Hakika watumishi wa Mungu mkisimama hivi ukombozi tunaupata mara moja. Mungu akubariki na akuinue
@WillyJohny-hc3pw2 ай бұрын
Ubarikiwe Baba mchungaji kwa kusema ukweli. Hakika
@user-kq7in8gd9o2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Mchungaji ubarikiwe Sana kusimama na kunena haki na ukweli ktk Mungu.
@user-xi2mf4xh7r2 ай бұрын
Utaisikia mijitu mijinga itaanza kumtusi mtumishi wa Mungu anaeongea ukweli hasa kakundi ka watu wachache wanaonufaika na mfumo huu wa kikoloni.Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.
@michaelmwambije36032 ай бұрын
Mtumishi mungu akubaliki sana akuongezee ekima
@BenetsonLugaimukamu2 ай бұрын
Barikiwa sana
@gowekogoweko58032 ай бұрын
HAKUNA MTU YEYOTE MWENYE MASIKIO ASHINDWE KUMWEELEWA HUYU MCHUNGAJI. HEKO BABA MCHUNGAJI MWENYE ENZI MUNGU AENDELEE KUKUPIGANIA 🙏🙏🙏
@rabiakitigwa91202 ай бұрын
Wewe ni mfano wa kuigwa mtusaidie kupaza sauti watanganyika tumeshavamiwa na mkoloni CCM
@JosephuSwai2 ай бұрын
Chadema ni chuo cha wana siasa wengi wameibuliwa chadema mwalim mkuu mbowe kazi yake kaifanya vizuri sana
@user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын
Ongea mtumishi wa mungu,pongezi kwako,🎉🎉
@anoldmrosso66802 ай бұрын
Mchungaji Mungu akulinde na akubariki somo limeenda na limetufikia .
@pauloropian23672 ай бұрын
✌️ mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
@AndreaAmbros-kw2he2 ай бұрын
Asante sana mchungaji Kwa kuwafumbua macho watanzania sema bila woga
@ezekielkiduge87302 ай бұрын
Kumbe Tanzania kuna watu wanauelewa mkubwa sana ila wako nje ya CCm
@yassinnabwera42732 ай бұрын
Hata ndani ya CCM wapo watu wengi tu waelewa isipokuwa wanajitoa tu ufahamu kwa manufaa yao binafsi
@athumankaswaga6052 ай бұрын
Manshallah Mungu akujarie baba yangu kwa nasaha zako
@georgemahenge2 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji.wenye masikio wamesikiya.
@user-bx3ko9ft5t2 ай бұрын
Mchungaji uko wapi nakutafuta uko sahiii sana nakupongeza
@peterantony58902 ай бұрын
Haki huinua Taifa, bali dhambi niai aibu kwa watu wiwote.
@aronimanirakiza56552 ай бұрын
Muongeaji mungu Akubariki
@emmanuelymganga57372 ай бұрын
MUNGU akupe maisha marefu mtumishi wa MUNGU kwa kuwa muwazi
@winniefridamutakyawa59432 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@WazaeliStefano2 ай бұрын
Nafikiri una roho wa mungu ndani mwako
@FredrickKinyaha2 ай бұрын
Mungu akubariki sanaa kwa kusemea watanzania ukweli
@brownmasai7742 ай бұрын
Kinana ni msaliti tu, anajilikana tangu enzi za Nyerere. CCM wanamjua fika, na ndio wamemfuga na kufukia maovu yake. Atuambie kesi ya pembe za ndovu iliishia wapi?
@EliyaPaulo-uf6hh2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba mpe onyo na mzee wasira ni mzee ambae analazimisha watu wamvunjie heshima sababu ni muongo tena wazi
@emmanuelcharles561324 күн бұрын
Tumekuelewa baba uko vizuri
@WilliamSENYE-yk8pb2 ай бұрын
Ccm itambuwe tulozaliwa kutokana na siasa y chadema tuko wengi wasijichanganye kwakua wao hawamchi mungu,
@ladslauskonjani9090Ай бұрын
Hakika maneno haya ukitulia yanaingiza jambo kubwa aiklilini.Hongera sana kwa kufunguwa vichwa vyetu kisiasa.
@foibennjeje7730Ай бұрын
Hongera sana mtumishi
@ThomasElias-jo4vg2 ай бұрын
Hongera baba angu mngu akuzidishiie tunakufatilia kutoka Zanzibar
@ZephaniaNdaki-vq1ti2 ай бұрын
Ahsante mtumishi wa Mungu. Yafaa watanzania wafikie uelewa wa uharisia unaooneshwa na watu kama hawa! Viongozi wa CCM wapo tu kulinda maslahi yao binafsi hawajiuliza ni kwa nini viongozi karibu wote wa kidini hawakubaliani na ccm inavyoendesha nchi hii. Kilio cha watanzania na maonyo ya viongozi hawa wa kidini muda si mrefu vitaiweka ccm pabaya.
