Siku yakwanza kukusikiliza ndio sikuniliyo badilisha maisha yangu japo bado nipo kwenyekujitafuta ila umenibadilisha xan adi mwanangu nimempa jina lako
@joelnanauka11 ай бұрын
Ameen Ameen, nashukuru kusikia hivyo
@jovinbyserjb353211 ай бұрын
Ukiwa bado unijitafuta bado mindset ina wasi wasi
@bma25511 ай бұрын
even me my son anaitwa joel na nilimpa because of him! Amenifanya niwe Best Father to my family... MUNGU AMUWEKE OUR MENTOR
@JosephKomba-zv5ed11 ай бұрын
@@jovinbyserjb3532 okay kiongozi apo unanisaidiaje mdau
@jonfredkewe345110 ай бұрын
Hata Mimi ni baba Joe kwasababu ya huyu mwamba
@NasserShayo-tn6vo11 ай бұрын
Naumia sanaa kuona Channel kama hizi hazina wafuatiaji wengi kama kwenye Channels ambazo hazina maana yeyote katika maisha ya mtu😢😢😢😢😢
@user-sh8xp5dn3w11 ай бұрын
Kaka Joel mimi naishi Dar ....ninatamani sana kukuona au kupata maelekezo fulani kutoka kwako ...naomba msaada kaka nawezaje kukuona hata kwa dakika 10 tu
@user-gv1si9fq9v11 ай бұрын
Mimi ninaamini wew unatumika kama kinywa Cha Mungu ktk kututoa ukungu ktk maisha mom binafsi najifuilnza Sana kupitia wew.. Ila tatizo umezidi kuchanganya kingereza kwenye mafundisho yako wakati wengi tunaojifunza kupitia wew hatujui kingereza tumia kiswahili tukuelewe viziri ndugu
@labanchayonga810311 ай бұрын
Elim yako na uelewa wako katika kufafanua mambo mbali mbali umenisaidia sana umekuwa ukinipa mwanga hivyo kuwa na mtu kama wewe ni baraka kwenye maisha yetu wale ambao tunakufuatilia…! 🙏ahsante sana kwa kutusaidia kwa jins ambavyo mungu kakupatia maarifa hayo..🫡nanauka wewe ni mtu bora na mwenye uwezo mkubwa sana katika kufikisha ujumbe sahahi… safi sana na nashukuru sana
@joelnanauka11 ай бұрын
Ameen, Ahsante sana kwa maneno haya mazito 🙏🏼🙏🏼
@abrahammwambije276911 ай бұрын
Haya ni madini ya dhahabu Barikiwa sana Joel Sasa nao ngea na wa toto wangu maneno ya kuwa jenga
@humbemusa348011 ай бұрын
Daaah sijakosea kutumia muda wangu asubuhi hii kumsikiliza brother Joel Mungu akubariki sana
@joelnanauka11 ай бұрын
Nashukuru sana sanaa
@mirajikombo541311 ай бұрын
You are My Mentor ....video zako ni ushaur tosha kwangu katika kila hatua ya Maisha yangu be blessed forever My Mentor 🎉🎉✍️🙏🙏🙏
@brayctech11 ай бұрын
Mimi ni mtu ambae napenda sana kujifunza na ukwel ni kwamba Joel Nanauka ni the best speaker na ni mtu anaeonekana kuwa mtu bora ni kwa sabab ni mtu asiyechoka kujifunza zaidi kila siku na hii ndio real meaning ya neno msomi . Be blessed brother Joel Nanauka
@user-kb1xk5cs2z10 ай бұрын
Nayapenda sana mafundisho yako MUNGU akubariki sana uendelee kutufundisha MUNGU akupe maisha marefu nafurahia uwepo wako duniani
@happynescostat742011 ай бұрын
Ongera Joel Mimi nikiweka clip zako watot wangu nawasogeza wasikilize iwasaidie angalau badae nikiwa nipo au sipo,
@musatalange458711 ай бұрын
Naweza nikasema wewe Ni zaidi ya life coach mana kunavitu vingi Sana huwa najifunza kwako navinanipa kuendelea sana
@skataezer748711 ай бұрын
We love you brother
@RegnethSangwa-jv6gr11 ай бұрын
Wewe ni genius, nataman niwe kama wewe jmn
@gayatiryoba447811 ай бұрын
Mungu akutunze sana
@ElineAngel11 ай бұрын
Siku yangu imekuwa njema sana , mungu akubariki kaka Joel.. nakupenda adi mungu anajua... Unanisaidia sana,.. ila Kuna tabia ninayo ambayo siiipenda ninataka kuacha nifanye Nini jamni😢
@joelnanauka11 ай бұрын
Asante sana Eline, nashukuru. Kuna kitabu kinaitwa Sayansi ya Tabia nimeeleza kwa mapana, Jinsi ya kuacha tabia usiyoipenda. Kitafute bookshop kinapatikana, mawasiliano 0762 31 2171
@rabanphotostudionyakanazi_411511 ай бұрын
SoMo zuri,Ila kinanda kipunguzwe😊
@sebastianmwita614810 ай бұрын
Kama ni kiingereza ongea kingereza na kama ni kiswahili ongea kiswahili sio kuchanganya rugha kuna wengine unatuchanganya.
