A-Z PADRE mwanajeshi HENRY RIMISHO aweka MAZITO HADHARANI, CHUO KIKUU CHA ARDHI

  Рет қаралды 181,978

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

2 жыл бұрын

#HENRYRIMISHO #ARU #MWANAHALISITV
Mwishoni mwa wiki iliyopita kulifanyika mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) jijini Dar es Salaam.Miongoni mwa wahitimu katika mahafali hayo ni Padre wa Kanisa Katoliki, Henry Rimisho alihitimu shahada ya uzamivu (PhD).
MwanaHALISI TV limefanya mahojiano na Padre Rimisho na kuzungumzia njisi alivyopelekwa nchini Cuba, Kenya, Sudan na mavazi ya kijensi alikoyapata.
Amegusia mchezo wa Simba na Yanga wa 11 Desemba 2021.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 274
@abuelolongavida7261
@abuelolongavida7261 2 жыл бұрын
This is a serious man....he knows more that what he tells, big up father!!
@claraachok2319
@claraachok2319 Жыл бұрын
we really miss you here in south sudan father, i hope you are still a militray father. we are really proud for the service you did to us here in Rumbek. our president is still giving example of your service. if you were still here you would have been given a rank of major general in the military
@bahatiagape7121
@bahatiagape7121 2 жыл бұрын
Fr Rimisho....wenye wivu wajinyonge..hyo ndo baba lao...🙏❤️🎩🎓🙏
@justinejackson1731
@justinejackson1731 2 жыл бұрын
Dah!!!! Itoshe kusema, Mungu azidi kukubariki🙏🙏 kuna mengi natamani kuyasikia kutoka kwako, naamin kabsa yapo mengi Sana hatujayaskia na kuyafahamu kutoka kwako...stay blessed Dr.
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 2 жыл бұрын
Congrats Fr Dr Rimisho for hard working you faced.
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 2 жыл бұрын
Hongera sana Dr Henry. Umekuwa mfano mzuri sana kwa TZ. Huyo mwandishi ana maswali ya wivu binafsi na wala hayajengi
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 жыл бұрын
Mwandishi ni kanjanja Tanzania waandishi sahvi ni wa ovyo Washazoea kureport habari za umbeaumbeq
@edinaikunda1259
@edinaikunda1259 2 жыл бұрын
😃😃😃wandishi makanjanja sana
@bensonlucas7607
@bensonlucas7607 2 жыл бұрын
Siyo maswali ya wivu ni maswali mazuri sana na ndiyo yaliyotufanya tupate historia nzuri ya mpiganaji na mtumishi wa Mungu.hawa watu huwa ni muhimu sana vitani na wanatumika sana sana
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 Жыл бұрын
Ongera sana Fr Rimisho, Mungu azidi kukupigania nakukubariki,hakika Mungu anakutumia kimwili na kiroho,na Barikiwa sana na utumishi wako.🙏
@rosenjau1091
@rosenjau1091 2 жыл бұрын
Mtangazaji hayupo makini kabisaa..kazi hamfai Sema kwakuwa anamuhoji padre ndiomaana anamvumilia..hongera Sana padre wetu umekuwa mfano wa kuigwa barikiwa🙏🙏
@PoorClaresMyanga
@PoorClaresMyanga 2 жыл бұрын
I was so blessed to meet this man of God.
@MaaneML
@MaaneML 2 жыл бұрын
Brilliant Fr. Dr Henry Rimisho. This is what is called determination and working hard. Keep it up my brother. ❤️❤️🌷🌹🌷💐💐🌺🌺🌺
@shau78
@shau78 2 жыл бұрын
kutokuwa na familia kulimsaidia sana Padri kwenye kazi zake nyingi na nzito alizofanya. hongera sana Padri
@akleiludovick9853
@akleiludovick9853 2 жыл бұрын
Hii nayo fact
@elvisurio4095
@elvisurio4095 2 жыл бұрын
Hongera sana Father Herny, ila mwandishi hana weledi wakuuliza maswali. Mwanahalisi Tv waandae wandishi wenu vizuri
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 жыл бұрын
This is amaizing Father🌺🌺🌺🎉
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 2 жыл бұрын
Mungu alikuchagua tangu ukiwa tumboni mwa mama yako. 😘 Asante sana Father H. Mrisho kwa kuvitumikia vipaji vyako vyote kwa weredi na busara. I am proud of you Father Dr Mrisho ❤ 👏 ♥ 💙
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 2 жыл бұрын
Huo ni upumbavu mkubwa sana. Huwezi kuwatumikia mabwana wawili.
