😍 Mimi ni Moroccan kutoka Ufalme wa Moroko 🇲🇦 Ninaipenda sana Tanzania na ninawapenda watu wake.Nimekuwa karibu sana na wewe, watu bora zaidi duniani.Nimejifunza utamaduni wako, lugha, nyimbo, na kila kitu kwa sababu nakupenda na hivi karibuni nitakutembelea, Mungu akipenda, na nikawa balozi wako katika Ufalme wa Moroko hivi kwamba nilianza kuwaambia marafiki wangu mambo yote juu yako na baadhi yao walipendwa na wewe Kama mimi nakupenda na nitaendelea kufanya hivyo hadi nitafanya wale wote ambao najua wanaipenda Tanzania kama mimi kwa sababu wewe ndiye watu bora zaidi ulimwenguni na nimejua thamani yako na ninatamani kama ningekuwa na wanachama kwenye chaneli yangu ya asili ya kitanzania lakini kwa bahati mbaya sina mtu yeyote ambaye amejiandikisha kutoka Tanzania nakupenda watu wangu wa thamani zaidi katika moyo wangu wakuabudu Kila mtu ambaye damu ya Tanzania inatiririka na natumai kuwa utajiandikisha kwa kituo changu, wewe tu, watu wa Tanzania, hautapoteza kitu chochote ikiwa utaniandikisha, lakini sifa yake ni kwamba utanifurahisha sana, kwani watu 10 wananiandikia na wao ni kutoka Tanzania bora kwangu kuliko wanaosajili 1000 kutoka nchi nyingine, nataka Kuwa na familia kubwa kutoka Tanzania ndani ya chaneli yangu, wewe ndiye kitu cha thamani zaidi hapa duniani kwa sababu nakupenda sana na nimefurahi ikiwa nitawaona kwenye watangazaji wa chaneli yangu kutoka Tanzania na nitakuwa msichana anayefurahi zaidi ulimwenguni kwa sababu ni heshima kubwa kuwa na wanachama kutoka Tanzania Wakati na mtu yeyote anayetaka kufanya utalii katika Ufalme wa Moroko amekaribishwa nyumbani kwangu na salamu elfu nitakufurahi sana🤩
@pastorcarolicarlostokunmbo8264 жыл бұрын
Haha nimeipenda
@ramadhanimohamedisheshe70734 жыл бұрын
Karibia pia Tz.
@abdullahpongwa15374 жыл бұрын
Karibu sana Tanzania
@c-48394 жыл бұрын
Kiswahili murua, hongera
@mwitafabian94034 жыл бұрын
Karibu Sana Tanzania tunakupenda pia👏
@withongelenge9974 жыл бұрын
Hongera ndg.fadhiri hongoli umeonwa
@linusjohn59504 жыл бұрын
Saf sana Dr magufuli
@donussack24384 жыл бұрын
Walioteuliea Ni askari wamiavuli. Hapa ni kazi tuu! Hongereni Sana.
@tzfarming37424 жыл бұрын
Mungua akubariki magu....mkali wao
@sifuelinyaki33414 жыл бұрын
Nampenda sana mkuu anasemaga viwanda alafu anataja kimoja vingine havijui😉
@asmarajabu10084 жыл бұрын
😂😂😂😂
@pamelahaaahthreewifemweeem21414 жыл бұрын
😂😂😂🚶🚶🚶🚶
@pastorcarolicarlostokunmbo8264 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@akilihabibu42034 жыл бұрын
Mheshimiwa rais MAKONDA ni mkuuwa mkoa wa tanzania na nimpambanaji kweli alitaka akaibadilishe kigamboni lakini MUNGU hakupenda kaanguka kwenye kura za maoni. Tunakuomba usimtupe tutupie hatauku KATAVI tunampenda kwa kazizake nzuri (amina)
@obedilaizer22284 жыл бұрын
Mavi yakoo
@bellamy_cc4 жыл бұрын
Mungu akubariki Mkuu wa Nchi
@annaantoni1334 жыл бұрын
Your so good Makonda bado unanafasi wala MH hakuongelei wewe songa mbele heshimu mawazo Yake,mpende na utafika mbali ulijaribu na haukupat bado.unaweza umefanya mazur mkoa WA dar
@fredrickipembe62774 жыл бұрын
Wamemfanyia hila is true makonda anafaa kwa kazi yoyote
@dicksonkilupa22584 жыл бұрын
Ni kweli ikiwezekana aende jimbo la Ukonga akapaweke vizuri Mimi Kura yangu itampata ninamwelewa vizuri ,mapungufu anaweza kuyaondoa maana ni kijana
@nikupyelesyantupwa68264 жыл бұрын
Mtoto anakaaje tumboni
@mwinshame4 жыл бұрын
Kuandika héading ya uongo ni kuonyesha udhaifu wenu kielimu. Wapumbavu wakubwa. No ethic
@kweka14l354 жыл бұрын
Wanataka viewers wengi ndo maana sameandika uongo hapo ili watu waangalie
@mwanahamisnyenzi44294 жыл бұрын
Wamenikera
@mrambamushi67204 жыл бұрын
Achen uongo mbn sjaona katamu vle kuligana na heading
