Nitaambatana na wewe mpaka nizifikie ndoto zangu, nivile watu hawafahamu lakini ukweli ni kuwa Mungu anakutumia kwa viwango vya juu sana
@lucialaurent-nq2zf Жыл бұрын
Yeap nimependa Imani yako kwa Jinsi hyo ni rahis San kufanikiwa haijalishi wat watakuangakiaje
@barakamafie2205 Жыл бұрын
Nikweli kabisa nambatana nawe paka niyafikie malengo yangu
@ADONIASBABU11 ай бұрын
Haisee kaka nimehangaika miaka yote hii kumbe ukweli ndo huu tangu leo natoka gizani coz darasa
@vickysteven11726 ай бұрын
Hakika nilimfatilia huyu nilifanya maendeleo kwa haraka saana kwa kufuata somo la nidhamu ya fedha
@abdlhaleem83803 жыл бұрын
NGULIIIIIIIIIIIIIIIIIIII fanya ushushe mzigo... 🤝🏻 🤝🏻🤝🏻 from zanzibar... 🔥
@asyayahya74902 жыл бұрын
Kwa kweli aje asaaaaa nmekua nkimfatilia sana na ananbsdlisha haswa… especilly tbia yngu ya kughairisha kupnga malengo now now i need the books
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Sauti yako. Ipo Ok
@mgallason...56863 жыл бұрын
Umenikomboa ndugu, ikiwemo kumfahamu zaidi Mungu, kaa ukibarikiwa zaidi Joel. I'm definitely #getting_the_right_stuffs from you.
@nulujackson443 жыл бұрын
Sijawahi kujutia MBS zangu kila nitazamapo videos zako your very important person to me
@bina25579 сағат бұрын
Kaka Joel Nanauka asante sana kwa hekima hizi I'm telling you since I started following you I'm not the same again My God bless i wish one day ntakuona face to face
@richardmartin6429 Жыл бұрын
Nimefurahi kwa Ujumbe wako, nikweli kabisa upekee na uthamani wa Mtu uko kwenye potential yake. Ahsante
@rollahngimbwa69789 ай бұрын
Be blessed Kaka Joel🙏🙏💯 Kila siku naongeza fikra mpya 🙏
@user-xs5xd7jc2u8 ай бұрын
BARIKIWA SANA MTUMISHI, MUNGU AZIDI KUKULINDA ILI TUPOKEE MAFUNDISHO YKO ZAIDI NA TUWEZE KUZIFIKIA NDOTO ZETU🎉🎉🎉 BARIKIWA SANA PAMOJA NA FAMILIA YAKO
@happinessrobert2921 Жыл бұрын
AMEN, we shall meet in the top one day. GOD BLESS YOU.
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Sikumoja Nita ugusa mkono wako nibarikiwe zaidi kwa Imani yangu umebadilisha maisha yangu sana na mitazamo.
@user-zv8qe2ez8o7 ай бұрын
Asante MUNGU kwa kukuleta Joel one day I will be more than you❤❤
@vickysteven11726 ай бұрын
Nice
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi Mungu akupe maono zaid na zaid
@joniajohn47163 жыл бұрын
Mungu akubariki sana.this is Gold
@meshackmwakajwanga83492 жыл бұрын
Mwenyez mungu akubarki kwa kile ulichonacho n kuweza kukitoa kwetu ss,tutegemee mabadiliko ndan y mtu mmoja mmoja ,mafundisho yko nichakula chakiroho n kimwili pia 🚶🚶🚶🚶
@MariaMsovela8 күн бұрын
Tumia kaswahili kama unamfundisha Kila mtu lakini unamfundisha mmoja tumia kingereza
@theresiachigali94822 жыл бұрын
Mungu akubariki sana endelea kubadirisha jamii na dunia zima wewe umekua msaada mkubwa sana kwangu
@hiland255fundi53 жыл бұрын
Elimu yako imekuwa msaada sana kwa jamii,amini kwamba mungu atakujaza baraka kwa kuikomboa jamii kwa taranta mungu alitoiweka kwako
@zebedayosanga3000 Жыл бұрын
❤
@evastesheni80243 жыл бұрын
asante sana kwa presentation nzuri yenye kutia moyo wa kushikamana na yale niliyoanzisha. Kanuni ulizozisema nazifanyia kazi. Mimi ni mjasiriamali. Nipo pamoja nawe.
@gaitandaudy8561 Жыл бұрын
GOD BLESS YOU BROTHER Nimekuelewa sana kaka na nilikuwa naomba kuuliza nawezaje kukipata kitabu chako..
