Watanzania mko na baraka. Hamna uchoyo wa information Kama Kenya. Kenya watu Wana roho mbaya na hawawezi kukuambia ukweli huu
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Amina
@jafaryiqram60523 жыл бұрын
Nimefarijika Sana madeni imekua Kama sehem ya maisha yangu na nshidwakutoka imekua Kama utumw
@helmanlesha89263 жыл бұрын
Hongera Sana Kaka ,umenifanya kujiona mpya ,umenifanya nione bado ninathaman Sana hapa Dunia ,umefanya nijione bado safar ya mafanikio iko mbele yangu
@loycep77853 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel kwa masomo haya mimi kipekee nabarikiwa sanapamoja na familia nami nitawasaidia hata jamii inayonizunguka Mungu azidi kukuongezea hekima ya kiMungu na busara zaidi Amina
@lusekelomnange3 жыл бұрын
Nimependa sana hiki ulichozungumza, god bless u..
@kithajungu13893 жыл бұрын
Wewe kijana niwa ajabu sana na maneno yako yana muujiza sana ndani yake.jana nimesikiliza hii maneno yako na video zako kazaa baada ya kuwa nimesongwa na mambo mengi kichwani nikawa natafuta kitu gani cha kunipa faraja nikakutana nawe nikasikiriza jinsi ya kuachana na msongo wa mawazo nikakufatiria mpaka hapa kwa madeni nikaamua kufata unacho shauri yaani jana tu uwezi amini nina rafiki yngu alikuwa akinidai ml3 nikamwandikia msg ya msamaha na kumwambia nilivyo kwama na nitarekebisha zuri.uwezi amini kilicho nipata amenitumia msg na kusema usirudishe ilo deni nimekusamehe ndo mchango wangu nami katika msiba mkubwa ulio kupata.machozi yamenitoka km vile nimefiwa tena.ohoo mungu ambariki sana akubariki nawe pia uliye nipa ujasiri uwo nilikuwa nikisikia miujiza kumbe ipo kweli.Nilifiwa na mdogo wangu akiwa anajifungua na kuniachia mtoto nimepitia changamoto nyingi mpaka niliye mwachia duka langu kunifirisi na kuingia ktk madeni lakini kwa maneno yako mwanangu nimesimama na kupata muujiza na ninanguvu mpya kwa masaa tu hakika mungu anakutumia,jana tu ndo nimekuona na kukusikiriza video zako hizi km saba hivi.hakika nimebarikiwa.asante sana.
@kaburajeanmarie103011 ай бұрын
Asante sana mpendwa wa Mungu, Ubarikiwe na Mungu azidi kukuongezea hekuma na moyo wa kuwasaidia watu kutoka kwenye matatizo
@albertkaitaba2513 Жыл бұрын
Thank you Joel naanza kuku elewa mungu akubariki sana kwa kazi mzuri
@agnesssilvan39543 жыл бұрын
Somo zuri sana bro, Big up Mungu akupe moyo wa upendo milele
@liberatussylvanus54773 жыл бұрын
Nimetoka kabisa kwenye made baada yakukufuatilia mungu akujaalie
@ruwaidamabrouk1797 Жыл бұрын
Thank kaka Joel nimejifunza mno ubarikiwe See you at the Top 💯
@amostinga770 Жыл бұрын
Hongera sana kutokana na somo zuri kama hili limenifanya nibuni namna ya kukutana na watu wote wanaonidai na kupangilia namna ya kuwalipa niwe guru ISalute
@edwardmkaro20212 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri🙏
@abelbusumba66333 жыл бұрын
God bless you Mr... Kwa chakula ya ubongo.
@mussakhamis23772 жыл бұрын
Thanks brother kwa elimu yk hakika wewe ni super life coach
@francisnjue1360 Жыл бұрын
Haki umezaindia mimi sana nakutazama nikiwa Somalia 🇸🇴 but I will be back to kenya 🇰🇪 kwa wadeni wangu na hope nitajitoa kwa mandeni niko ndani ya ndeni la million mbili kutoka kwa watu wengi sir,hope nitatumia io principle nitoke thanks for letting me know God bless you.
@MwanzalimaLeonard29 күн бұрын
Tukizingatia haya yatatusaidia! be blessed guy!
@nelsonmpolochacha50353 жыл бұрын
Powerful message. Asante sana ....!
@aderiderkihupi72403 жыл бұрын
Nashukuru kwa darasa lako zuri, Mwenyez Mungu akujalie
@thomasjaphet42233 жыл бұрын
Mh your a medicine of heart mungu awe nawe
@enoshmukama4783 Жыл бұрын
Nashukuru sana limekuwa somo zuri sana kwangu umenifungua ktk hilo Sasa nitaanza kuwa Moja ya kijana Bora sana thanks you
Ubarikiwe kijana kwa mafundisho yako imeniinua sana
@side2163 жыл бұрын
Thanks for your help
@elizamwacha7458 Жыл бұрын
Ahsanten sana kaka Joel umegusa mioyo ya wengi.