@roseeuphrase3853
@roseeuphrase3853 2 жыл бұрын
@@elishakayagwa9371 Huenda ni mpumbavu anayejitambua. Kuliko mpumbavu asiyejitambua!!
@josephinekabyemela9111
@josephinekabyemela9111 Жыл бұрын
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa vipaji anavyotoa kwa watu wake hongera padri Remisho
@bahatiagape7121
@bahatiagape7121 2 жыл бұрын
Tyk Baba Rimisho.Hongera sana kwa kuamaliza....Mungu akulinde daima 🙏.
@vianemakarious6395
@vianemakarious6395 2 жыл бұрын
Hongera sana father,tumia vipaji hivi kuilinda imani.
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 2 жыл бұрын
Mwandishi hovyo kabisa! Hapo angekuwa Millard tungemfaidi sana huyu Fr
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba yesu akupe nguvu zote
@niriacatering172
@niriacatering172 2 жыл бұрын
Waoo tunajifunia kuwa nawe Congratulations Rev Dr
@MaaneML
@MaaneML 2 жыл бұрын
As you speak you look very wise and intelligent. Brilliant mind and brain. Bravo Fr Henry Rimisho. My home brother.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Kafundishika
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 2 жыл бұрын
Hongera Sana Fr. Dr Henry Rimisho
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 жыл бұрын
Tumuombe Padre ombi moja: Uandike Autobiography yako. Tutainunua wengi. Bahati nzuri, ukimtumia publisher wa kisasa utaweza kui publish kwenye lugha nyingi kwa wakati mmoja, k.m., Kiswahili, Kiingereza, Kihispaniola, Kireno, Kifaransa, n.k.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Akiona ni Wazo jema
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 жыл бұрын
@@trophywilson7211 Yule Father yuko vzuri. Haikosi ameshaisoma tayari na yuko anaifanyia kazi. Isipokuwa kwenye mashirika ya kiroho kutakuwa kuna taratibu zake ambazo itabidi azifuate na kuomba vibali kwa viongozi wake. Kwa upande wa jeshini pia mambo ya huko sio mambo ya kusimulia uraiani, labda kwa juu juu tu.
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 2 жыл бұрын
Hongera Sana padre unahistoria nzuri uliyopitia HATA uwezo WAKO wa NGUMU wa kikomandoo hiyo safi ..KWA kujilinda ..
@fulgencendyamukama742
@fulgencendyamukama742 2 жыл бұрын
Hongera sana Father kwa kipaji kikubwa ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu.
@MorganMwaipyana-tz9vc
@MorganMwaipyana-tz9vc 2 ай бұрын
❤❤Hongera Sana Father, Nimefurahi kusikia Lyalamo Primary School ya Sr.Kibassa. Tosamaganga ❤
@neemarenaida6667
@neemarenaida6667 2 жыл бұрын
Very proud to have a such Priest ,God bless you fr so that preach the word of God allover the world
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 2 жыл бұрын
Huo ni upumbavu kwani yanafaida gani kwa Mungu?
@neemarenaida6667
@neemarenaida6667 2 жыл бұрын
@@elishakayagwa9371 kwani hilo neno lako ulilosema kwamba ni upumbavu ,kwa Mungu lina faida? Food for thought!!!!
@toma634
@toma634 2 жыл бұрын
Baba hongera sana ❤️🙏🏻
@adammwita3150
@adammwita3150 2 жыл бұрын
Hongera xana, nchi yako umeitumikia vyema. Naweza kusema ni miongoni mwa wazalendo wachache. Mungu akujalie maisha marefu.
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 2 жыл бұрын
Sema Mungu amjalie mwisho mwema,/maisha mareu yenye baraka maana anaweza kujaliwa maisha marefu ye dhiki/yasiyo na baraka. Aongeze CVs pia kwa kuusoma Uislamu kwania njema tu.
@ernestlaiza1176
@ernestlaiza1176 Жыл бұрын
@@alhaddajmohammed4768 unawashwa
@abbakariissa7838
@abbakariissa7838 2 жыл бұрын
Kwa mtu aliyesoma ardhi architecture anamjua huyu mkulungwa vizuri. Ana CV nzito zaidi aliyoieleza. 2likuwa tunamfaidi darasani.
