''NILIAMBIWA SIWEZI KUWA ASKOFU''ASKOFU NIWEMUGIZI ASIMULIA KUHUSU UTEUZI KUWA ASKOFU WA RULENGE

  Рет қаралды 3,651

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

2 жыл бұрын

Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Пікірлер: 2
@livinusemmanuel9461
@livinusemmanuel9461 2 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo.Naitwa Livinus Emmanuel.Nimefurahi Sana kumuona baba Askofu Severin Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge Ngara.Alinipa kipaimara mwaka 1997 huko parokia ya Rwambaizi Karagwe kipindi hicho parokia hiyo ikiwa chini ya Jimbo la Rulenge kabla ya jimbo la kayanga.Mungu akulinde baba.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 7 ай бұрын
Huyu Baba Askofu mstaafu Niwemugizi ana wito hakika. Kwasababu alijitoa muhanga kwaajili ya watu kipindi kigumu mno,na hili lilimuweka pagumu lakini hakurudi nyuma, ukafika wakati uovu ukapungua nguvu na kusalimu amri kwa Mtumishi huyu na kurudishiwa pasport yake. Ana hesabu ya kutoa mbele za Mungu aliyempa jukumu hili, Mungu amjaalieaisha marefu yenye afya,furaha,na Amani tele Amen.
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,6 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 14 МЛН
MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA
14:14
Askofu Niwemugizi afichua magumu aliyopitia
6:19
Mwananchi Digital
Рет қаралды 18 М.
PADRE ALIYEMLEA FR.CHESCO AELEZA MAZITO,ALIKIMBIZA MWENGE KITAIFA,VIPAJI LUKUKI
24:46
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 13 М.
MAHUBIRI YA ASKOFU KASSALA ALIVYOTOLEA UFAFANUZI ZAIDI TAMKO LA PAPA KUHUSU USHOGA..
30:28
#RAIS WA BARAZA LA MAASKOFU ATANGAZA KUSTAAFU KWA ASKOFU KILAINI NA SHANGWE LAIBUKA
5:16