Рет қаралды 807
Kongamano Kubwa la Kidini la Afrika Mashariki lenye kauli mbiu "Amani ni Ustawi wa Jamii linakaribia kufanyika Jijini Tanga, Nchini Tanzania tarehe 28 - 30 Juni, 2024.
Jiunge nasi katika tukio hili la kusisimua ambapo tunaleta pamoja viongozi wa kidini, wanazuoni, na jamii kutoka sehemu mbalimbali kujadili jinsi Amani inavyochochea maendeleo ya jamii.
Kupitia majadiliano, mihadhara, na matukio mengine ya kusisimua, tutashirikiana katika kujenga mustakabali bora kwa kizazi kijacho.
Jiunge nasi kwenye tukio hili la kipekee la kiroho na kijamii!
#KongamanoLaKidini #AmaniNaUstawi #TangaTanzania