Yesu kristo kahishaga tufia msalabani kwaajili ya zambi zetu. kanisaa hii wala ahijakosea Maana angalia kuna baazi yakanisa ahiruusu pombe lakini sasa kuna baadhi yawahumini wao wanaenda kanisani huku wakiwa wamepiga mvinyo tena kwauficho . Sasa hiikanisa kama himefupisha hivovyote sisawa tu. Kwanza wangeliiweka hukukwetu Marekani wahumini wangelikuwa wengi sana
@abokeasukulusucre34302 жыл бұрын
Mimi sijaona kama kunakosa hapo dini hii ingekuwa apakwetu Marekani USA mimi ningekuwa muumini wakwanza katika hili kanisa nimehikubali sana
@bettiejoy-mtotowamama5 жыл бұрын
Sina la kusema mimi ....wacha ni cheke ujinga tu 😂😂😂
@d.i.kd.i.k25515 жыл бұрын
God is indeed merciful.... When finally God does way with the sinners I hope you shall also find a place for them...
@cateogwayo81384 жыл бұрын
Amen indeed God is great..
@zitomomade9303 жыл бұрын
Ukristo sio dini ya mungu kabisa. Iila atuepushe na makafiri kama hawa
@shabamuhidin6342 жыл бұрын
sjawahi kuona mkristo yoyoye ambae anafuata mafundisho ya Yesu na bibilia,hata mmoja
@zanzibaronlytv34705 жыл бұрын
Alhamdulilah am muslim
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Najivunia sana kuwa muislm dini isio na shaka na huezi kushika kitabu chake bila kuwa msafi.ilahuku tanzania nabii tito kumbe anawenzie adi nje ya nchi
@jacksaid4 жыл бұрын
Usipo yaona ya ukweli utaona ya pombe, hatari hii
@godisgreat18454 жыл бұрын
Nashukuru kusikia kanisa hayo hayashangazi maana kanisani kuna mvinyo na qakaubadilisha jina qakaita damu ya Yesu piga kilevi wakristo Yesu kesha wafia dhambi
@patricklochoto-bx1sr5 ай бұрын
Wanafanya mzaha na Mungu
@manganamanganamanganamanga73135 жыл бұрын
Jamani huyu anaehubili watu kunywa. Mmm ama kweri dunia iko mwisho
@amjaadn42775 жыл бұрын
Dunia kwishaaa hii ndio zama za mwishooo
@saidibadawi4696 жыл бұрын
Kazi kwelikweli nilifikili bongo tu.
@michaelmwigulu14916 жыл бұрын
dunia imeisha kwel kwel
@NoniMsafiri5 жыл бұрын
KABISA
@victorngereza54975 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkayoliki kanisa lenye misingi na linalofuata muongozo wa kikristo napnda ukatoliki wangu
@rosemutinda46715 жыл бұрын
Babeli mkuu,mama wa makahaba,chukizo LA nchi Rev:13
@mzimyadavid10305 жыл бұрын
Haaaa!!!!!!! Mungu atuhurumie
@cateogwayo81384 жыл бұрын
Kwa kweli dunia ina mambo, bado siamini maskio na macho yangu ,this is devil at work how can you be Baptist with alcohol which spirit are you receiving..
@Kelvinchristopher0723 ай бұрын
😂😂😂
@wantted67075 жыл бұрын
Afungue branch Kenya.. nijoin praise and worship.
@bellaferrer33905 жыл бұрын
Weweeee!!!!! Nyako wii racha yawaaa
@Princelewismwangip4 жыл бұрын
This is iluminanti
@davidobed3978 Жыл бұрын
Work up don't ask God why?
@alhaddajmohammed47683 жыл бұрын
Huyo Yesu anayo kazi ya kumjibu Mungu Mola Muumba kuhusu hawa wafuasi/waumini wake maana kila Kanisa/dhehebu la Kikristo hujinasibisha na Yesu na humfanya ni Mungu na mwokozi wao ! Wakati Yesu hakuwacha Kanisa wala Biblia! Yesu alikuwa akifanya ibada ktk Masinagogi (Miaikiti ya Wayahudi) na a likuwa akihubiri Injili sio Biblia ! Wapagani (Makafiri/Wafuasi as shetani) wa Antokia na Paulo ndio wamewadanganya Wakristo wakawacha Uislamu dini ya kweli na ndo dini ya mitume wote kuanzia Adam hadi Muhammad S.A. W. wote walikuwa wakihubiri aabudiwe Mungu mmoja tu ambaye ni Allah hakuzaa (hana mwana/mtoto), hakuzaliwa. Matatizo ya kutokusoma na kufanya utafiti ndo hayo yanawakuta Wakristo wanarithishwa kukariri na kutithishana Uwongo ! Uislamu ni Amaan na kujisalimisha/kunyenyekea kwa Allah (Mungu mmoja) pekee kwa kuguata/kutenda anauoyatidhia Allah na kuwacha yanayomchukiza Allah na kwa ufupi hiyo ndo maana ya ibada ya kweli kwa mujibu wa Uislamu. Wakristo na baadhi ya Taasisi za Kisetikali wamrjitungia miongozo/mifumo yao ya kuabudu na kufanya ndo miongozo(dini zao) ktk kuyaendea shughuli za maisha ya duniani na Akhera ! Meenyekufuata mwongozo kinyume na mwaongozo wa Mungu huyo/hao ndo wenyekupata hasara Akhera japo duniani watajiona wanatesa na kufanuwa, wataitwa Waheshimiwa nk lakini wasubiri adhabu za Mungi Mola Muumba na huyo Yesu wao atawakana siku ya Kiama/siku ya hukmu. Wafanye touba, watubu dhambi na waache ushetani wao, wamrejee Allah (Mungu wa pekee), wawe Waislamu ndipo wasalimke/wanusurike na Adhabu ya Akhera. Ndomana msbalaa yanazidi duniani kwa upuuzi ufanywwao na baadhi ya wasojielwa, hawajui kama hawajui na hawajijui kama hawajui. Ni shida !
@mathayowilson15254 жыл бұрын
WALEEEEVI....MAIGIZO MAKUU..
@fahadsanad41633 жыл бұрын
Illuminati part 2 duniani
@petermatonya68905 жыл бұрын
Siku za mwisho
@jacksonfredrick22106 жыл бұрын
😂😂😂😂
@teddyjoackim31526 жыл бұрын
kanisa la walevi Duuh!!!!
@davidobed3978 Жыл бұрын
The end
@sarahstephenofficial26485 жыл бұрын
GOD Why ??? Why all this Lord ?????
@mamaishimwejoshua58185 жыл бұрын
He said in the name of our Father God ??? Which God ? Why is it so hard for him to mention the name of Jesus?
@millicentmadamyaya16085 жыл бұрын
mama ishimwe Joshua he knows the consequences
@angelinamagambo87336 жыл бұрын
Duuh
@hamisikinye61785 жыл бұрын
Faliipupa
@sadettinozcelik47795 жыл бұрын
k
@millicentmadamyaya16085 жыл бұрын
My fellow Christians we have to repent in JESUS NAME 😭😭😭😭🙏🙏🙏 before is too late please please please this is too much
@sadettinozcelik47795 жыл бұрын
Jesus come quickly,hurry up don't wear your sandals....🙈
@dullyvidully77985 жыл бұрын
Hahahahaha wakristo mtapata tabu sana
@letssee204tuone25 жыл бұрын
Dully Vidully Hatutopata kwa jina LA Yesu
@esiveanderson72274 жыл бұрын
Shida gan wkt tu YESU anae tuongoza na kututetea sk zote
@sadettinozcelik47795 жыл бұрын
Jesus come quickly,hurry up don't wear your sandlas...🙈