@faiditv5535
@faiditv5535 2 жыл бұрын
Wanao mfananisha na regnald mengi waje
@SalumKanju-ik1bk
@SalumKanju-ik1bk 2 ай бұрын
hahaha we mshenz kwel hahaha aisee anafanana kweli na mzee mengi
@egonmatwiga9102
@egonmatwiga9102 2 жыл бұрын
Hongera Baba kwa bidii zako mpaka kufkia hatua hyo
@Deonfnyoni
@Deonfnyoni 2 жыл бұрын
Hongera fr natamani kuwa kama ww pia nafarijika na kuwa fahari kuwa mkatoliki
@neemarenaida6667
@neemarenaida6667 2 жыл бұрын
Safi ,ipo siku unalotamani Mungu atakujalia we amini tu
@wilbrodtungaraza6204
@wilbrodtungaraza6204 6 ай бұрын
Hongera Sana Baba Rimisho
@AbigailBateyunga
@AbigailBateyunga 6 ай бұрын
🎉Wafilp 1:6 Amen 🙏🇹🇿
@jescadeogratias5292
@jescadeogratias5292 2 жыл бұрын
Hongera sana father, Mungu akupe hatua nyingine zaidi
@GozbertAliseni-vp6kj
@GozbertAliseni-vp6kj Жыл бұрын
Nawakubari .my.fr.wetu.kuwanamafuzo.yakijeshi.naukomando.nyinyi.nitaifa.kubwa.namunakuwa.wanyenyekefu.ogera.sanafrlindanchiyetu
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 2 жыл бұрын
Hongera sana Baba Padre.
@josephatmakuka4860
@josephatmakuka4860 2 жыл бұрын
Hakika ubarikiwe sana
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 2 жыл бұрын
My Vice Rector at A.J Bukinda. Am very proud of you.
@hamadiacha2mwambamtalika272
@hamadiacha2mwambamtalika272 2 жыл бұрын
Padre nimekusikiliza kwa kina ila sijakupatia jibu we noma na TANZANIA kiboko
@nelsonmataba1426
@nelsonmataba1426 2 жыл бұрын
He knows more than he delivers....
@sirbaraka
@sirbaraka 9 ай бұрын
Big up sana interviewer umehoji kisomi sanaaa congratulations 👏
@felisterkokuberwa5783
@felisterkokuberwa5783 2 жыл бұрын
Hongera sana fr
@marygaspar6429
@marygaspar6429 2 жыл бұрын
Hawa wamangi ni wajanjawajanja! na huwa wakisoma wanasoma haswaa na akili wanazo pia. Za darasani na zakuzaliwa!
@francomwacha2262
@francomwacha2262 2 жыл бұрын
Ila mwandishi hujaweza kubadilika na mazingira jitahidi kutofautisha interview zako na namna ya uwasilishwaji wa habari yenyewe.. huyu unamuhoji kama imetokea tuu umemkuta njiani ukaanza kumhoji wakati ni mtu muhimu sana!
@elvisurio4095
@elvisurio4095 2 жыл бұрын
Very smart Observation
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
Hongera sana hata kama umepandikizwa kazi ya Mungu ni usalama wa raia wake pia. Nani aliyesema padre hawezi kuwa manajeshi? Mungu akubarikibsana
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 9 ай бұрын
Irudishwe serikalini tena. Vijana wetu si wa Melalatu, wamellegea sana. Hawana uzalendo kabisa. Wako tayari kujiuza na kuuza nchi.
@paulmsape163
@paulmsape163 8 ай бұрын
Safi sn mtumishi Mungu akubariki
@andrewmsunga9425
@andrewmsunga9425 2 жыл бұрын
Padr namkubali sana,
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 2 жыл бұрын
Angekuwa Sheikh angeambiwa Gaidi
@shafiijuma2980
@shafiijuma2980 2 ай бұрын
hakika
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 6 күн бұрын
😂😂😂 gaidi na katambulishwa na mkuu wamajeshi?😂😂 Mnapenda kujistukia nyie😂😂😂
@gregorydeus72
@gregorydeus72 2 жыл бұрын
MillardAyo mchukue interview huyu padre tutaenjoy,huyu mwandishi hayupo vizuri,,,
@valeassenga2958
@valeassenga2958 2 жыл бұрын
Duuu hongera sana
@natafutapesa9678
@natafutapesa9678 2 жыл бұрын
Hamko vizuri kwenye sauti ndugu zangu
@marthamsafiri3582
@marthamsafiri3582 2 жыл бұрын
Talented &gifted Father, may God bless u 🙏
@abdulibatenga7281
@abdulibatenga7281 2 жыл бұрын
Nyerere alikuwa anaanda majasusi mapema sana wakiwa wadogo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Aise
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 жыл бұрын
Sasa majajusi tunashinda nao baaada huku wakionyesha bastola zao kiunoni
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 жыл бұрын
@@ChoroTesla 😀🤭
@josephlupasha6228
@josephlupasha6228 2 жыл бұрын
Wewe Mwandishi ni Mpumbavu huna ethics huyo anakuzidi Kila kitu unauliza maswali kipumbavu sana, lkn kwa vile unauliza msomi amekustahi tu.
