Jinsi ya kutoka kwenye madeni sugu.

  Рет қаралды 108,079

Joel Nanauka

Joel Nanauka

3 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 174
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 2 жыл бұрын
Watanzania mko na baraka. Hamna uchoyo wa information Kama Kenya. Kenya watu Wana roho mbaya na hawawezi kukuambia ukweli huu
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Amina
@jafaryiqram6052
@jafaryiqram6052 3 жыл бұрын
Nimefarijika Sana madeni imekua Kama sehem ya maisha yangu na nshidwakutoka imekua Kama utumw
@helmanlesha8926
@helmanlesha8926 3 жыл бұрын
Hongera Sana Kaka ,umenifanya kujiona mpya ,umenifanya nione bado ninathaman Sana hapa Dunia ,umefanya nijione bado safar ya mafanikio iko mbele yangu
@loycep7785
@loycep7785 3 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel kwa masomo haya mimi kipekee nabarikiwa sanapamoja na familia nami nitawasaidia hata jamii inayonizunguka Mungu azidi kukuongezea hekima ya kiMungu na busara zaidi Amina
@lusekelomnange
@lusekelomnange 3 жыл бұрын
Nimependa sana hiki ulichozungumza, god bless u..
@kithajungu1389
@kithajungu1389 3 жыл бұрын
Wewe kijana niwa ajabu sana na maneno yako yana muujiza sana ndani yake.jana nimesikiliza hii maneno yako na video zako kazaa baada ya kuwa nimesongwa na mambo mengi kichwani nikawa natafuta kitu gani cha kunipa faraja nikakutana nawe nikasikiriza jinsi ya kuachana na msongo wa mawazo nikakufatiria mpaka hapa kwa madeni nikaamua kufata unacho shauri yaani jana tu uwezi amini nina rafiki yngu alikuwa akinidai ml3 nikamwandikia msg ya msamaha na kumwambia nilivyo kwama na nitarekebisha zuri.uwezi amini kilicho nipata amenitumia msg na kusema usirudishe ilo deni nimekusamehe ndo mchango wangu nami katika msiba mkubwa ulio kupata.machozi yamenitoka km vile nimefiwa tena.ohoo mungu ambariki sana akubariki nawe pia uliye nipa ujasiri uwo nilikuwa nikisikia miujiza kumbe ipo kweli.Nilifiwa na mdogo wangu akiwa anajifungua na kuniachia mtoto nimepitia changamoto nyingi mpaka niliye mwachia duka langu kunifirisi na kuingia ktk madeni lakini kwa maneno yako mwanangu nimesimama na kupata muujiza na ninanguvu mpya kwa masaa tu hakika mungu anakutumia,jana tu ndo nimekuona na kukusikiriza video zako hizi km saba hivi.hakika nimebarikiwa.asante sana.
@kaburajeanmarie1030
@kaburajeanmarie1030 11 ай бұрын
Asante sana mpendwa wa Mungu, Ubarikiwe na Mungu azidi kukuongezea hekuma na moyo wa kuwasaidia watu kutoka kwenye matatizo
@albertkaitaba2513
@albertkaitaba2513 Жыл бұрын
Thank you Joel naanza kuku elewa mungu akubariki sana kwa kazi mzuri
@agnesssilvan3954
@agnesssilvan3954 3 жыл бұрын
Somo zuri sana bro, Big up Mungu akupe moyo wa upendo milele
@liberatussylvanus5477
@liberatussylvanus5477 3 жыл бұрын
Nimetoka kabisa kwenye made baada yakukufuatilia mungu akujaalie
@ruwaidamabrouk1797
@ruwaidamabrouk1797 Жыл бұрын
Thank kaka Joel nimejifunza mno ubarikiwe See you at the Top 💯
@amostinga770
@amostinga770 Жыл бұрын
Hongera sana kutokana na somo zuri kama hili limenifanya nibuni namna ya kukutana na watu wote wanaonidai na kupangilia namna ya kuwalipa niwe guru ISalute
@edwardmkaro2021
@edwardmkaro2021 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri🙏
@abelbusumba6633
@abelbusumba6633 3 жыл бұрын
God bless you Mr... Kwa chakula ya ubongo.
@mussakhamis2377
@mussakhamis2377 2 жыл бұрын
Thanks brother kwa elimu yk hakika wewe ni super life coach
@francisnjue1360
@francisnjue1360 Жыл бұрын
Haki umezaindia mimi sana nakutazama nikiwa Somalia 🇸🇴 but I will be back to kenya 🇰🇪 kwa wadeni wangu na hope nitajitoa kwa mandeni niko ndani ya ndeni la million mbili kutoka kwa watu wengi sir,hope nitatumia io principle nitoke thanks for letting me know God bless you.
