KUGUNDUA KUSUDI LA MAISHA YAKO: JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 9,678

Joel Nanauka

Joel Nanauka

3 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 39
@wadauwasizoni
@wadauwasizoni 3 ай бұрын
Joel nanauka Mungu akubariki Sana sema amen nafurah.Hakika umenifungua akiri
@ayofrica_
@ayofrica_ Ай бұрын
Nimekuelewa ila kuna watu hatuna both of them.
@user-om7pl9xm4s
@user-om7pl9xm4s 3 ай бұрын
Exactly sir %% respect 🤔🤝✍️
@HalimaAmadi
@HalimaAmadi 3 ай бұрын
Swali la (1) ningechagua kuishi katika ndoto zangu kuwa muigizaji mkubwa duniani, (2) ningetamani kufungua vituo vya ma single mom ili kila anaefikwa na hiyo hali nimsaidie juu ya kipaji chake au ujuzi wake iwe rahis kwake kulea watoto wake, (3) napenda kufanya nilicho nacho ili nifikie pale ninapopatazamia, asante sana
@user-ky8ym2oz4d
@user-ky8ym2oz4d 3 ай бұрын
Asante mwalimu
@ShukraniMpembela
@ShukraniMpembela 3 ай бұрын
Tunashukuru Kwa maarifa🙏
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 3 ай бұрын
Hakika Mungu akubariki sana kaka ❤
@johnbanda6601
@johnbanda6601 3 ай бұрын
Barikiwa sana kaka...umenikumbusha na kuniamsha akili yangu.
@erickathanas
@erickathanas 3 ай бұрын
Thanks bro Joel somo limenibadilisha kaka
@user-is5xi3ve2r
@user-is5xi3ve2r 3 ай бұрын
smart one from GOF
@nikolausmnanka9362
@nikolausmnanka9362 3 ай бұрын
Upo vizur kaka
@ruubenjr-gr5qx
@ruubenjr-gr5qx 3 ай бұрын
asante kaka
@DieudAmour-yr3iy
@DieudAmour-yr3iy 3 ай бұрын
Asant sana kwa Video hii coz kujua haya ni mwanzo wa kuishi tena
@elijahbuantai4766
@elijahbuantai4766 3 ай бұрын
Nice one bro
@GTSReal
@GTSReal 3 ай бұрын
I'm waiting for this very much
@KalabaKlb
@KalabaKlb 3 ай бұрын
Cha kwanza kwangu Mimi nita baki kuwa mufanya biashara mukubwa duniani, pili siwezi kubali kuondoka duniani kabla sija jenga vituo kazaa vya watoto yatima, tatu niku wafunza wengine ili wafanikiwe,najitambuwa kuwe mimi ni baraka kwa wengine,, niyale tu kaka Joël Nanauka, kitabu cha kutimiza malengo ndicho nakitaka kk
@EdsonPaulo-mn1hd
@EdsonPaulo-mn1hd 3 ай бұрын
Nina uhitaji wa vitabu vyako lakini sijui namna ya kupata naomba unisaidie Kaka
@joelnanauka
@joelnanauka 3 ай бұрын
0762 31 21 71 tuwasiliane
@AdamLeoStudios
@AdamLeoStudios 3 ай бұрын
Au kama upo dar es salaam nenda pale Flyover ya ubungo kituo cha njia panda ya chuo kuna duka pale mimi huwa nanunua pale!
@girukwishakaclaudine5374
@girukwishakaclaudine5374 3 ай бұрын
Natamani kupata kitabo chako lakini niko bali sasa nitakipa vipi?
@ayofrica_
@ayofrica_ Ай бұрын
@javanskiti5911
@javanskiti5911 3 ай бұрын
🙏🙏
@20presenter
@20presenter 3 ай бұрын
Namna gani nitapata vitabu vyako aisee maan najua kupata pengine siwezi labda umbali lakini soft ntapataje
@KalabaKlb
@KalabaKlb 3 ай бұрын
👂
@neemaryan9947
@neemaryan9947 3 ай бұрын
Asante kaka Joel naomba kuuliza kati ya passion na professional kusudi la maisha ya mtu linaingia wapi hapa kati ya hivi viwili?
@Geoffreystanley-tk2tj
@Geoffreystanley-tk2tj 3 ай бұрын
Kusudi la maisha ni passion, na passion ni kitu ambacho huwezi ukaki control kihisia yani kinakusumbua kichwa na huwezi kukaa mda mrefu bila kukifanya na kukiacha mfano unakuta mtu anapenda kucheza mpira yani hata asipolipwa moyo wake unajisikia amani na ndani unasukumwa kufanya ivyo mara kwa mara hata kama ukakatazwa lakini proffessional ni kitu unachojifunza au kusomea mfano ukaenda kusomea udaktari hiyo ni proffesional na unaweza usiwe na passion ya udaktari ila ulienda tu kwa sababu nyingine.
@neemaryan9947
@neemaryan9947 3 ай бұрын
@@Geoffreystanley-tk2tj Asante sana Geoffrey
@Glatus1000
@Glatus1000 3 ай бұрын
Neno
@musaniwabouwambajimana6975
@musaniwabouwambajimana6975 3 ай бұрын
Naitaji kuongeya nawewe
@Sumay228
@Sumay228 3 ай бұрын
Kusaidia wahitaji
@mchattachattanoga7795
@mchattachattanoga7795 3 ай бұрын
Kaka kunakitabu kinaeleza hii tropic naweza kupata nijifunze zaidi
@franciskamau3057
@franciskamau3057 3 ай бұрын
Where do I get your books in kenya?
@CatherineJacob-yt5sy
@CatherineJacob-yt5sy 3 ай бұрын
Ningechagua kuwa model, Ningekuwa na uwezo wa kuwa na biashara ili niweze kuwasaidia watu ambao naona kabisa wanahitaji msaada
@paulinalerise684
@paulinalerise684 3 ай бұрын
Ndugu, natamani kukutana nawe, niongee nawe kwa nusu saa tu, ili nijifunze kitu. Naamini kukutana nawe ana kwa ana utanielewesha vema. Inawezekanaje? Tafadhali naomba utaratibu wa kufuata....
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 3 ай бұрын
Mimi nachukia uchafu nimesafiri mikoa mingi nikipita kwenye miji naona taka kila kona, mitaro ya maji taka sio salama huwa nachukia sana, najiuliza hawa viongozi na wananchi hawaoni
@CalmOysters-im5lh
@CalmOysters-im5lh 3 ай бұрын
Anzisha kampen ya usafi viongozi utawaonatuu
@johnjoho4530
@johnjoho4530 3 ай бұрын
Kaka msaada wa namba zako ili nipate vitabu vyako
@user-nr2mp8yb1o
@user-nr2mp8yb1o 3 ай бұрын
Kuwa mchezaji mkubwa
JOEL NANAUKA: JE, UNAJUA KUSUDI LA MAISHA YAKO?
13:32
Joel Nanauka
Рет қаралды 55 М.
KUIPAMBANIA NDOTO YAKO - JOEL NANAUKA
13:57
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 12 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 43 МЛН
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 9 М.
Coy Mzungu, Ndaro, Said na Leonardo hawa hapa, ni lazima UCHEKE TU!
1:01:33
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 74 М.
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 33 М.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 175 М.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН