Wapelelezi wa DCI wamtambua mwanadada anayeaminiwa kuua Eric Maigo

  Рет қаралды 690,267

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

10 ай бұрын

Wapelelezi wamemtambua mshukiwa mkuu wa mauaji ya kaimu mkurugenzi wa fedha katika Nairobi hospital Eric Maigo. Sasa imebainika kuwa anne adhiambo, ndiye mwanamke aliyenaswa kwenye kamera za CCTV akitoroka baada ya mauaji ya Maigo. Wapelelezi waliokuwa wanaendeleza uchunguzi wamepata nguo alizokuwa amevaa wakati wa tukio nyumbani kwake mtaani kibra.

Пікірлер: 456
@billm6829
@billm6829 10 ай бұрын
If this us how police identify and track corrupt govt officials tugekua far as a country
@alphanyjames4897
@alphanyjames4897 10 ай бұрын
things are changing we as kenyans are heading samewhere
@mahmoodmohammed1679
@mahmoodmohammed1679 10 ай бұрын
Facts....hii kma ingekua ni kesi ya MTU mkubwa serikalini izi CCTV zisingepatikana for some reason....
@alphanyjames4897
@alphanyjames4897 10 ай бұрын
@@mahmoodmohammed1679but the truth will always kam out free data ikiwa after years it will kam out
@sophianasiekukatampoi7824
@sophianasiekukatampoi7824 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@MAYWAHITO
@MAYWAHITO 10 ай бұрын
Imagine
@cheptanuichepsit3146
@cheptanuichepsit3146 10 ай бұрын
Let us dedicate our life to Jehovah God 🙏,as in you will be always at the right place at the right time with the right people,,rip maigo
@fndutakamau
@fndutakamau 10 ай бұрын
Amen
@samaruko
@samaruko 10 ай бұрын
Amen
@niwemugenimediatrice5640
@niwemugenimediatrice5640 9 ай бұрын
Nakuelewa Ndugu au dadangu
@GoDannyKE
@GoDannyKE 9 ай бұрын
Pitia kwanguuu akhy
@samwelnyangau9828
@samwelnyangau9828 10 ай бұрын
its the courage she has that is still shocking me
@wanjalaspha797
@wanjalaspha797 10 ай бұрын
Recidivism, she's an ex convict
@gwg216
@gwg216 10 ай бұрын
True her courage is on another level.....
@lovvy854
@lovvy854 10 ай бұрын
Yote hii ni ku panic cz ametowa roho ya mtu already akiliaio yake
@phoebewanjiru1955
@phoebewanjiru1955 10 ай бұрын
She may have taken drugs. How can she stump someone 25 stabs?
@lovvy854
@lovvy854 10 ай бұрын
@@phoebewanjiru1955 ata sio drugs huyu ako na roho ya mapepo yanafuata labda alishawai kufanya kitendo kibaya zaidia hio
@Irandabale
@Irandabale 10 ай бұрын
What a daring and corregous murderer!!Going over razor sharp wires is another level. Proper crook.
@mowawajowangu8216
@mowawajowangu8216 10 ай бұрын
Waah! Maswali ni mengi majibu ndiyo hakuna😢
@aheudit
@aheudit 10 ай бұрын
' Tiger woman gachagua said there are tigers in Kenya you said it's not true, this tiger was spotted recently. Despite all it's a sad situation
@mimsbaibe6mimsgul737
@mimsbaibe6mimsgul737 10 ай бұрын
My condolences to the family wababa wachaneni na dogodogo this really sad 😢whats goes around comes around sasa watoi wamebaki bila baba this so evil
@phoebeadikinyi3441
@phoebeadikinyi3441 10 ай бұрын
Woooo jamani,na by the way unaweza pata ni mtu anajuwa huyo jamaa vizuri juu hawezi ingia pale kama hajui hapo
@mercymburu7163
@mercymburu7163 10 ай бұрын
Watoi wagani, I think Eric was not married
@kaibungarose4207
@kaibungarose4207 10 ай бұрын
She is analogue, the digital world caught her
@halimaadan3412
@halimaadan3412 10 ай бұрын
Mauaji imekua mob huu mwaka sijui kwanini😢
@Karengakii
@Karengakii 10 ай бұрын
No matter what in this life try to create a relationship with God that you may be safe in his hands, the world is fading and the life itself is not parmenent Don't forsake God for fame Remember there's death give your life to Christ and be saved God bless you.
@evanswesonga5016
@evanswesonga5016 10 ай бұрын
Showing us how she escaped, how did she get in? Something left out.
