UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 180,461

Joel Nanauka

Joel Nanauka

7 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 291
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@lutherngoma1270
@lutherngoma1270 7 ай бұрын
Mamboo
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
​@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
​@@lutherngoma1270poa
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 7 ай бұрын
Mashaallah 😘🦋
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 7 ай бұрын
Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
@adventinahevaristo9558
@adventinahevaristo9558 4 ай бұрын
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 7 ай бұрын
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua. Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 7 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@petrosamwel2528
@petrosamwel2528 6 ай бұрын
Hellow sir​@@joelnanauka
@christophermantiri1383
@christophermantiri1383 17 күн бұрын
Nimeongeza kitu kikubwa sana leo
@cesiliamaneno9566
@cesiliamaneno9566 3 ай бұрын
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
@sikituukololo1161
@sikituukololo1161 7 ай бұрын
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
@IbrahimuRamadhani-nc4mr
@IbrahimuRamadhani-nc4mr 21 күн бұрын
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
@embmacrofinance2695
@embmacrofinance2695 4 ай бұрын
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
@musatalange4587
@musatalange4587 3 сағат бұрын
🎉🎉🎉maua yote ndio yakupasayo mentor of all mentors
@eliastanda9825
@eliastanda9825 7 ай бұрын
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏
@LilianKeya-ci3ex
@LilianKeya-ci3ex Күн бұрын
Powerful teaching barikiwa sana mutumishi wa MUNGU ❤
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k 5 ай бұрын
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
@wisdomofbooks6905
@wisdomofbooks6905 6 ай бұрын
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 7 ай бұрын
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
@motiveperson143
@motiveperson143 7 ай бұрын
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
@user-oe2vl4zm6m
@user-oe2vl4zm6m 3 ай бұрын
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
@zachariajacob6559
@zachariajacob6559 7 ай бұрын
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
@user-jq1ny9lx4e
@user-jq1ny9lx4e 7 ай бұрын
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 7 ай бұрын
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
@user-ni3mk5xu2v
@user-ni3mk5xu2v 7 ай бұрын
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
@FransiscaJoseph-bg6vl
@FransiscaJoseph-bg6vl 4 ай бұрын
God bless you, it's very powerful speech
@NicksonKihindo-yn5ir
@NicksonKihindo-yn5ir 5 ай бұрын
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
@realemma2312
@realemma2312 4 ай бұрын
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
@ramadhanimtozeni8030
@ramadhanimtozeni8030 7 ай бұрын
What a powerful presentation! May God bless you.
@mathewjiday190
@mathewjiday190 7 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho mzuri yamenikomaza since day one nakufatilia💯💯
@user-sc9ll5no3f
@user-sc9ll5no3f 7 ай бұрын
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
@monicakauky8914
@monicakauky8914 2 ай бұрын
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
@felixngwasi9469
@felixngwasi9469 7 ай бұрын
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
@dorothclement5859
@dorothclement5859 5 ай бұрын
A wonderful being.. the heaven send guy.
@user-um6oj8ci9i
@user-um6oj8ci9i Ай бұрын
Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤
@angelinamagambo8733
@angelinamagambo8733 7 ай бұрын
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
@langemwepesi
@langemwepesi 7 ай бұрын
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu.. ❤
@LucyMwasu
@LucyMwasu 7 ай бұрын
Asante ndugu yangu kwa mafundisho mazuri Sana Mungu akubariki
@harunikayuni34tv
@harunikayuni34tv 7 ай бұрын
Hakika Nimejifunza Mambo Muhimu sanaaa Shukulani sanaa Mr Joel Nakufwatilia sanaa Kiongozi
@rosemarynyato6535
@rosemarynyato6535 6 ай бұрын
Thank you so much sir,,and God bless you,,binafsi nimejifunza
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 7 ай бұрын
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa KZfaq
@elizabethmziray2461
@elizabethmziray2461 14 күн бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili yako,🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@josephlazaro253
@josephlazaro253 7 ай бұрын
Big up sana Brother you are doing very excellent JOB. Kukataliwa meaning rejection test your commitment. VERY POWERFUL POINT NIMECHUKUA.