@juliethmuro76543 жыл бұрын
Asante Joel kwa shule hii nzuri.
@petrojosephat92683 жыл бұрын
C say a
@mwanakhamiskhamis31153 жыл бұрын
Ni kweli stress zinashusha homornes za uzazi. Mana mumewangu ni mwenye stress saa zote na ndio maana hatuzaii
@onesmoalphonce36763 ай бұрын
Sasa mnataka mzae wakati mnamdeni ?
@nevagasmsamba50603 жыл бұрын
Kazi nzur bro
@Kimanulucy1513 жыл бұрын
Thank you Mr Joel.Good advice.
@pangaboy15683 жыл бұрын
Asante sana kaka........... nimepona kimwili na kiroho pia
@efremmgaya72443 жыл бұрын
Nimefurahia sana somo lako lajinsi yakutoka kwenye madeni. Naomba unisaidiye zaidi mawazo zaidi ili niepukane namadeni. Asante.
@samveya94562 жыл бұрын
Nice
@asta.tanotdoor77 ай бұрын
Thanks a lot be blessed
@maniamba.tz_ Жыл бұрын
Somo zuri sana Kiongozi maana watu tuna madeni kiasi kwamba hadi tumekuwa watumwa wa madeni
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Mpaka nje nikuguse mkono wako ili muujiza wangu uje utimie pokea shukrani zangu kwa masomo yako.
@hopechengula Жыл бұрын
Asante brother nilitaka kukopa Milion akati na shida na laki 3 nishagairi staki tena Asante sana ubarikiwe
@agnesslucas47442 жыл бұрын
Asante sana Kaka Joel kwama funzo mazuri unanifungua sana
@lucasharison24412 жыл бұрын
Angess wewe ni mwanangu karibu
@mwasitiathumani46263 жыл бұрын
@mr joel mungu akubariki sana
@bsrabbitfarm Жыл бұрын
Nimejifunza vitu vingi kupitia wewe kaka Joel mungu aendelee kukuweka hai uzidi kumtumikia.
@joharisadi8732 жыл бұрын
Hakika nimejifunza kitu muhimu Sana .ubarikiwe Sana.
@johnmtope95683 жыл бұрын
Ni kweli kabisa nimeelimika swala kwani kwa sasa dini linakuwa siku niamua kusitisha kukopa ili nilipe yaliopo
@stevenkiula81643 жыл бұрын
Nakuelewa joel asante elimu nzur
@abdullahiabdikarim66703 жыл бұрын
hiyo ni kweli kabisa Mzee Nina hiyo ugonjwa ya madeni na shukuru Kwa kunipa nasaha nzuri.
@JulieAmos-to5poАй бұрын
Nimekuelewa sana, asante
@user-mb3jh5xs3o Жыл бұрын
Safii sana nanauka we ndo jembe letu kwa elimu
@neemalino59453 жыл бұрын
Kweli Kaka Joel unatusaidia tutoke kwenye hayo majanga ya madeni
@marknew26553 жыл бұрын
Kaka asante kwa somo zuri kama MTU unamdai nakama umempunguzia deni na kama hatak kulipa umfanyaje
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Bonge la somo Asante mwalimu
@hellyfridy9 ай бұрын
Thanks so much🙏🙏
@michaelshayo1873 жыл бұрын
ahsante kwa somo zuri
@victoriasamaga8429 Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa somo nzuri
@emmanuelnkulungu34693 жыл бұрын
Aisee barikiwa sana ndugu Joel
@magessakharim64353 жыл бұрын
I appreciate you.