@twelve1993
@twelve1993 10 ай бұрын
People are coming up missing nowadays. Remember the NHIF lady who was shot,There was no case,no follow up... Nothing. Now a finance manager at a big hospital. Someone doesn't want something to be known.
@milkah_george5877
@milkah_george5877 10 ай бұрын
Hii cctv inakuanga wapi wengine wakiuliwa na pesa za wananchi zikipotea,anyway,Ann ajisalimishe tu hana otherwise
@fridahwayua9393
@fridahwayua9393 10 ай бұрын
The effort and the courage she has if she can put it in money finding activities,,,haki angekuwa billionaire,,she is a risk taker if she can jump over an electric fence😳
@webbtz3591
@webbtz3591 10 ай бұрын
Isn't an electric fence.
@oloem268
@oloem268 10 ай бұрын
I know they will catch her soon, she has no where to hide now that she is known and she has serious injuries. On another note ,could you be doing the same with mweshimiwas , don't just be telling as that one mweshimiwa is involved in illegal gold business or wash wash and you don't give us the name or picture.
@hyrinenyagaya2527
@hyrinenyagaya2527 10 ай бұрын
Double standards on another level
@erickmanyara53
@erickmanyara53 10 ай бұрын
That is a seriously traumatized character because the behaviour clearly is daring and dangerous
@alicehappiness509
@alicehappiness509 10 ай бұрын
I hear most ppl from those areas are hardcores!
@brianonyango1687
@brianonyango1687 10 ай бұрын
That dangerous
@brianonyango1687
@brianonyango1687 10 ай бұрын
​@@alicehappiness509she is not a hardcore the evedence is overwhelming
@MichaelKhaemba-uh9ys
@MichaelKhaemba-uh9ys 10 ай бұрын
Wakati akipambana kuruka fence ndo wange alert security haraka but they delayed so much
@thomasmarende2445
@thomasmarende2445 10 ай бұрын
Mimi sijaelewa hili tukio. Nikama naota.yani dem anajitokeza na kuua MTU , badae tunasikia ati anatafuta vyatu, uyu ni mwizi au muuaji? Anyway we leave all to almighty God who is in heaven.
@mubatsievonne4649
@mubatsievonne4649 10 ай бұрын
​@@thomasmarende2445she's both,a murderer and a thief.
@elizabethamukhale3735
@elizabethamukhale3735 10 ай бұрын
Maybe they thought she wanted to commit suicide ndio wakatake time kumbembeleza
@CleophasKoech-yi6yp
@CleophasKoech-yi6yp 10 ай бұрын
​@@thomasmarende2445nikama viatu vyake vilianguka wakati alikua akichinjwa na hizo wire za fence.
@thomasmarende2445
@thomasmarende2445 10 ай бұрын
@@CleophasKoech-yi6yp anyway wacha Tu believe, Mimi tangu citizen TV iyanze porojo za abnuasi huwa siamini citizen TV news zao.
@maverick_spirit
@maverick_spirit 10 ай бұрын
This CCTV footage is not complete. Show also the entry of the two. And how is she really jumping over electric fence? Was it really LIVE? Traumatizing.
@davidwanyama
@davidwanyama 10 ай бұрын
That's not electric fence, electric fence is thin like a thread
@NjeriLydia
@NjeriLydia 10 ай бұрын
Mahali sielewi ni kama waliingia kwa hio nyumba pamoja ama?
@hassanyussuf7063
@hassanyussuf7063 10 ай бұрын
hapo ssa
@eddahwekesa1951
@eddahwekesa1951 10 ай бұрын
Kwanza kabisa adhiambo ni nani kwa iyo nyumba 😢😢😢
@hassanyussuf7063
@hassanyussuf7063 10 ай бұрын
hyo ndio sja jua bka ssa😢
@kimorihellen7908
@kimorihellen7908 10 ай бұрын
@janetanui1988
@janetanui1988 10 ай бұрын
Ni mkuli wa mkulaji
@ednaogeto6464
@ednaogeto6464 10 ай бұрын
A very good question...it should start here.
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 10 ай бұрын
Aisee huyu msichana ni jambazi sugu muuaji hana hata uoga na anajua nn afanye kukimbia😢
@user-re3og8fc4k
@user-re3og8fc4k 10 ай бұрын
A woman climbing those fence like a spiderman is shocking. She might have gone through tough times in life,but killing a grown up man ,seams like a cover up somewhere.There is someone in the house with a white shirt how come he never botherd to come out to confront the lady jumping the wall?????
