The Story Book BAHARI na Siri zake za Kutisha / Professor Jamal April azama baharini

  Рет қаралды 465,147

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 512
@farajajoseph2971
@farajajoseph2971 2 жыл бұрын
Kweli nime Amini ww ni professor tena ni wa kwanza kutokea Africa Mungu aibariki kazi ya mikono yako na akupe afya iliyo njema uzidi kutuelimisha Jamal
@lupandesimukindje8170
@lupandesimukindje8170 2 жыл бұрын
Dah inaomba moyo kufanya hivyo kaka. Kweli wewe ni jasari na yote hayo ni kwa sababu yetu ili tujifunze mengi zaidi. Ahsante sana Mungu akubariki
@abubakarmilanzi7861
@abubakarmilanzi7861 2 жыл бұрын
Katika the storybook ambazo uliwahi kuzifanya hii ni dop! Hongera sana. Jitahidi ujielekeze kwenye huu mwelekeo kwani tunavyo vitu vingi Tanzania watu hawavijui. Hongera sana kwa maudhui, kifupi huchoshi!
@paulbidyanguze4401
@paulbidyanguze4401 2 жыл бұрын
Very impressive work
@djoe8266
@djoe8266 Жыл бұрын
Salumu milanzi unamjua
@muadhinalbashary6728
@muadhinalbashary6728 2 жыл бұрын
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2017 katika visiwa vya bongoyo Dar es salaam tulikuwa tumeenda kwa ajili ya uvuvi wa samaki tukatega nyavu yetu ghafla watu wa boya wakaona kurabu zinazama ndio nikatoka mimi na mwezangu tukaelekea majani Kwa ajili ya kufunga madumu kwenye karabu ghafla tukasikia daiva anavuma tabidi tumwambie nahoza Ndipo hapo daiva wetu akaibuka na kuwambia watu kamuona samaki mkubwa wa ajabu
@ibrahmpinga380
@ibrahmpinga380 4 ай бұрын
malizia story
@RichSide-yo6uf
@RichSide-yo6uf Ай бұрын
Ndy
@haafidhaboubakary3097
@haafidhaboubakary3097 2 жыл бұрын
Mara zote kilicho Bora lazima kisifiwe #ProfessorJamal you did it well nimependa the way ambavyo umepresent content ya story, mbali na ubora wa maudhui lakini pia sauti nzuri yenye ladha ya kumshawishi zaidi mkilizaji nayo umebarikiwa hongera sana Lakini ambacho ningeomba as you told us mwanzoni kabisa kuwa utasimulia kuhusiana na mizimu ambayo ipo Zanzibar this also must be good I wish siku moja uisimulie Congratulations to you all wasafi and all who have been included in one way or another to made this for us as your fan we thanks so much and much appriciation and respect to you Guys
@glynisokello4462
@glynisokello4462 2 жыл бұрын
Ur documentaries are incredible professor jamal💜✨✨najivunia kuwa mswahili , this is amazing the world should know of ur work📌
@sashah_ace8598
@sashah_ace8598 2 жыл бұрын
u riskd yo life for , us ur family, and wasafi too MASHALLAH JAMAL
@mohmajaliwa4446
@mohmajaliwa4446 2 жыл бұрын
Tafadhali prof tusimulie kiundan kuhusu maajabu saba ya dunia
@theempire4058
@theempire4058 2 жыл бұрын
Tumsapport huyu jamaa yuko vizur, pamoja sana jamal
@dantegraphix7928
@dantegraphix7928 2 жыл бұрын
#KING professor tupe na ww story book yako ya maisha 1day
@divavlog2764
@divavlog2764 2 жыл бұрын
Jamal, from kenya here, for real you have talent, big up, bro... gd job, you real inspire people out here ranking you, the top story teller in east Africa....