@gerfasiamwingira4827
@gerfasiamwingira4827 2 жыл бұрын
Kuna kitu kizuri.sana nimekipata hapa kutoka kwa Padre
@bahatimwakasambala4666
@bahatimwakasambala4666 2 жыл бұрын
Safi
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 2 жыл бұрын
Kulikuwa na maswali ya msingi sana kumuuliza huyu mwamba, Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto tu
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 жыл бұрын
Tunakupongeza sana Padre! 👏 Kabla ya kusomea degree ya kwanza hapo Ardhi University, Padre tayari alisha hitimu degrees mbili. Kwa kufaulu degree yake ya tatu hapo Ardhi University, ina maana sasa ametimiza jumla ya degrees tano! Kweli anastahili pongezi nyingi. Wanafunzi wake watanufaika sana hapo chuoni. NB: Mahojiano haya yangeendeshwa na journalist mzoefu kama Millard Ayo, yangependeza zaidi, ila Padre amejitahidi sana kujibu kila swali kwa ufasaha na uvumilivu.
@adammwita3150
@adammwita3150 2 жыл бұрын
Charles Hilal
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 жыл бұрын
@@adammwita3150 Kweli, Charles Hilary yuko vzuri. Pia Gangana wa TBC anafanya homework kwa umakini. Millard Ayo naye. Nairobi yuko yule kaka mwenye Churchill Show, na pia Jeff Koinange wa Citizen, pamoja na yule kaka mweupe rafiki yake na Jeff. Siku za nyuma CNN walikuwa na dada Christiana Amanpour, alikuwa interviewer moto wa kuotea mbali. Interviewing ni kazi nzito, tusiichukulie poa. Wanaoifanya kwa makini inawabeba.
@frankmsisi149
@frankmsisi149 2 жыл бұрын
Kwa kweli, mwandishi wa habari anahitaji ku improve
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 жыл бұрын
@@frankmsisi149 Ni kweli. Ukiangalia vyombo vya habari vya nje, kila project anatafutwa mdau aliyebobea kwenye maswali husika ndiye aisimamie. Kwa mfano, interview hii haki yake angeiendesha architect au padre au mwanajeshi mstaafu. Hapo ndio utaupata ufanisi wa huduma.
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 жыл бұрын
@@adammwita3150 kwa mahojiano, TV interviewer mwingine wa Kenya ni Tony Gachoka. Yuko pia wa kike nikimkumbuka nitamuandika.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Kumbe masters na PhD jamaa amae someshwa na serikali aisee huyu sio mtu wa kawaida na ame faulu kwa kiwango cha SGR
@erickkalumuna329
@erickkalumuna329 2 жыл бұрын
Blessed mind⛪🙏
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 2 жыл бұрын
Hongereni wachaga.Prophesas👌
@user-lv8on5ou1l
@user-lv8on5ou1l Жыл бұрын
Congrats padre
@josephpetermaganga2907
@josephpetermaganga2907 2 жыл бұрын
Hatari sana hii
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 3 ай бұрын
Hilio ndiyo kanisa katoliki...mwenye masikio na asikie..