@eunicemutiso5788
@eunicemutiso5788 10 ай бұрын
Nimejikuta napasua kicheko matangani na design huu dem ameramba barbed wire na mdomo😂
@aminaanab1071
@aminaanab1071 10 ай бұрын
Very true
@phoebeadikinyi3441
@phoebeadikinyi3441 10 ай бұрын
Waah!huyu mwanamke ni genius, dealing with sitima ni kama wamecomunicate na sitima,this is serious
@tonyirimu
@tonyirimu 10 ай бұрын
Were you watching with your ears closed ?
@user-re3og8fc4k
@user-re3og8fc4k 10 ай бұрын
@@tonyirimu what do you mean???
@user-td3ss6nk2d
@user-td3ss6nk2d 10 ай бұрын
Kwani ilikuaje hadi akaingia ndani kwa dr..? kuna problem somewhere walikulana au? Kamfanya nini hadi afanye hayo mauaji mabaya namna hiyo........baby girl come out useme ukweli wako.
@lilac8794
@lilac8794 10 ай бұрын
Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind
@user-td3ss6nk2d
@user-td3ss6nk2d 10 ай бұрын
@@lilac8794 for sure dear, kuna kitu behind.
@PearlHeaven-vs3cu
@PearlHeaven-vs3cu 10 ай бұрын
Maybe former mboch na hakulipwa
@rosekadzokillian9700
@rosekadzokillian9700 10 ай бұрын
Waah, nae anaugua hapo alipo,.... Haya atapatikana tuu.. Siku za mwizi ni 40 only
@neemanyerere1939
@neemanyerere1939 10 ай бұрын
Sasa mbona hatuoni wakiingia ndani ya nyumba na huyo mubaba cctv inaonesha tu akiruka uko nje ata atujaona vile ametoka kwa hiyo nyumba mmh maswali ni mengi majibu ndo hakuna😢
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 10 ай бұрын
Umeonaee mtihani hizi nchizetu
@user-ke6zr1yf2j
@user-ke6zr1yf2j 10 ай бұрын
I think there is more to this story than meets the eye. She does not seem in a rush after stabbing someone 25 times. We need CCTV showing them entering the residence as well.
@gwg216
@gwg216 10 ай бұрын
Tru hii story iko wiered sana sana..... We don't want to judge but aaaaai
@lilac8794
@lilac8794 10 ай бұрын
Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind
@yobrabrayo
@yobrabrayo 10 ай бұрын
​@@lilac8794nkt
@matindepaulanne1781
@matindepaulanne1781 10 ай бұрын
​@@lilac8794 But if you leave a club with a man what do you expect... Kwanza kama umekunywa pesa zake.
@alicehappiness509
@alicehappiness509 10 ай бұрын
​@@matindepaulanne1781am asking the same question. Minor akienda clubbing is treated as a grown up.
@wendie954
@wendie954 10 ай бұрын
Cctv mbona isionyeshe vile aliingia,wabanaz na ndogo ndogo😢😢😢
@jacklinemaravi8688
@jacklinemaravi8688 10 ай бұрын
Woi.poleni kwa familia..😭😭😭😭😭😭
@maryguya9430
@maryguya9430 10 ай бұрын
Neighbours seem to know her.. coz they should have stopped her
@susankaburu4527
@susankaburu4527 10 ай бұрын
My question to
@kenjuma3058
@kenjuma3058 10 ай бұрын
She is so familiar in that compound from the reaction of the lady in black.
@thebold6700
@thebold6700 10 ай бұрын
I have been reading comments and I concur with you. How comes the two Househelps never regarded her as a stranger to raise the alarm. She looked someone they know well.
@qrankmw.
@qrankmw. 10 ай бұрын
​​@@thebold6700....ehhh....the oj simpson case...they even planted a glove....and it is danstan omari...of that time mr cochran.. who found the glove could not fit..... ...ombeta and danstan need to reach this girl...for the truth to be known...whether she did it or not....server/cctv itolewe yote without editing.....anything else will be chebukati ..cherera story - opaque...with injustice cj reading scripts witten from cotu headquarters or by a thesis from non existent student at teams university (UG) - sak.aja.... ...be the salt of the earth...seek ye first the truth...and all the rest shall be added unto you...
@terrywatahi1203
@terrywatahi1203 10 ай бұрын
She's now regretting her deeds 😢😢
@victordan9158
@victordan9158 10 ай бұрын
Hii Nairobi vitu zinaendelega usiku mungu tu anajua. ...Eish. ...