@rabiakitigwa91202 ай бұрын
Safari hii tumewabana kwenye kona hawatoboi tuendelee kupaza sauti watanganyika tumechoka
@yassinnabwera42732 ай бұрын
CCM ni wagumu kuelewa na huwa wanajitoa ufahamu wanapokuwa na jambo lao ovu.
@sangajaffar74192 ай бұрын
Wanaelewa vizuri, km unavyosema wanajitoa fahamu
@cosmaswilliam380524 күн бұрын
Wanaongozwa na miungu
@user-cw2nj4io3v2 ай бұрын
Facts and Truth!
@mchungajimpigauzitv570327 күн бұрын
Balikiwa sana mtumishi wa Mungu baliki
@chezariboy2 ай бұрын
Hiii imeendaa, uko sahihih mtumishi, sema neno labda ccm itapokea wokovu maana ina lishingo gumu sana kama shetwaani
@SundaySteven-bz4yq2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji ninyi ndio mutaivusha inchi hii Kwa mawazo yenu ila Mimi naamini bila kuiweka ccm pembeni matatizo ni Yale Yale maana wamekataa kubadilisha hiyo katiba ya mwaka 1977 hawana lolote
@user-eg1fi6gi7b2 ай бұрын
Hakuna mwanasiasa wa hovyo kama kinana.na huyo mzee atazeeka vibaya sana
@user-ig5yn4zp2u2 ай бұрын
Mungu akusimamie mtumishi wa mungu
@jonathankessy96152 ай бұрын
Watumishi wa Mungu hii ndiyo kazi yenu Umesema vema baba Songa mbele Ila wachungaji wa 4G wachumia tumbo hawatathubitu kueleza ukweli kama wewe na Mbarikiwa huku wakijidhani wanafundisha ukweli tusiouona ila ukweli tunaouona hawasemi Hovyoo Songa mbele baba Mungu akupe hiyo haja ya moyo wako🙏🙏🙏
@CristinLyangaАй бұрын
Haki ya Mungu wewe mtumishi leo umeukonga moyo wangu balaaa,hakika wewe una maono mnoooo.
@stephenndagalla81832 ай бұрын
Waziri wa kudumu ktk Baraza la Mawaziri Tz ni pamoja na George Mkuchika.
@fabianmnyenyelwa87522 ай бұрын
uko sahihiiiii baba tufungue vichwa
@PaskaliCharles-pz8ds2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji Hakika CCM wengi wako hivyo siyo kinana tu wanapotosha ukweli wakilindana na kulinda maslahi yao kuliko kusimama na ukweli na wananchi wamesahau kuwa watanzania wa sasa siyo wa enzi za mwalimu Nyerere wamesahau kuwa lissu anayoiongea ndo hoja za watanzania wengi kwa ujumla wao lissu ni mwakilishi wetu
@DiwaniMwafongo2 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa kututetea.
@ChristmasMaheri2 ай бұрын
CCM ,please come to reality;times have changed.
@victorkisenha5933Ай бұрын
Wew ndo mchungaji unae mtumikia Mungu,
@Ushauri2352 ай бұрын
Mchungaji unasema kweli kabisa naomba uwambie na wachungaji wenzake watuambie ukweli ili tubadilike la sivyo tutakuwa masikini maisha yote
@issaomari52972 ай бұрын
Nimemuelewa sana huyu anaitwa nan plzzzz nimependa alivyoeleza
@user-jl5un4wf3u2 ай бұрын
Angekuwepo huyo rais nchi hii ingekuwa mbalimuno kimaendeleo hasa materialdevelopments.
@ElihurumaThomas-kz8nq2 ай бұрын
Hongera sana mchungaji
@jaywi5681Ай бұрын
Hapo kwenye ukweli wa Watanzania umepuyanga. Walishindwa kuonesha ukweli nyakati za ukweli na uzalendo.
@lucaschisamalo28522 ай бұрын
Maneno mazito Sana sana inauma Sana mungu akubariki mtumishi inchi hii wapo watu mungu watu kama huyo mzee kinana toka mwalimu yupo tu alisimamishwa na magufuri kaludi nikajuwa atakuwa na huruma na wanainchi wapi mungu tusaidie
@kamuogo2 ай бұрын
Kama Kuna mataifa yamesha amka na sisi tuta amka TU na haki itaonekana na mungu yupo na sisi ✌️✌️✌️
@omaryyusuph78772 ай бұрын
Ccm inazidi kupoteza imani kwetu watanzania wanashindwa kujibu hoja za wapinzani.