@abelaize4 жыл бұрын
tena ni ukosefu wa akili na kuharibu kazi yake. kisa trending he/she is very stupid hawa ndo wale ambao wnaharibu fani za watu zionekane bogas
@ismailyismaily80724 жыл бұрын
Wapumbavu kweli mm nikionaga ujinga huu m2 unaandika kichwa cha habari chingine na taharifa nyie nachukiaaga washeni kweli hawa kichwa cha habari nyingine taharifa nyingine
@kelvinlwiva53804 жыл бұрын
MUNGU NI MWEMA! Ni ijumaa njema Mungu ameifanya, nakusalimu rafiki! Jana nilikuwa kazini kwangu, alikuja kijana mmoja ambaye anashutumiwa na wenzie kwa kukosa uaminifu, moyoni mwangu Mungu alinitazamisha kitu ambacho napenda kushirikiana na wewe leo. Yule kijana kabla ya hapo hakuwa na maisha mazuri, wale wenzie walimuita toka huko alikokua aje wafanye nae kazi, na kwa wema wa Mungu alifanikiwa kupata pesa zaidi ya 25,000,000/=, pesa ambazo zingetosha kufanya biashara za aina nyingi tu kwa hapa Tanzania, pamoja na kusaidiwa huko kote roho chafu ya kukosa uaminifu ikamuingia, akawaibia wenzie zaidi ya 90,000,000/=,baada ya kukamatwa ikabidi wachukue pesa zote pamoja na zile zake, akabaki sifuri! Nataka nikwambie, hiki sio kitu cha kawaida ni roho kamili ya umaskini, roho ya kuzuia kusonga mbele, habari njema ni hii, MUNGU NI MWEMA! Soma hii “Kwa kitambo kidogo nimekuacha; lakini kwa rehema nyingi nitakukusanya” Isaya 54:7. Pamoja na uovu wote wa huyu ndugu Mungu anaahidi bado anaweza kumkusanya tena na kumsaidia, na hii “Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema Bwana akurehemuye” Isaya 54:10. Mungu anataka kumrehemu mtu fulani leo, inawezekana wewe unayesoma huu ujumbe unashida kama ndugu yetu hapo juu, nafasi ya kufunguliwa na kuponywa mbali na roho hizo chafu ipo, chakufanya ni kumwambia Mungu niko tayari UNISAMEHE NA UNIOKOE, tubu kwa Mungu kwa kumaanisha na uache njia zako zote mbaya,hakika wema wa Mungu utadhihilika kwako, sikia hii “Bali wabaya wanafanana na bahari iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji yake hutoa tope na takataka. Hapana amani kwa wabaya; asema Mungu wangu” Isaya 57:20-21. Vinginevyo hutakaa utulie na ufanye unayotaka na kufanikiwa. TUBU LEO UUONE WEMA WA MUNGU WAKO, Amina! Nakutakia tafakari njema na Mungu akutokee. Kwa msaada zaidi piga: 0756-292-211 au 0711271110 Mwalimu kelvin Nathaniel Lwiva
@jipangemwambajatv33504 жыл бұрын
Amina Rais wa watu
@alfredaloyce53104 жыл бұрын
Hongera sana rais wetu mungu akupe maisha marefu
@lilianluhasi50534 жыл бұрын
Hongera Sana mheshimiwa baba Yetu kuthamini ubora wa mtu na elimu yake na bidii yake
@zawadiwaziri36344 жыл бұрын
Hongera sn kwao... Sisi wengine tuendelee kuwa wavumilivu/wapole. Ipo siku yetu tuu
@hyasintarocky4044 жыл бұрын
Nawaona
@lilianluhasi50534 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana baba yetu katika jina la.Yesu Kristo
@mudibendera93974 жыл бұрын
Safi sana magufuli
@stevenmkuwa99954 жыл бұрын
Nakupenda sana rais wangu
@venancemengo5744 жыл бұрын
duuh kweli kaz kaz TZ
@hassanmsangi35544 жыл бұрын
Mungu hamjalie maisha marefu mfalme wetu wa nchi hana waku fananishwa nae tumuombee hawe na afya nzuri na nguvu achape kz jembe letu
@josephatkaganda2674 жыл бұрын
Nakukubali Sana baba JPM
@silvesternicas85554 жыл бұрын
Sylvester Nicas,Hongera mheshimiwa Rais kwa kumtanguliza Mungu juu ya ukweli wako we ni BABA LETU Ubarikiwe
@jeremiahmosi31054 жыл бұрын
Tunaye Rais Makini sana
@tevintevin62544 жыл бұрын
thats very true about njombe Thank you magu
@dominickbugerula3524 жыл бұрын
Good sanaa honorable JPM
@dominamollel67534 жыл бұрын
Never give.up Makonda, That was God's something good is behind you! Endelea kumtegemea Mungu..mti Wayne matunda siku zote hupigwa mawe.