@Dalali_Dodoma
@Dalali_Dodoma 2 жыл бұрын
Your the best man gonga like nyingi kwa jamali hapa
@diasporaadventureswithkadzo
@diasporaadventureswithkadzo 2 жыл бұрын
Hongera Professor... Am a PADI Scuba Diving Instructor and a girl child mentor...!
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
Professor Jamal nimeshinda kweli hata hao ma Ptofessor wakweli hawajafanya utafiti kama huo nakupa medani ya Gold 🏅🏅🏅 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@theresaelizabethelijah117
@theresaelizabethelijah117 2 жыл бұрын
Wow ningependa kufika Zanzibar siku moja inshAllah 🙏🏾❤
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 2 жыл бұрын
Nikirudi saudia baada ya miezi miwili come home
@abdulmohd3550
@abdulmohd3550 2 жыл бұрын
Welcome to zanzibar hakuna matata
@abdulialiy5411
@abdulialiy5411 2 жыл бұрын
Karibu zanzibar
@alifahd5795
@alifahd5795 2 жыл бұрын
Welcome
@WagulimbaOGonline
@WagulimbaOGonline 2 жыл бұрын
Ukatae ukubali haka ka jamaa kana stori Kali Sana ILa Ku mambo uwa kanatupiga live Kabisa Or in or kazi nzuri
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 2 жыл бұрын
Umetisha Sana uko daraja la juu Sana huku Africa unapoteza muda ulaya ndio kunakufaa
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 2 жыл бұрын
kwaiyo Africa akukai watu acha kua mtumwa
@fredmabundagilo6954
@fredmabundagilo6954 2 жыл бұрын
Daah, unajitaidi Sana kutuelimisha vile Dunia ilivyo pamoja na viunbe vyake..
@saidhaji6042
@saidhaji6042 Жыл бұрын
Jamal hongera sana kiukweli The Story book ya mara hii ni ya kipekee sana, umetisha sana Professor, karibu tena Zanzibar.
@jafetzmwacha1503
@jafetzmwacha1503 2 жыл бұрын
Najifunza maisha na safari nzr ya maisha kupitia ww kaka ongera my bro kazi nzr kaka mungu Aku bless
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 2 жыл бұрын
Daaaah jamal uko jasiri kuingia chini yamaji na hauna uzowefu ni moyo
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
Mm najifunz kuogelea ili nikatafut utajir chini ya Bahar
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 2 жыл бұрын
@@aminatanzanya7475 mmmmmmh ok pambana
@adilaamani7027
@adilaamani7027 2 жыл бұрын
@@aminatanzanya7475 utajiri gani
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
@@adilaamani7027 msikilize Jamal vizur ndo utanielew
@ShikoAiddah
@ShikoAiddah Ай бұрын
​@@aminatanzanya7475utajiri uko katika hekalu ya mwenyez mngu,wewe wacha bangi
@tiktokTviral
@tiktokTviral 2 жыл бұрын
Ur the Best Risk Taker All is kutupea Effectively Perfect Education we deserv Trust me #Prof_JAMAL ur LEGENDARY No one ever try this before #BLESSED🙏😊
@israelbarakael2787
@israelbarakael2787 Жыл бұрын
Daah umejitahidi bro kutafutiya hii story mungu akupe uwezo zaidi tujuwe mengi zaidi kaka one love
@amelianadhif.6849
@amelianadhif.6849 2 жыл бұрын
Hongera kwa kweli umishinda majaribu ....binafsi siwez na sitajaribu lbda iwe ni lzm ila mwenyewe Sina hina ndoto
@salim02tv24
@salim02tv24 2 жыл бұрын
We ni mzug uliyevishwa ngoz ya kiafrikaa... Bigupbrodah
@mc_mackpesa
@mc_mackpesa 2 жыл бұрын