@bernadetachari764811 ай бұрын
Asante sana mwalimu
@midazanzibar128311 ай бұрын
🎉🎉Kaka ubarikiwe sana🎉🎉❤
@joelnanauka11 ай бұрын
Amen Amen Ameen
@stanleyandrea515311 ай бұрын
Mungu akupe nguvu sana... Unatupa madini amazing
@joelnanauka11 ай бұрын
Ameen Ameen
@nelsonpatricioestanislaus714411 ай бұрын
Kazi yako ni nzuri sana Mungo akubariki.
@joelnanauka11 ай бұрын
Ameen Ameen
@EmilyMwalongo-sg4ruАй бұрын
Bro joel nanauka umechangiya kwa 100% kubadili maisha na fomla nzima ya maisha yangu na shukuru sana kwa kazi nzuri unayo ifanya ya kuandaa hizi content na vitabu vyako vyenye Quality ya juu vinavyo nifanya niwe imara kwenye hatua za kukamilisha ndoto yangu so thank you bro. (If this knowledge I have, if I manage to penetrate and reach even a quarter of Africans, I am sure we will become strong nations or Africa very strong economically. See you at the top my brother.
@elishamwakihaba94211 ай бұрын
Daah, Mungu akubariki sana mkuu kwa mafundisho haya mazuri sana ❤
@user-sh8xp5dn3w11 ай бұрын
Kaka naomba kukuona niko dar
@therepublicofgreatthinkers11 ай бұрын
Wa kwanza kukomment leo😂😂
@joelnanauka11 ай бұрын
Hongera sana sana
@agnesspaul18668 ай бұрын
❤❤❤ ubarikiwe😊
@Meruhoodfilms3 ай бұрын
Happy to meet you today joel,from morning up to 1 pm I have been going through your videos and in need you have bring big positive impact in my life
@johnmaduhu943510 ай бұрын
Asante sana kaka.Mungu akuinue
@asiliyetuafrika954211 ай бұрын
Allah akulipe kheri
@mohammedrashid290611 ай бұрын
Ahsante
@ElizabethLizzysingano11 ай бұрын
All is mind,,,,,,, What you think you become What you feel you attract What you imagine you create Nashukuru mungu nimejua ukweli wa maisha bado mdogo Wengi wetu tunaishi maisha ambayo hatuyapendi bila kutambua sisi ndio wahusika wala sio mungu😂
@joelnanauka11 ай бұрын
Very Trueee
@songolomeshake620611 ай бұрын
Ubarikiwe kaka joele
@zainilkanji914111 ай бұрын
Ahsante brother
@imanihaitv668211 ай бұрын
Hongera sana kaka yangu, Mungu azidi kukuongoza. Fr Joseph Nkusi
@joelnanauka11 ай бұрын
Nashukuru sana sana
@erickukula533111 ай бұрын
nanauka ni mtu makini sana
@mikenimubona12711 ай бұрын
That's good mzee Nanauka i like what you doing ❤
@edsonedmond691911 ай бұрын
Asante sana kaka joel kwa mafundisho , mimi kuna kitu ambacho kinanisumbuaga nikiamua kukiamini sio raisi mimi kubadilika Sasa inakuwa shida kwa watu wanao nizunguuka wanakuwa wanani shambulia kwamba nina jifanyaga nina imani sana ,ni fanyeje kwa kuwarizisha watu ao wanao ninzunguuka ao marafiki zangu na ndugu zangu
@edsonedmond691911 ай бұрын
Napia naitaji sana kupata vitabu vya aina tofauti tofauti kwa kupata elimu zaidi
@edsonedmond691911 ай бұрын
HILA NATOKEA DALLAS TEXAS MAREKANI
@user-rm7lc4kc9k11 ай бұрын
Wewe ni mwalimu Bora nataman niwe Kama wewe brother
@HaniyaKisingo11 ай бұрын
Joel Nanauka mungu wa mbinguni akulinde sana
@joelnanauka11 ай бұрын
Ameen Ameen, endeleea kuniombea
@hadidjaissa915411 ай бұрын
🙏🙏🙏kwa somo nzr limenisaidi sn
@joelnanauka11 ай бұрын
Safi sanaa
@mwajabuhoza991911 ай бұрын
You are my Mentor and My role model🙏🙏.. Nasaidika sana mafundisho yako. Yesu akutunze
@joelnanauka11 ай бұрын
Ameen Ameen
@fatmasoud11 ай бұрын
Mimi ni mschana wa miaka 22 nilipat matatzo sana katika masomo yangu hadi nikakata tamaa na kuamua kukaa nyumbani kwani nilikuwa nafeli sana…baada ya hapo nikaja kufuatilia masomo yako na nikasoma vitabu vinne miongoni mwa hvo ni #timiza malengo yako# ni kapata nguvu ya kurudi shule nikarisit mtihan baada ya kufeli mara 2 nimefaulu na nimepta division 2..na nimechaguliwa kujiunga na chuo coz ya uphamasia…Asante sana kaka Joel
@WisdomFor11 ай бұрын
Hongera Sana Dada. Binafsi Nayafurahia Sana Mafanikio Yako.
@happynescostat742011 ай бұрын
Mungu akusaidie
@fatmasoud11 ай бұрын
@@WisdomForasante sana
@fatmasoud11 ай бұрын
@@happynescostat7420amyn
@bernadetachari764811 ай бұрын
Hapa nisomo nzuri sana mienzi mitatu utakuwa ushashikanisha vizuri saa
@kevinalfredythebrainyprobl892511 ай бұрын
Mbegu unazopandaa kwa vichwa vyetu ni ya MILELE Kaka excellent good speech
@joelnanauka11 ай бұрын
Ahsante sanaa
@richardvalson431311 ай бұрын
✊✊✊💯Nanauka
@NasserShayo-tn6vo11 ай бұрын
Shukrani sanaaa umebadilisha maisha yangu kiasi kiasi kikubwa sanaaaa❤❤❤❤
@neemasempombe185310 ай бұрын
Ubarikiwe This is real Let us impact our kids Positive things ata watavyoenda uko nje ile Positive mind iko strong Realy good and bad this mostly start in the Family Family its big industry 👏👏👏 Mungu azid kukuinua
@daprince754511 ай бұрын
Bro congratulations 🎉🎉🎉 be blessed 🙏🙏🙏
@Yonzomc0111 ай бұрын
Hasante kwa somo zuri nimejifunza sana nanitatendea kazi
@hassanovajunior697210 ай бұрын
I've added something in my mind be blessed myself brother Joel 🙏
@a.p.monlinetv356111 ай бұрын
SoMo zuri hakka ✨💪💪
@harrislaston371010 ай бұрын
God bless you brother for a good work to us
@paulpeter468411 ай бұрын
Gratitude for your good lesson I learned how Icwn create My mind set thanks Brother J.. Nanaula since you provides good fertilizer to Us
@frankub810711 ай бұрын
❤️ from MALAWI 🇲🇼 home 🇧🇮 Burundi
@davidmkonyi747410 ай бұрын
Be blessed brother ur genius🙌
@user-ff6jb5mf5z11 ай бұрын
I appreciate, I should build my mind set
@eliastanda982511 ай бұрын
Joel na mm reply nakubali elimu yako na inaaminika
@emmanuelpeter902211 ай бұрын
Samhan kidg kiongozi jaribu kufafanua& kuelezea kiswahili zaidi tupate kuelewa maan wengn elimu zetu ni za chini na tunaitaji mafundisho yako zaidi Asante
@yollamniko509011 ай бұрын
Napenda Sana kukufatilia Kaka nanauka,,lakini jitahidi kua unatumia kiswahili zaidi,wengi tutakuelewa zaidi natutafaidika namengi,
@rizikylaizer160211 ай бұрын
Je nikitaka kuacha tabia ambayo ninayo na siipendi hiyo tabia unafanyaje
@bensontemu935611 ай бұрын
Ahsante, Barikiwa
@eliasmugume25411 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa
@user-je2qo8cp9e10 ай бұрын
Maneno yote yametimia tubarikiwe sote wenye kujifunza na mafunzo ya kaka joel
@gaspalcharles486511 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@salmazwallo592011 ай бұрын
Asateee bro❤❤❤❤
@BARAKAMGINA11 ай бұрын
THANKS ALOT BRO JOEL
@YoungsHilary-xd2ml11 ай бұрын
Asantee sana,,,
@MwanaishaHemed-xi6rj11 ай бұрын
Asante sana
@Lily-xw6hg11 ай бұрын
Thankx
@cymornymurheegue516511 ай бұрын
God bless you,, kaka your words are so wise
@joelnanauka11 ай бұрын
Ahsante sana sana
@odhiaodhia989811 ай бұрын
Acha tu nikupe maua yako, sauti inasikika vizuri sana
@joelnanauka11 ай бұрын
Thank you so Much
@bushiryulaya184311 ай бұрын
ubarikiwe
@user-yq1eo9od4t11 ай бұрын
Watching from Namibia this time, congulatulations for your lesson me i use to call you the Dr of mind set formation!!
