LIFE WISDOM : JIFUNZE HILI ILI UPATE MSAADA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 7,029

Joel Nanauka

Joel Nanauka

9 күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 50
@bina2557
@bina2557 7 күн бұрын
Ubarikiwe sana kaka Joel hata mimi kuna majira nilipita peke yangu lakini hayo mazingira yalinifundisha sana kujenga uwezo wa kujisimamia mpaka leo sjawahi kurudi nyuma
@flemingrwela193
@flemingrwela193 7 күн бұрын
Asante Sana nimejifunza kitu kikubwa Sana
@calvinsway5309
@calvinsway5309 6 күн бұрын
Nimepata kitu hapa.
@SimonyMsigwa
@SimonyMsigwa 7 күн бұрын
Nashukulu kukujua umenibadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana mungu akupe maisha malefu
@PhinerGreyson
@PhinerGreyson 4 күн бұрын
Asante sana kwa sababu wakat wote nikikusikiliza nahisigi kabsa wazungumza na mm unanijenga sana na nazidi kujifunza asante mollah akubariki na akuweke sana
@DanielSamwel-j5k
@DanielSamwel-j5k 6 күн бұрын
Asante sana bro joeli na mimi napitia wakati huu sasaivi Asante kwa kunifa maarifa Mungu akubariki
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 4 күн бұрын
Kaka nimekuwa nikikufatilia sana,umenisaidia sana,hta sasa nimesimama na Mungu,wanadamu niwanafki tu yaan
@user-je2qo8cp9e
@user-je2qo8cp9e 7 күн бұрын
Mungu akubariki sana kaka hakika msimamiz wa maisha yetu ni sisi wenyewe.
@NeemaMrema-vq7kb
@NeemaMrema-vq7kb 7 күн бұрын
Mwenye Mungu akubariki sana Mr.Joel kwakwel nimejifunza kitu kikubwa kupitia story yako naami ntaafanikiwa kuishinda hofu ndani yang🙏
@imanimwashiuya223
@imanimwashiuya223 6 күн бұрын
asante sana kaka joer na mungu akupemaisha marefu
@officialbachako
@officialbachako 5 күн бұрын
Ni kweri kabisa ni kitu chenye hata mimi kimenitokia kipindi najifunza pikipiki alikuwa nani fundisho brother nikiwa nae hata ikizima ananielekeza lkn siku nilipo endesha pekee Ang ndo siku niliyo jua kuendesha vzl maana niligundua niko pekee Ang na niko mbali inabidi nirudi nyumbani asante
@Alex-wq4pg
@Alex-wq4pg 5 күн бұрын
Nashukuru Sana kwa mafunzo...lakini kunawakati mtu nakosa kabisa sio ati nikupenda ni kukosa nafasi kabisa kunawakati na kataa tamaa kabisa
@Omymadam6266
@Omymadam6266 3 күн бұрын
Nimejifunza kujitegemae mm mwenyewe na kuacha kutegemea watu.
@josephtesha872
@josephtesha872 7 күн бұрын
Kaka nashkuru asanteee nimejifunzaa🙏
@ShadrackMabera
@ShadrackMabera 4 күн бұрын
Ubarikiwe kaka Joel
@denisdawson6231
@denisdawson6231 6 күн бұрын
Uko sahihi Joel
@DorethMselem
@DorethMselem 4 күн бұрын
Asantee sana imenisaidia
@EdwinaJeremia-do1bs
@EdwinaJeremia-do1bs 7 күн бұрын
Ubarikiwe sana🙏🙏
@BiregeyaSabune
@BiregeyaSabune 7 күн бұрын
asante sana Joel mimi ni mufwasi wako wakilasiku na natamani sana venye naeza pata vitabu vyako
@joelnanauka
@joelnanauka 7 күн бұрын
Nashukuru sana, karibu sana 0762 31 21 71
@MeshakiKisalu-dt8vo
@MeshakiKisalu-dt8vo 7 күн бұрын
Mimi naomba ushauli nashindwa kujiamini nifanyeje
@veronicamwautenga7394
@veronicamwautenga7394 7 күн бұрын
Asante sana
@WINNERBOYKE
@WINNERBOYKE 7 күн бұрын
Mwalimu ❤❤
@vanessasalema6087
@vanessasalema6087 3 күн бұрын
Amen. Be blessed
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 2 күн бұрын
Funzo *** ona kama hamna mtu WA kukusaidia,hakika utaweka JUHUDI kwenye jambo husika ***Usiwachukie watu ambao wameshindwa kukusaidia ,wakati Wanao uwezo wa kufanya hivyo ___msaada NI hiari ✊
@user-vx5rb6rg1v
@user-vx5rb6rg1v 2 күн бұрын
Be blessed bro🎉
@monicakauky8914
@monicakauky8914 7 күн бұрын
Nimejifunza kutokutegemea Sana watu,mambo mengine natakiwa niyafanye mwenyewe.
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 7 күн бұрын
Some zuri Sana coach Joel nimejifunza uko Sahihi barikiwa sana
@happinessosango8378
@happinessosango8378 7 күн бұрын
Umeongea ukweli kabisa .Asante kwa kunifungua nimepata kitu.
@user-th7lj2nj4b
@user-th7lj2nj4b 7 күн бұрын
Najiuliza kwanini nilicheleawa kukujua your the best 🙏
@humphureyurasa8424
@humphureyurasa8424 7 күн бұрын
Joel ur the great person on the earth, may God help u to stay strong forever.
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 7 күн бұрын
Kutokutegemea watu,nilimaliza shule nikiwa Sina ramani ili nimepambana na ninamshukuru Mungu kwa hapa nilipofika japo safari Bado ni ndefu sana See me at the Top
@NickGamba-ft8tl
@NickGamba-ft8tl 7 күн бұрын
ASANTE MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏
@eliasludamila4600
@eliasludamila4600 7 күн бұрын
Nakubal Mwamba,,upo vzr sana 🙏
@simplismrosso5084
@simplismrosso5084 7 күн бұрын
Asanteh sana kaka Joel nmejifunza kitu
@lodrickolaph6640
@lodrickolaph6640 7 күн бұрын
True story about me, nimejifunza kitu
@eleneosindano5633
@eleneosindano5633 7 күн бұрын
Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa
@user-gt2dg5gy2h
@user-gt2dg5gy2h 7 күн бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sasa😊😊nashukuru kwa hili naamin mbaka kufika hapa kwa sababu niliowategemea wanisaidie wakaniacha 😊hii ndio iliyonivusha Sitalaum kwa yeyote atakae Acha kunisupport 🙏maisha yangu yapo mikononi mwangu
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 4 күн бұрын
Kiukweli haya maisha simama na.Mungu,wanadamu ni hatari bora.mnyama
@estherkeba9621
@estherkeba9621 6 күн бұрын
🙏
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 7 күн бұрын
Asante Kaka 🎉🎉🎉🇨🇩
@GraceSteven-qq5hn
@GraceSteven-qq5hn 6 күн бұрын
Asant
@ezekielanthony296
@ezekielanthony296 7 күн бұрын
Exactly 🧭
@AmericoSimao-gq8cn
@AmericoSimao-gq8cn 7 күн бұрын
Napokea
@AbdulkadirHaji-dd4uu
@AbdulkadirHaji-dd4uu 7 күн бұрын
Nimejifunza lakini sijaridhika na nilichojifunza. HIVI IKAWAJE BAADA YA KUJUA KUENDESHA BAISKELI? KWA RAFIKI ZAKO WALIOKUWA WANAKUCHEKA?
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 4 күн бұрын
😅😅😅😅
@veronicamwautenga7394
@veronicamwautenga7394 7 күн бұрын
Asante sana
@eleneosindano5633
@eleneosindano5633 7 күн бұрын
Asante sana kakaa nimejifunza kitu hapaa
@adrianosimalimoto6485
@adrianosimalimoto6485 7 күн бұрын
Asantee Sanaa kaka
LIFE WISDOM : NUSU YA MWAKA ILIYOBAKIA FANYA HAYA - JOEL NANAUKA
13:57
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 50 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 122 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
Watu Unaopaswa Kukutana Nao Kwenye Mwanzo Mpya (Day 2) - Pastor Joel Nanauka
1:38:36
Total Healing Ministries
Рет қаралды 19 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
LIFE WISDOM : AINA NNE ZA WATU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
12:15
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Dr Ipyana
Рет қаралды 46 М.