Kenyan top comedian Nakurank Jamal amazing talented story taller
@abubakariali9848
@abubakariali9848 2 жыл бұрын
Professor upo njema san kuliko kawaid ila kuna jambo moja liache kipindi unazungumza..... #mapozi yakizidi san baada ya mamb uraharibu... punguza kujitikisa unapozungumza ... Much respect broo ur next level
@filbertivo1988
@filbertivo1988 2 жыл бұрын
Kwel Kabsaaa,,, aweke pozi hzooo akiwaa anahadisia story na sio akiwaa anaongea kawaida
@rayyanjulliet4694
@rayyanjulliet4694 2 жыл бұрын
Jamal u so genius😂😂kweli unaependa kazi yako😘😘...ua mum must be so proud of u!...the way i was holding my breath😂😂😂ungedhani mimi ndio nmeingia kwa maji...good job mkuu
@visionstudios6804
@visionstudios6804 2 жыл бұрын
Na ushaambiwa ku hold breath is one very big mistake 😅
@POPkateshian
@POPkateshian 2 жыл бұрын
Julliet mambo
@POPkateshian
@POPkateshian 2 жыл бұрын
Julliet mambo
@rayyanjulliet4694
@rayyanjulliet4694 2 жыл бұрын
Kateshian safi sana😘
@POPkateshian
@POPkateshian 2 жыл бұрын
@@rayyanjulliet4694 nkajua umehold breath mpak Leo kumb bado upo hai
@user-qz4ky3kj7r
@user-qz4ky3kj7r Жыл бұрын
Daah Mungu akujarie jamar April na akibariki sana
@otuuyagodson8791
@otuuyagodson8791 Жыл бұрын
That guy training Jamal is an expert. Kudos to both of them 👏👏
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 жыл бұрын
Hapo ndipo utajakubali uchawi wa mzungu kwa maana ukishavaa hayo mavazi ya Diving hata uwende deep kiasi gani wanyama na viumbe utakavyokutana navyo huko chini vinakuona kama mwenzao vile yann
@jimyjastini9995
@jimyjastini9995 2 жыл бұрын
Big jamari nakukubari kama simba diamond Big Rambo 🦁🦁❤❤❤❤💎🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@aliabdallah8908
@aliabdallah8908 2 жыл бұрын
Proffessor Jamal we love u thnks kwa kaz zako nzri
@alnaseralshaukail3350
@alnaseralshaukail3350 Жыл бұрын
Hongera sana mwenyezimungu akupe hitaji la moyo wako Inshallah
@martohsity
@martohsity Жыл бұрын
Jamal I love it....make sure unaweka yenye inaweza kujidownload ndio tuwatch baadaye
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Tanzania imebarikiwa, Zanzibar, Mt Kilimanjaro, victoria, Ngorongoro... nyinyi bado mpo usingizini.... your country is the tourist capital of the world....
@FatmaAbdulkadir-in2zx
@FatmaAbdulkadir-in2zx 3 ай бұрын
Asalam aleykum mashAllah Allah akuzidishie ujasiri natamani ningekua n uwezo nami pia ningefika huko kujionea Ufalme Wa ALLAH
@ausoniusrugaba3248
@ausoniusrugaba3248 2 жыл бұрын
Dah! Mungu anamaajabu yake. Endelea kutujuza maana bado tuko kwenye Giza . Nakukubali
@ntiliyothomas5146
@ntiliyothomas5146 2 жыл бұрын
Jamari mstafa wewe ni kichwa zaidi ya kichwa hongera kwa kipaji
@josephsimba3007
@josephsimba3007 Жыл бұрын
Watcha nikupende mwalimu wewewwww ni mwalimu kweli 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥 nakupenda sana kutoka congo 🇨🇩🇨🇩
@peteranthony410
@peteranthony410 2 жыл бұрын
Hauna mpinzani kaka wew ni ziadi ya noma kabisaaa
@johnsanga9528
@johnsanga9528 2 жыл бұрын
Unajua sana unachokifanya kaka na team wasafi.