@farajaoyoo96754 жыл бұрын
Faraja
@herimoshi35504 жыл бұрын
Aisee Huyu Mh JPM ameshushwa na Mungu, Mungu akutunze President wetu, hivi hata kama ulikuwa huipendi CCM , kwa sababu za msingi kabisa, hivi Kweli kuna sababu yoyote kweli yakutomkubali President JPM ! Aisee ni way mimi sikuwahi kuipenda CCM but with Magufuli kura zangu zoteeee, nilichokiona kwenye hizi kura za maoni ni dhahiri kweli JPM amekibadilisha CCM , ile demokrasia iliyokuwa imechimbiwa chini sasa ipo wazi, wale wazee wa rushwa rushwa Safari hii hawana lao, Viva JPM.
@patrickrobison70914 жыл бұрын
Nataman sana ccm ibadilishiwe jina kwa sabab ya kaz nzur anazozifanya mheshimiwa Rais Magufuri maana siyo ya enz za ccm tena,
@mtopwaally87334 жыл бұрын
Unajua maana ya kushushwa ww?
@abdulrahmanngaluma37684 жыл бұрын
Mmmh umerogwa wewe
@ericmlisho34534 жыл бұрын
Oijjjjjioirijrijrjuj
@edenbaraka75334 жыл бұрын
Heri Moshi tumia akili zako kwa faida kwa hv baadh ya watu wanavouawa INA maana huyu kashushwa na Mungu kumbuka ,,,AQULINA WW
@bizuwena6234 жыл бұрын
Huu ni wizi mnatuibia muda pamoja na mb.Hata kama taarifa ya Mh Rais ni nzuri msidanganye ktk kichwa cha Habari.taarifa nyengine
@mrmahmoud12784 жыл бұрын
WALE WALIOCHUKIZWA NA HILI tu UN SUBSCRIBE SOTE
@priscuschuwa31384 жыл бұрын
Ukweli hii ni mbaya Kabisa.Kuudanganya uma kwa kichwa cha habari then content ni kitu kingine kabisa inawapotezea credit yenu kabisa.Watu wengi tutapoteza interest ya kusubscribe post zenu.Kumbukeni kuwarudisha wateja wenu itawacost sana.Hii haikubaliki kabisa.Ni upuuzi mtupu.Jirekebisheni mara moja.
@kyaruskbuberwa45894 жыл бұрын
pole sana mr Makonda usikate tamaa we kidume zidi kupambana
@babuallyabdallah29644 жыл бұрын
Kwa upuuzi huu wa kuongopa. Mtazidi kuwaona wenzenu wapo juu siku zote.. Someni kwa Milard Ayo, Global nk
@lydiambila52054 жыл бұрын
Nakuunga mkono... ni kutojiamini.....WANAONESHA UDHAIFU WA HALI YA JUU SANA.
@mpendwamillanzi71664 жыл бұрын
Ni wajinga
@simonlukiko28503 жыл бұрын
KWELI MKUU
@alikombo29804 жыл бұрын
Mungu amjalie Aisha Mmaka Hamadi Ashinde
@alexmwanyanyala39784 жыл бұрын
thankx
@allythomass92854 жыл бұрын
Tatizo watu wanapenda sana mada kesi
@kulwainnocent51624 жыл бұрын
Magu wewe ni nomaaa
@b.truthful4 жыл бұрын
I salute you Mr. Magufuli wewe ni mfano bora kwa viongozi wa Africa uchaguzi ni mapito tu ila wewe ndie utakae endelea na uongozi maana juhudi zako kwa Watanzania ziko wazi na bado Taifa la Tanzania lakuhitaji
@amosndakama37734 жыл бұрын
Pole Sana kijana Paulo ungeenda kuogombea Jimbo la missungwi nadhani ungeshinda
@selemanitukopamojaabaini11904 жыл бұрын
Baba jesca Rais wangu mungu akulinde tyuu
@alexmitwe214 жыл бұрын
Mungu akutangulie na upite tena
@annamosha28004 жыл бұрын
Nipo upizani lakin nakuamni sana na nakuombea
@tumainiagoro6054 жыл бұрын
The issue is not blood relation ..the issue is performance...Thank you JPM
@goldenfuturemovie394 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i7ennd2cndmzaKM.html
@jacksonmlula52814 жыл бұрын
Yes , That's what we need at all
@neemanjau71524 жыл бұрын
Jamani minampenda Sana huyu raisi .niwapekee.sana.munguampe miakamingi
@mudhihirumikidadi60664 жыл бұрын
Hongera sanna makonda ndo demokrasiyahiyo
@nickoomben81284 жыл бұрын
Tamaa mbaya
@lamsonkilave57504 жыл бұрын
Tamaa ilimponza fisi
@noeldickson70784 жыл бұрын
kabisa mkuu
@cornelfaya37464 жыл бұрын
Namkubali sana makonda kwanza anamsimamo, angepita tu uku tungemchagua bila wasiwasi
@felixngoya72464 жыл бұрын
Wandishi wa vichwa vya habari wasenge kinachoongelewa ni tofauti kabisa wajilekebishe kuandika talifa zinazo ashilia yaliyomo
@myself41284 жыл бұрын
Umetumwa
@MichaelJohnson-ow6me3 жыл бұрын
We unaemchagua makonda itakuwa unawekwa
@shanyabdul23864 жыл бұрын
Tunakupenda baba 💪💪ccm mbele kwa mbele
@winfridikomba8044 жыл бұрын
Namukubal Sana JPM atakama mm ni Chama pinzan ongera Sana mweshimiwa rais kwa jitiada zako kwa kuipigania Tanzania👏👏👏
@edgarlema83094 жыл бұрын
Iyo habari ya makonda iko wapi sasa au mtoa habari kadata
@WAKRISTOKANISALAMUNGU4 жыл бұрын
Safi sana Rais wetu Magufuli.
@paulopetterchipalo54814 жыл бұрын
Sawa mzee
@tizzoimotarity13304 жыл бұрын
Hongera sana mzee wetu Mungu aendelee kukulinda na maadui
@williamvalenzuela88884 жыл бұрын
Asiyesikia LA mkuu ---------- makonda!!!!!!.
@williamvalenzuela88884 жыл бұрын
Asiyesikia LA mkuu ---------- makonda!!!!!!.
@agnessmwendwa75424 жыл бұрын
Mungu yupo pamoja na we
@johanesdeocles63374 жыл бұрын
Makonda poleni sana jipange Sikh nyingine
@mbagaproperty90104 жыл бұрын
safi mheshimiwa
@liberatusemmanuel16544 жыл бұрын
Ndio mzee mambo yako mazuri
@fatmambaroukmwalimu84044 жыл бұрын
Chamra kanta
@franklwehela75954 жыл бұрын
Thanking to Mr.President,kweli naomba uiangalie Njombe yetu kwa jicho la pekee kabisa. Nimefurahi umeizu gumzia barabara ya Makete,naomba uongezee na barabara ya Njombe Ludewa pia. Karibu Sana mkuu mpya wa Mkoa,karibu Sana Njombe.
@rashidjumamohamed34374 жыл бұрын
Issue sio ndugu Issue perfomance Safi sana Huu ndio uzalendo
Kweli magu ni noma yn watumishi wote hao cv zao anazo kichwan co poa
@NkomokomoMedia4 жыл бұрын
Si vzr kuandika uongo kwenye heading
@amiridaz25694 жыл бұрын
Makonda tumfikirie tu
@wiliminajustin76364 жыл бұрын
Jaman
@mamaahmad86154 жыл бұрын
Mzee muheshimiwa kiukweli tunakupenda raisi wetu uko vizur mzee baba mwenyezi mungu akupe uhai mrefu
@agiasaidi52944 жыл бұрын
Amin, inshaAllah
@mussamgonda89534 жыл бұрын
Tamaa nimbaya sana makonda ulikuwa huliziki na unachopata umeyumba sanaaa yan
@phoibembwambo9814 жыл бұрын
Makonda mungu yuko naweee
@samsonsimon78824 жыл бұрын
Never give up man!!!! you fail today you win tomorrow!!!
@benadolphabiandustan41094 жыл бұрын
Mnamaliza mb za watu next time siangalii chochote mtakacho appload
@wistonlaizer51244 жыл бұрын
Mungu msaidie makonda maana amejifunza kwa kweli hata Mimi nimejiongeza sana asante diwani mstaafu kata Sambasha Arusha DC WISTON Melakiti laizer
@mussarashidi67894 жыл бұрын
Wizry
@christinamwambola93294 жыл бұрын
Magufuli jembe, Mungu akulinde
@danieldugange87384 жыл бұрын
JPM FOREVER.
@mkombozsanga4 жыл бұрын
tamaaa sio nzuri
@manyakuulaompondelo44194 жыл бұрын
ULIYEANDIKA KICHWA CHA HABARI HUNA AKILI KABISAAAAAA. NYIE NDO MNAHARIBU SIFA YA IDARA YA HABARI.
@immamlowe71514 жыл бұрын
Ustaarabu sifuri kuandika kichwa cha wongo ni mapungufu
@adolphinakaiza33264 жыл бұрын
Hivi kwa nini msiandike ukweli!!!
@abasilihundu2004 жыл бұрын
Halaf pamoja na ujinga na uongo uliopostiwa lakini ipo kwny trending 🤣🤣🤣
@experiusstephen91674 жыл бұрын
Mti
@veronikamabula71013 жыл бұрын
Bora aliondoka Maswa,kwani aliwanyanyasa Sana wanyonge wa Maswa,hatufai kabisa!!!
@rashadallamki88624 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa Asante Makufuli tu nakupenda xxx
@mohamedmnemba49864 жыл бұрын
Ulioweka kichwa cha habar inafaa TCRA ikuchunguze
@dennisngonyani85944 жыл бұрын
Kitakachombeba Makonda Ni performance yke,
@bestonlufyagila47414 жыл бұрын
vichwa vya habari viendane na kilichomo, mspende kuandika vichwa vya habari ambavyo havisadifu yaliyomo
@ramadhaninyangusi20284 жыл бұрын
Good
@salummwanjali32074 жыл бұрын
Ninapenda kumsikiliza sana mh,Rais kwa kuwajuwa viongozi anaowateua nje ndani na kuwatoa chini kabisa na kuwapandisha juu Mungu azidi kumuweka salama pasipo na misukosuko
@edinajoseph15334 жыл бұрын
Nice
@emanuelsinzo49154 жыл бұрын
huyu jamaa wa GeeMedia pumbavu sana kuna siku aliwah posti samata aweka goli Manchester United.
@fabianycharles39544 жыл бұрын
Da nilipenda Sana makonda achukuwe Jimbo lakigambon
@davidoboy92134 жыл бұрын
Uyo u RC ulikuwa unamfaa sana sjui kitu gani kimempelekea akataka ubunge
@oscarmelo5514 жыл бұрын
Tamaa na kiongoz mwenye tamaa hatufai
@masuseleman9784 жыл бұрын
Weh kigamboni ndo unapoishi ? Au unataka kuleta shobo tuh
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
nenda kampe
@sabunitv21214 жыл бұрын
Hao wa chuo kikuu pia wanahitaji kupewa nafasi ili wawe matured!
@khabibumussa56634 жыл бұрын
Saw
@elithotweve63324 жыл бұрын
Viva JPM
@giftvicent38274 жыл бұрын
Noma sana
@abdallahyasin68294 жыл бұрын
Hata ww mkuu hukukubali katiba mpya. Utaona inchi inaondoka mapema tuu Kwan TZ siyo wale wa ndioooo
@lemsanyajoel83604 жыл бұрын
Hongera Rais...wakati was kuapisha kweli una maneno mazuri yanayoguza moyo...mungu akutangulie kwa kila jambo