Yaan sometimes unaeza kumwangalia mtu ukatamani angekuwa ata ndugu yako ... Much love to you Kaka Joel , nakuelewa sana .
@donkorosso87383 жыл бұрын
Na wewe unaweza ukawa ili wengine watamani hata ungekuwa ni Dada yao , unaweza ukawa mfano wa kuigwa
@BukelebeTv8 ай бұрын
Ubarikiwe kaka Joel
@sarachipando5391 Жыл бұрын
Asante sana life coach .Nikama kuchukua idea ileile mtu mwingne Anaya ifanyia kazi nakwenda mahari pengine kufanyia Kaz👏
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
My brother ur still BLESSED 🙏🙏 FOREVER FROM GOD✨✨✨✨✨🌟🌟⭐✨✨⭐🌟🌟✨🌟🌟⭐⭐🌟
@abiamarwa15283 жыл бұрын
Nahitaji kitabu joel
@davidmsubi26393 жыл бұрын
Asanteee Mwl nimeongeza maarifa mengine tena
@hamisfesto93533 жыл бұрын
I appreciate Br thanks for proceeding to give us more knowledge especially business knowledge,God together with you.
@HamicChihuku7 ай бұрын
Kaka hongera sana nakuelewa! Ila maomba ushauri kuhusu biashara ya saroon ya kiume nmna ya kuiendesha au kuisimamia please.
@johnbanda66019 ай бұрын
Asante hii elimu
@lifacharles10683 жыл бұрын
Thank you kk joel god bless you
@alexbushishi83423 жыл бұрын
Five star for you!
@sahachi3972 жыл бұрын
Safi nimekupata
@ErNesto-ty9yz3 жыл бұрын
Tuko pamoja kaka Joel
@marymgore67143 жыл бұрын
Kaka naomba msaada,Mimi nimeanza biashara toka mwaka 2015,lakini sipigi hatua yoyote ktk hii biashara,ni Kama biashara yangu imedumaa,nafika wakati nahisi kukata tamaa,maana natumia nguvu nyingi Ila matokeo ni madogo saana,tafadhali naomba msaada
@bonifaceanthony3093 жыл бұрын
Be blessed
@Ufugaji3 жыл бұрын
Cool lessons always
@chrispinejohn8155 Жыл бұрын
Asante bro
@JasintaManingili28 күн бұрын
Bro nawezaje kujoin madarasa yako
@venturebown69833 жыл бұрын
Big up again bro..see you at the top zone
@dudapaschal65473 жыл бұрын
Asante sana kaka
@mariamayoob87343 жыл бұрын
asante
@oseahmbembela-gi4du Жыл бұрын
Tunaomba uje hosipitali ya rufaa ya kanda mbeya(MZRH) nakufuatilia Sana training zako zimenipa matokeo mazuri,je Una mafunzo ambayo ni audio?
@christelle96903 жыл бұрын
Thank you brother
@ezekieljames74523 жыл бұрын
Nakufatiliaga sana uko vzr
@joramjaphet30603 жыл бұрын
Bro mm napata utata nisaidie, ktk ktabu hatua 6 za kujiajiri umeshauri njia Moja wapo inayowafelisha wengi n kufanya mambo mengi (Lack of focus) sasa nawezaje kupanua biashara yang km sitaongeza matawi mengne?