@MwanzalimaLeonard
@MwanzalimaLeonard 29 күн бұрын
Tukizingatia haya yatatusaidia! be blessed guy!
@nelsonmpolochacha5035
@nelsonmpolochacha5035 3 жыл бұрын
Powerful message. Asante sana ....!
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 3 жыл бұрын
Nashukuru kwa darasa lako zuri, Mwenyez Mungu akujalie
@thomasjaphet4223
@thomasjaphet4223 3 жыл бұрын
Mh your a medicine of heart mungu awe nawe
@enoshmukama4783
@enoshmukama4783 Жыл бұрын
Nashukuru sana limekuwa somo zuri sana kwangu umenifungua ktk hilo Sasa nitaanza kuwa Moja ya kijana Bora sana thanks you
@sweetbertmligo9637
@sweetbertmligo9637 3 жыл бұрын
I really appreciate!
@flolabapegemwansasu4647
@flolabapegemwansasu4647 3 жыл бұрын
Mtumishi naomba namba yako naona Mungu amekuweka kusudi nipone napitiamagumu nipokwisho namba uokoe rohoyangu
@user-jg3rc7pz9p
@user-jg3rc7pz9p 8 ай бұрын
Ubarikiwe kijana kwa mafundisho yako imeniinua sana
@side216
@side216 3 жыл бұрын
Thanks for your help
@elizamwacha7458
@elizamwacha7458 Жыл бұрын
Ahsanten sana kaka Joel umegusa mioyo ya wengi.
@juliethmuro7654
@juliethmuro7654 3 жыл бұрын
Asante Joel kwa shule hii nzuri.
@petrojosephat9268
@petrojosephat9268 3 жыл бұрын
C say a
@mwanakhamiskhamis3115
@mwanakhamiskhamis3115 3 жыл бұрын
Ni kweli stress zinashusha homornes za uzazi. Mana mumewangu ni mwenye stress saa zote na ndio maana hatuzaii
@onesmoalphonce3676
@onesmoalphonce3676 3 ай бұрын
Sasa mnataka mzae wakati mnamdeni ?
@nevagasmsamba5060
@nevagasmsamba5060 3 жыл бұрын
Kazi nzur bro
@Kimanulucy151
@Kimanulucy151 3 жыл бұрын
Thank you Mr Joel.Good advice.
@pangaboy1568
@pangaboy1568 3 жыл бұрын
Asante sana kaka........... nimepona kimwili na kiroho pia
@efremmgaya7244
@efremmgaya7244 3 жыл бұрын
Nimefurahia sana somo lako lajinsi yakutoka kwenye madeni. Naomba unisaidiye zaidi mawazo zaidi ili niepukane namadeni. Asante.
@samveya9456
@samveya9456 2 жыл бұрын
Nice
@asta.tanotdoor7
@asta.tanotdoor7 7 ай бұрын
Thanks a lot be blessed
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ Жыл бұрын
Somo zuri sana Kiongozi maana watu tuna madeni kiasi kwamba hadi tumekuwa watumwa wa madeni
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Mpaka nje nikuguse mkono wako ili muujiza wangu uje utimie pokea shukrani zangu kwa masomo yako.
@hopechengula
@hopechengula Жыл бұрын
Asante brother nilitaka kukopa Milion akati na shida na laki 3 nishagairi staki tena Asante sana ubarikiwe
@agnesslucas4744
@agnesslucas4744 2 жыл бұрын
Asante sana Kaka Joel kwama funzo mazuri unanifungua sana
@lucasharison2441
@lucasharison2441 2 жыл бұрын
Angess wewe ni mwanangu karibu
@mwasitiathumani4626
@mwasitiathumani4626 3 жыл бұрын
@mr joel mungu akubariki sana
@bsrabbitfarm
@bsrabbitfarm Жыл бұрын
Nimejifunza vitu vingi kupitia wewe kaka Joel mungu aendelee kukuweka hai uzidi kumtumikia.
@joharisadi873
@joharisadi873 2 жыл бұрын
Hakika nimejifunza kitu muhimu Sana .ubarikiwe Sana.
@johnmtope9568
@johnmtope9568 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa nimeelimika swala kwani kwa sasa dini linakuwa siku niamua kusitisha kukopa ili nilipe yaliopo
@stevenkiula8164
@stevenkiula8164 3 жыл бұрын
Nakuelewa joel asante elimu nzur
@abdullahiabdikarim6670
@abdullahiabdikarim6670 3 жыл бұрын
hiyo ni kweli kabisa Mzee Nina hiyo ugonjwa ya madeni na shukuru Kwa kunipa nasaha nzuri.
@JulieAmos-to5po
@JulieAmos-to5po Ай бұрын
Nimekuelewa sana, asante
@user-mb3jh5xs3o
@user-mb3jh5xs3o Жыл бұрын
Safii sana nanauka we ndo jembe letu kwa elimu
@neemalino5945
@neemalino5945 3 жыл бұрын
Kweli Kaka Joel unatusaidia tutoke kwenye hayo majanga ya madeni
@marknew2655
@marknew2655 3 жыл бұрын
Kaka asante kwa somo zuri kama MTU unamdai nakama umempunguzia deni na kama hatak kulipa umfanyaje
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 2 жыл бұрын
Bonge la somo Asante mwalimu
@hellyfridy
@hellyfridy 9 ай бұрын
Thanks so much🙏🙏
@michaelshayo187
@michaelshayo187 3 жыл бұрын
ahsante kwa somo zuri
@victoriasamaga8429
@victoriasamaga8429 Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa somo nzuri
@emmanuelnkulungu3469
@emmanuelnkulungu3469 3 жыл бұрын
Aisee barikiwa sana ndugu Joel
@magessakharim6435
@magessakharim6435 3 жыл бұрын
I appreciate you.
@dullahowland9943
@dullahowland9943 3 жыл бұрын
Nimefrai sna kwan napata kujifunza mambo mengi mnoo Mashallah kaka joel Allah azid kukubariki
@user-mb3jh5xs3o
@user-mb3jh5xs3o Жыл бұрын
Safi sanaa mwalimu wangu mtu hatakuelewa wewe kuhusu elimu hiyo hata watoto wake hawata kuja kumuelewa
@denismushi8834
@denismushi8834 3 жыл бұрын
Ulielimisha sana kaka.👏
@petromwamengo4980
@petromwamengo4980 3 жыл бұрын
Dah hakika ni faida kuangalia video zako zinatusaidia sana brooo
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Nashukuru sana
@tamalihussein5793
@tamalihussein5793 Жыл бұрын
Kaka naomba no,Yako please
@mwanakhamiskhamis3115
@mwanakhamiskhamis3115 3 жыл бұрын
Ni kweli Mahusiano mabovu na mume wangu na fedha hasa madeni vinanipa stress kubwa sanaa Sina furaha hata kidogo hata kusema siwezi kukaa na watu kuongea siwezi kabisaa. Naomba msaada wako mtaalam nakaribia kuchanganyikiwa
@gmaemba22
@gmaemba22 2 жыл бұрын
Asante sana
@kenyeraeustachetolens6983
@kenyeraeustachetolens6983 3 жыл бұрын
Good advice
@Abdullatif-zv2qq
@Abdullatif-zv2qq 3 жыл бұрын
2021 Thank you so much ma boy Jah bless you
@richardshirima477
@richardshirima477 2 жыл бұрын
Kubwa lako suri zana
@orishluka4241
@orishluka4241 2 жыл бұрын
WAOOO THNKX FOR WATCH ME COZ IHAVE ALOT OF DEBT
@magnusndunuka1038
@magnusndunuka1038 3 жыл бұрын
ni nzuri sana mm mwenyewe nina madeni mpaka kichwa kinauma ila naamini ntayashinda
@angelambondelo2836
@angelambondelo2836 Жыл бұрын
Sio peke ako yan shida
@subiraomari5908
@subiraomari5908 3 жыл бұрын
Mungu nisaidie nilipe deni kwa wakati muafaka
@salmahmohamed7281
@salmahmohamed7281 2 жыл бұрын
Yaan madeni kukwepa nimtihani Sana Joel unanisaidia Sana sana
@utukufujgwalupama1554
@utukufujgwalupama1554 10 ай бұрын
🎉🎉🎉 Asante sanaaaa mkuu
@doreenfrancis6977
@doreenfrancis6977 3 жыл бұрын
Kaka umeniponya Asante Sana
@crecensiaedward2364
@crecensiaedward2364 3 жыл бұрын
Somo zuri sana kaka Joel
@loycep7785
@loycep7785 3 жыл бұрын
Jamii nyingi zimeangamia sana ktk haya mambo hasa madeni yamesababisha ha familia kusambaratika Na jamii imewatenga na kuwachukia Sababu ya kutokuelewa au tamaatu Haya masomo yatawasaidia sana wakizingatia
@wilbertmlyuka5723
@wilbertmlyuka5723 Жыл бұрын
Hongera sana kiongozi
@hamisichenji9892
@hamisichenji9892 Жыл бұрын
Ni mwaka mmoja umepita tangia huu ushahuri uwe umetoa, sina la kusema zaidi ya Asante sana na nachukua huu kwangu na ikawe kheri zaidi. Sio siri nipo kwenye madeni na inafikia atua mpaka nawapotea wanaonidai ila nahitaji nijitasmini sasa niweze kujitoa katika huu utumwa maishani mwangu. UBARIKIWE KAKA
@mussalibufu8582
@mussalibufu8582 3 жыл бұрын
Kaka umefanikiwa kuniondoa kwenye madeni
@hilarygodfrey5862
@hilarygodfrey5862 3 жыл бұрын
Duuuuuh wewe niufunguo wa mahisha ya vijana wengi sana mwalimu
@adijarichard8571
@adijarichard8571 Жыл бұрын
Nikuerewa Asante kwa ushauri Kama huo madeni nimabaya sana
@edowilly7216
@edowilly7216 3 жыл бұрын
Asant sana ninaulizia kitabu cha khs madeni kipo
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Kipo tuwasiliane 0756-094875
@avitusrweyemamu5045
@avitusrweyemamu5045 2 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana
@fundievergreenengineering3923
@fundievergreenengineering3923 3 жыл бұрын
Nimekuelewa Teacher
@mgallason...5686
@mgallason...5686 3 жыл бұрын
Asante sana #JoelNanauka
@evelinembesele6089
@evelinembesele6089 3 жыл бұрын
Asante Kuna kitu nimepata
@EdsonKashaija
@EdsonKashaija 7 ай бұрын
Nakukubali broo upo vzr mno
@coletashirima2193
@coletashirima2193 3 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa mafundisho mazuri
@winfridagbcl271
@winfridagbcl271 Жыл бұрын
Ahsante Sana Joel
@lazarolucas5149
@lazarolucas5149 2 жыл бұрын
Mr joel kuna aina ngapi za akiba kwan wakat unasisitiza tuweke akiba kuna mtu anatuambia foolish can put money to the bank but mwenye akili ana invest.sasa unainvest halaf inapotelea huko unabakia na zero
@maryammwandola4134
@maryammwandola4134 3 жыл бұрын
ubarikiwe sn kaka Joel
@mariammlau87
@mariammlau87 3 жыл бұрын
asante sana kaka nimeponaaaaaaaa🙏🙏🙏
@noelabwana269
@noelabwana269 2 жыл бұрын
Nilichopata ni zaidi ya PHD asanteeee
@anastahiliutawala3879
@anastahiliutawala3879 2 жыл бұрын
Asante mkuu
@officialbaylan4838
@officialbaylan4838 3 жыл бұрын
thanks
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@edwardvelidiana1864
@edwardvelidiana1864 3 жыл бұрын
Nikweli
@breshnyanjwa3102
@breshnyanjwa3102 3 жыл бұрын
Much appreciated, u'r lifting young generation
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 3 жыл бұрын
somo zuri sana
@jacobkaingu3871
@jacobkaingu3871 3 жыл бұрын
Bwana asife mtumishi wa Mungu.ujumbe wako umenigusa sana.kuanzia mwanzo wa mafundisho yako mpaka mwisho yote yamenihusu mm.nadaiwa sana karibia ksh 300000.sina amani sina furaha.ninastress kibao.yani yote yote uliyozungumza yakwangu.nimejifunza nisaidie zaidi nimalizane na deni
@jenipherrio7941
@jenipherrio7941 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka
@Abdullatif-zv2qq
@Abdullatif-zv2qq 2 жыл бұрын
Mungu Azidi kukuzidishia
@agnesgeofrey6146
@agnesgeofrey6146 3 жыл бұрын
This is the best Joel......ni dawa inayopona mioyo na akili
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Ahsante Sana Agness
@chuiinternationalinvestmen719
@chuiinternationalinvestmen719 3 жыл бұрын
Barikiw Sana Kaka
@bushambalvenasbushambal-ot3eh
@bushambalvenasbushambal-ot3eh 10 ай бұрын
kweli kabisa
@gracemahenge4339
@gracemahenge4339 3 жыл бұрын
Iko vizuri
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Professor Joel Nanauka#####
@zenamarugujo9003
@zenamarugujo9003 Жыл бұрын
Mungu niepushe na roho za madeni
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 161 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 79 МЛН
Tafuta utambulisho wako binafsi (Know your Identity)
35:05
Joel Nanauka
Рет қаралды 66 М.
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 439 М.
Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi
22:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA
1:06:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 39 М.
CHANGAMOTO YA ENEO LA FEDHA KWENYE NDOA/MAHUSIANO - JOEL NANAUKA
49:41
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 175 М.
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 36 М.