@joelnanauka11 ай бұрын
Thank you so much kwa kuendelea kufuatilia
@zabronmarco143011 ай бұрын
God bless you
@Udindigwa11 ай бұрын
Amina
@harunaathumani167211 ай бұрын
Daaah mlemlee
@jkayombo_jr85811 ай бұрын
Asante sana kaka Joel
@joelnanauka11 ай бұрын
Karibu sana sana
@husseinmwakasala756511 ай бұрын
thanks Joel
@sefumwelasefumwelaАй бұрын
Emu elewen vitu vingine aviongeleki kwa lukha moj lazima uchanganye so kam uwelew lakn kam kinaongelewa kitu sahihi utapat isia tuu
@aderiderkihupi724011 ай бұрын
ASANTE SANA
@niriacatering17211 ай бұрын
Thank you so much
@ridhonemkaikuta862811 ай бұрын
Perfect speech
@MeripaMusa3 ай бұрын
Be blessed mr
@MeripaMusa3 ай бұрын
🎉🎉
@bestroyaltv10 ай бұрын
Very powerful
@bushiryj853711 ай бұрын
Genius
@eliwitnessjoseph435011 ай бұрын
I like it
@gilionintellectual931211 ай бұрын
This is it
@robbyman621311 ай бұрын
Amen
@ngubwene11 ай бұрын
Thank you
@joelnanauka11 ай бұрын
Karibj
@rajeshmajesh11 ай бұрын
True
@sekeyifabian951710 ай бұрын
🙏
@daudkanyelele486211 ай бұрын
Kaka Joel wewe umekuwa mjibu maswali yangu .. Last month.. Nilikuwa nawaza mawazo negative juu ya biashara yangu Kuhsu maeneo nilipo. Lakini nmepata wazo hapa..nifikili namna ya kufanikiwa hapa
@joelnanauka11 ай бұрын
Hongera sana, namshukuru Mungu.
@daudkanyelele486211 ай бұрын
Naomba soft copy za vitabu vyako...core genius and Timiza malengo..no ya whatsapp..naktaftaga lakini sms hujibu najuwa unamambo meng
@michaelramadhan94669 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@faudhiasalum727911 ай бұрын
❤❤
@kaittheleast11 ай бұрын
Statement ya mwalimu wa maths 😢😢
@prof.golden542411 ай бұрын
You are a treasure of the nation
@joelnanauka11 ай бұрын
Ameen, remember me in your prayers
@henryenock161711 ай бұрын
great but use simple language ili kuwafikia wengi
@user-sh8xp5dn3w11 ай бұрын
Natamani niongee na wewe japo kwa cm tu hata dakika chache ....
@StanslausKitandala-el4np11 ай бұрын
Nahitaji kupata vitabu nimejaribu kuwatafuta nimeshindwa
@joelnanauka11 ай бұрын
Namba za bookshop ni 0762 31 21 71 (Destiny Bookstore) na 0745 252670(Timiza Malengo Bookshop), karibu sana
@user-sh8xp5dn3w11 ай бұрын
Kaka naomba nikuone Niko dar naomba sana kukuona hata dakika 10 tu nina jambo muhimu la kushirikisha
@StanslausKitandala-el4np11 ай бұрын
@@user-sh8xp5dn3w Mimi Niko mpanda katavi ndugu
@gloriakawago622311 ай бұрын
Jaman mm nilisha ambiwa na baba wa watoto wangu kuwa siwezi biashara, na maneno ya kunivunja moyo, lkn nilipo amua kuachana nae nimefungua biashara, nasimamia mwenyewe na nimeweza kufanya mambo mengi kweli utakacho semeshwa mara kwa mara ubongo unaamin hivyo lkn kumbe sivyo see you at the top.