@user-ly6cm6lp3h
@user-ly6cm6lp3h 7 ай бұрын
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍
@thomasjoseph3178
@thomasjoseph3178 7 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka
@AsiaAsia-sv6ok
@AsiaAsia-sv6ok 7 ай бұрын
Shukran kaka Joel Mungu akutunze kwa ajili yetu
@user-er1lz3cj1d
@user-er1lz3cj1d 7 ай бұрын
Thanks broo 🙏🙏 nimepata kitu kitakacho nitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine❤️❤️
@charlesakomba8103
@charlesakomba8103 6 ай бұрын
kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli
@susanolambo9723
@susanolambo9723 3 ай бұрын
Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 7 ай бұрын
Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 5 ай бұрын
Tunabarkiwa sana na elimu yako brother Mungu akupe maono zaid na zaid 🎉🎉🎉
@NsanzabahiziRehema
@NsanzabahiziRehema 7 ай бұрын
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
@NsanzabahiziRehema
@NsanzabahiziRehema 7 ай бұрын
Shukhani Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Hongera sana sanaaaaaa👏🏻👏🏻👏🏻
@ndalahwashija6278
@ndalahwashija6278 6 ай бұрын
Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi Ubarikiwe sana Mwalimu
@hyasintajoseph2589
@hyasintajoseph2589 5 ай бұрын
Yaaan joel Mungu akubariki tu. Nimejifunza sana
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 7 ай бұрын
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
@marymkamwa3779
@marymkamwa3779 7 ай бұрын
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind. May God keep you for this generation.
@iamqacha
@iamqacha 5 ай бұрын
Keep going no matter the age🙏
@user-ms7ch2dv9s
@user-ms7ch2dv9s 7 ай бұрын
Hakika mungu akubariki mafunzo Yako yananifanya nipigie hatua Zaid ya Jana🤝💪
@eliudikijuzi4909
@eliudikijuzi4909 7 ай бұрын
Thenx brother my GOD BLESS YOU
@HusnaSultan-rm9fq
@HusnaSultan-rm9fq 6 ай бұрын
Joel..nitakuja kutoa ushuuhuda live 💪💪❤❤barikiwa kaka
@jayleetz
@jayleetz 6 ай бұрын
I gained something today thank you Mr Nanauka🙏🏾👏
@user-ho8sc3eb5g
@user-ho8sc3eb5g 6 ай бұрын
Good advice prfsr Joel thank you to make me sense
@maryjulius5923
@maryjulius5923 7 ай бұрын
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Ameen
@priscarichard9719
@priscarichard9719 7 ай бұрын
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Amen Amen, nashukuru sana
@zuwenayusuph3813
@zuwenayusuph3813 Ай бұрын
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
@Teacherdavidmasterclass1010
@Teacherdavidmasterclass1010 5 ай бұрын
Mungu akulinde kaka Joeli tunajifunza mengi kupitia wewe
@mathiassamhenda5066
@mathiassamhenda5066 6 ай бұрын
I was so serious listening that day😅,thank you brother 🔥
@TudamsheB
@TudamsheB 7 ай бұрын
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ahsante sanaaaa
@danielgodfrey2449
@danielgodfrey2449 6 ай бұрын
thanks for a such wonderful speech
@user-wy6re9be2g
@user-wy6re9be2g 7 ай бұрын
Thank you very much Mr Joel Nanauka... Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,, Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,, Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji.... But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 7 ай бұрын
Pole sana
@selemanmasau2096
@selemanmasau2096 7 ай бұрын
Ni kwa neema tu.Mungu akubariki.
@user-ib9lv7mx5z
@user-ib9lv7mx5z 6 ай бұрын
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha Am so excited to see One day i will meet you again if god wish
@victormusoga4136
@victormusoga4136 19 күн бұрын
Je suis 🇰🇪 kenyan et j'adore vos cour.
@user-wn3xk5kg8w
@user-wn3xk5kg8w 6 ай бұрын
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 5 ай бұрын
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
@abeldicken8949
@abeldicken8949 7 ай бұрын
1:02:57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
@DaudiSwai
@DaudiSwai 7 ай бұрын
Umemaliza kila kitu Prof🙌🙌🙌🙌
@user-ep1ll6tq8x
@user-ep1ll6tq8x 7 ай бұрын
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
@blada_mich
@blada_mich 7 ай бұрын
Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Nashukuru sana🙏
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 ай бұрын
@@joelnanauka🎉
@mathewnguyaki
@mathewnguyaki 7 ай бұрын
Asante sana mtumishi 🙏
@user-lj4eq3gj4j
@user-lj4eq3gj4j 6 ай бұрын
I love the message. Asante sana
@saumumagazine-tc4cp
@saumumagazine-tc4cp 7 ай бұрын
Mungu hakulinde Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Ameen Ameen, nashukuru sana🙏
@AvelinaMossy
@AvelinaMossy 2 ай бұрын
Ubalikiwe sana kaka,yananijenga sana mafundisho yako.
@daudisausi6206
@daudisausi6206 Ай бұрын
thanks mkuu nimepata kitu sasa naweza kuendelea nilipoishia.
@isacklaizer6776
@isacklaizer6776 7 ай бұрын
Joel Arthur Nanauka...Top Academy safi, ila plan kufungua Chuo kabisa, ili hizi shule ziweze kuwa na mtaala rasmi, ambao hautakufa na kuondoka na wewe...Thanks for sharing this with us.
