
@JenafaTV 6 ай бұрын
Elewa urefu wa treni kimo na urefu inducer ya waya za umeme
@user-kr5dp2ip9g
@user-kr5dp2ip9g 6 ай бұрын
@@JenafaTV nikuulize kitu..kwa nn mabehewa ya gorofa ya abiria tuliyonunua ujerumani kwa nini yanaweza kupita katika reli yetu alafu daouble stuck container yashindwe kama kigezo ni urefu??!
@JenafaTV
@JenafaTV 6 ай бұрын
Tofautisha double staking ya makontena hasa kwenye mizigo na mabehewa ya abiria ya ghorofa au rejea trc website utaelewa
@user-kr5dp2ip9g
@user-kr5dp2ip9g 6 ай бұрын
@@JenafaTV inducer ya waya za umeme kama mabehewa ya gorofa yameweza kupita au kufit ktk reli ina maana hata double stuck container itaweza labda uniambie uwezo wa reli yetu kubeba uzito mkubwa uwe ni mdogo..nakwambia hv kwa sababu ujerumani wanatumia double stuck container na kimo na kama chetu na inducer pia na hata hayo mabehewa ya gorofa yametoka ujerumani pia! pia unatakiwa ufahamu mabehewa au chases/kichanja au kitako cha mabehewa yanayochukua makontena mawili mawili kitako chake hakiko juu..kitako kipo chini kidogo na nafasi hubaki ya kutosha juu..
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
treni za kenya kama zile za hitler
@ezekielmlay8219
@ezekielmlay8219 2 ай бұрын
Ni mawazo ya mtuma post, achana naye tuangalie mambo yetu. Ya kenya haituhusu bana
@KelvyKessy-sy4dd
@KelvyKessy-sy4dd 3 ай бұрын
Yani una compare gari Moshi na electrical train iv uko na akili Ata kidogo tu
@ChristopherNelian-ko7jr
@ChristopherNelian-ko7jr 13 күн бұрын
Anashirikiana na ndugu zake kufanya uaribifu wa ozone layer
@willywaire50
@willywaire50 2 ай бұрын
Sisi kenya temeitumia mpaka tumeizoea,Tanzania hapo ndio mwanzo
@JenafaTV
@JenafaTV 2 ай бұрын
Kenya bado haijawahi kutumia treni za umeme wala emu ..ni Tanzania pekee kwa africa mashariki na kati ndie anatumia treni za umeme na za kisasa emu
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 2 ай бұрын
Alafu haliendi mbali ni km daladala tu
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 20 күн бұрын
Unaiweza kuwa wa kwanza,ukawa wa mwisho😂😂😂
@sponsalfathedj8177
@sponsalfathedj8177 2 ай бұрын
Tanzania should be very careful with electricity blackouts ( very sensitive)
@susanhyaola2370
@susanhyaola2370 Ай бұрын
Congratulations tz
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv 6 ай бұрын
Acha upuuuzi wewe
@geoffreymutisya9747
@geoffreymutisya9747 2 ай бұрын
kenya iko mbele💓 tanzania itachukua miaka 100000 kuwa kama Kenya
@stepentush6016
@stepentush6016 2 ай бұрын
Tz muko na miaka 50 kufika mahala tupo😅 ukweli usemwe
@joejoshua7791
@joejoshua7791 2 ай бұрын
Wewe makanga umeshakula?
@kentwalibora4994
@kentwalibora4994 2 ай бұрын
@@joejoshua7791 umelisha siku ngapi?
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 76 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 5 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 29 МЛН
MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA DART AWAMU YA TATU
5:49
DART TV
Рет қаралды 6 М.
Kenya vs Tanzania Compared Mega Projects 2024
8:30
African Informant
Рет қаралды 32 М.
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 9 МЛН
WAZIRI PROF. MBARAWA BANDARININI DAR ILIKO TRENI YA MCHONGOKO
9:18
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 76 МЛН