@ktdonat.onpassive4 ай бұрын
Hii video yako nimeipenda na kila kitu ulichozungumzia ni kweli
@blandinakiyenze64023 жыл бұрын
Asnte sana kwa elimu nzuri kaka, God bless you
@misahalinga80782 жыл бұрын
Eeeh hii hatar imeingia kweri kwer nishida aise, barikiwa bro
@iconboy87333 жыл бұрын
This is Powerful Mr. Joel....video zako nyingi za Semina huwa zina madini mengi sana brow...Ubarikiwe mno.....Naomba uwe unazidi kuzirecord vizuri na kuzi appload videos hizi za semina zako ili tujifunze mambo mengi zaidi...Shukrani sana
@shilingi4600 Жыл бұрын
Joel wewe mtu ambaye umepewa uwezo wa tofauiti sana na ,wenyezi mungu amekupa ,jambo la mhimu sana nililo liona ni Ile Hali ya kujitambua binafsi ndo inakufanya uwe tofaufi zaidi na watu wengine pia unatafta maarifa zaidi ya kutegemea maarifa ambayo ulishakwisha kuyapata ,na Hilo ndo jambo la mhimu sana,
@jacquilinesandewa7084 Жыл бұрын
Sijajua kwanini nilikuwa sifatilii masomo yako🙆♂️🙆♂️ japo naamini bado sijachelewa.wewe ni baraka 🙏
@Tress-dr5rp11 ай бұрын
Yaani sikuachi nitangangana na wewe mpk ndoto yangu itimie ubarikiwe sana kaka joeli Leo hii naweza kuweka akiba nilikuwa na mikopo nikifanya biashara pesa yote inaishia kwenye marejesho Toka niaze kukufatilia biashara yangu inajizungusha yenyewe siamini kabisa najitaidi sana kufanya ibada ili nipate watu sahihi WA kujifunza kama wewe Mungu WA mbinguni na tumbo lilokuzaa libarikiwe
@levocatusgatu42953 жыл бұрын
Asante xanaaaa Mr J najifunza mambo mengiii kupitiaa wew nahitaji nipate vitabu vyako minipo kigoma mujin utanisaidiajeee
@abdallahissa2839 Жыл бұрын
Among of the powerful piece of truth. Thanks Nnanauka
@user-wy6re9be2g6 ай бұрын
Thank you very much Brother..!! I'm blessed and starting now applying everything you said in actions ..😊❤🎉
@yunusmbaroukmbarouk51503 жыл бұрын
Mm nashauri upendelee kutumia lugha ya kiswahili sna kwasababu wapo wengi wanaokufatilia hawajui lugha ya kigeni...Thanks
@magretharcard453111 ай бұрын
Nimebarikiwa kwa kupata elimu ya juu ya maisha asante sana,
@user-fg3mh7cg8b11 ай бұрын
😢😢duuuuh blessing brother
@breshnyanjwa31023 жыл бұрын
Oooh really blessed, Amen
@vincentjumba6659 Жыл бұрын
Niko kenye but umenisaidia sana nikgepanda sana siku moja niuthurie mafundisho moja kwa moja
@guccionesmo26973 жыл бұрын
Big up brother u have a lot of things may GOD BLESS YOU
@fadhilmilambo37733 жыл бұрын
Bro your so genius god continue bless you Amen
@agnesslucas47442 жыл бұрын
Kwakweri unaungusa sana moyo wangu japo siwezi kuhuzuria Mimi maana sipo Tanzania lakini nilikuwa naomba whasp ilinionge na ww kwamsaada wako nakuna binti yangu nimuunge kwenyehiro dalasa nimelipenda Sana tafadhari nisaidi Joel
@anastasiamainaministries27002 жыл бұрын
Naipeda mafunzo yako sana siku moja nitatoka kenya nihuthurie kikao chako...inshalah
@PillyMtimzi-df9ww7 ай бұрын
Joel nauka mm nitatoboa tu%
@timamahendo41729 ай бұрын
Napenda sana mafunzo yako...lakini bro kwanini unapenda kusema see you at the top
@bienfaitndethi71482 жыл бұрын
coach nakufata toka butembo congo,wewe ni no 1
@halimanyodulla29603 жыл бұрын
Yaani, mungu azidi kukubariki kaka Joel sana mana tokanianze Jiang alia video zako nazidi kujiamini na kuwa jasir
@tumainilatangujadidouglas78879 ай бұрын
Bro joil barikiwa sana,vitabu vyako na vipata vipi, Douglas Mombasa kenya
@joycerichard10313 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana kaka, kiukweli unanifariji moyo. mafundisho yako yamenitoa hatua moja na ninaelekea hatua ya pili.
@emilianamshi293 жыл бұрын
nakuamin
@khamisyasin32763 жыл бұрын
Asante sana kila nikifuatilia napata faida
@backtoschool81423 жыл бұрын
I am appreciate u bro I will bring so many u a idea for those who fail to aquir
@bienfaitndethi71482 жыл бұрын
God akuzidichiye hekima na nguvu bro joel n
@yohanamagele36333 жыл бұрын
Wow ,Lazima niifanyie kazi
@pascalinagilbert265 Жыл бұрын
Dah, Mungu akubariki sana, huwezi Amini nilikuwa nasikiliza nikiwa nimejilaza imebidi niamke ili niandike, nakufwatiliaga sana hakika umeubadili mtazamo wangu kwenye maisha. Be blessed.
@CarolyneSimiyu-xq7qkАй бұрын
😮😮❤❤ great teaching
@estamichoromichoro56348 ай бұрын
Asante sana kaka , mm nitapataje kitabu chako kaka
@salimuwimana63943 жыл бұрын
Asante sisitu Burundi ninanufaikaje Na coaching yako
Nashkru sana kaka..naenjoy life kwa kujiamini..kila nikipata nafasi ya kuingia mtandaoni najikuta nasikiliza video zako tu..zimenijenga sana..hicho kitabu nakipataje?Niko tegeta-wazo
@sharifarajabu72553 жыл бұрын
Shukurn kheri kwako
@denicenahson92413 жыл бұрын
Natamani hata siku moja uwe hata president hapa tz wewe una kitu ndani yako.
@angasyegemwampulo27612 жыл бұрын
You lift me up to be rich
@user-ij3fn1le5h5 ай бұрын
Good advice brother
@emilianapunda51172 жыл бұрын
Habari ya mchana...pole na majukumi .Naomba unisaidie nini nifanye Iko niweze kuwa nasoma vitabu...?
@ericktamba75653 жыл бұрын
Well said 💥💥💥
@edgardeus243 жыл бұрын
Thanks a lot teacher I learn everyday from you God bless you.
@nureinomar62383 жыл бұрын
Congratulations my mentor I get to learn a lot from you sir. How can I get the book timiza malengo yako am in Mombasa Kenya
@stevensamwel48542 жыл бұрын
Uko Tanzania kwa ajili yangu mimi na kwa wakati Asante
@ezranyamlundwa2034 Жыл бұрын
Thanks my brother
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Hata Kama Kuna lugha sizielewi lakini Nina furahiya mafundisho yako maoni yangu jitaidi kutumia kiswahili kwasababu tunao kufuatilia ni salads la Saba na wengine hatukuenda shule kabisa.
@stanfordchimola97922 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka ubarikiwe
@pauljosephtarimo22792 жыл бұрын
Naisoma mwaka 2022.
@zebedayokatamaduni96763 жыл бұрын
Mwl yaani nasikia utam moyoni akilini unaongea maneno makubwa asante
@elixiphaobedy84883 жыл бұрын
Nipo mwanza butimba naomba nisaidie kitabu Cha timiza malengo niinunue
@fakisabour28182 жыл бұрын
Hatujawahi kupata kukuona zanzibar broo tnakuhitji
@uwimananadia60663 жыл бұрын
🙏🙏na anza kushukuru kabra sijaskia
@juharazanzi9972 жыл бұрын
Amina nakiitaji kitabu icho jamani
@monicabaltarzali75853 жыл бұрын
Natamani kupata kitabu Cha timiza Marengo yako nipo ubungo rivesid
@priscadanny26233 жыл бұрын
Wow👌
@faidaruzamuka22182 жыл бұрын
Una sema kweli
@SalmaSalma-sd5we3 жыл бұрын
Shukran sana
@salimuwimana63943 жыл бұрын
Wassup number please
@SalmaSalma-sd5we3 жыл бұрын
@@salimuwimana6394 mbona ckufahamu
@augusttesha87963 жыл бұрын
Uko vizur bro
@adelinakibejile4696 Жыл бұрын
B blessed br
@frankriwa7457 Жыл бұрын
On top Joel
@zubedajumanne88192 жыл бұрын
Madini 🔥🔥🔥
@vituskabula47702 жыл бұрын
Daa napataj vitabu vyako?
@yohanadamas73523 жыл бұрын
Hii video kuna kipnd niliitafta lkn ckufanikiwa hii ndio video ya kwanza kuiangalia kutoka kwako
@jaqtimes3972 Жыл бұрын
Fact😊
@augusttesha87963 жыл бұрын
Bro mungu akubariki sanaa
@dominicemanuel7483 жыл бұрын
Bhdi unazidi kunijenga kaka nakushkuru sana
@isiakakadari56313 жыл бұрын
Thanks my brother Joel seriously always I keep on getting something from your subjects and I can see how it's change my Life ,, Asante Sana Kaka mwenyzmungu azid kuku barik uendele kutupatia elimu ya maisha...