@katambisimon9840
@katambisimon9840 2 жыл бұрын
Dr Henry yuko vzr, shida ni huyo mtangazaji hajajipanga,maswali yake hayako organized,anafanya interview isinoge
@mussaandrew2083
@mussaandrew2083 2 жыл бұрын
👏🏼👏🏼
@amenaameeena3317
@amenaameeena3317 2 жыл бұрын
Father angeojiwa na Miradi Ayo tungeonjoi sana
@emmadeprincetv6133
@emmadeprincetv6133 2 жыл бұрын
Duh uko njema aise dr...💪💪 but hilo vazi la kenya
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 жыл бұрын
Njoo uchukue Mali yenu
@renatusmatungwa6506
@renatusmatungwa6506 2 жыл бұрын
Sio vazi tu hata padri huyo ni mkenya ni wa kwenu 😆😆
@umikitira7212
@umikitira7212 2 жыл бұрын
Wao uru the best hom
@muirurindichu8192
@muirurindichu8192 2 жыл бұрын
Hongera padre.. karibu Kenya
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 2 жыл бұрын
Yani maswali ya uyo mwandishi,,,ni utazani amuuliza mtuumiwa au mtoto wajirani ambaye hajawai muona katika mtaa anae ishi na kuku weke akiwa ameibiwa,,,naitaji kujua Elimu ya uyo mwandishi
@Swalahudintv
@Swalahudintv 2 жыл бұрын
Sahihi kabisa
@florahmsuya8412
@florahmsuya8412 11 ай бұрын
😂😂
@selemansaid9295
@selemansaid9295 11 күн бұрын
😂😂😂
@selemansaid9295
@selemansaid9295 11 күн бұрын
Umenifanya Nicheke Sana 🤣
@MBATINOFILMS
@MBATINOFILMS 10 ай бұрын
yes 😋😋😋
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 2 жыл бұрын
Kwa Huyomkatoriki kuvaa nguo za kijeshi hali yakuwa ni padre hongera ni nyingi sana na serikali imefumba macho kama haipo vile ila angekuwa shehe wangemjulisha na mbowe harafu utaskia serikali haina dini eenyi kizazi cha nyoka mungu awahurumie.
@drjbmsige4098
@drjbmsige4098 2 жыл бұрын
tulia wewe ushaambiwa mafunzo ya kijeshi kapatia cuba tena akiwa na miaka 11, wewe ukiwa na miaka 11 si hata kamasi ulikuwa hujui kutoa??
@kennywilliam2466
@kennywilliam2466 2 жыл бұрын
@@drjbmsige4098 nafurahi kuona kwamba umejibu hiyo ni uthibitisho kwamba hiyo ni pressure point na ujumbe umefika
@stanlaymanya687
@stanlaymanya687 2 жыл бұрын
Kweli we jembe mikono enyewe ina sema
@nancychuwa4870
@nancychuwa4870 Жыл бұрын
Ni kwa sababu ya tabia zenu za kuua na ugaidi
@issaathumani7610
@issaathumani7610 11 ай бұрын
@@nancychuwa4870 bado na wewe ni miongoni mwa watanzania walionezeshwa sumu ya udini.
@sebastianriziki3536
@sebastianriziki3536 2 жыл бұрын
Nc baba
@ambrosromanus9547
@ambrosromanus9547 2 жыл бұрын
Catholics waache tu, yaani falsafa plus theology n.k lakini wanyenyekevu unaweza uchukulie poa!! I guess huyu Ni jasusi wetu kabisa
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 2 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa. Walio debe tupu ndio wanapiga kelele.
@anacretsindabaha9395
@anacretsindabaha9395 2 жыл бұрын
Jesuit hili
@kibwetere1418
@kibwetere1418 2 жыл бұрын
Hiyo sare ni jeshi la nchi gani
@bernkennedy49
@bernkennedy49 2 жыл бұрын
Mwandishi wa habari ovyo sana...yan hauna hata Nidhamu
@flaviusbenedict7513
@flaviusbenedict7513 2 жыл бұрын
Haya mahojiano yamenifundisha uvumilivu hata mtu akikuuliza pumba wewe mjibu vizuri tu. Huyu Padri ni mtu wa kujivunia kwenye nchi yetu. Sijui wenzake alioenda nao Cuba wapo wapi aisee😅 I hope they are doing great. Heshima kwenu
@mimiming9591
@mimiming9591 2 жыл бұрын
Hongera sana
@giztony2009
@giztony2009 3 ай бұрын
Aiseee! Huyu mtu nimeshindwa kumuelewa ila siyo kwa nia mbaya
@katambisimon9840
@katambisimon9840 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 Mtangazaji anaonyeshwa thesis mbalimbali anabaki kushangaa tu,hajui kinachoendelea.. Shule jamani..shulejamani...
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 жыл бұрын
Hongera kamanda Ila naona mwandishi hayuko deep Yuko to shallow kichwani Kwa maswali anayouliza huyo mwandishi inadhihirisha tz waandishi Sahvi ni weupe
@francomwacha2262
@francomwacha2262 2 жыл бұрын
Kuna media zingewah nafac hii interview ingekua impressive zaidi..
