Blessed man of God....mtu wangu bora wa nguvu nimpendaye Tanzania💎...Ubarikiwe zaidi na zaidi my dearest brother😍
@elibarikilaizar54233 жыл бұрын
Naanza na Mungu ya pili Afya Tatu kupanga mambo yangu inayotengeneza kesho yangu Nne subira na uvumilivu kazini Tano kukubaliana na riziki niliyo pata na kujifunza maarifa pamoja na watu waliofanikiwa na habari ka hzi...🙏🙏🙏
@jkyamba32003 жыл бұрын
Asante sana bro joel unanifanya nichange mind day to day
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
My people VIDEO KAMA HIZI ZINAKUWAGA NA VIEWERS WACHACHE, BUT VedioS ZA UDAKU NA MIZIKI ZINAKUW NA VIEWERS WENGI NDANI YA MUDA MFUPI ,HII INAONESHA KWAMBA BADO WATU NI VIGUMU KUFANIKIWA KULIKO KUANGAIKA NI KM ILIVYO UFALME WA MBIGUNI ILIVYO NGUMU KUFIKIKA!!! Anyway :THANKS BROTHER JOEL NANAUKA KWA KUENDELEA KUPIGANIA NDOTO ZETU WATU WENGI HAWAJUHI KWAMBA HYO KAZI UNAYOIFANYA ILIVYO NZITO NA MUHIMU KTK MAISHA YA BINADAMU, NA ASANTE KWA KUTUJARI ZAIDI UNAUPLOAD VIDEO ASUBUHI AS UNAELEWA KBS UBONGO WA BINADAMU UFANYA KAZI zaidi ASUBUHI KULIKO jion ...again thanks 4 breakfast🙏🙏 Blessed 🙏
@hassanovajunior69723 жыл бұрын
Akili za kivivu zipo hivyo bro vitu muhimu huwa kwao havina mana
@liliangrace54363 жыл бұрын
Asant
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ahsante sana kwa.Nashukuru
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
@@joelnanauka asante brother Joel umebadilisha maisha yangu Kwa kiasi kikubwa na bado nazid kubadilika every day yaan umekuwa inspired as sponsor ktk future yangu, SIWEZ KUKULIPA ILA NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU BLEASSED!!!!
@mgallason...56863 жыл бұрын
Uko sahihi ndugu, watu wamekuwa wadaku na wambea sana kuliko kuulisha ubungo Mambo ya msingi kama haya, ni wavivu wa kupindukia na walalamikaji mno, huwa Napata hasira sana watu hasa Vijana wa kitanzania wanaendekeza kufuatilia ujinga wa kina diamond na nyimbo zao za hovyo bila kujua wanaendelea kuwapaisha juu wakati watu kama kina Joe wanapuuzwa, Mungu atunusuru sana aisee
@godwinwilson38373 жыл бұрын
Thanks brother Joel for this motivation cilp...Nataka kunza kuamka Mapema na kupanga siku yangu vizuri
@joelnanauka3 жыл бұрын
sawa, usisahau kutupa mrejesho
@mericktamba79812 жыл бұрын
Nice......brazzzzzaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💥💥💥💯
@saidmuhamed63213 жыл бұрын
Inshaa Allah nimeamua kufanya biashara ndio jambo langu LA zima
@AmuliJr3 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki joel
@bibianaalfred84443 жыл бұрын
My brain smiling....🧠# see u at the TOP
@abdlhaleem83803 жыл бұрын
NGULIIIIIIIIIIIIIIIIIIII ❤️ ❤️ in the air 🔥....
@hassanovajunior69723 жыл бұрын
Thank you my brother Joel for the Morning motivation be blesed bro
@joelnanauka3 жыл бұрын
Karibu sana
@bushimani1544 Жыл бұрын
Niwe tajiri
@yasinikateula66053 жыл бұрын
Thank you brother
@Josantv163 жыл бұрын
Napenda piah kuwaa muhamasishaji kama ww
@joelnanauka3 жыл бұрын
Inawezekana. Tena kuwa mkubwa sana kuliko hata mimi.
@dr.danielmagomele72110 ай бұрын
A living reality
@mjunijoseph27423 жыл бұрын
Kuanza kipindi Cha Nguvu ya mwalimu kwenye redio&tv... Lazima nianze na naamini Mungu atanisaidia...kufanikiwa...
@jembestory2553 жыл бұрын
Nakuelewa sana brother ,napata mambo makubwa ninapozisikiliza video zako.... me nataka nifanye "biashara ya maziwa "
@stevenmnzavajoseph3 жыл бұрын
Nilipanga kutumia dakika 30 kila asubuhi kwa ajili ya mazoezi ya mwili nina wiki ya tatu sasa, naheshimu mchakato. Asante 🙏 kwa somo zuri, kwa sababu kuna siku naamka mwili mzito lakini najilazimisha mpaka sasa nikikosa siku moja naona siku haijakamilika.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Safi sanaaaa, Hongera mnoo.
@chrissally23973 жыл бұрын
Nataka kuwa mwanasayansi mkubwa Sana na lazima NIANZE...Ahsante Sana kaka unanifunza mengi.
@josephgabriel85933 жыл бұрын
Nataka nianze tuition ya olevel Na A level naomba unishauri brother Joel.
@greadyhebron34693 жыл бұрын
Asante kaka kwa mafunzo mazuri, mm kwa mwaka huu nataka lazima niweze kuvumilia maumivu ili nipate kilicho bora yani kuweza kusimama pekeyangu ata kama watu hawanielewi
@joelnanauka3 жыл бұрын
Kila la kheri
@yoramdogezah80003 жыл бұрын
Lazima nifungue duka la nguo kabla 2020 kuisha.
@azizaisack25723 жыл бұрын
Asant San kaka Mungu azid kukubariki
@mkamikimelo92683 жыл бұрын
Mungu naomba uniongoze mwaka huu kabla haujaisha,nami wazo langu litimie inshallah
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nakutakia kila la kheri
@abelalfredlyanga47722 жыл бұрын
Asante kaka masomo yako yamenisaidia sana katika biashara yangu
@ramakheri98243 жыл бұрын
Nkukubali bro,ww n life coach wa kwel Be blessed
@tawfiqomary8837 Жыл бұрын
Thanks brother kwa maarifa mazuri
@allanndomba47003 жыл бұрын
Kaka unatupa vitu vingi sana
@frankmare17083 жыл бұрын
Asante kwa elimu nzuri
@herimailo8183 Жыл бұрын
Shukran bro joel
@mariamayoob87343 жыл бұрын
Me Hii video niyangu kabisa umeni sema mimi apa nina mpango wakufungua biashara mwezi ujao ilaata chumba wala eneo nilikua sijaanza kufya tilia mahari nitakapo weka thanks brother Joel kwa kuni fungua akili
@joelnanauka3 жыл бұрын
Hapa sasa,uanze kuchukua hatua bila kuchelewa kabisa.
@Mkapamlunya3 жыл бұрын
Asanteee sana hyo ya mtoto nimeipendaa sana
@sikitumwamwenda95353 жыл бұрын
Asante Sana kwa mafundisho mazuri nataka nianze na namba mbili Barikiwa
@ibrahimAhmed-zq5hj3 жыл бұрын
Thank you so much ❤️❤️💗 God bless you 🙏❤️💞
@frednandcharles46423 жыл бұрын
Dah!! thanx alot broh🙏🙏
@magrethjohn74233 жыл бұрын
Heshimu Mchakato,Matokeo Ni Lazima yatafuata....Well said Mentor Joel.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Kabisa Magreth
@sufiansaid20233 жыл бұрын
Kaka una vitu muhim sana kwa anaye kufuatilia na kukuelewa, naomba niulize huna WhatsApp group?
@joelnanauka3 жыл бұрын
Lipo, karibu ujiunge 0756-094875
@francisshaula72913 жыл бұрын
Let's focus on consistency, Barikiwa sana Mr Joel.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Kabisaaa
@neckikikoti6256 Жыл бұрын
Kaka Joel. Your the best motivational speaker, Mungu akufanikishe internationally
@allydotto86652 жыл бұрын
Lazima nianzise biashala yangu mwenyewe
@mrongasteven71663 жыл бұрын
Kwa mwaka 2020 na mwaka 2021 Natalia nijishughulishe na ufugaji wa kuku hatua ambayo nimeanza nayo ni kujenga Banda liko tayari naanza na kuku 50 tu,ili ifikapo Dec 2021 niwe na kuku 200
@matronanzogela63463 жыл бұрын
Yaah!kabla mwaka haujaisha lazima nianzishe biashara.
@pocianfrancis33273 жыл бұрын
Joel...kuwa miongoni mwa vijana 100 wenye ushawish africa umestahil kabisa...una tu inspire sana...Ubarikiwe
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen, nashukuru sana
@agnesmwangama25533 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri, barikiwa.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen, nashukuru sana
@SKYVISUALS073 жыл бұрын
Thanks a lot brother
@user-sx8iz4dj8n11 ай бұрын
Nataka kumnunulia mama yangu bati na kumjengea
@tecnospark42603 жыл бұрын
MUNGU akubarik kaka
@pambaquick81773 жыл бұрын
Well said Sir. 🤝🤝
@bensonkimaro88923 жыл бұрын
Asante sana kaka Nanauka
@dulesame11939 ай бұрын
Kweli mkuu++@
@sevenlord7q.e.d1823 жыл бұрын
I was really struggling. . Hii imenisaidia mno. Thanks Nanauka
@Cyper2553 жыл бұрын
Asante sana Mtu mwenye ushawishi Afrika.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ahsante sana
@reganimushi80623 жыл бұрын
Asubuhi njema bro Mungu akutunze kaka
@user-sx8iz4dj8n11 ай бұрын
Nataka kumnunulia mama angu bati na kumjengea
@dennisjorvis6273 жыл бұрын
Nitakaka nianze public speaking hatua yangu ya kwanza nikutenga 30 min daily zakuzungumza
@annshort40743 жыл бұрын
nashukuru sana mr joel nakufatatilia kwa makini sana
@joelnanauka3 жыл бұрын
Pamoja sana
@sadamofficialtz3 жыл бұрын
Somo zuri
@ABOUBAKARYJAPHARY11 ай бұрын
Asante kwaushauli
@julianadionizi88233 жыл бұрын
Daaah ur the great br
@joelnanauka3 жыл бұрын
Thanks pamoja sana
@stephanoedimund78413 жыл бұрын
Nihudumie wateja laki Moja per year kwa kuproduce Stijoh_Coconut Oil ninufsishe NGOZI& Nywele zao ziwe healthy kwa Virgin coconut pure Nazi % nazii no any chemical added and no heated
@fettymdoe21003 жыл бұрын
thanks somuch JNanauka🙏🙏
@joelnanauka3 жыл бұрын
Karibu sana
@magrary2455 Жыл бұрын
Tabia ni kwa na utamaduni wa kusoma vitabu
@lindajohn21563 жыл бұрын
Asante sana kakangu
@tarbiyah10273 жыл бұрын
Kiukweli Joel Unamchango mkubwa sana Kwenye Mafanikio yetu. Mwenyezimungu akupe Akupe Maisha Marefu Amiin
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen
@marthakimario73483 жыл бұрын
Kabla mwaka huu haujaisha nataka nianzishe biashara yangu ya vinywaji
@mercysuka72943 жыл бұрын
Kaka barikiwa...ila ingekua vizuri zaidi ujumbe ufike pia kwa maneno ili ujumbe ufike kwa wote
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Xwadakita Mkuu
@obedmlanga32273 жыл бұрын
Asante kwa chakula cha ubongo kaka joel Hata mbuyu haukuangalia utakuja kuwa mti mkubwa kuliko ,but ulianza kaama mchicha More thanks Brother
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ni kweli kabisaaa
@komboomar82753 жыл бұрын
Thanks
@saidmuhamed63213 жыл бұрын
Hatua ya mwanzo ni kupata taarifa malumu
@ilambonahwago3 жыл бұрын
Ahsante Mkubwa wetu uxye na wivu una tufungua akili na fahamu nna pata faida sana kupitia ww Mungu akulinde na uzidi kufanyika baraka kwa wote wakupendao
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen, nashukuru
@RehemaFaki-or7eu2 ай бұрын
Asante kaka Kwa video zako zenye kutuelimisha
@norbethifabiani45983 жыл бұрын
Mwaka huu naitaji nifungue biashara yangu sema nipo kwa boss na boss uyo ni ndugu yangu kabisa na yeye ataki Mimi niondoke je nifanyaje
@evermsembempelekehatawwtu4023 жыл бұрын
Ongea nae kiutu uzima kwamba wewe unataka kujitegemea na una ndoto na Marengo yako Tena tumia lugha nzuri tu.kama ni mstaarabu atakuelewa lkn hata asipokuelewa wewe ondoka tu penda Marengo yako na maslahi yako zaidi.hata Kama hajakubari lkn nafsi itamsuta tu kuwa ulimuaga .
@mariamogelasanayohana74423 жыл бұрын
lazima niazekufanya bishara
@joelnanauka3 жыл бұрын
Unataka kuanza kufanya lini?
@mariamogelasanayohana74423 жыл бұрын
mwezi wakumi nabiri talehe kumi lazima niaze
@paulwerema89783 жыл бұрын
Mungu akubariki brother Mimi natamani kabla mwaka haujaisha niwe nimeanza kujenga
@festoantony46732 жыл бұрын
Nitanza kujifunza kingereza, kwa kujisomea vitabu vya kingereza hata kama sijui maana ya nachosoma.
@monicakauky8914Ай бұрын
Lazima nianze kufunga,kila siku naahirisha.
@whoza_3 жыл бұрын
Nataka kuanza kuandaa speech
@nimubonainnocent2183 Жыл бұрын
Salama kaka mimi nafanya byashara ndogo sawa na mutaji wa 1000000 ila sasa natamani nifanye zingine byashara sababu nawona kama kipato siyo kizuri vile nilitamani nini nifanye wala ni basilishe aje nataka musada wako
@asnaabububu22973 жыл бұрын
Dicoreshion yani hii lazima nikianze sabab kila kit kipo tyr bado kuanza tuu kaka Joel sabab napenda sana hii kz
@elialaurent8800 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@AfiSoul103 Жыл бұрын
Kiukweli mimi kuanza kwangu ni rahisi ila muendelezo hua unanipa tabu..ila nipo katka kujitahidi kutokubakia na hii tabia..nifanyeje ili niwe constant?
@linussiwitilisitv48303 жыл бұрын
Kuanza kufanya ninachopipenda stationary & kuuza vitabu naanza na Vitabu
@innocentmwahalende63102 жыл бұрын
Nakata kubadili mazingira kutoka kijijini kwenda mjini, shida naanzaje au nawezaje maisha ya mjini?
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
Mm nachokifanya mwaka HUU NI kuahacha KAZI NINAYOIFANYA na kuanza biashara (KUJIAJIRI)
@joelnanauka3 жыл бұрын
Kila la kheri, naamini ulijiunga na ile kozi ya kujiajiri kwa mafanikio. Kama bado nakushauri uisome mapema kabla haujachukua hatua ILI USIKOSEE kama wengine, tuwasiliane 0756-094875
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Lazima nianze KUOMBEA wamama wasio na Watoto na wajawazito wazae bila upasuaji au operation.
@Josantv163 жыл бұрын
Kuanza kuwamuhamasishaji kaama ww
@joelnanauka3 жыл бұрын
SAFI KABISA, endelea kuchukua hatua
@pendojeremiah91113 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@akidaamani2156 Жыл бұрын
Mimi nataka nianze kazi la duka la chakula sasa capital iko kidogo
@rajabuhamimu33422 жыл бұрын
Ninahitaji kuanza kufungua kampuni ya ujenzi
@mshamba5174 Жыл бұрын
Kaka nataka niamze kujenga
@isackjonathan89373 жыл бұрын
ukweli kaka Joel unamchango mkubwa kwa mafanikio yetu barikiwa sana
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru sana Isack
@dicksongadson22233 жыл бұрын
mwaka uhu lazima nikae kwangu nyumba za kupanga nitatizo
@nurdinchilambo14863 жыл бұрын
you were talking about process so we need process/progress on this kind of your lesson' never go back to coach and motivating lesson
@SylviaCornelyBalemba-ne8ti11 ай бұрын
Nishaanza kujisomea Kwa ajili ya kureseat mtihani wa form 4
@hassanovajunior69723 жыл бұрын
My Brother Joel my Plan is to open a cereal shop I've done my research but the problem is to start also I keept some amount of it already the issue is how and when should i start this usually i skipped the date to open i don't know what's exactly wrong with me Bro.🤔
@lameckjohn32573 жыл бұрын
Follow this chain will help you 1.Spirit create 2.Mind receive, store and process creation 3.Body manifest creation Therefore starting is all about physical action or manifestation.So if you fail to start the biggest issues is in the MIND or SPIRIT. Become conscious and you will automatically start
@joelnanauka3 жыл бұрын
Dawa ni uanze, na kuanza hakuna anayeweza kukufanyia,ni wewe mwenyewe. usiwe mmoja wa watu watakaojuta kwa kushindwa kuanza mapema.
@dansondannytv81113 жыл бұрын
umenipa matumaini na njia kwa maana nipo kwenye process na jambo lenyew naliona kubwa hata naogopa
@joelnanauka3 жыл бұрын
Usikate tamaa, jipe moyo utashinda
@daudmlima62883 жыл бұрын
Lazima nifanye biashara
@ronaldomselleronaldomselle62383 жыл бұрын
Asante san kak umenipa kitu apo
@iskakamangula14412 жыл бұрын
Nataka nianze kujenga ukumbi wa shelehe.
@CoseRobert5 ай бұрын
Kuweka akiba ya 30% ya mkopo wangu
@nshimirimanasteve19003 жыл бұрын
Nataka kufunga nguluwe
@sebastianmaganga28433 жыл бұрын
Brother mim na Jordan nilikuw napenda kabla mwaka u uja Isha nifikishe kiasi cha fedha ninacho kiitaji
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ni mpango mzuri, jiwekee nidhamu na chukua hatua
@yoelnguli39282 жыл бұрын
Nilikuwa nawaza kuanzisha gereje yangu ya kuchomea chuma lakn ata sina pesa