,Acha hadithi fitr toa Kwanza haki ya yatima na mjane uliyowadhulumu mwogope molar wako kesho Una mtihani mzito
@aminaosman33153 күн бұрын
,kwakudhulimu yatima ikiwa Allah kajiharamishia zulma itakuwa wewe
@aminaosman33153 күн бұрын
,mazungimzo yako na mjane umati Muhammad tumeusikia tunawaombea Allah awape subra katika kipindi hiking kigumuishaallah
@aminaosman33153 күн бұрын
,,haki ya marehem inawatafuna Inawatafuna mtapanga na kupangua tufanye ama vile na bado akhera kwa Hakim haki
@aminaosman33153 күн бұрын
,àllah atawazalilisha kila aliyehusika kuwadhulumu yatima na kumshtaki mwezi a ramadhani Hakim WA haki NI Allah atawazalilisha wote walioshiriki katika zulma ishaallah
@user-qy9qx5hd2u7 күн бұрын
Huyu ni mnafiki jmny na ni bonge la fitna na hana ilmu wala hikma..ni nani muibadhi anaitwa ramadhani..juma..rajabu..ina maana wana ugomvi na haya majina ya kiislam..barahiyani ni jina la swahaba au salimu?
@safiaothman51758 күн бұрын
Nawaomba n😊a kuwatahadharisha msichangie kuifufua hospitali ya shufaa Tanga kwani kesi iliyofungiliwa na mjane wa marehemu bado ipo mahakamani kwani alikata rufaa ,huenda fedha hizo wanazihitaji kwa mambo mengine, hospital hiyo si ya Tassisi ya Answar youth bali ni ya marehemu Said Janjira taasisi inamiliki jengo tu na kodi ilikuwa inalipwa kwa Taasisi .
@StumaiAbedimdoeMdoe9 күн бұрын
Usingeangalia mnk umepata wakt mgumu masikini
@StumaiAbedimdoeMdoe9 күн бұрын
Subuhanalah mungu akusamehe dadangu ata mm nilikua huko kumbe ushatuhukumu mhukumu mkuu
@sadambakari25799 күн бұрын
Ndio mjue sasa kuwa uwahabi nifitna katika umma Kwahiyo elimu imekuja nanyi wengine wote waliopita hawajui dini mtihani huu Allah atunusuru nakina Barahiyan tufate wema waliotangulia
@user-yj5on8cz3e9 күн бұрын
Mbona kwa kina mama hatuoni wanasswali wwapi shekhe
@user-rm3bu9wm9f10 күн бұрын
Masha Allah, nilikua na wazo kwanini,hivi vipande vilivyopo vingeliwekwa kwa mpangilio ili tuweze kuelimika zaidi
@JumaMvungi-ot4ef10 күн бұрын
Dada acha fitna
@leylam212110 күн бұрын
Mashallah mashallah
@LovelyBrain-wz7si10 күн бұрын
Shekh Athuman na shekh shahidu Allha awalipe kwa kutuunganisha wanasunna nshallha
@EdhaBazar10 күн бұрын
Allah awahifadhi na shari za wanaowatukana
@SwaleheRajab11 күн бұрын
Mashaa allah
@zuumnzava11 күн бұрын
Innalillah Lillah wainna ilayhi rajiun.allah atuhifadhi waja wake ktk heri zake na atusamehe waja wake hatuna salama
@aminaosman331511 күн бұрын
,wote walikaribishwa kuli hela ya taasisi ya Ansar wanakula haki ya yatima WA marhum saidjanjir na waislam wanakula Moto
@aminaosman331511 күн бұрын
,je hao wanaishi na MTU anayewalisha haki aliyowadhulumu waislam aliyowadhulumu mayatima WA said janjira inafa kuishi nae anawalisha Moto
@MariamKhalifan-r3c11 күн бұрын
Mashaallah tuk live
@aminaosman331511 күн бұрын
,amali kubwa ya baadhi ya mashekh suna dhulma hospitali ya shifaa si Ansar nimarehemu said Mohamed janjira Leo mnasema yenu mwogopeni Allah
@aminaosman331511 күн бұрын
,mbona mashekh wote wanaojiita Wana suna hawadhungumzi madama ya dhulma kwakuwa wakubuhu kuwadhulumu waislam kwa kigezo cha suna hawana zaodi ya kudhulumu Allah yupo anawaona anawasikia atawahumu inshaallah
@BAHATIJUMANNE-h1m11 күн бұрын
Na hapo kwenye kongamano awazungumzii kesi ya mjane kuwa muelewa ndugu katika iimaan
@BAHATIJUMANNE-h1m11 күн бұрын
Amina acha ujinga kwani aliehukumu ni taasis au ni selikali ambayo hata wewe anaipgia kura kila baada ya miaka 5?ivo chunga ulimi wako dada angu
@aminaosman331511 күн бұрын
,mashekh wanao fumbia macho dhulma ya taasisi yao ya kitapeli Allah karim kesi iko mahakamani Hakim WA haki
@aminaosman331511 күн бұрын
,mnao jifanya Wana suna. ,acheni zulma Kula haki za waislam haki ya mjane na yatima WA said janjira Allah atawahumu inshaallah
@dinakipingo190511 күн бұрын
Allahu Akbaru, ALLAH atuhifadhi sote 😢😢tuzidishe toba kwa rehma zake atusamehe na kunyoosha mambo yetu
@maryammohamed216811 күн бұрын
Allah awajaalie mwisho mwema yaraby ameen
@aminaosman331511 күн бұрын
,wengine WA mashekh waliokuja hapo wanajua kama wamewadhulumu yatima na mama yao wanamuogopa mungu MTU
@user-xy2pd3st6x10 күн бұрын
Kamalulillah
@aminaosman331511 күн бұрын
,wapongeze wanakusapoti katika zulma uliwadhulumu familia said na kumfungulia kesi mjane ukashinda kwa kuhonga lakini Allah hahongeki wala harogeki insha'Allah haki itapatikana kwa uwezo WA Allah asiye kuwa na mshirika
@aminaosman331511 күн бұрын
,mashekh wengine wakija tanga alikuwa mfadhili wao mkubwa Allah atamlipia inshaallah
@aminaosman331511 күн бұрын
,tufaidike kwa kudhulumu haki za watu hivi ukizungumza unadhani watu hawakunui Hakim WA haki NI Allah anakuona anakusikia hayo uliyoitendea familia marehemsaid janjira insha'Allah atawahumu
Kongamano la kuhalalisha zulma waliyofanyiwa mayatima na mjane WA said mahamed janjira na taasisi ya Ansar wote waliokuja hapo Allah atawahumu siku giyama inshaallah
@BAHATIJUMANNE-h1m11 күн бұрын
Allah atuhifadhi sote katika dunia kabrin na kesho akhera
@saidseleman618011 күн бұрын
مشاء الله لا قوة إلا بالله
@maftahmusa951311 күн бұрын
جزاكم الله شيخنا وبرككم الله
@hafidhwajina671811 күн бұрын
Kwani huyu si shekh bahero amefariki tayari
@hassanidrisa920811 күн бұрын
Mashaallah
@KamwanyaMariam11 күн бұрын
Allah akujalie wote masheikh wetu insha Allah ❤❤
@AliJabal-fx8pd11 күн бұрын
بارك الله في أهل السنه والجماعه وزادكم الله علما.
@leylam212112 күн бұрын
Mashallah
@MuhammadHassan-xp6dc12 күн бұрын
allah awalipe kheri mashekhe kwa jambo kubwa mlilofanya.