@abeidabdullwarith8991
@abeidabdullwarith8991 2 жыл бұрын
Wanasayns wanazamia baharini lakini hawataki kusema ukweli kwsbabu wameona maajabu ya Allah mengi sana na kuhusu uislam. Huku chini utaona mawe yaliokua yanasjudu mengine yanarukuu yaani usilamu upo huko na kuna viumbe vinamuabudu mungu
@emmanuelchaplingi9050
@emmanuelchaplingi9050 2 жыл бұрын
Sasa ukiongea lazima uisemee uislam dini ni imani kile unacho amini lakini mwenyezi MUNGU hapatikani kwenye uislam MUNGU anapatikana kwenye mioyo yetu tukimwamini yeye sijui umenielewa
@mbokaicon5507
@mbokaicon5507 2 жыл бұрын
Kama ingekuwa n kweli basi ingesemwa kama mpk wewe unajua means kuna m2 alienda akaona mambo hayo ndo akaja kusimulia usi2changanye kuleta mambo ya udini hapa hiyo n iman2
@themontanas1852
@themontanas1852 3 ай бұрын
Pia wewe nenda ukaabudu mbona waabudu misikitini nenda chini ya bahari ukaswali
@haikajohn7580
@haikajohn7580 2 жыл бұрын
Amen umerudi salama,mungu atukuzwe nakukubali sana mwanangu
@faa0099
@faa0099 2 жыл бұрын
My sweet home
@wazeermousa4386
@wazeermousa4386 2 жыл бұрын
Maeneo gn.. bububu au
@awadhally1052
@awadhally1052 2 жыл бұрын
Faiza❤
@faa0099
@faa0099 2 жыл бұрын
@@awadhally1052 yes
@irenemzirai5890
@irenemzirai5890 2 жыл бұрын
Jamal we ni mkali sana yan....ivo tu
@jorammwakyando4677
@jorammwakyando4677 2 жыл бұрын
Itoshe kusema tumebarikiwa wapigaji na wadangaji Lkn huyu tulie barikiwa ni professor haswa congratulations all the best
@muranisalim3572
@muranisalim3572 2 жыл бұрын
Jamal April nice nakupata nikiwa from 🇧🇮🔥🔥
@dorcasjoseph3179
@dorcasjoseph3179 2 жыл бұрын
Woow
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother
@Super-Diamond-Studio
@Super-Diamond-Studio 2 жыл бұрын
Wasafi 4life 💎 Napenda Sana Munavyojituma ila zidisheni Vipiti Kwenye Tv...
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 2 жыл бұрын
Ahsant Sana kwa ubunifu wenu tunapata vitu vinavyo vutia na vya tofauti Sana
@user-hr2it9gc1n
@user-hr2it9gc1n 2 жыл бұрын
Nenda na kisiwan mafia ukaitangaze kwa vitu vya kitali ila bg up brooo💖💜💞💓
@AmCool_
@AmCool_ 2 жыл бұрын
I love my Zanzibar
@amlialoyce619
@amlialoyce619 2 жыл бұрын
Upo vizuri professor
@danielmakau5131
@danielmakau5131 2 жыл бұрын
Good work Prof Jamal. kindly Bring us the Story of Daniel. Thank you
@shilagijisandu3101
@shilagijisandu3101 2 жыл бұрын
Yaan wewe Jamal mungu atakulipa kwa ubunifu huo 🙏🙏🙏
@emmanueljonas84
@emmanueljonas84 2 жыл бұрын
wasafi ni kubwa kwa sababu ina watu wanaosubutu kufanya mambo
@sharinv8864
@sharinv8864 2 жыл бұрын
Napenda ubunifu wa kazi yako jamal very good.
@tifahhamiar8739
@tifahhamiar8739 Жыл бұрын
Thanks Jamal for your historic story, am glad you tell it well... I love it👍
@silverboy3065
@silverboy3065 2 жыл бұрын
Am watching you my brother i like what you doing
@achouasha2073
@achouasha2073 2 жыл бұрын
Ma sha Allah Baba ,Maman,Mtoto wote umesahau mke wako
@sergeizanzibar7415
@sergeizanzibar7415 2 жыл бұрын
U are the professional speaker who I do like coz u do explain all that people never know that is why I really like to listen to u
@Manyanyatv8551
@Manyanyatv8551 2 жыл бұрын
Baarakallahu fiika Maana nimeinjoy mno.
@omarkibwanabaluna2410
@omarkibwanabaluna2410 2 жыл бұрын
the guy is training Jamal is a professional diver
@mchagashop1342
@mchagashop1342 2 жыл бұрын
Hongera Sana professor April
@allyberto7617
@allyberto7617 2 жыл бұрын
Good I saw my school Zanzibar diving
@josephndunda6390
@josephndunda6390 2 жыл бұрын
hongera kazi zuri Sana 💙💙💙💙🇰🇪🇰🇪💛💚
@utamuwaleo1970
@utamuwaleo1970 2 жыл бұрын
Nice experience professor, nimejifunza sana ila ungejali kama ungeandika contacts za hao jamaa ... ningeshukuru sana
@mastaphamawazo750
@mastaphamawazo750 2 жыл бұрын
Nakubal Sana broo upo vizur napenda Sana kuangalia the story book
@kambiyusufu7709
@kambiyusufu7709 2 жыл бұрын
Love you jamal
@ndagdenise194
@ndagdenise194 2 жыл бұрын
Hongera saana professor. Tuna kufata toka Uganda
@ramzmasharworldking8795
@ramzmasharworldking8795 2 жыл бұрын
mashallah
@aminasaleh6134
@aminasaleh6134 2 жыл бұрын
Kaz mzur jamal respect
@williamkishegena9205
@williamkishegena9205 2 жыл бұрын
I am delighted to have heard several projects of an amazing storyteller as you sire. I am a voiceartist based in Tanzania and am longing to launch a project with you sir.
@peternjoroge9509
@peternjoroge9509 2 жыл бұрын
P0
@jremmah
@jremmah 2 жыл бұрын
Creativity one nakukubali sana kaka
@angelmariaotieno2253
@angelmariaotieno2253 2 жыл бұрын
Hongera sana jamal wewe ni
@evaristmrope
@evaristmrope 2 жыл бұрын
I really appreciate boss Jamal
@astonomer
@astonomer Жыл бұрын
your so amazing and differ I learn many thing to you broh am proud of you nigguh
@mbwisaaa07
@mbwisaaa07 2 жыл бұрын
Professor. Kisiwa cha mafia wamewahi kuonekana ao wanaoitwa nguva. Very interested story fanya research hiyo watanzania tutavutiwa sana. Walikuja hata wazungu kufanya utafiti huo 2018
@hopesteven9732
@hopesteven9732 2 жыл бұрын
Wonderful experience never seen before,, dunia ina mengi sana ambayo hatuyajui... Ila yote ya yote ni utukufu wa Mwenyezi Mungu. Ni uumbaji wa kipekee sana,, huwa nashangaa sana wazungu na wanasayansi wanajikita na mambo ya nje ya dunia wakati mambo tuliyo nayo tuu hapa hapa duniani hatujayamaliza
@alainmuhindo2137
@alainmuhindo2137 2 жыл бұрын
WE jama una juwa sana aisé 🔥🔥🔥🔥
@anittasamwely8297
@anittasamwely8297 2 жыл бұрын
Wasafi 4life♥️🔥😘
@fadhilshafi2947
@fadhilshafi2947 2 жыл бұрын
really appreciated kwa kazi nzuri brother Jamal , keep moving
@edmundrutahiwa
@edmundrutahiwa 2 жыл бұрын
Brother wee ni hatari sanaa big up sanaa
@faa0099
@faa0099 2 жыл бұрын
Napenda hii thestorybook and msimuliz anafanya part yake mashallah
@venacemorice1160
@venacemorice1160 2 жыл бұрын
Wasafi mko juu sana kwanin hampewi tuzo
@joleenmasha
@joleenmasha 2 жыл бұрын
Yaani Leo story Book imekuwa dop 👏💪👍
@idungaphotostudio3576
@idungaphotostudio3576 2 жыл бұрын
Safi sana jamal nimeipenda hiii story book nimeipenda
@kennedyprime3630
@kennedyprime3630 2 жыл бұрын
Nat Geo should see this.Jamal to the world
@wessaboy7305
@wessaboy7305 2 жыл бұрын
Tamu story🔥🔥🔥
@Clahjkmtaeyoongi
@Clahjkmtaeyoongi 2 жыл бұрын
Trainer his so cute Am inlove with him💕Comin to zanzibar🛫
@makalatv2435
@makalatv2435 2 жыл бұрын
Tenaa
@zuli.comedy.
@zuli.comedy. 2 жыл бұрын
Your welcome
@maryamgalu5523
@maryamgalu5523 2 жыл бұрын
Kazi nzuri
@realest_g4hunnid249
@realest_g4hunnid249 2 жыл бұрын
Akhy i love this guy from kenya proffesa 💝 39:00 👏
@mwanaharakati1926
@mwanaharakati1926 2 жыл бұрын
Kenya wapi coz pia mm nko kenya
@abuuakhy4001
@abuuakhy4001 2 жыл бұрын
Ni gay ama
@realest_g4hunnid249
@realest_g4hunnid249 2 жыл бұрын
@@abuuakhy4001 hahahahaha i love him like a bro, You people got dirty mind
@realest_g4hunnid249
@realest_g4hunnid249 2 жыл бұрын
@@abuuakhy4001 am not female that's all you need to know
@johnsonlivingstone4479
@johnsonlivingstone4479 2 жыл бұрын
am really pleased to hear several stories & documentaries from you prof April,, may God be with ue for more good en better works
@ricktales96
@ricktales96 2 жыл бұрын
Jamal April is good documentarian , your Good teacher, your good in telling stories don stop bro ever , #thestorybook forever 🙏
@mwanajoy9280
@mwanajoy9280 2 жыл бұрын
Professor ni mmoja tuu Africa
@zuhuraamri5344
@zuhuraamri5344 2 жыл бұрын
Nimeipenda sanaaa hii Jamal...safiii sanaaa nice experience..uko vizuri.
@zubedamustapha7256
@zubedamustapha7256 2 жыл бұрын
MashaAllah
@beauteservice
@beauteservice 2 жыл бұрын
Pole sana kwa kazi ngumu
@adolphendereyabandi5746
@adolphendereyabandi5746 Жыл бұрын
It's great work keep up we are still with us 5 out of 5. I get you from Burundi
@latifamedina6005
@latifamedina6005 2 жыл бұрын
Kama unamkubali professor gonga like hapa
The Story Book: Mambo 20 ya Ajabu Zaidi Ya Viumbe Na Wanyama Pori
37:48
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 8 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 22 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 18 МЛН
The Story Book: Watu wenye uwezo Usio wa Kibinadamu.
31:02
Wasafi Media
Рет қаралды 649 М.
Unamkumbuka MERLIN? Jamaa anaSIRI za AJABU!!!!!.
6:20
Nicholas Mwita
Рет қаралды 3 М.
The Story Book: TSUNAMI ‘Wimbi la Kifo’
29:07
Wasafi Media
Рет қаралды 405 М.
The Story Book: WAMASAI na Mila za Ajabu za Makabila Ya Waafrika.
49:20
The Story Book: Mike Tyson Aliyebarikiwa na Kulaaniwa
49:27
Wasafi Media
Рет қаралды 864 М.
Хитрая ГОРНИЧНАЯ вернула ДОМ матери 😱 #shorts
0:57
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 2,7 МЛН