Makonda safisha wote hawana maana rushwa tu..Hongera Makonda
@vicentnyanda828Ай бұрын
Hahahaha
@paulvimbamvula950813 күн бұрын
Mungu akulinde Makonda,takuombea muno
@kartelgizemc1590Ай бұрын
Anaesema makonda anafanya maigizo ni mwehu,,
@ashakijaji5869Ай бұрын
Kwa kweli Arusha wamepona stress mbalimbali
@rosetreffert4179Ай бұрын
Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤ Watu wamejaa viburi mtu apokea mishahara alafu anajibu jeuri
@justinog3105Ай бұрын
Rakini Makonda Mungu akupe maisha marefu unaleta amani kwa wananchi nami nakupenda sana nikama umetumwa na Mungu saidia wa nyonge ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@stocks2545Ай бұрын
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunahitaji mtu kama huyu Mr Makonda. Hata akae mwaka moja pekee atoe corruption na ujeuri ulio kwemye viongozi wetu🇰🇪🇰🇪
@breymbasa345128 күн бұрын
Kenya pazito watamtegea na lolote limpate ili apotee kwenye uso wa dunia😢
@johnsonlekashu790120 күн бұрын
Pigweni kwanza mabom
@SalumuMashauriАй бұрын
Mweshimiwa makonda mungu akurinde sana iribadaye uwe mkuu wanchi yetu
@davidfanuel3010Ай бұрын
Mheshimiwa tunakuomba Geita, huku kuna mambo mengi ya rushwa tupu
@kasongoIDDi-mx7gzАй бұрын
SAS wewe wa geita wakina msukuma anafanya nini uko hawapo
@hamudshabani7801Ай бұрын
Shida tunaweka viongozi wajinga ofisini ndio maana yanatokea haya makonda Fanya kazi yako ya kuwatumikia watu.
@HamisiForogoАй бұрын
Anajibu kama katoka ku.......na mke wake eti hujui na mshahara unachukua weka ndani baba makonda piga kazi MUNGU akulinde
@majaliwabwitonde6900Ай бұрын
Kuwa na watu serious kama hwa ni muhimu sana
@hurumajosephat6333Ай бұрын
Nan sasa yuko sereous mwanasheria au mkuu wa mkoa
@majaliwabwitonde6900Ай бұрын
@@hurumajosephat6333 unayo akili ya kuelewa
@RamadanPaulАй бұрын
mkuu wa mkoa.
@user-hh8xl4yc8m23 күн бұрын
Big up Sanaa makonda✅✅
@shaban6644Ай бұрын
Hivi ndivyo inapaswa nchi iendeshwe, Makonda ni Mfano wa Kuigwa na watumishi wengine Serikalini.
@josephatmathiasgalagalabuh786Ай бұрын
Rais Samia asipodhibiti watendaji naona dharau inakomaa
@TabithaObellykasangila7 күн бұрын
Mungu naomba akulinde kila hatua Mh.Makonda safi sana
@purchasesunshine2752Ай бұрын
makonda you are the best piga kazi
@CostantineCholaАй бұрын
Yaani nakuelewa sana makonda RC, wezi hawawezi kukuelewa ila utawashinda tu jipe moyo.
@naturelle1097Ай бұрын
Ebo! hata kama ana kaimu you should know what the hell is going on around you
@user-hu9bf7nw4cАй бұрын
Makonda hafanyi maagizo Bali ,anafanya Kaz nzur kwasabab ndio nafsi yke ilivyo kutenda haki kwa watu, ingekua maagizo mbna wengne mikoa mingne wakuu wa mikoa wapo wapo tu hawayafanyi hayo kama ya makonda kama ingekua maagizo
@mwanduelizabeth2282Ай бұрын
Hongereni sana wana Arusha kwa kupata kiongozi shujaa anayetetea haki za wanyonge.Mungu amewaletea mtu sahihi.
@KelvinAlfred-rc1hqАй бұрын
Chuma kipo arusha Mtakunya moto
@MasseTv1Ай бұрын
Hii sio quality nzuri ya video kwa ukubwa wa media yenu
@edwardshija9630Ай бұрын
Turudishie Makonda wetu Dar
@user-ty2kc5jy7sАй бұрын
😂😂 acha ujinga wewe zamu Kwa zamu
@kamanapomo7029Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-qh2bx5em6j22 күн бұрын
Pambaneni na Mkuu wenu huko Arusha zamu yetu sasa😅😅😅😅
@user-se9no4rg3kАй бұрын
Jamanii makonda
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Yaani mafisadi wangekuwa china ni kupigwa risasi tu, katiba ni muhimu sana kwa sasa
@emilianchibinda82Ай бұрын
Watumishi mnajiaibisha,si Arusha tuu bali popote mlipo yanapofanyika haya.
@user-xl5xi1uq9zАй бұрын
Wanyooshe tu makonda
@miriummbisse2278Ай бұрын
Mungu yuko upande wako makonda mungu atapigana na wanaopigana na wewe usiogope chapa kazi
@Piscesblair14 күн бұрын
We need serious leaders like this man in this country. Ana uthubutu unao takiwa.
@NeemaMasongaАй бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukulinda, kukupigania na akupe afya njema, Makonda wetu.
@DaynessSteven-yr4udАй бұрын
Mungu akulinde Mh makonda
@VictaLupenzaАй бұрын
Hongereni Arusha mungu amewaletea neema
@petroyohana1126Ай бұрын
Makonda the leader 🎉
@ndolimanaamani9106Ай бұрын
Mtu anajibu kibosi bosi
@ProudB71919 күн бұрын
Dharau na jeuri, Inasikitisha sana.
@mswakisaid2320Ай бұрын
Mh.Makonda piga kazi. Mungu anatosha kukulinda kwa uadui wa hayo majizi yaliyotopea
@FrankMkome-df9bnАй бұрын
mungu baba mbariki makonda anachapa
@kulwankuba2785Ай бұрын
Yaani nikose bando la kufuatilia makonda,nitaumia Sana
@barryrioba3934Ай бұрын
Ewe Mwenyezi Mungu Mpe Ulinzi Huyu Mtumishi MAKONDA Aishi Maisha Marefu Na Afya Njema ili Awe Imara Asaidie Wananchi Wengi Walioumizwa Na Viongozi Mashetani.
@HamisiForogoАй бұрын
Piga kazi baba MUNGU yupo anaona
@lucyanney5948Ай бұрын
Najiuliza sana sipati jibu,,,,hivi mtu anapewa nafasi na ndio anapata chakula kwa kulipwa mshahara,,,ila anashindwa kuielezea na ndio kazi yake kila siku,,,aisee watendaji hawapo siriuz
@user-xr8qv9mw9v24 күн бұрын
Twakupenda san mungu akupe maisha marefu
@jerryshah488025 күн бұрын
This guy is a great administrator.
@generosennko834318 күн бұрын
Arusha oyeee. Yaani nawaonea wivu at the same time najisikia raha sana kila nikimuona kiongozi kijana wetu makonda. Wala rushwa, waongo, wavivu mshukuruni mungu. Huu ni wakati wa ukombozi kwenu. Muda wa kunyooshwa umewadia. Tena mumpe heshima yake mkuu wa mkoa
@pauloipanga7881Ай бұрын
Mimi namwombea mungu aka tu miaka miwili juu monduli juuu
@albastarmkawa-gx8pgАй бұрын
😂😂😂makonda anawapeleka mchakamchaka
@khamismgunya4519Ай бұрын
Makonda mm nakupenda bana
@GeorgeGibson-pi3xi21 күн бұрын
Hekima Bro,Maamuzi yafanyike Hila Utashi Wa KiMungu Pia Ukumbukwe.Toa Nafasi Ya Kusikiliza Jambo Kwa Kina,Shirikisha Washauri Wako Maana nao Wana lolote La Kukujuza(Naamini Wao Sio Empty Buckets).Vijana Wenzako Hao/Wazazi Na Walezi Kama Wewe🎩
@wilsonsamike535Ай бұрын
Kuna mtu simuoni kufika mbali 😮😂😂
@reginatyler584929 күн бұрын
Mungu akupe Maisha marefu Muheshima Makonda
@user-tk4es1uw7eАй бұрын
halmashauri tariban yote nchini shida kubwa
@user-zp9qw7oi5wАй бұрын
Uko sahihi huko Jamaa mjinga alitaka kujifanya mjeuli
@YonaNgoka12 күн бұрын
Uje ata tukuyu mweshimiwa kuna wala rushwa weng sana
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc9 күн бұрын
Tky tena
@philipombwambo1980Ай бұрын
Kuna kitu hakipo sawa hapa muda utaongea
@AsiaNgolekaАй бұрын
Unaheshimisha nchi mheshimiwa,wakuu wa mikoa baadhi yao hulea maovu wewe unakitendea vizuri cheo chako hongeraaa chapa kazi baba,kuna uozo mkubwa ktk halmashauri na watendaji au wataalamu wengi.
@ericfelician7996Ай бұрын
Safi sana makonda wazembe hawa hawatakiwi
@FatumaMomboАй бұрын
Ukimaliza hapo njoo Manyara pia
@user-kt2qo4dn5cАй бұрын
Huyo naye kaingia 18 za Makonda
@patrickmukundichalamila3038Ай бұрын
Yani haya mambo yangekuepo tokea zaman aise hata taa za barabarani zisingekua za Sola,lami ingekua standard,mashamba ya miti yangekatwa ovyo,umeme usingekua wa mgao. Hakuna kitu kinanuma kama pale Mtera umeme unatoka pale afu eti kuna baadhi ya wenyeji wa pale hawana umeme😭. Tunazidiwa na Rwanda walianzisha tokomeza nyumba za nyasi na ikawa yani Rwanda nzima haina nyumba za nyasi afu umeme wa kutosha🎉
@BarackaSamweli20 сағат бұрын
Hiyo ngomaa ni yaa Kenya , 😂
@kasongoIDDi-mx7gzАй бұрын
Sasa, wewe geita wakina msukuma anafanya nini huko hawapo
@salumjabir81311 күн бұрын
😂😂😂😂😂....tanzania bhana..vituko kwel
@AbdilahiMririАй бұрын
Jamani jamani mhe RC Makonda hapo hakuna kipingamizi juu ya hao Wananchi kurudishiwa vibanda vyao. Na hilo ni jambo kubwa sana baya Nchi nzima kwenye utawala wa JPM ambapo watu wengi walinyan'ganywa kwa dhulma vibanda vyao Mhe RC Makonda jamani.
@Kanyikatv2610Ай бұрын
Viongozi Hawa mbona wanajibu kwadharau sana, futa kazi hao
@cosmaskulaya5297Ай бұрын
Maigizo yamahamia Arusha na waarusha wanajaaa. Hamna kitu
@florencemeza6540Ай бұрын
Utakuwa fisadi wewe au mtoto
@topfreelancer5151Ай бұрын
Lipa madeni ya watu utakuwa na amani sir
@HamisiForogoАй бұрын
Hakunaga maigizo ya ivyo wewe una afya ya akili
@olivastephano2900Ай бұрын
We chizi nini maigizo yap
@bkkomesho9272Ай бұрын
Tahira wewe, eti maigizo
@amsiabbas3809Ай бұрын
😂😂 Gendere Katema Bingo hiyo
@agreykombe5396Ай бұрын
Nilishasema hamna mikoa korofi kama Arusha Kilimanjaro Kunawahuni walio shindikana
@PeterJohn-sg4oeАй бұрын
Sawa, kwani ukaimu wa idara nn bwana! Tuache manyanyaso, Kaimu Mkuu wa Idara yuko vizuri
@titusmwele6885Ай бұрын
Ndiyo walewale yuko vzr kiaje,anaulizwa swali na mkuu wa mkoa analeta jeur, mbona kwenda kupokea mshahara anaijuwa tarehe,wewe mwenyewe hujielewi na huyo mkuu wa idara 😡
@Ali-zs5ed18 күн бұрын
Huyu mtumishi ni jeuri sana shush cheo huyo Kwanzaa hatufai kabisa
@Barakah2590Ай бұрын
Uwogozi mzuri
@PeterJohn-sg4oeАй бұрын
Kwa hiyo yeye anaweza ajili, anatoa promotion na demotion, utumishi wako wapi wakati watumishi wananyanyaswa?! Sheria na taratibu zikoje