@robinsonritho3140
@robinsonritho3140 10 ай бұрын
Funny thing despite this CCTV evidence a good lawyer can get her out if there's no direct evidence she committed the crime
@governordavid9398
@governordavid9398 10 ай бұрын
Actually it's a very easy case
@qrankmw.
@qrankmw. 10 ай бұрын
....ehh...what other evidence do you have...?....escaping is not an offence...!!...the captors need to be jailed...!!...ni mtoto...so..afanyiwe medical check...na captors wawekewe charges sawa sawa...
@matindepaulanne1781
@matindepaulanne1781 10 ай бұрын
Everyone is innocent until proven guilty ...
@nairobski4886
@nairobski4886 10 ай бұрын
Clothes with blood stains of maigo,.knives with dna prints of ...
@beautifullyMade2024
@beautifullyMade2024 10 ай бұрын
I don't think so...DNA seems to be all over.
@drogbake4190
@drogbake4190 10 ай бұрын
If daring was a person 😢
@nataliasally
@nataliasally 10 ай бұрын
Kwani hizo waya hazifanyi kazi how comes anazishika na hakuna shock
@eevansnnyongesa3343
@eevansnnyongesa3343 10 ай бұрын
Hizo naona ni maridadi tu
@danielwaita1828
@danielwaita1828 10 ай бұрын
Hizo azinanga shock😅😅 The electrified ones are different....
@cosytvkenya3232
@cosytvkenya3232 10 ай бұрын
Pple will go for any job offer that will make better life . No tym to calculate the results of of it as long as it's a good deal
@kazikazini1042
@kazikazini1042 10 ай бұрын
Sijaona nyaya za umeme bali za nyembe au nyaya wembe
@alicehappiness509
@alicehappiness509 10 ай бұрын
So the lady watching her jump over that fence couldn't have raised an alarm...scream or something...even after seen her clothes stained with blood!!! Again the watchman pia couldn't notice anything??
@mercywangui835
@mercywangui835 10 ай бұрын
I wonder too,there is a lady there in the door
@kikiharry1886
@kikiharry1886 9 ай бұрын
I wonder too,.hata wapige kelele or picha in this era.. I have so many questions with just that small episode...
@alicehappiness509
@alicehappiness509 10 ай бұрын
Those saying the man assaulted the lady....am here wondering,the so called *minor* was out Partying at night,goes home to a *grown man's* house expecting candy!!!
@judymoraamachongo99
@judymoraamachongo99 10 ай бұрын
Am shocked if she is a lady,, rest easy bro 😢😢😢
@brisbanesokoth5541
@brisbanesokoth5541 10 ай бұрын
Wanaume mtakufa kama hamuwezi jiheshimu na kutulia kwenu
@kauskimkulima2171
@kauskimkulima2171 10 ай бұрын
This is mama fua. Useless!
@RiskyGai
@RiskyGai 10 ай бұрын
Sawa mwanamke
@calvinochieng8123
@calvinochieng8123 10 ай бұрын
Damu ya binadamu huwa ni mzito sana hauezi hepa popote dunia hii,
@brianonyango1687
@brianonyango1687 10 ай бұрын
Thatts a. Dangerous woman
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 10 ай бұрын
Dunia simama ni shuke 😭😭😭
@alexinamaina794
@alexinamaina794 10 ай бұрын
Adhiambo alikujaje kwa hiyo nyumba?..alipitia wapi akaingia kwa compound?walikuwa na uhusiano gani na mwenye? nyumba?
@moseskimanimacharia
@moseskimanimacharia 10 ай бұрын
Wapi ua😂 la umeme, security hakuona damu! ama majeraha mbaya ni gani?
@evalynewanjiru9685
@evalynewanjiru9685 10 ай бұрын
😢hao wamama hawajiulizi mbona mtu arukie kwa ukuta kama sio mbaya🤔🤔🤔wangesema nduru
@jemimahmumbua6688
@jemimahmumbua6688 10 ай бұрын
1:04 kuna watu wanamchungulia kwa mlango kutoka side ya tank.mbona jawakusaidia😢😢
@puritynduku8940
@puritynduku8940 10 ай бұрын
Asking the same...apa kuna kitu tunafichwa
@SulaimanMohd-xl3jc
@SulaimanMohd-xl3jc 10 ай бұрын
Tuonyesheni CCTV wakiengia wote kwa nyumba
@qrankmw.
@qrankmw. 10 ай бұрын
....ehh...hapo umenena...cctv ifunguliwe yote bila editing.......bila hiyo..itabakia kua mambo ya chebukati na cherera - opaque.....
