Every day i used to sharpen my life from your teachings,,,May our almighty God bless you.
@stellasoraya113820 күн бұрын
Nakuelewa sanaa Joel birthday mate wangu lazima nitembee kwenye vision zangu
@user-qv3eo5pb3g4 ай бұрын
Joel wewe umezid kunifanya niweze kupanga malengo na natarajia kuwa billionare inshaallah joel napenda kaz zako
@lampadshigonko30064 ай бұрын
🤣 🤣 🤣 billionaire?
@RUCKY_4 ай бұрын
Huamni au usicheke huwezi kujua kesho ya mtu watu wana jipanga wewe@@lampadshigonko3006
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen 🙏
@nasruddinali91973 ай бұрын
Insha Allah
@InviolataNduyeАй бұрын
Amen
@jumannemlimakala6442Ай бұрын
Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
@RosemaryMusa-eb2gp25 күн бұрын
Ahsante Sana, Mungu akubariki na azidi kukuinua viwango hadi viwango hakika umekuwa baraka.
@TumaSuda-oz5mn3 ай бұрын
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
@AbdallahFahm2 ай бұрын
Msshallah unaupiga mwingi brother
@NaomyPoul3 ай бұрын
Kaka Joel usiwe unajificha jamani tumezoea kukuona ukiwa unafundisha pia Asante kwa somo zuri🎉🎉
@ChantalNdayizeye-ol1re3 ай бұрын
Kwanza mimi,2026 lazima tukutane,,yan na changanyikiwa kabx,from burundi
@joelnanauka3 ай бұрын
Tuombe uzima, Mungu atatufanikisha🙏
@HalimaAmadiАй бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka ❤
@tabithampinga46064 ай бұрын
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
@joelnanauka3 ай бұрын
Big congratulations👏🏽👏🏽👏🏽 tunasubiria ushuhuda wako zaidi
@godfreygermanus4 ай бұрын
Wewe ndio maono yangu daaah
@vanessasalema60873 ай бұрын
Noted.
@user-nj5tz7bw9v3 ай бұрын
Naamini Sanaa katika masomo haya nauhakika baada ya mda flani sitakua hapa nilipo Mana matokeo nayaona Mungu Akubariki🙏
@eugeniayaheze9323 ай бұрын
Barikiwa Sana Mr.J.N
@Grace001874 ай бұрын
Nafurahi coz today nimeamka mapema kumsikiliza bro wangu, now I have seen my self at the top
@joelnanauka3 ай бұрын
Wow, hongera sanaa🙏
@user-mc7if8vy3j3 ай бұрын
Ahsante kaka ubarikiwe xana xana mungu azidi kukuinua.
@Abdulrahmanhassan184 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
@minaaminaa17814 ай бұрын
Akina sisi tuna enjoy zaidi tumuona hasa huwa nahisi nipo nae karibu akinipa advice
@user-ut7ul5bv6b3 ай бұрын
Usichokijua ni kwamba mziki wowote ambao hauna sound ama vocal ni special kaajili ya kutuliza akili yako,Ufahamu wako na usiwaze mambo mengine..
@Abdulrahmanhassan183 ай бұрын
@@user-ut7ul5bv6b unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
@MANDALAS_LIFE_COACHING3 ай бұрын
Thanks brother Joel Nanauka you were born to help many
@user-cd8rc5jp2i4 ай бұрын
Unajua mpaka unaboa Mungu akubariki❤❤❤🎉🎉
@alexandermajula72684 ай бұрын
Akika unanijenga sana brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@japhethcharles57913 ай бұрын
Mungu akubaliki sana Mr Joel ,
@MjataHashimu3 ай бұрын
Hongera xana braza
@rollahngimbwa69783 ай бұрын
Asante kaka joel, hkika nimejifunza kitu🙏🏽. Mwenyezi mng akutunze daima ufike mbali zaidi , akukirimie afya ilo imala sikhu zote. Balikiwa mnoo kaka Joel 🙏🏽🙏🏽
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@sebastianmbazi28114 ай бұрын
Amen amen 🙏🙏
@joelnanauka3 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
@AmisiHassaniTygo4 ай бұрын
See you at the rop, you changed people's lives bro, God bless you
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen Ameen
@jasminerashidi27824 ай бұрын
Asante Sana mtumishi barikiwa mno
@user-jb5wb1mf7e3 ай бұрын
Mungu awenawe
@user-sk8hw5bx1v2 ай бұрын
Umenijenga sana kaka
@user-sk8hw5bx1v2 ай бұрын
Joel Nanauka ,, nakupenda sana kaka for real me binafsi umenikuwa life coach wangu katika maisha yangu
@dullahtechtz34223 ай бұрын
Amin kaka
@kuruthumukondo71494 ай бұрын
Thank u my brother ❤❤
@JanvierVenas-ro9us4 ай бұрын
uzudi barikiwa Kaka
@user-xo2ct8ju1m3 ай бұрын
Elimu nzuri
@macksemuyango61084 ай бұрын
This Morning Today kuna kitu kizuri nimejifunza toka kwako MWL WANGU JOEL NANAUKA....
@joelnanauka3 ай бұрын
Nashukuru sana tuendelee kujifunza🙏
@johnjames-pw1dp3 ай бұрын
Gud message Bro 👍
@kainibachungege34304 ай бұрын
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
@joelnanauka3 ай бұрын
Nashukuru sana, na ahsante kwa dua njema🙏🙏
@goldiegranted55013 ай бұрын
MAONO🔥🔥🔥🔥
@pilichuli44493 ай бұрын
Barikiwa sana kaka joel
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen, ahsante sana🙏
@Estermvungi-cl2zcАй бұрын
Mimi naomba mungu anijalie ning'ae kwenye biashara yangu
@mosesjengela74253 ай бұрын
its my honour to meet you for more guidence❤❤
@joelnanauka3 ай бұрын
Mungu atatusaidia tutaonana🙏
@mohdsaid59883 ай бұрын
Haya madini ya siku yatolewa siku hizi karibuni so valuable
@joelnanauka3 ай бұрын
Ahsante sana, nisaidie kushare🙏
@Sanagu054 ай бұрын
Ahsant sana kaka Joel kwa upeo wako tunazidi kupata maarifa kupitia wewe, Mungu azidi kukubariki kwa yote
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen Ameen
@user-gb1hn5ml8y4 ай бұрын
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia
@joelnanauka3 ай бұрын
Hongera sana sanaa🙏
@user-yi6mp3mu7r4 ай бұрын
Ahsante kaka joel tunazidi kujinza🙏
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen Ameen
@irakazaeriekim47533 ай бұрын
Asante sana ❤
@ViviKitchen234 ай бұрын
See me at the top Ahsante kaka joel Mungu akulinde❤❤❤❤❤
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameeen🙏🙏🙏
@mwanaidihassan58682 ай бұрын
Somo Zuri sana bro, Bado napambana nipate clear vision
@williamcosmas19864 ай бұрын
Nanauka wewe ni mwalimu wangu
@joelnanauka3 ай бұрын
Nashukuru tuendelee kujifunza🙏
@irakazaeriekim47533 ай бұрын
Amen
@tukaesanatu27544 ай бұрын
Amen baba,mungu akubariki
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen ahsante sana sana
@bonifaceferdinand5663 ай бұрын
Bora ukose macho lakini uwe na maono.
@niriacatering1724 ай бұрын
Shukrani sana
@user-jx7nr7ll3x3 ай бұрын
❤❤❤
@amanilwila11853 ай бұрын
Vizuri brother nanauka.. But ningependa uwe unakuja na bonus ya online books ktk kila video ambazo tunaweza kuwa tunalipia.. GOD bless you
@officialColB-yx4kr3 ай бұрын
Amen amen❤ Joel nanauka
@RICHARDWAUSA-ep4xe3 ай бұрын
❤
@victor_silvanus103 ай бұрын
💪🏿
@anoldjose77934 ай бұрын
Bro Nanauka unajua adi unakela Any way mungu aendelee kukuweka ili uendelee kutuelimisha
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen Ahsante sana sana🙏🙏
@raymondsulemansuleman4853 ай бұрын
KAZIYAKO NI NJEMAMNO,, NASHAURI VITABU UVITOE VIIIIINGI VISAMBAZE KATIKA NCHIYETU MAARIFAHAYA YATAINUA WATANZANIA WEENGI
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen nitajitahidi kufanya hivyo🙏🙏
@user-lt3fx1tl4z4 ай бұрын
Thanks bro
@tabithampinga46064 ай бұрын
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
@joelnanauka3 ай бұрын
See You At The Top
@Calvin-xc2fs3 ай бұрын
🎉
@mombasatv19944 ай бұрын
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach
@user-xc4tm5ho4h4 ай бұрын
Asante
@joycemushi49163 ай бұрын
Broo nawitaji wa ebook of money formula nitapataje?❤