@dullahowland99433 жыл бұрын
Nimefrai sna kwan napata kujifunza mambo mengi mnoo Mashallah kaka joel Allah azid kukubariki
@user-mb3jh5xs3o Жыл бұрын
Safi sanaa mwalimu wangu mtu hatakuelewa wewe kuhusu elimu hiyo hata watoto wake hawata kuja kumuelewa
@denismushi88343 жыл бұрын
Ulielimisha sana kaka.👏
@petromwamengo49803 жыл бұрын
Dah hakika ni faida kuangalia video zako zinatusaidia sana brooo
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru sana
@tamalihussein5793 Жыл бұрын
Kaka naomba no,Yako please
@mwanakhamiskhamis31153 жыл бұрын
Ni kweli Mahusiano mabovu na mume wangu na fedha hasa madeni vinanipa stress kubwa sanaa Sina furaha hata kidogo hata kusema siwezi kukaa na watu kuongea siwezi kabisaa. Naomba msaada wako mtaalam nakaribia kuchanganyikiwa
@gmaemba222 жыл бұрын
Asante sana
@kenyeraeustachetolens69833 жыл бұрын
Good advice
@Abdullatif-zv2qq3 жыл бұрын
2021 Thank you so much ma boy Jah bless you
@richardshirima4772 жыл бұрын
Kubwa lako suri zana
@orishluka42412 жыл бұрын
WAOOO THNKX FOR WATCH ME COZ IHAVE ALOT OF DEBT
@magnusndunuka10383 жыл бұрын
ni nzuri sana mm mwenyewe nina madeni mpaka kichwa kinauma ila naamini ntayashinda
@angelambondelo2836 Жыл бұрын
Sio peke ako yan shida
@subiraomari59083 жыл бұрын
Mungu nisaidie nilipe deni kwa wakati muafaka
@salmahmohamed72812 жыл бұрын
Yaan madeni kukwepa nimtihani Sana Joel unanisaidia Sana sana
@utukufujgwalupama155410 ай бұрын
🎉🎉🎉 Asante sanaaaa mkuu
@doreenfrancis69773 жыл бұрын
Kaka umeniponya Asante Sana
@crecensiaedward23643 жыл бұрын
Somo zuri sana kaka Joel
@loycep77853 жыл бұрын
Jamii nyingi zimeangamia sana ktk haya mambo hasa madeni yamesababisha ha familia kusambaratika Na jamii imewatenga na kuwachukia Sababu ya kutokuelewa au tamaatu Haya masomo yatawasaidia sana wakizingatia
@wilbertmlyuka5723 Жыл бұрын
Hongera sana kiongozi
@hamisichenji9892 Жыл бұрын
Ni mwaka mmoja umepita tangia huu ushahuri uwe umetoa, sina la kusema zaidi ya Asante sana na nachukua huu kwangu na ikawe kheri zaidi. Sio siri nipo kwenye madeni na inafikia atua mpaka nawapotea wanaonidai ila nahitaji nijitasmini sasa niweze kujitoa katika huu utumwa maishani mwangu. UBARIKIWE KAKA
@mussalibufu85823 жыл бұрын
Kaka umefanikiwa kuniondoa kwenye madeni
@hilarygodfrey58623 жыл бұрын
Duuuuuh wewe niufunguo wa mahisha ya vijana wengi sana mwalimu
@adijarichard8571 Жыл бұрын
Nikuerewa Asante kwa ushauri Kama huo madeni nimabaya sana
@edowilly72163 жыл бұрын
Asant sana ninaulizia kitabu cha khs madeni kipo
@joelnanauka3 жыл бұрын
Kipo tuwasiliane 0756-094875
@avitusrweyemamu50452 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana
@fundievergreenengineering39233 жыл бұрын
Nimekuelewa Teacher
@mgallason...56863 жыл бұрын
Asante sana #JoelNanauka
@evelinembesele60893 жыл бұрын
Asante Kuna kitu nimepata
@EdsonKashaija7 ай бұрын
Nakukubali broo upo vzr mno
@coletashirima21933 жыл бұрын
Asante kaka Joel kwa mafundisho mazuri
@winfridagbcl271 Жыл бұрын
Ahsante Sana Joel
@lazarolucas51492 жыл бұрын
Mr joel kuna aina ngapi za akiba kwan wakat unasisitiza tuweke akiba kuna mtu anatuambia foolish can put money to the bank but mwenye akili ana invest.sasa unainvest halaf inapotelea huko unabakia na zero
@maryammwandola41343 жыл бұрын
ubarikiwe sn kaka Joel
@mariammlau873 жыл бұрын
asante sana kaka nimeponaaaaaaaa🙏🙏🙏
@noelabwana2692 жыл бұрын
Nilichopata ni zaidi ya PHD asanteeee
@anastahiliutawala38792 жыл бұрын
Asante mkuu
@officialbaylan48383 жыл бұрын
thanks
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@edwardvelidiana18643 жыл бұрын
Nikweli
@breshnyanjwa31023 жыл бұрын
Much appreciated, u'r lifting young generation
@TradersEasyWay3 жыл бұрын
somo zuri sana
@jacobkaingu38713 жыл бұрын
Bwana asife mtumishi wa Mungu.ujumbe wako umenigusa sana.kuanzia mwanzo wa mafundisho yako mpaka mwisho yote yamenihusu mm.nadaiwa sana karibia ksh 300000.sina amani sina furaha.ninastress kibao.yani yote yote uliyozungumza yakwangu.nimejifunza nisaidie zaidi nimalizane na deni
@jenipherrio79413 жыл бұрын
Ubarikiwe kaka
@Abdullatif-zv2qq2 жыл бұрын
Mungu Azidi kukuzidishia
@agnesgeofrey61463 жыл бұрын
This is the best Joel......ni dawa inayopona mioyo na akili