@decoloniz_afro
@decoloniz_afro 10 ай бұрын
That electric wire woi....she must be hurt wherever she is......but kitendo alichofanya cha. Unyama woi
@joycemusyoka837
@joycemusyoka837 10 ай бұрын
Wanaume mtaacha kuchenzea wanawake , all the man 👞 ujifunzwe kuheshimu wemen ok , wanawake fire 🔥
@user-ch7un1jt1e
@user-ch7un1jt1e 6 ай бұрын
Kwa vifo ama
@johnoleheshima2142
@johnoleheshima2142 4 ай бұрын
You are also a killer
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 10 ай бұрын
This lady is worthy akiller
@shammillajibera9007
@shammillajibera9007 10 ай бұрын
Don't judge coz this story is not adding up
@shawakc7125
@shawakc7125 10 ай бұрын
what have I just watched wooi
@neriousjellagat4306
@neriousjellagat4306 10 ай бұрын
Sasa huyu si angewatch Kwanza how to get away with murder
@judahwillgofirst7964
@judahwillgofirst7964 10 ай бұрын
I'm sure angekuwa mkikuyu, angekuwa judged hata kama her side of the story haijaskika,, anyway let's hope, polisi watajua what happened.
@Eddyke
@Eddyke 10 ай бұрын
Wakikuyu wako na historia mbaya
@missc5119
@missc5119 10 ай бұрын
@@Eddykewell as you can see si mkikuyu.its funny everyone is she is a victim innocent until proven guilty. Yeah the same way you judged all the others with no evidence of doing the deed the same way we are judging her
@Eddyke
@Eddyke 10 ай бұрын
@@missc5119 we judge her peke yako... Don't bring tribalism here... they's no wey this girl climbed those walls just for money. She was hurting
@emilysawayi5787
@emilysawayi5787 10 ай бұрын
A killer remains a killer
@akinyiokeyo4618
@akinyiokeyo4618 10 ай бұрын
It is a difficult one to decipher...but one thing is for sure,kama there was a payment agreement after a service which was not honoured,such can occur....just my two cent worth if opinion,sad though...
@allanngugi7664
@allanngugi7664 10 ай бұрын
Pay for services , some people desperately need the money .
@paulkhisa5137
@paulkhisa5137 10 ай бұрын
Even if she ran away Bible say, The men who have buried Maigo are now at the door. Acts 5:9
@elizabethotienonyaure992
@elizabethotienonyaure992 10 ай бұрын
How did they get the name
@jembekali5928
@jembekali5928 10 ай бұрын
Hahaha..... smells like a cover up... clothes are conveniently displayed and pictured as if in a shop, the investigation focuses on her escape (via CCTV) but nothing about their entry into the compound. The name of the suspect is known but you give an age range. Since the suspect in question is a minor, it introduces a technicality. By the way, while the suspect is struggling to jump over the wall, there is one person visibly seen through the window of the building - how come they don't notice any unusual activity outside and raise an alarm? One could ask a million questions but this feels like the usual circus prepared for a gullible public. The answer to this gruesome murder lies somewhere else - his workplace.
@KanuMoto
@KanuMoto 10 ай бұрын
You missed the river by a boat. The ladies seen are in the neighboring compound to Eric after the murderer jumped over. Second, it's 6:25am and seeing a lady up and about in a compound of several tenants, you cant raise alarm unlike seeing a dude.
@bettywabuko5071
@bettywabuko5071 10 ай бұрын
Haijulikani penye alielekea, na nguo zilipatikana kwa nyumba yake?
@oloem268
@oloem268 10 ай бұрын
I don't agree with you on some but on that cctv issue I do. There should be a video of them walking in together.
@ericmatheri9394
@ericmatheri9394 10 ай бұрын
Also am also asking myself the same question, whom did he enter with in the house? Which was his house? or is this a different compound that the suspect entered in a bid to escape? Only DCI will unravel the mystery.
@kauskimkulima2171
@kauskimkulima2171 10 ай бұрын
If there is no CCTV it doesn't mean it is a cover up
@pabloesc7755
@pabloesc7755 10 ай бұрын
Yaani wanatazama mtu akiruka fences bila kuchukua hatua kali kama vile kumkatakata kwa mapanga na kisha waite polisi.....nkt!
