MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!

  Рет қаралды 142,583

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli Leo Oktoba16, 2019 anaendelea na ziara yake Nachingwea na Masasi akiwa ameambatana na baadhi ya mawaziri...
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzfaq.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzfaq.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzfaq.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
kzfaq.info?li

Пікірлер: 141
@emanuelseka7581
@emanuelseka7581 4 жыл бұрын
God bless you Mungu akubariki na akulinde na magonjwa nahatari zote Amen
@lwitikomwakibete7525
@lwitikomwakibete7525 4 жыл бұрын
Raisi wangu pole kwa kazi ngumu unazofanya
@johnferdnand2048
@johnferdnand2048 4 жыл бұрын
Kama umemuona RPC anatia huruma gonga like
@officialjohanesmkandara4301
@officialjohanesmkandara4301 4 жыл бұрын
John Ferdnand kwanza nilijua yeye ndo anatumbuliwa
@princessaidal1130
@princessaidal1130 4 жыл бұрын
John Ferdnand yaan mm ndo mpaka nime feel kulia nilivyoona akitia huruma sana,, nyie watu wanoko kumbe umemuona nww
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 Yaani inavyoonekana na yeye Ana yake ndo maana alitaka kama kulia
@princessaidal1130
@princessaidal1130 4 жыл бұрын
John Ferdnand kabisaaaaa
@iddyprod3187
@iddyprod3187 4 жыл бұрын
JPM ulikuwa wapi toka zamani....?...tutaandamana ili uongoze nchi hii hata miaka 40
@kahroogall5695
@kahroogall5695 4 жыл бұрын
Thanks so much Mimi pia naomba ataware mpaka 2035
@solomtz7049
@solomtz7049 4 жыл бұрын
Ndio mimi nimekubali aongoze miaka 40...tutafika mbali
@noronhacompanylimited5370
@noronhacompanylimited5370 4 жыл бұрын
iddy prod mimi nitayaongoza hayo maandamano mstari wa mbele
@phiniasphinias8963
@phiniasphinias8963 4 жыл бұрын
diwani yuko vizur aiseee.kama anajiamini hiv..
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 4 жыл бұрын
Kumdanganya john c rahisi kama unavyofikiri
@princessaidal1130
@princessaidal1130 4 жыл бұрын
Shamimu Shittindi kabisaaaaa
@salumhamzahamza1920
@salumhamzahamza1920 4 жыл бұрын
Huyu mama Yuko vizuri Sana kwa kuelezea changamoto
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 жыл бұрын
Afu yupo serious kwa maendeleo
@felixmoses9863
@felixmoses9863 4 жыл бұрын
Watakuelewa tu Mheshimiwa Raisi wetu mpendwa
@albartkisusi7226
@albartkisusi7226 4 жыл бұрын
Amina
@abdul-rahimkadhi2322
@abdul-rahimkadhi2322 4 жыл бұрын
Diwani yuko vizuri ...big up
@waltermbelwa4973
@waltermbelwa4973 4 жыл бұрын
Kweli hapo ni kazi tuu.Mambo ya uuhandsome mwisho Chalinze.
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Hii naona chalinze karibu huko ubena karibu na moro
@alirahma8967
@alirahma8967 4 жыл бұрын
Manshallah raisi wawanyonge,mungu asimame nawewe
@phiniasphinias8963
@phiniasphinias8963 4 жыл бұрын
😀😁😁 nasema mpigieni mnanishangaa tu..aisee mzee hataki mchezo kabisa.
@samniza1763
@samniza1763 4 жыл бұрын
I love this! You can and you must, but you need to recruit new young blood to think and see like you do so that when you retire they keep maintaining your system, you can not do it alone abeg ooh!
@paccomabula1456
@paccomabula1456 3 жыл бұрын
Magu has performed your wish.....the parliament is full of young people.
@mwalimabrahmanmohamed8245
@mwalimabrahmanmohamed8245 4 жыл бұрын
Asante maguuu tunakuelewaaa
@eliasboniface8887
@eliasboniface8887 4 жыл бұрын
Wewe ni katapila huchoki, maamuzi magumu, kweli wewe ni jembe mungu wetu tunamshukuru Sana wewe nimfuatiliaji hongera sana
@alisilima3868
@alisilima3868 4 жыл бұрын
Maguu oyeeee
@emanuelseka7581
@emanuelseka7581 4 жыл бұрын
Uko hapo kwa sababu Mungu akutangulie
@a.a.a.s8322
@a.a.a.s8322 4 жыл бұрын
Kiboko ya wazembe. Hakuna ujanja hapa.
@msemwawalter837
@msemwawalter837 4 жыл бұрын
Huyu Rais anamaliza MB zangu kihalali.
@munguaibarikitanzanianawat9254
@munguaibarikitanzanianawat9254 4 жыл бұрын
Mueshimiwa raisi kuwa na subr katika hatua .maana binadamu hatuko sawa mungu akupe subra katika kazi ishallaha..allah akulinde na mitiani unayo ikuta asante penda sana rais wetu
@emilynathanielluvanda8298
@emilynathanielluvanda8298 4 жыл бұрын
NCHI imempata kiongoz
@luizabahati5198
@luizabahati5198 4 жыл бұрын
KWA KWELI HATUTAKI KUBEMBELEZWA SAA HIVI TWENDE HIVIHIVI HII STYLE NI NZURI..ZEGE HALILALI
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
Inabidi nicheke mpigieni au hamtaki🤣🤣🤣😂😂😂
@klaragreen7999
@klaragreen7999 4 жыл бұрын
YAANI UONGOZE TU KAMA NYERERE HATA MIAK 100
@adnaandangaa356
@adnaandangaa356 4 жыл бұрын
Nakuelewasana nawazitapke
@abediiromba1200
@abediiromba1200 4 жыл бұрын
Yuko vzr sana
@hamisikaliza9960
@hamisikaliza9960 4 жыл бұрын
Nakupenda sana Mzee wetu Rais wetu, pole sana kwa kazi ngumu
@bikailamhando5969
@bikailamhando5969 4 жыл бұрын
Asante sana mungu akupe maisha marefu raisi wetu asante kwa kufika kwetu chigugu
@safinaeli5701
@safinaeli5701 4 жыл бұрын
Nitazidi kukuombea rais makufuli.nakupenda mpk naumwa
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 жыл бұрын
Hapa kazi tu! Hakuna kubembelezana!!!!
@zikirination6769
@zikirination6769 4 жыл бұрын
Kazi kwel kwel awamu hii Kama una presha yakushuka Bora ukae pemben
@leinaamos9559
@leinaamos9559 4 жыл бұрын
Hii changamoto
@costantinejoseph4907
@costantinejoseph4907 4 жыл бұрын
ogopa sana sauti ya zege isikufikie kuanzia leo natubu kwa mungu kukupinga ila taendelea kuwa upinzan
@kikongajoel2693
@kikongajoel2693 4 жыл бұрын
Rais kweli unapiga kazi sana mungu akubariki
@hon-mlenga
@hon-mlenga 4 жыл бұрын
logistic President JPJM
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
Nyoosha kabisa Baba Jesca watakuelewa tu
@saifysaid7556
@saifysaid7556 4 жыл бұрын
Mama anakwambia mm naweza haraka haraka
@renatuskailole9568
@renatuskailole9568 4 жыл бұрын
Kazikazi wabongo mafisadi mtanyooooooka!!!!!!! Kubembelezana kwisha
@upendompokigwa5045
@upendompokigwa5045 4 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akulinde kwa kazi nzur asante baba magufuli
@daudijohn5650
@daudijohn5650 4 жыл бұрын
Diwani yuko vzur sana
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 4 жыл бұрын
Piga kazi baba magufuri
@rhiophiri9645
@rhiophiri9645 4 жыл бұрын
Africa needs presidents like magufuli,Tanzanians give magufuli support
@erickmkwera2784
@erickmkwera2784 4 жыл бұрын
Magufuri kiongozi bwana
@alfoncentabwa7133
@alfoncentabwa7133 4 жыл бұрын
hakika rais wetu kaz unayo ngumu xana viongoz unaowateua wanajisahau xana
@barakamwakapoma2702
@barakamwakapoma2702 4 жыл бұрын
Safi sana raisi wangu
@huldanjiro7419
@huldanjiro7419 4 жыл бұрын
wewe shujaa magu
@amazingswahili5025
@amazingswahili5025 4 жыл бұрын
This is my president!
@halisiaisaya7832
@halisiaisaya7832 4 жыл бұрын
Haya mie naweza haraharaka.
@slimjumakimamba3979
@slimjumakimamba3979 4 жыл бұрын
Yani nilikuwa natizama comment kuna mtu kainyaka. Kumbe du umeinyaka nimecheka sana
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 4 жыл бұрын
Safi sana fukuza hadi kieleweke
@alloycejames5285
@alloycejames5285 5 ай бұрын
Kwenye kazi magu was wonderful
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 4 жыл бұрын
Magufuli kanyaga
@nyangimarwa3448
@nyangimarwa3448 4 ай бұрын
Dah jamani pumzika kwa amani Baba
@mamymamiza2924
@mamymamiza2924 4 жыл бұрын
Hii ndio maana ya hapa kazi tu kubembeleza mwisho awamu zilizo pita piga kazi baba mambo ya kujimwambafai oyeeeeeeee maendeleo tunayaona🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
huyu regional commissioner is doing his job. well done sir! oh hapa ni mtwara...safi RC wa Mtwara
@gililwise
@gililwise 4 жыл бұрын
Wanawake tunawezaaa tupeni nafasi ya uongozi.hingera mama kwa kutuwakilisha vema.
@AllyJSingu
@AllyJSingu 4 жыл бұрын
Asante mkuu ubarikiwe sana
@mamymamiza2924
@mamymamiza2924 4 жыл бұрын
Yani rais nakupenda mpaka naumwa mungu akupe afya
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 жыл бұрын
Diwani yuko vizuri sana,mkuu wa mkoa anajiamini safi sana,kamanda wa Takukuru wa mkoa..masikini chaliii...sa sijui alikuwa nje ya mkoa kikazi maskini ya Mungu...Magufuri nadhani uongezewe tu muda wa kutawala, katiba si inabadilishwa tu...kwani kitu gani..bhana
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Yaan watu wengine ni wakwamishaji kweli. Sasa na walaaniwe kisha watupwe mbali. Mana wao ni wanyama hawafai kukaa na binadamu wenye kumcha Mungu. Lkn kumbuka ufisadi ni dhambi.. Sasa nashangaa watu siku hizi hawamwogopi Mungu. Inanishangaza kweli.
@bakarshaban703
@bakarshaban703 4 жыл бұрын
Nenda tanga korogwe vjijini kijj Cha mwenga hakna huduma ya umeme Wala afya mpaka elimu
@venanceshija2025
@venanceshija2025 4 жыл бұрын
Rpc Anataka kulia😂😂😂
@klaragreen7999
@klaragreen7999 4 жыл бұрын
Mtanyooka mwaka huu..PUMBAVU
@kiuwamhina2802
@kiuwamhina2802 4 жыл бұрын
Wanaosema asiongezewe muda wakafie mbele ya safari cc wananchi tushamwongezea, wanataka wavivu na wezi tu serikali tumewashitukia tunamwongezea
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 4 жыл бұрын
KIUWA MHINA tatizo hujui hta bei ya sukari
@yesuanaokoamtumainiyeye1360
@yesuanaokoamtumainiyeye1360 4 жыл бұрын
kweli aongezewe muda
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 4 жыл бұрын
Allon Yocktan hujui anae kulisha anavyoteseka
@sudymgeni701
@sudymgeni701 4 жыл бұрын
Duh mwaka wakazi tu. Papo kwa papo zawadi unapata
@mustafaabdallah822
@mustafaabdallah822 4 жыл бұрын
Pita kibaigwa kongwa
@barakaathumani3481
@barakaathumani3481 4 жыл бұрын
Hapa kazi tuuuuuuuu
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 4 жыл бұрын
Kazi ipo
@humayduwe1762
@humayduwe1762 4 жыл бұрын
Mama umechomoa betri
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
tungepata watu 10 kama former Prime Minister and minister for home affairs Agustino Lyatunga Mrema, duuh wangeshirikiana vizuri sana na Mh. John P Magufuli
@albertremmy3479
@albertremmy3479 4 жыл бұрын
namuonea huruma sana huyu kamanda wa takukuru mkoa wa mtwara. najiuliza hivi kwamfano yupo hospitali kalazwa au yupo kwenye msiba afu anaskia habari hii dah! pole kamanda.
@msovietimjamaa3017
@msovietimjamaa3017 4 жыл бұрын
Kweli ndgu
@oslonorway664
@oslonorway664 4 жыл бұрын
alitakiwa awepo muwakilishi tuache siasa
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 жыл бұрын
Albert Remmy Kunapokuwa na ziara ya mkuu wa nchi, kila mwakikishi wa eneo hilo anatakiwa kuwepo, kama ana udhuru anapeleka mwakilishi wake baada ya kutoa taarifa ya udhuru alionao
@Nuruchoir
@Nuruchoir 5 ай бұрын
Jmn
@ashurar2721
@ashurar2721 4 жыл бұрын
Woyoooo maliza baba apa kazitu
@agneserasto9806
@agneserasto9806 4 жыл бұрын
Hukweri rahis wetu Mpendwa tunakuona hunavyofanya jitiada zote hunazowapigania wananchi wanyonge kweri hunawapambania KI hushujaa
@evodiushenerico2497
@evodiushenerico2497 4 жыл бұрын
Wew ndo jembe letu
@geofreygkivamba9110
@geofreygkivamba9110 4 жыл бұрын
Jumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@smkinuthia6094
@smkinuthia6094 4 жыл бұрын
Powerful President no-nonsense. Why can Uhuru stand like this man and act instead of just talking.
@ommarymgeni1536
@ommarymgeni1536 4 жыл бұрын
bab piga kazi tunakukubali nenda hata kondoa ukawatumbue wamezidi sanaaaa sanaaa
@moranilesoile9125
@moranilesoile9125 4 жыл бұрын
Njoo manyara mh jpm raisi wa wanyonge
@eddyphonce2287
@eddyphonce2287 4 жыл бұрын
Duh,
@BaloMega
@BaloMega 4 жыл бұрын
ABUSIVE OF POWER!!
@NgosweTv
@NgosweTv 4 жыл бұрын
You can't read in a dream because reading and dreaming are functions of different sides of the brain, which don't cooperate while dreams
@saidymkariboymkariboy3330
@saidymkariboymkariboy3330 4 жыл бұрын
hii ndo awamu ya tano bwana5
@fredymjindoseverine1280
@fredymjindoseverine1280 4 ай бұрын
RIP
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 4 жыл бұрын
Kwan aliechukua korosho ninan????? Siasa hizi
@ngakayukadogo8475
@ngakayukadogo8475 4 жыл бұрын
Leonard Johnson itakuwa hujaelewa,korosho zilibebwa na serikali na pesa ikatolewa hao waliotajwa wakazipiga ndio maana wanadaiwa, sijui siasa inaingiaje hapo mzee
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 4 жыл бұрын
Ngakayu Kadogo kwa hyo bunge la mwisho wazir alitudanganya??
@ktravel3527
@ktravel3527 4 жыл бұрын
Hilo ni deni la mwaka 2017 hizo korosho zilinunuliwa na vyama vya ushirika sio serikali
@princessaidal1130
@princessaidal1130 4 жыл бұрын
Magufuli hakikisha unafika Kagera hasa wilaya ya Ngara kuna ushenzi usioelezeka
@fauziaabeid3751
@fauziaabeid3751 4 жыл бұрын
firimoni mboe
@simonsadala2386
@simonsadala2386 4 жыл бұрын
Shkamooooooooooo Mh Rais hahahaaaaa
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc 4 жыл бұрын
Njoo wilaya ya muheza Tanga
@abuuashyam8417
@abuuashyam8417 4 жыл бұрын
Jamani sheria na huruma,hatakuulizwa kama anaumwa au kapata zarura ganiii ya kwanini hajakuwepo,aaaaa,hii sasa toomuch
@athumanikhalid216
@athumanikhalid216 4 жыл бұрын
Angetoa taarifa, kama ni kiongozi mwajibikaji!..
@abuuashyam8417
@abuuashyam8417 4 жыл бұрын
@@athumanikhalid216 hapana ubinaadam kwanza umuulizie japo kwasimu,
@pascalwissi4805
@pascalwissi4805 4 жыл бұрын
Pia tukumbuke Magufuri hakurupuki, lzima ktk ziara hii yote ana taarifa za.huyo mtu.
@symonfx1995
@symonfx1995 4 жыл бұрын
Jamaa mpaka akatoke madarakani naamini baba yangu nae atakua ameteuliwa kua kamshina pia
@gauligunga9516
@gauligunga9516 4 жыл бұрын
Mungu anamakusudi na Tanzania kwa kumleta mtumishi wako rais Magufuli
@SaidSaid-cs7mm
@SaidSaid-cs7mm 4 жыл бұрын
Mikutano ufanye pekeako daaaa 😄
@xelinerparis7365
@xelinerparis7365 4 жыл бұрын
Yan siku nikiteuliwa ntalia kilio cha kisulisuli
@shadrackjoseph5831
@shadrackjoseph5831 4 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu mjalie rais wetu aishi miaka mingi zaidi duniani, aongoze inchi yetu miaka 30 kama katiba itaruhusu
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@franciscogosbert9603
@franciscogosbert9603 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@francejoseph8741
@francejoseph8741 4 жыл бұрын
Wataelewa walizohea kula to na kulala
@britonngale6644
@britonngale6644 4 жыл бұрын
Magu wape adabu hao
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 4 жыл бұрын
Haws ndio Viongozi wakipewa kueleza Matatizo ya Wananchi wanaeleza Vizuri sio Wale Wajinga wajinga Kusifia sifia wakati wananchi wanaishi kwa SHIDA..
@ancomagu9025
@ancomagu9025 4 жыл бұрын
WATANZANI SISI TULIVYO UWA TUNASIFIA WAKITOKA MADALAKANI
@ancomagu9025
@ancomagu9025 4 жыл бұрын
@fortnite beast yani hata sierewi
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 4 жыл бұрын
Asiyekupenda lazima atakubali tu.
@fatumalema3891
@fatumalema3891 4 жыл бұрын
Njoo Kilimanjaro rais wa wanyonge
@florakankutebe3987
@florakankutebe3987 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana kiongozi wetu
@salumnassor3845
@salumnassor3845 4 жыл бұрын
Naskitika kwa nini tokea mwanzo sikumpenda hyu mzee
@christophermilings1142
@christophermilings1142 4 жыл бұрын
pole mzee baba
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 4 жыл бұрын
Sio mbaya umejitahidi kuanza kumpenda.😂😂
@officialjohanesmkandara4301
@officialjohanesmkandara4301 4 жыл бұрын
Pole sana na hongera kwa kutambua makosa yako
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 4 жыл бұрын
Hata ukiondoka tutakukumbuka baba
@kwesinjoku8940
@kwesinjoku8940 4 жыл бұрын
This president a whole joke 😤
@barakamweta9958
@barakamweta9958 4 жыл бұрын
Kweli,hata Tanesco ukilitimba umejaa wanasinzia sana,wanasumbua kutoamita,fukuza wamezidi,wanadharau sana,fukuza wote,toa kabisa
@Sedouf
@Sedouf 4 жыл бұрын
Rais asiyejuwa hata jina la kijiji alichofikia,hii ni kali.Rais anayemfukuza mtu kazi hadharani kwa kosa la kutokuwepo kwenye mkutano bila ya rais kujuwa sababu gani iliyomfanya huyo mhusika kushindwa kuwepo hapo.Ama kweli mmepata rais jiwe ,
@fortidasfidell2681
@fortidasfidell2681 4 жыл бұрын
Asante sana mkuu wa nchi ya Tanzania.
@YassinYassin-vw2zb
@YassinYassin-vw2zb 4 жыл бұрын
Unataka hapa ujuwe sababu ipi wewe unafaham bosi wako anakuja halafu unatoroka nikwamba siyo mchapa kazi kwani siangeacha muwakilishi wewe ndiyo huelewi taratibu zakikazi hongeara sana rais wetu
@zuberiramadhani5062
@zuberiramadhani5062 4 жыл бұрын
ama kweli rais tumepata
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018
1:23:49
"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
11:08
Global TV Online
Рет қаралды 3,7 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 30 МЛН
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3 МЛН
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
MAMA HUYU HAJAOGOPA MBELE YA MAGUFULI AILIPUA HOSPITALI, WAZIRI AMJIBU..
10:57
MZEE ALIVYOMCHONGEA MKURUGENZI 'WA MAREKANI' KWA MAGUFULI NACHINGWEA
17:24
Mtanzania Digital
Рет қаралды 212 М.
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 30 МЛН