PADRE KITIMA ASHINDWA KUJIZUIA AELEZA MAZITO KUHUSU MAZURI YA ASKOFU RUWA'ICHI KUANZIA SAUT,SALA N.K

  Рет қаралды 20,683

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

Ай бұрын

Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Пікірлер: 25
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Wananchi wa Mwanza waliumia sana kuondoka kwake.mungu akutunze baba.
@aristideskilawe5024
@aristideskilawe5024 Ай бұрын
Sote tunajua gharama ya ukweli Baba Ruwaichi ❤ songa mbele na uniombee na mimi Baba. Na mimi naendelea kukuombea katika utume wako mtumishi wa Mungu.
@dassustephen731
@dassustephen731 Ай бұрын
Dr Kitima ameeleza Kwa ufasaha Sana.Hawa wazee walikuwa na maono makubwa Sana.Mungu awabariki Sana maaskofu wetu.
@benswai8099
@benswai8099 Ай бұрын
Asante sana Padre Kitima kwa kuusemea vizuri utu na utume wa kuhani mkuu, Yudathadedeus. Anastahili. Mungu amsaidie zaidi, ili alisaidie kanisa la Mungu. Kanisa hili ni la Kristo. Wao ni mahalifa. Yuda ni halifa. Anatusaidia kumshuhudia Kristo Kwa watu. Kabla wakatoliki tulikuwa wanyonge kumshuhudia kristo maana baadhi kwa nafasi yake walikosa hizo sifa. Baba Yuda kuhani wetu kazana. Tunaoujua ukristo na ukatoliki tunaona. Mungu akubariki.
@francisriziki1954
@francisriziki1954 Ай бұрын
Asante baba kitima umeongea vizuri sana kuhusu baba yetu Ruwaichi ,,nawe nakupongeza na kazi yako ya ukatibu mkuu ,,hongera baba
@josephmasenga3517
@josephmasenga3517 Ай бұрын
Hongera sana Baba Kitima kutushirikisha ❤Mungu amtie nguvu aendelee kulitumikia kanisa la Kristu.
@user-om5li6de1e
@user-om5li6de1e Ай бұрын
Umenena vema fr. Kitima.. Kweli kabisa, ulionena yote fr. Hongera mno Baba Askof Ruwai'chi. Mungu amukutunze na kumubariki katika kazi zake zote, Amujalie afya njema ya mwili na Roho, na kila Neema na baraka anazohitaji katika maisha yake ya kichungaji, na ushirikiano bora kwa wale wote mnaofanya kazi pamoja, na Mungu awaimarishe katika Upendo na Umoja....
@EmiliaLyimo
@EmiliaLyimo Ай бұрын
Hongera kwa utumishi wa miaka 25 ya utume Baba Askofu..Mungu akutunze uendelee kulichunga vema kundi la kondoo wa Bwana.
@andrewshirima6332
@andrewshirima6332 Ай бұрын
Hongereni Fr. Kitima,Bishop Lwaichi na TEC, nashauri mfanye uwekezaji serious elimu ya ufundi maboresho vyuo maarifa ya nyumbani kadiri mahitaji ya dunia.Mungu Baba awabariki daima kwa maono kwa taifa la Mungu.
@aristideskilawe5024
@aristideskilawe5024 Ай бұрын
PADRI Kitima nakubaliana na Wewe kabisa kuhusu Baba ASKOFU Ruwaichi. Sijawahi kufanya naye kazi lakini mimi ni msomi wa master degree. Nimemwangalia kwa saikolojia yangu. Anapenda sana kusimamia ukweli huyu Baba. Undumila kuwili siyo jambo zuri kwa kiongozi. Ni watu wachache wanaosema ukweli kwa viongozi wao lakini huyu ni msema ukweli hasa kipindi cha covid 19.
@eugenvem1818
@eugenvem1818 Ай бұрын
Padre kitima uko sahihi juu yake........askof ruwaichi kwakweli mungu akutunze sasa na milele......... ana hofu ya mungu kweli na ndio maana mungu anaendelea kumpa kibali
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 Ай бұрын
Katoliki big up
@fatumamaila6233
@fatumamaila6233 Ай бұрын
Baba RUWAICHI beba msalaba wako kwa ajili ya kanisa🎉🎉🎉
@patricksoko1279
@patricksoko1279 Ай бұрын
Ikiwa kwaajili ya Kristo itakuwa sawaaa mnooo
@mayikuelias8640
@mayikuelias8640 Ай бұрын
​_
@user-jd8nr1ub7o
@user-jd8nr1ub7o Ай бұрын
@@patricksoko1279Kanisa ni la Kristo!
@emilylyimo4838
@emilylyimo4838 Ай бұрын
Surely
@danielmandari4253
@danielmandari4253 Ай бұрын
😊
@frimatuslupimo2031
@frimatuslupimo2031 Ай бұрын
The other side vp Fr
@user-gx4jx4gv9l
@user-gx4jx4gv9l Ай бұрын
Namtakia kila laheli katika utume wake baba askofu luaichi.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Ай бұрын
Kwani Nini Kimetokea Kwa Askofu Rwaichi
@desderipatrick8392
@desderipatrick8392 Ай бұрын
Anaadhimisha jubilee ya miaka 25 ya Uaskofu leo.
@malifezajrdealf8982
@malifezajrdealf8982 Ай бұрын
Anaazimisha miaka 25 ya uaskofu. Hii huambatana na homilia pamoja na historia ya uaskofu wako kwa kanisa maharia..nini umefanya ktk utume wako kwa kanisa.
@stevenghambi3471
@stevenghambi3471 Ай бұрын
Kutimiza miaka 25
@sr.elizabethmbuligwe5540
@sr.elizabethmbuligwe5540 Ай бұрын
Alikuwa na jubilei ya miaka 25 ya kiaskofu
MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA
14:14
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 21 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,9 МЛН
Askofu Niwemugizi afichua magumu aliyopitia
6:19
Mwananchi Digital
Рет қаралды 18 М.
SUNDAY FILIPINO LIVE MASS TODAY II JULY 7, 2024 II FR. JOWEL JOMARSUS GATUS
58:46
Fr. Jowel Jomarsus Gatus
Рет қаралды 71 М.
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 21 МЛН