@sammiebabu8550
@sammiebabu8550 10 ай бұрын
Ghaiii huyo security namjua n wa nyumbani ghaiii poleni sana
@roziialex
@roziialex 10 ай бұрын
Huyu dam ninani kwa hiyo nyumba.labda ata siyeye aliuana.kuna maswali mob sana ..nakaa hakuonekana akiuana..itabidi wafanye kazi kubwa sana ...kujua nani alifanya hicho kitendo.....mungu asaindiye ukweli ujulikane aki
@CleophasKoech-yi6yp
@CleophasKoech-yi6yp 10 ай бұрын
Ndio inafaa akamatwe illi asaidie police kwa uchunguzi
@ag-tm7je
@ag-tm7je 10 ай бұрын
Na si kunaonekana kulikuwa na watu hakuna aliye notice Kuna kitu imefanyika
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 10 ай бұрын
Ingekua ni mombasa angechangamkiwa
@leochemkoros1595
@leochemkoros1595 10 ай бұрын
Wondering too. May be she is not the murderer. May be she witnessed the murder and was running away. May be the guy did something bad to her???????????????
@puritymutheu1237
@puritymutheu1237 10 ай бұрын
What can I comment now?
@vansoham930
@vansoham930 10 ай бұрын
Poleni kwa familia
@bjzee1981
@bjzee1981 10 ай бұрын
wanaume tulieni na mwanamke moja. Haya yote ni wivu wa mapenzi. But ujinga gani kwenye dunia hii ya sasa ya cameras kufanya ushenzi huu
@stellawambua3489
@stellawambua3489 9 ай бұрын
Hawaskiagi
@jonathankisilu9021
@jonathankisilu9021 10 ай бұрын
There is a lot of missing information..whonis Adhis' to marehemu??..under 18yrs?..we are not shown how she climbed up to the top of the tank.. 🙄...Alafu kwani ye ndiye ako na hizi nguo pekee??😢..!
@richardmungori7197
@richardmungori7197 10 ай бұрын
Huyu alilipwa kumuwa huyu Maiyu lakini hiyo pesa hatakula kwa amani,aliyeuwa kwa upanga atakufa kwa upanga, maanake ashapatikana wacha haki ya mwendazake ionekane.
@cashauto3349
@cashauto3349 10 ай бұрын
you are deluded
@Eddyke
@Eddyke 10 ай бұрын
Wewe huna akili .....this is obviously a ln affair
@oneonone8198
@oneonone8198 10 ай бұрын
Wewe punguza mdomo how sure are you eti ni yeye alifanya hicho kitendo
@qrankmw.
@qrankmw. 10 ай бұрын
....ehh....jamaa alikua na deals...or...mambo ingine....huyo mtoto inaonekana alidhulumiwa..au...alikua the wrong place with the wrong person....cctv yote itolewe...bila editing...
@godsfavour1603
@godsfavour1603 10 ай бұрын
@@qrankmw. exactly,she was in a place at the wrong time,unless she found him dead and was afraid to be cought ikabdi ajitoe..if she was the killer why can't the cctv show us if they entered the house together?
@koechcollins9504
@koechcollins9504 10 ай бұрын
This one from kibra was just high on alcohol and drugs. Now regrets for life.
@elizabethjohn6060
@elizabethjohn6060 10 ай бұрын
Aliko pitia Ni hatari,lazima alienda hospitali, doctors pls don't hide this kind of a person
@cindyrobins8257
@cindyrobins8257 10 ай бұрын
Huyu ni kama alitumwa auwe
@tomcalvinceKeTv.
@tomcalvinceKeTv. 10 ай бұрын
The world is coming to an end, Jesus come take as home😭
@tonyirimu
@tonyirimu 10 ай бұрын
Wewe enda kama uko na haraka.
@tomcalvinceKeTv.
@tomcalvinceKeTv. 10 ай бұрын
@@tonyirimu😂😂
@MercyWangariNjeri
@MercyWangariNjeri 10 ай бұрын
@tonyirimu 😂😂😂😂
@vugutsadickson487
@vugutsadickson487 10 ай бұрын
Kwani hukukuwa na mtu kwa hiyo boma? Na mfanyikazi alikuwa anamwambia ashuke kwani wanakuana, mbona hakumuuliza we ni nani? Na kwani aliingilia wapi? Na kwani Eric hakupiga nduru hata akidungwa kisu? Na mshukukiwa kwani hakukuwa na damu yeyote kwa nguo zake?
@reggie-n
@reggie-n 10 ай бұрын
Innocent until proven guilty .I can't judge her negatively before listening her side of the story.
@samsonmburu9940
@samsonmburu9940 10 ай бұрын
You can as well defend her.
@qrankmw.
@qrankmw. 10 ай бұрын
...ehh....well said....she does not look a killer... ...the other ppl in that apartment didnt seem suprised seeing the girl climbing the wall.... .....my premature judgement...she is the victim..
@peterkariuki9073
@peterkariuki9073 10 ай бұрын
Shaitwani wewe!
@user-wy6tv5uq5c
@user-wy6tv5uq5c 10 ай бұрын
​@@peterkariuki9073😂😂😂
@lilac8794
@lilac8794 10 ай бұрын
Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind
@lornamwavali5599
@lornamwavali5599 10 ай бұрын
Walete full video vile waliingia kwnza
@salomeomashibo1971
@salomeomashibo1971 10 ай бұрын
JAMENI HAKO NA UJASIRI WA HALI YAJUU Erck Rip
@user-ch9ei7hp4c
@user-ch9ei7hp4c 10 ай бұрын
Cctv must show Maigo and her before also
@waywepet6871
@waywepet6871 10 ай бұрын
Huyo ni mtu ana umaarufu nakuambia sio kitu rahisi zile waya ni mbaya sana.
@evalindama9710
@evalindama9710 10 ай бұрын
Huyu ni hatari kwa usalama alifaa aende aibe kwa bank instead ya kuua
@millicentjepkemboi5476
@millicentjepkemboi5476 10 ай бұрын
I think that gal is a maid there she is not a killer maybe she was running away from her bosses coz the pupil i think know her the other maids knows her so kuna kauongo ati aliua mtu no
@user-nl4vz8rk1l
@user-nl4vz8rk1l 10 ай бұрын
Tuonyeshe akiingia kwa nyumba acheni hii ufala
@sierratopservices9105
@sierratopservices9105 10 ай бұрын
there's no security patrol guard why?
@KwituRanch
@KwituRanch 9 ай бұрын
1:43 pray for kenya😢😢
@jamessonofjesuschrist9077
@jamessonofjesuschrist9077 10 ай бұрын
Huo msichana ni takataka ata ata kutotoka ni kas bure atapatikana tu , damage ya maigo itamusubua sana
@maureenmbiroh7193
@maureenmbiroh7193 10 ай бұрын
I want to see Adhiambo getting out of the house,
@masanjaabasi8970
@masanjaabasi8970 10 ай бұрын
Yani unauwaje mtu demu 🙌🙌🙌
@qrankmw.
@qrankmw. 10 ай бұрын
....ehh...she doesnt seem okay... .....she does not seem desperate to get away... ...she looks like someone who has managed to get away from her captors...or getting away from something she didnt expect.... ...i could be wrong...but...she will say much if given protection..... ....i would be more worried about what goes on in those apartments....
@anneekiru5071
@anneekiru5071 10 ай бұрын
Her clothes were found soaked in blood. She was in approved school. I see a daring person who doesn't fear to jump over and get injured. Off course there may be accomplices
@qrankmw.
@qrankmw. 10 ай бұрын
​@@anneekiru5071....ehh...cctv yote itolewe....also...hiyo ploti ina mambo....huyo kuruka haikustua sana aliyetokea...mwingine alionekana dirishani kwake akiendelea na mambo zake...hiyo ploti kuna mambo zisizo za kawaida.....
@godsfavour1603
@godsfavour1603 10 ай бұрын
@@anneekiru5071 wait how many cloths did she have?if they found her cloths in socked blood how come she was seen with the same cloths jumping the fence 🤔🤔🤔 this does not add up
@anneekiru5071
@anneekiru5071 10 ай бұрын
@@godsfavour1603 she removed them. They were found where she lives. What kind of children are taken to Approved School? Anzia hapo
@qrankmw.
@qrankmw. 10 ай бұрын
​@@anneekiru5071...ehh..jamaa alipokua akifanya kazi pia kuna pesa zinapitia.....pesa nyingi..... ..wenye tamaa ya pesa...wengine wako na pesa .....na wenye tamaa ni wengi ....
