KIMEUMANA! KINANA AKALIA KUTI KAVU AJUTA KUMTAJA LISSU,AAMBIWA AACHANE NA SIASA AMEZEEKA .

  Рет қаралды 61,105

John Ngollo

John Ngollo

2 ай бұрын

#kinana #lissu

Пікірлер: 226
@leocadianjau7410
@leocadianjau7410 2 ай бұрын
Hakika watumishi wa Mungu mkisimama hivi ukombozi tunaupata mara moja. Mungu akubariki na akuinue
@WillyJohny-hc3pw
@WillyJohny-hc3pw 2 ай бұрын
Ubarikiwe Baba mchungaji kwa kusema ukweli. Hakika
@user-kq7in8gd9o
@user-kq7in8gd9o 2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Mchungaji ubarikiwe Sana kusimama na kunena haki na ukweli ktk Mungu.
@user-xi2mf4xh7r
@user-xi2mf4xh7r 2 ай бұрын
Utaisikia mijitu mijinga itaanza kumtusi mtumishi wa Mungu anaeongea ukweli hasa kakundi ka watu wachache wanaonufaika na mfumo huu wa kikoloni.Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.
@michaelmwambije3603
@michaelmwambije3603 2 ай бұрын
Mtumishi mungu akubaliki sana akuongezee ekima
@BenetsonLugaimukamu
@BenetsonLugaimukamu 2 ай бұрын
Barikiwa sana
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 2 ай бұрын
HAKUNA MTU YEYOTE MWENYE MASIKIO ASHINDWE KUMWEELEWA HUYU MCHUNGAJI. HEKO BABA MCHUNGAJI MWENYE ENZI MUNGU AENDELEE KUKUPIGANIA 🙏🙏🙏
@rabiakitigwa9120
@rabiakitigwa9120 2 ай бұрын
Wewe ni mfano wa kuigwa mtusaidie kupaza sauti watanganyika tumeshavamiwa na mkoloni CCM
@JosephuSwai
@JosephuSwai 2 ай бұрын
Chadema ni chuo cha wana siasa wengi wameibuliwa chadema mwalim mkuu mbowe kazi yake kaifanya vizuri sana
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 ай бұрын
Ongea mtumishi wa mungu,pongezi kwako,🎉🎉
@anoldmrosso6680
@anoldmrosso6680 2 ай бұрын
Mchungaji Mungu akulinde na akubariki somo limeenda na limetufikia .
@pauloropian2367
@pauloropian2367 2 ай бұрын
✌️ mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
@AndreaAmbros-kw2he
@AndreaAmbros-kw2he 2 ай бұрын
Asante sana mchungaji Kwa kuwafumbua macho watanzania sema bila woga
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 2 ай бұрын
Kumbe Tanzania kuna watu wanauelewa mkubwa sana ila wako nje ya CCm
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
Hata ndani ya CCM wapo watu wengi tu waelewa isipokuwa wanajitoa tu ufahamu kwa manufaa yao binafsi
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 2 ай бұрын
Manshallah Mungu akujarie baba yangu kwa nasaha zako
@georgemahenge
@georgemahenge 2 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji.wenye masikio wamesikiya.
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 2 ай бұрын
Mchungaji uko wapi nakutafuta uko sahiii sana nakupongeza
@peterantony5890
@peterantony5890 2 ай бұрын
Haki huinua Taifa, bali dhambi niai aibu kwa watu wiwote.
@aronimanirakiza5655
@aronimanirakiza5655 2 ай бұрын
Muongeaji mungu Akubariki
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 2 ай бұрын
MUNGU akupe maisha marefu mtumishi wa MUNGU kwa kuwa muwazi
@winniefridamutakyawa5943
@winniefridamutakyawa5943 2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@WazaeliStefano
@WazaeliStefano 2 ай бұрын
Nafikiri una roho wa mungu ndani mwako
@FredrickKinyaha
@FredrickKinyaha 2 ай бұрын
Mungu akubariki sanaa kwa kusemea watanzania ukweli
@brownmasai774
@brownmasai774 2 ай бұрын
Kinana ni msaliti tu, anajilikana tangu enzi za Nyerere. CCM wanamjua fika, na ndio wamemfuga na kufukia maovu yake. Atuambie kesi ya pembe za ndovu iliishia wapi?