@josephlazaro253
@josephlazaro253 7 ай бұрын
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
@user-jz4go4fm1i
@user-jz4go4fm1i 6 ай бұрын
Good 👍
@user-rl9tb6cg5h
@user-rl9tb6cg5h 6 ай бұрын
Tunaweza semaa wewe nkama malaika hapa dunian kazi yako nkutoaa ukomashimonii kwenye frikaa finyuu i will never go down
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 6 ай бұрын
usikufuru
@bina2557
@bina2557 Ай бұрын
Kaka Joel Nanauka you're the best in my life you're my mentor
@therlmahweezle5529
@therlmahweezle5529 6 ай бұрын
Thanks for the powerful speech
@user-fv7mi7qx9j
@user-fv7mi7qx9j 7 ай бұрын
Asante sana mungu akubariki
@salhakyande3905
@salhakyande3905 2 ай бұрын
Joel! Nice having u
@allanjohn719
@allanjohn719 7 ай бұрын
JOEL MUNGU AKUINUE SANA NA MAFANIKIO YAKUANDAE KWA AJILI YA KUSIMAMA KWA UPANDE WA MUNGU UWABARIKI WENGINE SANA
@norberthamlowe2363
@norberthamlowe2363 5 ай бұрын
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ahsanteeee
@kelyjames5452
@kelyjames5452 7 ай бұрын
Kakaaa nimeenjoy sanaa somo lako kaka ,Mungu akubalik sana kaka Joel na akupe Afya Njema ❤❤❤❤
@mastaplan
@mastaplan 7 ай бұрын
Baada ya kutazama hili darasa kwa saa 1:03:06 nimekuja ku-comment Much respect bro Joel
@user-vp6dj9pm2x
@user-vp6dj9pm2x 6 ай бұрын
GENEOUS JOEL......Kuna Hekima ya Mungu kwenye ubongo wako....... Iyo awareness sio ya kawaida.....
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Ameen
@naylahobra
@naylahobra 3 ай бұрын
Unasaidia watu wengi kaka mungu akupe umri mrefu ❤nakupenda sana kaka angu unachanua sana akili yangu nilikua ni mtu wa kuogopa sana watu na kuyo kujiamin lakin kila siku nakua mpya kwa sababu yako ❤
@SamAbdalah
@SamAbdalah 3 ай бұрын
Ni nzuri sana a elimu hiyo ulionanayo, lakn usije ukaacha, kwa maana Mungu anataka uwafungue wau watu wake ambao wako huru tayari.
@Yohana-tt3sn
@Yohana-tt3sn 7 ай бұрын
Kaka mungu azidi kukuongezea neema Kwa huduma hii uzid kutupa maarifa
@AdelinaKakese-ym9px
@AdelinaKakese-ym9px 7 ай бұрын
Asante sana ninavuka sasa
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 7 ай бұрын
Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 7 ай бұрын
@@joelnanauka amina
@ThereziaDanielKajuna
@ThereziaDanielKajuna 7 ай бұрын
Mungu akutunze vyema mwalim wetu
@francishyera6867
@francishyera6867 6 ай бұрын
Asante sana Brother Nanauka
@siriyamafanikiokatikamaish1332
@siriyamafanikiokatikamaish1332 7 ай бұрын
TUko pamoja Kaka mungu akubariki kwa SoMo zuri
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
Ameen Ameen ahsante sana
@jesusismyeverything1630
@jesusismyeverything1630 7 ай бұрын
Brother thank you very much❤
@BeldinaAbuya-zr6qi
@BeldinaAbuya-zr6qi 6 ай бұрын
Asante umeinipa nguvu yaku songa mbele.
@michaelsafari
@michaelsafari 6 ай бұрын
Successful people always seek mentorship ,to me Mr Joel Nanauka you're my mentor
@NimaNima-dh6zz
@NimaNima-dh6zz 2 ай бұрын
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up
@Pendezabylydia
@Pendezabylydia 7 ай бұрын
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 7 ай бұрын
No giving up💪🏼
@faridaamagese2234
@faridaamagese2234 5 ай бұрын
As long as breath I'll never give up in my life.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 24 М.
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 45 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 161 М.
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Joel Nanauka
Рет қаралды 82 М.
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Dr Ipyana
Рет қаралды 48 М.
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 439 М.
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 119 М.
Watu Unaopaswa Kukutana Nao Kwenye Mwanzo Mpya (Day 2) - Pastor Joel Nanauka
1:38:36
Total Healing Ministries
Рет қаралды 21 М.
MBINU ZA KUOMBEA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege
1:23:21
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 141 М.
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 36 М.
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН