KATIBU MKUU TEC: ATOA UFAFANUZI HUU PADRE KUVAA SARE ZA KIJESHI | AGUSIA MIAKA 60 YA UHURU

  Рет қаралды 35,692

TBConline

TBConline

2 жыл бұрын

Пікірлер: 40
@allanaugustine303
@allanaugustine303 2 жыл бұрын
Unapongelea Kukua kwa chuo kikuu cha St Augustine University of Tanzania ni Wewe Baba Kitima... Askofu Mkuu Nyaisonga, Askofu Mfumbusa, Askofu Kassala haya yote ni Matunda ya uongozi na Hekima yako Ulipokuwa Makamu mkuu wa Chuo Saut.. Udumu katika Utumishi na Uongozi mwema Dr Rev Baba Charles Kitima...
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Жыл бұрын
Sister alikuwa anafanya Tamisemi Dodoma alikuwa mchapa kazi hodari kweli kwenye kitengo cha Elimu
@ponsianamataka4607
@ponsianamataka4607 2 жыл бұрын
Asante Pd. Dr. C. Kitima. Kanisa Katoliki liko vizuri na utaratibu wake ni mzuri kiroho na kimwili kuienzi, kuiendeleza na kuiishi kazi ya Mungu. Baba Mungu tunaomba uendelee kulilinda na kuliongoza Kanisa Katoliki.
@mallelivenance1796
@mallelivenance1796 Жыл бұрын
Fr Kitima Ni miongoni mwa Mapadri ninao waheshimu sana tangu akiwa pale SAUTU - MWANZA namwombea maisha marefu zaidi na yenye mafanikio juu ya KANISA na sisi.
@user-gd4eg4dp5m
@user-gd4eg4dp5m Ай бұрын
🙏🙏
@fredrickmichael2317
@fredrickmichael2317 Жыл бұрын
Majibu manzuri sana
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 2 жыл бұрын
Thanks for that !!
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Жыл бұрын
Hata anaye gawa chakula vitani ni mpiganaji
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 2 жыл бұрын
Nimekuelewa baba
@hezronmsogoya1572
@hezronmsogoya1572 2 жыл бұрын
Umeeleweka sana
@josephpetermaganga2907
@josephpetermaganga2907 2 жыл бұрын
safi
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 2 жыл бұрын
Majibu mazuri sana pd. Kitima.
@filbertrobert1141
@filbertrobert1141 2 жыл бұрын
Safi sana
@denismabubu291
@denismabubu291 2 жыл бұрын
Hongera sana na ufafanuzi fr ç kitima
@mekumeku2484
@mekumeku2484 2 жыл бұрын
Looh asee basi kanisa catholic limejipanga asee nimewakubali
@mekumeku2484
@mekumeku2484 2 жыл бұрын
Umeelewa hapo..ukwel wa ki Mungu na kisheria.....
@YohanaWanday-ye2mo
@YohanaWanday-ye2mo Жыл бұрын
Ahsante sana PhD wetu Kwa maelezo yakinifu
@mlangiralameck9158
@mlangiralameck9158 2 жыл бұрын
Thanks father
@johnkyashama2299
@johnkyashama2299 2 жыл бұрын
Safi sana padrii
@bujikuwilliam7680
@bujikuwilliam7680 2 жыл бұрын
Umenena
@luganomwasongwe1158
@luganomwasongwe1158 2 жыл бұрын
Good!well elabolated
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 2 жыл бұрын
Eti nn🤔
@reginaldhhayuma6907
@reginaldhhayuma6907 2 жыл бұрын
Well elaborated Dr kitima
@jumasaidi8157
@jumasaidi8157 2 жыл бұрын
nimekuelewa vizuli
@gilbertmathias7594
@gilbertmathias7594 2 жыл бұрын
Asante padri kwa maelezo na una upeo mkubwa sana
@ysmasalu
@ysmasalu 2 жыл бұрын
Maelezo yamejitosheleza!!
@audaceleroi1370
@audaceleroi1370 2 жыл бұрын
Dkt Kitima amepotea siku hizi
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 2 жыл бұрын
Nimekusifu kusema viongoz WA kisiasa wafuate sheria
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
"Mikakati mizuri ya kumtumikia mwananchi."
@ktkkilan
@ktkkilan 2 жыл бұрын
It is very surprising that this issue is raising a lot of heat. in Kenya priests in the Military is common place. In fact they are also ranked. Bishop Rotich who was the Bishop of Military Ordinariate was a Colonel at the time of his retirement, in line with Kenya's military rules. He is now the Bishop of Kericho Diocese.
@wannaproducts
@wannaproducts 2 жыл бұрын
Baki na Kenya yako acha ulinganifu...watu wamehitaji ufafanuzi kwa Jambo ambalo hawajawahi kuliona nchini kwao labda lipo lakini halijawa wazi, halafu wewe unatuletea ukenya wako hapa, jifunze kubalance shobo wewe. Kwahiyo huko Kenya hao mapadri ni makomandoo, PhD holders na mengineyo? Jiheshimu
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 2 жыл бұрын
@@wannaproducts hii kitu kweli ni ngeni kwetu watz. lakini kwani ukimjib u mtu kwa kauli ya kiungwana unapungukiwa nini
@ktkkilan
@ktkkilan 2 жыл бұрын
@@wannaproducts ndiyo!, kutojua kwako na kutotaka kufunzwa ni shida na ugonjwa mkubwa. Inaitwa ignorance. Ili si jambo la Kenya peke yake. Hata kwingineko utapata mapadri machaplain wa kijeshi,polisi etc, na wasomi katika viuo vikuu. Kubali kufundishwa yale huyafahamu ndugu.
@charlespatrick4859
@charlespatrick4859 2 жыл бұрын
Muandishi bado sana
@NgambilabalinziBaliguluk-os3ln
@NgambilabalinziBaliguluk-os3ln 10 ай бұрын
Hongera father kitima
@mdoefrancisketto1989
@mdoefrancisketto1989 2 жыл бұрын
Undercover
@bujikuwilliam7680
@bujikuwilliam7680 2 жыл бұрын
Umenena
@mzazi1467
@mzazi1467 2 жыл бұрын
Mtangazaji nanga rudi shule, unarudiaje maswal.
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 2 жыл бұрын
Kuna tafsili cyo.alikuwa mwanajeshi na sasa padre ..mwandishi wewe huna akili kabisa ,,umesomea wapi unajenga hoja kupotosha umma.. fwatilia Jambo kabla ujakulupuka,, research.
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 2 жыл бұрын
Upumbavu wako naujinga wako kulinganisha mambo us nchi nyingine
HOTUBA YA KARDINALI RUGAMBWA BAADA YA KUWASILI TEC,ASEMA HAYA MBELE YA MAASKOFU NA MABALOZI
10:11
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 15 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 26 МЛН
CHEKI PADRE KOMANDO ALIVYORUKA MOTO HAUWEZI KUAMINI KILICHOTOKEA
11:22
The Servant Media
Рет қаралды 44 М.
MKUU WA MKOA NA WAAMINI WALIVYOMPOKEA KARDINALI RUGAMBWA TABORA
19:07
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 10 М.
ANGALIA PADRI MWANAJESHI, KOMANDO KTK UNYESHO
11:05
WBM. WATENGENEZA BOMA MEDIA. Mwl Paschal Massenge
Рет қаралды 28 М.