@EliyaPaulo-uf6hh
@EliyaPaulo-uf6hh 2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba mpe onyo na mzee wasira ni mzee ambae analazimisha watu wamvunjie heshima sababu ni muongo tena wazi
@emmanuelcharles5613
@emmanuelcharles5613 24 күн бұрын
Tumekuelewa baba uko vizuri
@WilliamSENYE-yk8pb
@WilliamSENYE-yk8pb 2 ай бұрын
Ccm itambuwe tulozaliwa kutokana na siasa y chadema tuko wengi wasijichanganye kwakua wao hawamchi mungu,
@ladslauskonjani9090
@ladslauskonjani9090 Ай бұрын
Hakika maneno haya ukitulia yanaingiza jambo kubwa aiklilini.Hongera sana kwa kufunguwa vichwa vyetu kisiasa.
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 Ай бұрын
Hongera sana mtumishi
@ThomasElias-jo4vg
@ThomasElias-jo4vg 2 ай бұрын
Hongera baba angu mngu akuzidishiie tunakufatilia kutoka Zanzibar
@ZephaniaNdaki-vq1ti
@ZephaniaNdaki-vq1ti 2 ай бұрын
Ahsante mtumishi wa Mungu. Yafaa watanzania wafikie uelewa wa uharisia unaooneshwa na watu kama hawa! Viongozi wa CCM wapo tu kulinda maslahi yao binafsi hawajiuliza ni kwa nini viongozi karibu wote wa kidini hawakubaliani na ccm inavyoendesha nchi hii. Kilio cha watanzania na maonyo ya viongozi hawa wa kidini muda si mrefu vitaiweka ccm pabaya.
@rabiakitigwa9120
@rabiakitigwa9120 2 ай бұрын
Safari hii tumewabana kwenye kona hawatoboi tuendelee kupaza sauti watanganyika tumechoka
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 2 ай бұрын
CCM ni wagumu kuelewa na huwa wanajitoa ufahamu wanapokuwa na jambo lao ovu.
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 2 ай бұрын
Wanaelewa vizuri, km unavyosema wanajitoa fahamu
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 24 күн бұрын
Wanaongozwa na miungu
@user-cw2nj4io3v
@user-cw2nj4io3v 2 ай бұрын
Facts and Truth!
@mchungajimpigauzitv5703
@mchungajimpigauzitv5703 27 күн бұрын
Balikiwa sana mtumishi wa Mungu baliki
@chezariboy
@chezariboy 2 ай бұрын
Hiii imeendaa, uko sahihih mtumishi, sema neno labda ccm itapokea wokovu maana ina lishingo gumu sana kama shetwaani
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji ninyi ndio mutaivusha inchi hii Kwa mawazo yenu ila Mimi naamini bila kuiweka ccm pembeni matatizo ni Yale Yale maana wamekataa kubadilisha hiyo katiba ya mwaka 1977 hawana lolote
@user-eg1fi6gi7b
@user-eg1fi6gi7b 2 ай бұрын
Hakuna mwanasiasa wa hovyo kama kinana.na huyo mzee atazeeka vibaya sana
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 2 ай бұрын
Mungu akusimamie mtumishi wa mungu
@jonathankessy9615
@jonathankessy9615 2 ай бұрын
Watumishi wa Mungu hii ndiyo kazi yenu Umesema vema baba Songa mbele Ila wachungaji wa 4G wachumia tumbo hawatathubitu kueleza ukweli kama wewe na Mbarikiwa huku wakijidhani wanafundisha ukweli tusiouona ila ukweli tunaouona hawasemi Hovyoo Songa mbele baba Mungu akupe hiyo haja ya moyo wako🙏🙏🙏
@CristinLyanga
@CristinLyanga Ай бұрын
Haki ya Mungu wewe mtumishi leo umeukonga moyo wangu balaaa,hakika wewe una maono mnoooo.
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 2 ай бұрын
Waziri wa kudumu ktk Baraza la Mawaziri Tz ni pamoja na George Mkuchika.
@fabianmnyenyelwa8752
@fabianmnyenyelwa8752 2 ай бұрын
uko sahihiiiii baba tufungue vichwa
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji Hakika CCM wengi wako hivyo siyo kinana tu wanapotosha ukweli wakilindana na kulinda maslahi yao kuliko kusimama na ukweli na wananchi wamesahau kuwa watanzania wa sasa siyo wa enzi za mwalimu Nyerere wamesahau kuwa lissu anayoiongea ndo hoja za watanzania wengi kwa ujumla wao lissu ni mwakilishi wetu
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 2 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa kututetea.
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 2 ай бұрын
CCM ,please come to reality;times have changed.
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 Ай бұрын
Wew ndo mchungaji unae mtumikia Mungu,
@Ushauri235
@Ushauri235 2 ай бұрын
Mchungaji unasema kweli kabisa naomba uwambie na wachungaji wenzake watuambie ukweli ili tubadilike la sivyo tutakuwa masikini maisha yote
@issaomari5297
@issaomari5297 2 ай бұрын
Nimemuelewa sana huyu anaitwa nan plzzzz nimependa alivyoeleza
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 2 ай бұрын
Angekuwepo huyo rais nchi hii ingekuwa mbalimuno kimaendeleo hasa materialdevelopments.
@ElihurumaThomas-kz8nq
@ElihurumaThomas-kz8nq 2 ай бұрын
Hongera sana mchungaji
@jaywi5681
@jaywi5681 Ай бұрын
Hapo kwenye ukweli wa Watanzania umepuyanga. Walishindwa kuonesha ukweli nyakati za ukweli na uzalendo.
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 2 ай бұрын
Maneno mazito Sana sana inauma Sana mungu akubariki mtumishi inchi hii wapo watu mungu watu kama huyo mzee kinana toka mwalimu yupo tu alisimamishwa na magufuri kaludi nikajuwa atakuwa na huruma na wanainchi wapi mungu tusaidie
@kamuogo
@kamuogo 2 ай бұрын
Kama Kuna mataifa yamesha amka na sisi tuta amka TU na haki itaonekana na mungu yupo na sisi ✌️✌️✌️
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 2 ай бұрын
Ccm inazidi kupoteza imani kwetu watanzania wanashindwa kujibu hoja za wapinzani.
@StevenLuge
@StevenLuge Ай бұрын
Nakuelewa kamanda
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 ай бұрын
Asante mchungaji.
@camilomassao8971
@camilomassao8971 26 күн бұрын
Well said
@frankminga9307
@frankminga9307 2 ай бұрын
Tunakushuru sana mtu wa Mungu, watanzania wengi wana uelewa mdogo sana juuu ya umuhimu wa kufanya mabadiliko ya kweli kwasababu wamekazwa ujinga mwingi na ccm kwa muda mrefu
@FaresKweka
@FaresKweka Ай бұрын
Si ajabu ukasikia kanisani kwake, kanisa lake limefungiwa. Mungu iondoe Tanzania na huu nfumo mbovu unaoongoza nchi yetu
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 2 ай бұрын
Safi kabisa mchungaji
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 2 ай бұрын
Amen 🙌🙌🙏🙏
@user-wg3yu5uy4w
@user-wg3yu5uy4w 29 күн бұрын
Mtumishi ✈️🙏✈️
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm Ай бұрын
Mungu anakutumia bila uoga upo upande wa Mungu ubarikiwe miaka yoteee
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 2 ай бұрын
Mchngaji wanakusikiliza
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn Ай бұрын
YESU alipambana/ akafundisha umma dhidi ya maovu ya Pilato na serikali yake (makuhani). Mojawapo katika maovu aliyopigia kelele: rushwa, kukosa haki katika umma nk. Mchungaji naamini kilichomtokea wakifahamu. Serikali ya Pilato na mamluki (wachawa) wakamzoa na kumtundika msalabani! Sasa nawe na wanaharakati wenzenu mjiandae!
@PetroSilas-bm2ic
@PetroSilas-bm2ic 2 ай бұрын
Baba mchungaji eliimu hiyo watanzania tunaihitaji .tunakuombea Mungu akupe ujasiri huo hadi mwisho.
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 ай бұрын
Mchungaji huyu anaweza kutoa Elimu kubwa Sana kuhusu nchi yetu, Pale tu ambapo ataachwa aitoe na Wapo wengi san, sio Wachungaji tu, hata Mashehekh wapo wa aina hii.
@user-io6yj9fs2h
@user-io6yj9fs2h Ай бұрын
Unaakili nyingi sana mchungaji wana ccm hawata uona ufalume wa mungu
@user-hu9bf7nw4c
@user-hu9bf7nw4c 2 ай бұрын
Tunapenda wasema kweli kama nyinyi ,na wakiwemo wengi ,hakika nchi hii lazima maisha au nchi iwe na ubora wa Kila kitu
@simongwandu7392
@simongwandu7392 Ай бұрын
Hivi mchungaji dini imrkushinda piga siasa ya injili utatupwa lupango
@user-dy5fn6qj1q
@user-dy5fn6qj1q Ай бұрын
Kuna watu wameamua kimia waheshimiwa
@allonjoseph5467
@allonjoseph5467 2 ай бұрын
kaa na ccm yako one day mutaeleweka tu mungu yupo
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@thomasmgimba92
@thomasmgimba92 2 ай бұрын
Nimekusikia son, umenena safi tunahitaji watu wengi nguvu
@PeterMandata
@PeterMandata Ай бұрын
Upo sahihi sana
@user-xh8kd9ze7o
@user-xh8kd9ze7o 2 ай бұрын
Kweli hii nchi wapewe watumishi wa mungu
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
Yaani kwa Jenister hujakosea kabisa
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 2 ай бұрын
Tuvushe Mwamba hakika huo moto uwachomo kwa jina la yesu
@MnyamaTolu-kd5ct
@MnyamaTolu-kd5ct 2 ай бұрын
Hawa ndyo Watumishi wenye faida ktk Nchi na DUNIA kiujumla MUNGU akubariki
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 2 ай бұрын
Nikweri kabisa. Nchi hii imejaa namajizi arafu wanalindana 😊
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Tena amechoka kabisa aachie ngazi mwenyewe wamemcoka kabisa humo ndani ya Ccm yao
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 2 ай бұрын
Nchi hii watanzania hawajajielewa siku wakijielewa mambo yatakaa sawa,ngoja tunyoshwe tunyoke hadi tutakapo jielewa
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 Ай бұрын
Washukriwe wazazi wako kwa kukuzaa ukiwa timamu wengi wetu vipovu tunaona njia tuu ya kwenda chooni
@VenanceMgema-xu6bq
@VenanceMgema-xu6bq 2 ай бұрын
Tubuni maana mwisho umekaribia sana
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Huyu Kinana angetueleza kuhusu ufisadi wake wa makotena. Anaongea uongo ili azidi kuendelea kuwatumikisha watanganyika. CCM karibu wote ni mafisadi. Kinana hata uwa simueli aliibuka kutoka . Kikwete na Kinana wote ni ndumila kuwili. Sasa ndiyo anazidi kuongea uongo. Yeye Kinana anadhani watanganyika ni wale wale wa 19....ajajua hawa anao gea nao 20... wajiahaibisha sana badala ya kuondoka siasa kwa heshima. Acha kuharibu Tanganyika nenda kule ulikokuwa nani amekutfuta tena kuleta ufisadi na uongo na wizi wa CCM.
@amosjoseph7241
@amosjoseph7241 2 ай бұрын
Mtumishi unaimani, Mimi nilishasema ukimtazama MTU mmojammoja ndani ya uongozi WA CCM utaona shetani ndani yake
@dillonfoya
@dillonfoya 2 ай бұрын
Mchungaji nakuelewa kwanini wengine hawaongei kama wewe kweli kwa kauli moja Tunahitaji KATIBA MPYA na muda ni huu
@user-dk3ou5yk2f
@user-dk3ou5yk2f 2 ай бұрын
Ukosefu wa sjira Kuwepo kwa Umasikini kumetengenezwa na CCM ili kujikusanyia Machawa kwa urahisi wakitumia RUSHWA
@godwinshoo5032
@godwinshoo5032 2 ай бұрын
Huo ukweli wa watanzania umeupimaje na ni kwanini iliyowataja walikimbia chadema? Tafakari na utulie akili kama mtumishi wa Mungu!
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 2 ай бұрын
Hakika umesama kweli la ccm imekuwa ya ajabu sana
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 2 ай бұрын
Kinana wasira na viongozi wengine mpaka akina nape ni watu wenye hofu kubwa kutokana na matendo waliyo wafanyiya watanganyika na katiba mpya itawatafuna kwakwe ccm inahofu kwazambi wanazowafanyiya watanganyika sasa wajiandae kwa kukatariwa kutuongoza tunajuwa kuwa ccm wanatawara kimabavu bila polisi ccm aipo sasa nyiye polisi muwe na hofu yamungu ndiyo maana mkistafuu mnakuwa ni watu washida hapa nchini mnatualibia taifa letu
@sharralucy5231
@sharralucy5231 2 ай бұрын
Umenena Mtumishi wa Mungu. Ni ukweli tupu. CHADEMA OIYEEEE!!!
@CristinLyanga
@CristinLyanga Ай бұрын
Oyeeeeeeeeee,
@dianamakyara4210
@dianamakyara4210 2 ай бұрын
👏👏👏
@JeromeMbonika
@JeromeMbonika Ай бұрын
Sawa
@user-eo4bl3do8k
@user-eo4bl3do8k 2 ай бұрын
Viongozi wa dini watetea haki wanazidi kuongezeka hii inaleta muono wa mbali wa mabadiliko ya nchi yetu ,,,ccm ni lazima ifunge virago kwa uongozi mbovu
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 2 ай бұрын
Tunaomba viongozi wa dini wote tuige mfano huu tuokomboe nchi yetu sawa mnahubiria habari za ufalme wa mungu basi pia mhakikishi Duniani kuwe na haki watu wa ishi kwa upendo ndipo ufalme wa mungu utakuja huku Duniani viongozi wa dini mkifumba masikio na macho ukweli wa wazi unapindishwa kwa maslahi ya watu wachache kisa wananafasi kwenye serikali au kwenye CCM
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy 2 ай бұрын
Kiukweli watu walioataafu ata akili imestaafu mnawapa nafafsi kubwa ndani ya chama au serekali ndio wanajiona miungu watu.
@ramygichero1016
@ramygichero1016 2 ай бұрын
Makanisa ya machakani hayo toA matubali huko nyuma
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 ай бұрын
NA HAKUNA CHA MAANA ANACHOKIFANYA KATIBA MKOA WAKE. RUVUMA IPOIPO TU.
@IbrahimYohana
@IbrahimYohana 2 ай бұрын
Kama CCM ni kinara wa rushwa na CHADEMA lazima inuke rushwa??? Unapokubali kuwa ndani ya CHADEMA kuna rushwa' je una ushahidi na hilo???
@VolvoMwamakula-ci2we
@VolvoMwamakula-ci2we 2 ай бұрын
Wamejisahau sn ziongozi watu kusema kweli wanakela sn
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 2 ай бұрын
Ongea Mtumishi wa Mungu Tupone
@2003hintay
@2003hintay 2 ай бұрын
Umechoka kuhubiri injili unataka sasa siasa, wenzako anina mwamposa wanapiga hela
KUNA SIRI GANI? HILI NI FUMBO
6:11
Haleluya Tv
Рет қаралды 181 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 30 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 32 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 10 МЛН
TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA#MASANJATV
10:16
Masanja TV
Рет қаралды 57 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 30 МЛН