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 жыл бұрын
@@francomwacha2262 exactly
@justinemwenda2292
@justinemwenda2292 2 жыл бұрын
Watu hadimu sanaaa hawa
@hono1232
@hono1232 2 жыл бұрын
Huyu mpuuzi kabisa. Hana maadili na ni dhamu.nenda shule mwandishi
@filaretoskimaro3959
@filaretoskimaro3959 2 жыл бұрын
Ongera sana fr.mimi karne unanikumbuka?.
@ahmedsultan8561
@ahmedsultan8561 2 жыл бұрын
Km ingekua muislam angeitwa gaidi, na ingesemwa vipi mtumishi wa Mungu wapate wafunzo ya kijeshi, nakumbuka wkt wa makamba mkuu wa mkoa kuna watu walikamatwa kwa kufanya mazoezi eneo la msikiti
@denisharris2889
@denisharris2889 2 жыл бұрын
@@ahmedsultan8561 Magaidi wote hufanya Mazoezi yao nje ya taasisi kubwa kama Nchi. Hii inaonyesha Uwalakini. Ni sahihi kuhisiwa ni mipango ya ugaidi. Tafakar..
@johnchuwa2888
@johnchuwa2888 2 жыл бұрын
Naweza kupata namba yake?
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 2 жыл бұрын
Mwandishi wa habari anawazimu wallahi.Uyu padri niwakuhojiwa na kina Maulid wakitenge or Gerald Hando
@tumainimoshy207
@tumainimoshy207 2 жыл бұрын
Kama kuna namna ameficha mambo. Tuambie tu Padri
@lastgospel706
@lastgospel706 2 жыл бұрын
MWANDISHI FOOLISH SANAAAAAAAAA AACHISSHWE KAZI MAPEMAAAAAA MNOOO
@malakimollel6044
@malakimollel6044 2 жыл бұрын
Watu waende shule jamani..mwandishi wa habar jingajinga sana
@vhiedkc859
@vhiedkc859 2 жыл бұрын
Mwandishi hovyo hovyo sijawai ona kabisaaa
@mligosandrah7851
@mligosandrah7851 2 жыл бұрын
Mtangazaji una maswali ya hovyo
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 2 жыл бұрын
Sahv kuna tatizo kubwa la waandishi Huyo mwandishi anamuhoji padri utafikiri anamuliza maswali mondi konde au baba levo
@laurentkimbatummassy8075
@laurentkimbatummassy8075 2 жыл бұрын
Born in 1969, 1984 kaenda Cuba after a year of training akarudi akiwa na 12 or 13 years of age..........
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
It troubled me as well
@silvanusmagwira6162
@silvanusmagwira6162 3 ай бұрын
1984 ukitoa 1969 unapata 15 years.
@Mwanamkesahihi01
@Mwanamkesahihi01 2 жыл бұрын
Wemwandishi Huna Hekima wala Huwezi kuhoji watu wa kada fulani foolish and sheme
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
Kama anahoji mtoto yn, vitu vingi vya maana anauliza upuuzi tu.
@fredmbossa
@fredmbossa 2 жыл бұрын
Shushushu gusa unase,,,,,,
@massoudsultan6149
@massoudsultan6149 2 жыл бұрын
Perfect education /// sio comedy ya msukuma
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Massoud pole sana jitahidi na wewe uwe kama msukuma unasumbuliwa na wivu aliyepewa kapewa ukitaka pambana na wewe kama msukuma
@carolsalvii281
@carolsalvii281 2 жыл бұрын
Nakupongeza sana Ndg yangu kwa kuijua ngonjera ya Msukuma! Hamna lolote hapo kwa Msukuma, uongeaji tu sana! Mtu kuongelea suala la Msukuma sio wivu bali n ujasiri
@carolsalvii281
@carolsalvii281 2 жыл бұрын
Uko sahihi kabsa Ndg yangu
@visensiakagombora6260
@visensiakagombora6260 2 жыл бұрын
Mtangazaji anataka mumfahamu ndio maana anauliza maswali ya kina
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 50 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 93 МЛН
maombi ya kihehe mkutanoni
2:45
Lusogo Albert
Рет қаралды 844
MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA
57:11
Official Dating Assistance
Рет қаралды 72 М.
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН