MFAHAMU ASKOFU NZIGILWA "WALEI NIMEISHI NAO VIZURI,MPANDA WAJIANDAE NINA MIPANGO MINGI".

  Рет қаралды 23,850

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

4 жыл бұрын

Mahojiano maalumu na Askofu Mteule wa Jimbo Katoliki Mpanda,Fahamu historia yake,Alipokeaje Kuteuliwa kuwa Askofu kwa mara ya Kwanza na Mengineyo.

Пікірлер: 40
@kulwaedgar2683
@kulwaedgar2683 10 ай бұрын
Hongera sana Baba Askofu Nzigirwa ,Dessatation yako ilikuwa Excellent,,nimewahi kuiona na kuisoma
@nestorymhagama2600
@nestorymhagama2600 4 жыл бұрын
Asante sana Nimefurahi unavojieleza kwa Tabasamu na furaha kubwa BABA ASKOFU NZIGILWA
@user-nv8cf7zw7u
@user-nv8cf7zw7u 15 күн бұрын
Mungu akubariki baba
@beatricenangale5439
@beatricenangale5439 Ай бұрын
Ohhh Baba Mhashamu Hongera sana nakumbuka Dodoma ulikuwa ukitutembelea hadi kwenye Jumuiya, ukituuliza maswali kuwa tangu kumekucha wangapi wamechukua Biblia wakasoma, kwa kweli kwa muda mfupi uliolaa Dodoma, tulishuhudia maendeleo makubwa ya Kanisa, Mashule yakajengwa ya St. Peter Clever, mashamba makubwa ya zabibu, makanisa n.k. Mungu azidi kukupa nguvu za kumtumikia
@nestorymhagama2600
@nestorymhagama2600 4 жыл бұрын
Hii nzuri sana Kiukweli nawaomba waandishi wa HABARI TEC hakikisheni hili liwe endelevu ili tuwafahamu vizuri Maaskofu wetu Tz hata wengine watu na viongozi maarufu ndani ya kanisa tutafurahi sana jamani. Tuna wanamziki na watunzi wa Mziki Mtakatifu wamiaka mingi n.k
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC 4 жыл бұрын
Tembelea humu utaona mengi
@gild1
@gild1 7 ай бұрын
Muda wote umejawa na furaha, utulivu na ujasiri wa KIIMANI. Mungu azidi kukutumia kama chombo chake baba🙏🏿
@davidgimanwa484
@davidgimanwa484 2 жыл бұрын
aminaa baba askofu we gift from God to be servant of people pia xafari yako inatupa nguvu that mean no xhort cut life in success
@raphaelchibunda1541
@raphaelchibunda1541 4 жыл бұрын
Hongera sana Baba Askofu Mungu akujalie utume mwema
@user-hw8nh9eu7n
@user-hw8nh9eu7n 2 ай бұрын
Hongela sana bab askof wa jimbo la panda
@piuskusekwa3128
@piuskusekwa3128 4 жыл бұрын
Hongera Sana baba askofu nzigilwa mungu akupe hekima na afya uwaongoze vema waanampanda
@deuskilunga5264
@deuskilunga5264 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Baba Askofu Nzigilwa.
@scholaemanuel7677
@scholaemanuel7677 8 ай бұрын
Yaani mm nakupenda Sana hata mwahashamu Luzoka anafahamu hilo
@georgerogath9055
@georgerogath9055 4 жыл бұрын
Hongera sanah baba Askofu Mungu akujalie utume mwema tume zaliwa mwezi mmoja na tarehe moja daaah
@mathiaskalenzi2937
@mathiaskalenzi2937 3 жыл бұрын
Uzidi Kudumu Karina Utume
@happynesslucass8525
@happynesslucass8525 3 жыл бұрын
Nakupenda sana baba
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 4 жыл бұрын
Nitamshukuru Mungu Kila Wakati,amenitendea mambo makuu,siku zote aniongoza
@kapolesyaelimu3343
@kapolesyaelimu3343 4 жыл бұрын
HONGERA SANA BABA ASKOFU. MUNGU AZIDI KUKUINUA
@patrickmkambilwa9932
@patrickmkambilwa9932 4 жыл бұрын
Utume mwema katika Bwana wetu yesu christu
@marshal6903
@marshal6903 4 жыл бұрын
Good
@patrickmkambilwa9932
@patrickmkambilwa9932 4 жыл бұрын
Amina
@bertojr2130
@bertojr2130 4 жыл бұрын
Mahojiano mazuri sana. Ningeomba mfanye mahojiano na Baba Askofu Filbert Mhasi wa Jimbo la Tunduru-Masasi
@hamphreychalamila
@hamphreychalamila Жыл бұрын
Ndio kwakweli....sijaona pia interview yake ...
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 4 жыл бұрын
Utume mwema Baba
@tajpitanzania1657
@tajpitanzania1657 4 жыл бұрын
Stop wondering why people don’t treat you the same way you treat them. Not everyone has a heart as big as yours.
@emmanuelcharles1442
@emmanuelcharles1442 4 жыл бұрын
Kila lakheri baba nzigilwa hko jimbo la mpanda
@wilonjabikey8274
@wilonjabikey8274 Жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki
@piuspascal7833
@piuspascal7833 4 жыл бұрын
Nice conversation
@linajoseph7721
@linajoseph7721 2 жыл бұрын
Hongera sana Babaa Mungu akuongoze katita utume wako
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 2 ай бұрын
Mungu mkubwa
@xerxespersian1384
@xerxespersian1384 4 жыл бұрын
Miongoni mwa watu HADHIMU sana MAY ALLAH GRANT U LONG LIFE INSHAALLAH🤲🙏
@piusngow5677
@piusngow5677 4 жыл бұрын
Utume mesma Baba
@orastomapunda8559
@orastomapunda8559 4 жыл бұрын
Karbu sana baba etu mpanda
@johnmgalatia5375
@johnmgalatia5375 9 күн бұрын
KUMBUKUMBU YANGU NAKUMBUKA MLIPATIA UPADRI MSIMBAZI NA KINA APOLINARY NGIRWA
@numbeshabani9981
@numbeshabani9981 4 жыл бұрын
Ping-pong
@deuskilunga5264
@deuskilunga5264 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Baba Askofu Nzigilwa.
@nestorymhagama2600
@nestorymhagama2600 4 жыл бұрын
Hii nzuri sana Kiukweli nawaomba waandishi wa HABARI TEC hakikisheni hili liwe endelevu ili tuwafahamu vizuri Maaskofu wetu Tz hata wengine watu na viongozi maarufu ndani ya kanisa tutafurahi sana jamani. Tuna wanamziki na watunzi wa Mziki Mtakatifu wamiaka mingi n.k
@cyrillaurian1584
@cyrillaurian1584 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema na muweza wa yote. Nimejifunza kitu toka kwa Askofu Nzigilwa. Mungu awe nawe.
@emmanuelcharles1442
@emmanuelcharles1442 4 жыл бұрын
Kila lakheri baba nzigilwa hko jimbo la mpanda
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 11 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 15 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 21 МЛН
MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA
14:14
PADRE ALIYEMLEA FR.CHESCO AELEZA MAZITO,ALIKIMBIZA MWENGE KITAIFA,VIPAJI LUKUKI
24:46
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 13 М.
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 11 МЛН