@user-mh8tn7oo9b
@user-mh8tn7oo9b 10 ай бұрын
So the CCTV dint record her getting in but only getting out.. n this CCTV also cannot show us the door for the decease... okay.... maybe it has selective amnesia
@maureenmbiroh7193
@maureenmbiroh7193 10 ай бұрын
😂😂😂
@cindyrobins8257
@cindyrobins8257 10 ай бұрын
Huyu hatamaliza 24 hours
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 10 ай бұрын
Na ilikua bado ni mapema kwani wapangaji wengine walikua wameenda wapi? Mpaka washukiwa watekeleze mauwaji na wapate nafasi ya kutoroka tena kwa kuruka fence yenye ni electric. Na walizimia wapi stima ndio waruke bila wapangaji wengine wasijue? Ikiwa walichukua mda wa kutoroka
@petermakaumutuku9150
@petermakaumutuku9150 9 ай бұрын
She is not a teenager.Hamjui sura za teenager ?.Her own mum said on NTV interview that she was born in 2003.She is 20 years old
@happytimes9747
@happytimes9747 10 ай бұрын
Hiyo bila shaka ni love story ukiona mwanamke anaruka wire disgn hiyo si bure enyewe aliraruliwa kweli kweli😢😢😢
@peterkamanu4628
@peterkamanu4628 10 ай бұрын
The postmortem says he was stabbed 25 times,I think she would be covered with blood if she is the the one who did the stabbing.
@brendaroberts8331
@brendaroberts8331 10 ай бұрын
Same thinking
@Juliana-gq2mh
@Juliana-gq2mh 10 ай бұрын
But for real surely a. Lady from kibra ndio alikua ana manga and yet collogues were dying for him anyways can't believe
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 10 ай бұрын
Nooo Kuna kitu si mapenzi,huyo msichana alitumwa kumumaliza
@cliffshavage9534
@cliffshavage9534 10 ай бұрын
Sleeping with a 15-17 year old shame on him my he rot in hell
@njerunjiru609
@njerunjiru609 10 ай бұрын
This not yet proven, just as escaping from a dead person is not a prove of murder. But Kuna alot hawatuambii.
@anneekiru5071
@anneekiru5071 10 ай бұрын
How do you know? Post mortem shows he was drugged before he was stabbed. Didn't resist
@millicentjepkemboi5476
@millicentjepkemboi5476 10 ай бұрын
Amen amen let him go to hell fire
@morinemuonja3382
@morinemuonja3382 9 ай бұрын
Waah na vile naogopa stima na mtu anapanda ata akishika izo wire
@AshrafSiama-cl2yx
@AshrafSiama-cl2yx 9 ай бұрын
The girl is innocent they even seems to make some discussions with the girl... tuwache kudanganywa hawa ndio tutap
@hassankajogoo3226
@hassankajogoo3226 10 ай бұрын
It would appear like a case of a minor being sexually assaulted by a grown man, then she lost her mind and stabbed the guy. In her heightened state of confusion she brazed the fence to escape.
@alicehappiness509
@alicehappiness509 10 ай бұрын
So the *minor* was out partying and walks to a *grown man's* house expecting candy!
@reginaiteeglobal8919
@reginaiteeglobal8919 10 ай бұрын
this is a very dangerous girl, her character tells it all
@carolineanjela7771
@carolineanjela7771 10 ай бұрын
So you mean the minor was taken to this mans house at gunpoint? This is a dangerous criminal no wander she studied in an approved school.Its her her criminal tendancies started long as.Approved schools and centre for child and young criminals offenders.She stubbed the main 25 times to ensure that he doesn't servive.And masked the man's groaning pain with loud music.And the man too drunk to fight back
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 9 ай бұрын
Ohoo God. Who to trust now
@Victor-qu5nz
@Victor-qu5nz 10 ай бұрын
Why???
@carolkendi2322
@carolkendi2322 10 ай бұрын
lazima amesumbua mamake huyu mtoi aki t sad😊
| MAKASISI WABAKAJI | Wasichana wakiri kubakwa na makasisi
16:12
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,7 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 20 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 59 МЛН
Jamaa aishi na nyoka Dar es Salaam
3:27
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1 МЛН
USHAWAI MEET POLICE EXTRA-ORDINARY, BY: MCA TRICKY
9:42
Churchill Television
Рет қаралды 658 М.
Majambazi wamuua afisa wa DCI kwa kumpiga risasi
3:35
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 195 М.
Arafat Manyoka afuga nyoka na mamba kama walinzi wa boma lake Ukunda
5:36
SIRI YA KUCHAGUA BIBI NI MOJA! BY: MCA TRICKY
11:06
Churchill Television
Рет қаралды 1,1 МЛН
Wanawake zaidi wasimulia masaibu yao na John Matara
4:32
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 210 М.
Jambazi Sugu Auawa Katika Barabara Ya Jogoo
2:57
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,1 МЛН
And who would you choose?👇
0:20
Kitty Power
Рет қаралды 6 МЛН
Никогда не убивай это существо! 😱
0:28