Ubarikiwe sana kaka Joel hata mimi kuna majira nilipita peke yangu lakini hayo mazingira yalinifundisha sana kujenga uwezo wa kujisimamia mpaka leo sjawahi kurudi nyuma
@flemingrwela1937 күн бұрын
Asante Sana nimejifunza kitu kikubwa Sana
@calvinsway53096 күн бұрын
Nimepata kitu hapa.
@SimonyMsigwa7 күн бұрын
Nashukulu kukujua umenibadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana mungu akupe maisha malefu
@PhinerGreyson4 күн бұрын
Asante sana kwa sababu wakat wote nikikusikiliza nahisigi kabsa wazungumza na mm unanijenga sana na nazidi kujifunza asante mollah akubariki na akuweke sana
@DanielSamwel-j5k6 күн бұрын
Asante sana bro joeli na mimi napitia wakati huu sasaivi Asante kwa kunifa maarifa Mungu akubariki
@rosemarysulle92884 күн бұрын
Kaka nimekuwa nikikufatilia sana,umenisaidia sana,hta sasa nimesimama na Mungu,wanadamu niwanafki tu yaan
@user-je2qo8cp9e7 күн бұрын
Mungu akubariki sana kaka hakika msimamiz wa maisha yetu ni sisi wenyewe.
@NeemaMrema-vq7kb7 күн бұрын
Mwenye Mungu akubariki sana Mr.Joel kwakwel nimejifunza kitu kikubwa kupitia story yako naami ntaafanikiwa kuishinda hofu ndani yang🙏
@imanimwashiuya2236 күн бұрын
asante sana kaka joer na mungu akupemaisha marefu
@officialbachako5 күн бұрын
Ni kweri kabisa ni kitu chenye hata mimi kimenitokia kipindi najifunza pikipiki alikuwa nani fundisho brother nikiwa nae hata ikizima ananielekeza lkn siku nilipo endesha pekee Ang ndo siku niliyo jua kuendesha vzl maana niligundua niko pekee Ang na niko mbali inabidi nirudi nyumbani asante
@Alex-wq4pg5 күн бұрын
Nashukuru Sana kwa mafunzo...lakini kunawakati mtu nakosa kabisa sio ati nikupenda ni kukosa nafasi kabisa kunawakati na kataa tamaa kabisa
@Omymadam62663 күн бұрын
Nimejifunza kujitegemae mm mwenyewe na kuacha kutegemea watu.
@josephtesha8727 күн бұрын
Kaka nashkuru asanteee nimejifunzaa🙏
@ShadrackMabera4 күн бұрын
Ubarikiwe kaka Joel
@denisdawson62316 күн бұрын
Uko sahihi Joel
@DorethMselem4 күн бұрын
Asantee sana imenisaidia
@EdwinaJeremia-do1bs7 күн бұрын
Ubarikiwe sana🙏🙏
@BiregeyaSabune7 күн бұрын
asante sana Joel mimi ni mufwasi wako wakilasiku na natamani sana venye naeza pata vitabu vyako
@joelnanauka7 күн бұрын
Nashukuru sana, karibu sana 0762 31 21 71
@MeshakiKisalu-dt8vo7 күн бұрын
Mimi naomba ushauli nashindwa kujiamini nifanyeje
@veronicamwautenga73947 күн бұрын
Asante sana
@WINNERBOYKE7 күн бұрын
Mwalimu ❤❤
@vanessasalema60873 күн бұрын
Amen. Be blessed
@goldiegranted55012 күн бұрын
Funzo *** ona kama hamna mtu WA kukusaidia,hakika utaweka JUHUDI kwenye jambo husika ***Usiwachukie watu ambao wameshindwa kukusaidia ,wakati Wanao uwezo wa kufanya hivyo ___msaada NI hiari ✊
@user-vx5rb6rg1v2 күн бұрын
Be blessed bro🎉
@monicakauky89147 күн бұрын
Nimejifunza kutokutegemea Sana watu,mambo mengine natakiwa niyafanye mwenyewe.
@brackskinyozi32807 күн бұрын
Some zuri Sana coach Joel nimejifunza uko Sahihi barikiwa sana
@happinessosango83787 күн бұрын
Umeongea ukweli kabisa .Asante kwa kunifungua nimepata kitu.
@user-th7lj2nj4b7 күн бұрын
Najiuliza kwanini nilicheleawa kukujua your the best 🙏
@humphureyurasa84247 күн бұрын
Joel ur the great person on the earth, may God help u to stay strong forever.
@beatricemwita43807 күн бұрын
Kutokutegemea watu,nilimaliza shule nikiwa Sina ramani ili nimepambana na ninamshukuru Mungu kwa hapa nilipofika japo safari Bado ni ndefu sana See me at the Top
@NickGamba-ft8tl7 күн бұрын
ASANTE MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏
@eliasludamila46007 күн бұрын
Nakubal Mwamba,,upo vzr sana 🙏
@simplismrosso50847 күн бұрын
Asanteh sana kaka Joel nmejifunza kitu
@lodrickolaph66407 күн бұрын
True story about me, nimejifunza kitu
@eleneosindano56337 күн бұрын
Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa
@user-gt2dg5gy2h7 күн бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sasa😊😊nashukuru kwa hili naamin mbaka kufika hapa kwa sababu niliowategemea wanisaidie wakaniacha 😊hii ndio iliyonivusha Sitalaum kwa yeyote atakae Acha kunisupport 🙏maisha yangu yapo mikononi mwangu
@rosemarysulle92884 күн бұрын
Kiukweli haya maisha simama na.Mungu,wanadamu ni hatari bora.mnyama
@estherkeba96216 күн бұрын
🙏
@mahambagislain96187 күн бұрын
Asante Kaka 🎉🎉🎉🇨🇩
@GraceSteven-qq5hn6 күн бұрын
Asant
@ezekielanthony2967 күн бұрын
Exactly 🧭
@AmericoSimao-gq8cn7 күн бұрын
Napokea
@AbdulkadirHaji-dd4uu7 күн бұрын
Nimejifunza lakini sijaridhika na nilichojifunza. HIVI IKAWAJE BAADA YA KUJUA KUENDESHA BAISKELI? KWA RAFIKI ZAKO WALIOKUWA WANAKUCHEKA?