Mahojiano maalumu na Askofu Mteule wa Jimbo Katoliki Mpanda,Fahamu historia yake,Alipokeaje Kuteuliwa kuwa Askofu kwa mara ya Kwanza na Mengineyo.
Пікірлер: 40
@kulwaedgar268310 ай бұрын
Hongera sana Baba Askofu Nzigirwa ,Dessatation yako ilikuwa Excellent,,nimewahi kuiona na kuisoma
@nestorymhagama26004 жыл бұрын
Asante sana Nimefurahi unavojieleza kwa Tabasamu na furaha kubwa BABA ASKOFU NZIGILWA
@user-nv8cf7zw7u15 күн бұрын
Mungu akubariki baba
@beatricenangale5439Ай бұрын
Ohhh Baba Mhashamu Hongera sana nakumbuka Dodoma ulikuwa ukitutembelea hadi kwenye Jumuiya, ukituuliza maswali kuwa tangu kumekucha wangapi wamechukua Biblia wakasoma, kwa kweli kwa muda mfupi uliolaa Dodoma, tulishuhudia maendeleo makubwa ya Kanisa, Mashule yakajengwa ya St. Peter Clever, mashamba makubwa ya zabibu, makanisa n.k. Mungu azidi kukupa nguvu za kumtumikia
@nestorymhagama26004 жыл бұрын
Hii nzuri sana Kiukweli nawaomba waandishi wa HABARI TEC hakikisheni hili liwe endelevu ili tuwafahamu vizuri Maaskofu wetu Tz hata wengine watu na viongozi maarufu ndani ya kanisa tutafurahi sana jamani. Tuna wanamziki na watunzi wa Mziki Mtakatifu wamiaka mingi n.k
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC4 жыл бұрын
Tembelea humu utaona mengi
@gild17 ай бұрын
Muda wote umejawa na furaha, utulivu na ujasiri wa KIIMANI. Mungu azidi kukutumia kama chombo chake baba🙏🏿
@davidgimanwa4842 жыл бұрын
aminaa baba askofu we gift from God to be servant of people pia xafari yako inatupa nguvu that mean no xhort cut life in success
@raphaelchibunda15414 жыл бұрын
Hongera sana Baba Askofu Mungu akujalie utume mwema
@user-hw8nh9eu7n2 ай бұрын
Hongela sana bab askof wa jimbo la panda
@piuskusekwa31284 жыл бұрын
Hongera Sana baba askofu nzigilwa mungu akupe hekima na afya uwaongoze vema waanampanda
@deuskilunga52644 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Baba Askofu Nzigilwa.
@scholaemanuel76778 ай бұрын
Yaani mm nakupenda Sana hata mwahashamu Luzoka anafahamu hilo
@georgerogath90554 жыл бұрын
Hongera sanah baba Askofu Mungu akujalie utume mwema tume zaliwa mwezi mmoja na tarehe moja daaah
@mathiaskalenzi29373 жыл бұрын
Uzidi Kudumu Karina Utume
@happynesslucass85253 жыл бұрын
Nakupenda sana baba
@mungholomakalanga89584 жыл бұрын
Nitamshukuru Mungu Kila Wakati,amenitendea mambo makuu,siku zote aniongoza
@kapolesyaelimu33434 жыл бұрын
HONGERA SANA BABA ASKOFU. MUNGU AZIDI KUKUINUA
@patrickmkambilwa99324 жыл бұрын
Utume mwema katika Bwana wetu yesu christu
@marshal69034 жыл бұрын
Good
@patrickmkambilwa99324 жыл бұрын
Amina
@bertojr21304 жыл бұрын
Mahojiano mazuri sana. Ningeomba mfanye mahojiano na Baba Askofu Filbert Mhasi wa Jimbo la Tunduru-Masasi
@hamphreychalamila Жыл бұрын
Ndio kwakweli....sijaona pia interview yake ...
@manyakuulaompondelo44194 жыл бұрын
Utume mwema Baba
@tajpitanzania16574 жыл бұрын
Stop wondering why people don’t treat you the same way you treat them. Not everyone has a heart as big as yours.
@emmanuelcharles14424 жыл бұрын
Kila lakheri baba nzigilwa hko jimbo la mpanda
@wilonjabikey8274 Жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki
@piuspascal78334 жыл бұрын
Nice conversation
@linajoseph77212 жыл бұрын
Hongera sana Babaa Mungu akuongoze katita utume wako
@daudimaembe33602 ай бұрын
Mungu mkubwa
@xerxespersian13844 жыл бұрын
Miongoni mwa watu HADHIMU sana MAY ALLAH GRANT U LONG LIFE INSHAALLAH🤲🙏
@piusngow56774 жыл бұрын
Utume mesma Baba
@orastomapunda85594 жыл бұрын
Karbu sana baba etu mpanda
@johnmgalatia53759 күн бұрын
KUMBUKUMBU YANGU NAKUMBUKA MLIPATIA UPADRI MSIMBAZI NA KINA APOLINARY NGIRWA
@numbeshabani99814 жыл бұрын
Ping-pong
@deuskilunga52644 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Baba Askofu Nzigilwa.
@nestorymhagama26004 жыл бұрын
Hii nzuri sana Kiukweli nawaomba waandishi wa HABARI TEC hakikisheni hili liwe endelevu ili tuwafahamu vizuri Maaskofu wetu Tz hata wengine watu na viongozi maarufu ndani ya kanisa tutafurahi sana jamani. Tuna wanamziki na watunzi wa Mziki Mtakatifu wamiaka mingi n.k
@cyrillaurian15844 жыл бұрын
Mungu ni mwema na muweza wa yote. Nimejifunza kitu toka kwa Askofu Nzigilwa. Mungu awe nawe.