@StevenLugeАй бұрын
Nakuelewa kamanda
@valenakomba76862 ай бұрын
Asante mchungaji.
@camilomassao897126 күн бұрын
Well said
@frankminga93072 ай бұрын
Tunakushuru sana mtu wa Mungu, watanzania wengi wana uelewa mdogo sana juuu ya umuhimu wa kufanya mabadiliko ya kweli kwasababu wamekazwa ujinga mwingi na ccm kwa muda mrefu
@FaresKwekaАй бұрын
Si ajabu ukasikia kanisani kwake, kanisa lake limefungiwa. Mungu iondoe Tanzania na huu nfumo mbovu unaoongoza nchi yetu
@daudimaembe33602 ай бұрын
Safi kabisa mchungaji
@fabianmainchanyangachika50172 ай бұрын
Amen 🙌🙌🙏🙏
@user-wg3yu5uy4w29 күн бұрын
Mtumishi ✈️🙏✈️
@BonaBonala-bp5qmАй бұрын
Mungu anakutumia bila uoga upo upande wa Mungu ubarikiwe miaka yoteee
@ChristianMkumbo-ix2ke2 ай бұрын
Mchngaji wanakusikiliza
@stewartdyamvunye-wz6rnАй бұрын
YESU alipambana/ akafundisha umma dhidi ya maovu ya Pilato na serikali yake (makuhani). Mojawapo katika maovu aliyopigia kelele: rushwa, kukosa haki katika umma nk. Mchungaji naamini kilichomtokea wakifahamu. Serikali ya Pilato na mamluki (wachawa) wakamzoa na kumtundika msalabani! Sasa nawe na wanaharakati wenzenu mjiandae!
@PetroSilas-bm2ic2 ай бұрын
Baba mchungaji eliimu hiyo watanzania tunaihitaji .tunakuombea Mungu akupe ujasiri huo hadi mwisho.
@loishiyesamwel13742 ай бұрын
Mchungaji huyu anaweza kutoa Elimu kubwa Sana kuhusu nchi yetu, Pale tu ambapo ataachwa aitoe na Wapo wengi san, sio Wachungaji tu, hata Mashehekh wapo wa aina hii.
@user-io6yj9fs2hАй бұрын
Unaakili nyingi sana mchungaji wana ccm hawata uona ufalume wa mungu
@user-hu9bf7nw4c2 ай бұрын
Tunapenda wasema kweli kama nyinyi ,na wakiwemo wengi ,hakika nchi hii lazima maisha au nchi iwe na ubora wa Kila kitu
@simongwandu7392Ай бұрын
Hivi mchungaji dini imrkushinda piga siasa ya injili utatupwa lupango
@user-dy5fn6qj1qАй бұрын
Kuna watu wameamua kimia waheshimiwa
@allonjoseph54672 ай бұрын
kaa na ccm yako one day mutaeleweka tu mungu yupo
@youngsachafurniture54822 ай бұрын
😂😂😂😂
@thomasmgimba922 ай бұрын
Nimekusikia son, umenena safi tunahitaji watu wengi nguvu
@PeterMandataАй бұрын
Upo sahihi sana
@user-xh8kd9ze7o2 ай бұрын
Kweli hii nchi wapewe watumishi wa mungu
@helencyprian8745Ай бұрын
Yaani kwa Jenister hujakosea kabisa
@KamwandaNzowa-eo4ur2 ай бұрын
Tuvushe Mwamba hakika huo moto uwachomo kwa jina la yesu
@MnyamaTolu-kd5ct2 ай бұрын
Hawa ndyo Watumishi wenye faida ktk Nchi na DUNIA kiujumla MUNGU akubariki
@jakobongwara30382 ай бұрын
Nikweri kabisa. Nchi hii imejaa namajizi arafu wanalindana 😊
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Tena amechoka kabisa aachie ngazi mwenyewe wamemcoka kabisa humo ndani ya Ccm yao
@TitoRufizi-xb2ub2 ай бұрын
Nchi hii watanzania hawajajielewa siku wakijielewa mambo yatakaa sawa,ngoja tunyoshwe tunyoke hadi tutakapo jielewa
@atugonzalugemalila5142Ай бұрын
Washukriwe wazazi wako kwa kukuzaa ukiwa timamu wengi wetu vipovu tunaona njia tuu ya kwenda chooni
@VenanceMgema-xu6bq2 ай бұрын
Tubuni maana mwisho umekaribia sana
@christinenyagiro66622 ай бұрын
Huyu Kinana angetueleza kuhusu ufisadi wake wa makotena. Anaongea uongo ili azidi kuendelea kuwatumikisha watanganyika. CCM karibu wote ni mafisadi. Kinana hata uwa simueli aliibuka kutoka . Kikwete na Kinana wote ni ndumila kuwili. Sasa ndiyo anazidi kuongea uongo. Yeye Kinana anadhani watanganyika ni wale wale wa 19....ajajua hawa anao gea nao 20... wajiahaibisha sana badala ya kuondoka siasa kwa heshima. Acha kuharibu Tanganyika nenda kule ulikokuwa nani amekutfuta tena kuleta ufisadi na uongo na wizi wa CCM.
@amosjoseph72412 ай бұрын
Mtumishi unaimani, Mimi nilishasema ukimtazama MTU mmojammoja ndani ya uongozi WA CCM utaona shetani ndani yake
@dillonfoya2 ай бұрын
Mchungaji nakuelewa kwanini wengine hawaongei kama wewe kweli kwa kauli moja Tunahitaji KATIBA MPYA na muda ni huu
@user-dk3ou5yk2f2 ай бұрын
Ukosefu wa sjira Kuwepo kwa Umasikini kumetengenezwa na CCM ili kujikusanyia Machawa kwa urahisi wakitumia RUSHWA
@godwinshoo50322 ай бұрын
Huo ukweli wa watanzania umeupimaje na ni kwanini iliyowataja walikimbia chadema? Tafakari na utulie akili kama mtumishi wa Mungu!
@KamwandaNzowa-eo4ur2 ай бұрын
Hakika umesama kweli la ccm imekuwa ya ajabu sana
@FadhiliMwaitete-ls2li2 ай бұрын
Kinana wasira na viongozi wengine mpaka akina nape ni watu wenye hofu kubwa kutokana na matendo waliyo wafanyiya watanganyika na katiba mpya itawatafuna kwakwe ccm inahofu kwazambi wanazowafanyiya watanganyika sasa wajiandae kwa kukatariwa kutuongoza tunajuwa kuwa ccm wanatawara kimabavu bila polisi ccm aipo sasa nyiye polisi muwe na hofu yamungu ndiyo maana mkistafuu mnakuwa ni watu washida hapa nchini mnatualibia taifa letu
@sharralucy52312 ай бұрын
Umenena Mtumishi wa Mungu. Ni ukweli tupu. CHADEMA OIYEEEE!!!
@CristinLyangaАй бұрын
Oyeeeeeeeeee,
@dianamakyara42102 ай бұрын
👏👏👏
@JeromeMbonikaАй бұрын
Sawa
@user-eo4bl3do8k2 ай бұрын
Viongozi wa dini watetea haki wanazidi kuongezeka hii inaleta muono wa mbali wa mabadiliko ya nchi yetu ,,,ccm ni lazima ifunge virago kwa uongozi mbovu
@PaskaliCharles-pz8ds2 ай бұрын
Tunaomba viongozi wa dini wote tuige mfano huu tuokomboe nchi yetu sawa mnahubiria habari za ufalme wa mungu basi pia mhakikishi Duniani kuwe na haki watu wa ishi kwa upendo ndipo ufalme wa mungu utakuja huku Duniani viongozi wa dini mkifumba masikio na macho ukweli wa wazi unapindishwa kwa maslahi ya watu wachache kisa wananafasi kwenye serikali au kwenye CCM
@HalidMuhammad-gi9qy2 ай бұрын
Kiukweli watu walioataafu ata akili imestaafu mnawapa nafafsi kubwa ndani ya chama au serekali ndio wanajiona miungu watu.
@ramygichero10162 ай бұрын
Makanisa ya machakani hayo toA matubali huko nyuma
@valenakomba76862 ай бұрын
NA HAKUNA CHA MAANA ANACHOKIFANYA KATIBA MKOA WAKE. RUVUMA IPOIPO TU.
@IbrahimYohana2 ай бұрын
Kama CCM ni kinara wa rushwa na CHADEMA lazima inuke rushwa??? Unapokubali kuwa ndani ya CHADEMA kuna rushwa' je una ushahidi na hilo???
@VolvoMwamakula-ci2we2 ай бұрын
Wamejisahau sn ziongozi watu kusema kweli wanakela sn
@raymondnlelwa4272 ай бұрын
Ongea Mtumishi wa Mungu Tupone
@2003hintay2 ай бұрын
Umechoka kuhubiri injili unataka sasa siasa, wenzako anina mwamposa wanapiga hela