KENYATTA ALIVYOSIMAMISHA HOTUBA KUPISHA ADHANA, WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAGUFULI DODOMA

  Рет қаралды 125,240

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Пікірлер: 431
@nyauclassictv805
@nyauclassictv805 3 жыл бұрын
Nimependa sana hii ni heshima kubwa ya kumtambuwa mungu yupo na ndiye mkubwa wa wote hapa duniani neno "ALLAH AKBARU". lina maana ya mungu ni mkubwa....weka like yako kama na wewe umeipenda hii....
@barakakiula8909
@barakakiula8909 3 жыл бұрын
Swadaktaaa
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
Allah Amuongoz Na amulip kwaili👍👌
@seremenikibwene8633
@seremenikibwene8633 3 жыл бұрын
Hakika Umeonyesha Busara Sana Na Heshima Kubwa Kwa Kujua Kuwa mungu ni Mkubwa, Allah Akuongoze Rais Kenyatta.
@VinceChepkwony
@VinceChepkwony 3 жыл бұрын
Hongera rais wangu kwa kuheshimu wenzetu waislamu. Mungu na akupe nehema zaidi
@hajeralqaidi2115
@hajeralqaidi2115 3 жыл бұрын
Heshima kwako kenyata imesisimua sana kwa heshima uliyonayo juu ya adhana Allah akuongoze🙏
@hassanramadhan8978
@hassanramadhan8978 3 жыл бұрын
Aamiin
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 жыл бұрын
@@hassanramadhan8978 Amiin
@themagadir
@themagadir 3 жыл бұрын
Kawaida yake he always respects the adhana and all other religions in general
@FatmaAli-oy7yu
@FatmaAli-oy7yu 3 жыл бұрын
Angepata viongozi bora, walo chini yke... Kenya ingekuwa vzry sanaa
@hamisikaisi461
@hamisikaisi461 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@kelvinchuwa2212
@kelvinchuwa2212 3 жыл бұрын
Hongere sana mh: kenyeta umeonyesha ukubwa wa Mungu akupe wepesi na akuondolee maradhi nchini kwako
@amirimagongo1392
@amirimagongo1392 3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
Amiin 🤲
@ramadhaninawanje2744
@ramadhaninawanje2744 3 жыл бұрын
Allah akujalie kheri nying sana KENYATA kwa kuheshimu adhana ,Allah akuongoze katika dini insha Allah
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 3 жыл бұрын
Ampe mwisho mwema inshaallah
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 3 жыл бұрын
Ni ukomavu wa hali ya juu sana kuheshimu imani
@tipieleven8582
@tipieleven8582 3 жыл бұрын
Classy
@osumrope2096
@osumrope2096 3 жыл бұрын
Sana
@KarimKhalid786
@KarimKhalid786 3 жыл бұрын
Well done Mr President Kenyatta...Its a big gesture that all leaders must learn
@kimanijohn9529
@kimanijohn9529 3 жыл бұрын
Hamdullilah, pongezi kwake Bwana Raisi, natazama niko marekani
@issahamid9186
@issahamid9186 3 жыл бұрын
What a respect! 👏🏾 👏🏾 God bless you President Uhuru Kenyatta.
@josephkibosi5471
@josephkibosi5471 3 жыл бұрын
Tupoe sote Wana wa EAC
@khadeejahrashid3177
@khadeejahrashid3177 3 жыл бұрын
Hongera president wetu Leo sisi wakenya twajivunia kua na wewe ulivyoheshimu adhan, Allah ataweka nuru ndani ya maisha yako
@mohammedsalum7491
@mohammedsalum7491 3 жыл бұрын
Allah akbar....Yaa Rabbi mpe ufunuo huyu mja wako....🤲🤲
@seifzongo320
@seifzongo320 3 жыл бұрын
Nimeipenda hii 👆👆👐👐🙏🏻🙏🏻🙏🏻nimekupenda bure uhuru kenyata
@othmanally1230
@othmanally1230 3 жыл бұрын
Rais kenyata nimekuombea dua mungu akupe mwisho mwema
@mohamedraahid1456
@mohamedraahid1456 3 жыл бұрын
Mashallah nzuri Sana mashallah
@Najdi358
@Najdi358 3 жыл бұрын
Yaaa Allah Mjaalie mja wako huyu azidi kukutambua na kukufata, Mjaalie aione nuru ya uislamu na ajumuike katika Iman, tuna mkaribisha sana,
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
Masha Allah
@TALLUBOY
@TALLUBOY 3 жыл бұрын
Kuanzia leo naogea tena Kwa kauli yangu sabit kuwa Rais uhuru kenyata nakukubali Sana sana kwa kuipisha hazana tukufu Ubarikiwe sana sana pia tunakuombea watanzania uishi myaka Mingi sana sana sana na wakenya Woote kwa ujumla muwe watu Wenye furaha tele
@nackishmwana2304
@nackishmwana2304 3 жыл бұрын
amin thuma amin
@Najdi358
@Najdi358 3 жыл бұрын
Dah mola amjaalie aipate nuru ya Imaan, amtambue mola wake na amuabudu, safi sana
@halimamuthoni4339
@halimamuthoni4339 3 жыл бұрын
MashaAllah
@daudimmary3965
@daudimmary3965 3 жыл бұрын
Mashallah
@ladykimnan902
@ladykimnan902 3 жыл бұрын
Mashaalah taqbiliiiiii Allah akuongoze kwenye kazi zako inshaallah
@nancysimon4453
@nancysimon4453 3 жыл бұрын
Allah akubar 🥰🙏mashallah
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
Masha allah, it's very sensitive but inasikitisha sana, hawa maraisi wetu wanatenda mema ila wanakataa Neno la shahada.. Ni bure Hon magufuli amefikia hadi kujenga msikiti..ni jambo kubwa sana ila maelewano na mungu huyo uliemjengea msikiti hutegemea neno la shahada. . Kama ni kufurahisha watu... masha allah hon kinyata and mr president magu mmefanikiwa. Mungu ni mwema ana na rehma. Yeye ndio anajua nafasi yako kwake. Ewe mola wetu tupe wepec ktk maisha yetu na utupe viongoz wenye huruma na uzalendo kama magufuli. 99% of likes to kinyata.
@rachealdavid5855
@rachealdavid5855 3 жыл бұрын
Wewe ingia ukiristo or freemason. Kuabudu n uamuzi wa mtu cio kuambiwa ama kulazimishwa
@tamatama1136
@tamatama1136 3 жыл бұрын
Umewashinda masheikh wengi sana hawaeshimu adhana
@amourkhamis8259
@amourkhamis8259 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@saadaissa2524
@saadaissa2524 3 жыл бұрын
Mashekhe ubwaubwa
@wardaheluwa734
@wardaheluwa734 3 жыл бұрын
Mashaallah umetuheshimisha rais wetu
@Allystor
@Allystor 3 жыл бұрын
Leo hii nimetokea kukupenda sana jirani yetu Kenyatta nakuombea kwa Mungu maisha yenye kheri na mwisho uliokua mwema. Nimependezwa zaidi na mambo mawili katika hotuba yako ; la kwanza ni kupisha adhana na la pili ni kumkumbusha Mama Samia njia alioachiwa ni ileile aifate hapa kazi tu asije kurubuniwa na wezi walafi wa madaraka na majambazi ambao hayati Magufuli aliwapiga vita.
@maggiekiarie5404
@maggiekiarie5404 3 жыл бұрын
Mad respect yaani respect ya hali ya juu manze nakupenda my president i salute you
@malkoabdiali4798
@malkoabdiali4798 3 жыл бұрын
Poleni sana Tanzania Africa is crying too hero🇰🇪😭😭😭😭🇰🇪
@awadhhamza9296
@awadhhamza9296 3 жыл бұрын
Wakenya mumefurahi wenyew
@peterngaire7129
@peterngaire7129 3 жыл бұрын
Tushapoa
@bonnytv6530
@bonnytv6530 3 жыл бұрын
Thank you
@nasmaabdul3245
@nasmaabdul3245 3 жыл бұрын
Respect sana rais kenyatta natamani natamani one day Tanzanian na Kenya ziwe nchi moja mungu ibariki African
@jumasaidi961
@jumasaidi961 3 жыл бұрын
Ama kwa hakika umeonesha heshima kubwa kwa dini yetu ya Kiislamu mahala sahihi kabisaaaaa.....kwani ni katika mkoa huo wa Dodoma kuna watu walienda polisi na kufungua kesi juu ya adhana wakidai wanapigiwa kelele na adhana za misikitini.....Leo hii Mwenyezi Mungu muumba wa wote na vyote vilivyomo amekutuma wewe uudhihirishie Umma na watanzania kuwa atajwapo yeye basi asitokee mmoja wenu akadhihaki na kuendelea na shughuli zake.....Adhana na wito maalum wa Mwenyezi Mungu kwa kuwakumbusha kuwa muda ibada umefika......Hakika nimefurahi sana kwa heshima hii kubwa kwetu na Mwenyezi Mungu azidi kukulinda ..........Amiin
@mwacitywakanay2101
@mwacitywakanay2101 3 жыл бұрын
Daaah allwah akubrk jmn awa ndo viongz imar wanao mjar allwah
@selemanimurangwa5916
@selemanimurangwa5916 3 жыл бұрын
Kweli iyi ndiyo dunia ya mwisho r kenyata unanitiya majonzi Kweli unatowa heshima ya adhana kwakuonyesha heshima kubwa thx
@ayoubmtambala5728
@ayoubmtambala5728 3 жыл бұрын
Masha Allah
@mamaally3427
@mamaally3427 3 жыл бұрын
C km ni dalili za kiama hapana huyu jamaa anaimani na Allah uliza Kenya hata mwezi mtukufu huwa anafuturisha waislam huko kwao c kila aaiyekuwa muislam bac hamjui mungu hongera sn Uhuru
@lifeisonetime8997
@lifeisonetime8997 3 жыл бұрын
Can you imagine he knows when it ends, what a wonderful world!!!!!
@musaspana5931
@musaspana5931 3 жыл бұрын
Did you notice am a muslim and i was blown by that too perfect timing i even thought he was wired with earpiece and someone on other end was giving him some hints but he wasn't.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
i said the samething...i was amazed with the same..
@kahamaonelive9432
@kahamaonelive9432 3 жыл бұрын
Love you Kenyata From 🇹🇷💓🇰🇪
@ammarsalah5693
@ammarsalah5693 3 жыл бұрын
I respected you and now u show respect back mr president uhuru kenyata ....much love from me as a Tanzanian resident....
@bukusumightyculturetv4186
@bukusumightyculturetv4186 3 жыл бұрын
Yes bro
@siyasiah2445
@siyasiah2445 3 жыл бұрын
ALLAH akuongize kinyata kwaheshim unaoipa adhana
@rukayyawendo1268
@rukayyawendo1268 3 жыл бұрын
Jambo kubwa sana ili kwa wenye kufahamu
@abdulsalum6375
@abdulsalum6375 3 жыл бұрын
Allah azidi kukupa Afya njema Uhuru kinyata
@furahawauwe7177
@furahawauwe7177 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mzee 🙏🙏
@bilaliramadhani4934
@bilaliramadhani4934 3 жыл бұрын
Nime kupenda bule kenyata mashaallah
@johnmakuno7789
@johnmakuno7789 3 жыл бұрын
Maashallah Allah akupe uongozi thabit akupe MAISHA MAREFU YENYE FURAHA na akupe mwisho mwema viongozi kama wewe niwachache umewashinda ata waislam walioko madarakani nawasio madarakani wasio jua ukuu na utukufu wa mungu mungu akubariki sana wewe nafamilia yako awape mwisho mwema inshaa Allah
@asnawlopez1212
@asnawlopez1212 3 жыл бұрын
Allah. Akibar hakikaa Allah atukulipaaa mengi mkuu kenyata
@aminajuma275
@aminajuma275 3 жыл бұрын
Nuru ya uislamu imetanda kila upande wa dunia hii Allah awaongoze mzidi kuiona
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 3 жыл бұрын
Allahumma amiin
@aminaabdiabdi7112
@aminaabdiabdi7112 3 жыл бұрын
Allahumma amiin🤲
@rahmadizer1744
@rahmadizer1744 3 жыл бұрын
Nimefurah mpaka mwili unatetemeka
@abdallahmwinyi8529
@abdallahmwinyi8529 3 жыл бұрын
@@rahmadizer1744 hongera huo ndio uumini
@germanone3395
@germanone3395 3 жыл бұрын
Kwa ukweli umetufunza hakuna hutuba ya maana kama kumtaja mwenyezi mungu shukran uhunyeee kweli umemtambua kuna zaidi wamazaidi ni ALLAH
@mnegaamina6085
@mnegaamina6085 3 жыл бұрын
Hii ni kuonyesha mungu wetu mmoja
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 жыл бұрын
Umenena vyema sio wengine wanasema njoo huku kwenye hak
@meckienditi4661
@meckienditi4661 3 жыл бұрын
Umenena vyema...kunawatu wameshaona dini za wenzao hazifai kwa tukio hili kumbe hawajui kuheshimu dini ya mwenzio ni unyenyekevu mbele za Mungu na si wanavyofikir wao
@amouryshaaban3473
@amouryshaaban3473 3 жыл бұрын
@@meckienditi4661 kwani wewe ulishaona raisi gani hapa Tanzania baada ya kusikia adhana nayeye akanyamaza kwani wao hawana heshima na dini nyengine ...hii ni haqqi na ndio dini ya ukweli duniani na akhera ndio mana unakuta kila jambo linalohusiana na kuchinjwa wanyama ni rukhsa kwa waislam peke yake kwa sababu ni wao pekee tu ndio waliopewa hukmu na mwenyezimungu wachinje na sio dini nyengine hii inaonyesha wazi ni moja ktk alama za ukweli na haqqi ktk uislam muombe mwenyeezimu akuzindue uijue haqqi na uache ushabiki
@emmadora7848
@emmadora7848 3 жыл бұрын
@@amouryshaaban3473 hapo tu ndio huwa mnachekesha sana watu msio na akili timamu, kiongozi yeyote kachaguliwa na watu wa dini zote na wasio na dini so hana sababu ya kuyoheshimu imani ya wengine , na kuheshimiana ndio zetu waafrika , hayo ya dini ya haki sijui utumbo gani si mngewekwa muishi sayari yenu
@amouryshaaban3473
@amouryshaaban3473 3 жыл бұрын
@@emmadora7848 Kikubwa hatulazimishani kusilimu Bali tunakumbushana kwamba ili mwanaadamu asipate khasara baada ya kufa kwake inatakiwa afe hali ya kuwa ni muislam mtu akifa na dini nyengine tofauti na uislamu itakuwa ni sababu ya kutokubaliwa mbele ya mwenyeezimungu na atapata khasara kesho akhera . Na wengi kwa sababu hiyo khasara ya mtu kufa nje ya dini namna inavyomthibitikia baada ya kufa kwake hatuiyoni na ndio mana kila mmoja anachukulia ni swala La kawaida ila ukweli wa mambo ulivyo kila mwanaadamu baada ya kufa atashuhudia kwa macho yake faida na khasara zilizopo baada ya kufa kutokana na namna alivyochagua kuishi akiwa duniani kwa sababu kama namna mtu atakavyo ishi basi ndivyo atakavyokufa na kama atakavyokufa basi ndivyo atakavyofufuliwa na hali yake aliyokuwa nayo duniani kutokana na matendo yake.
@bahatihassan5413
@bahatihassan5413 3 жыл бұрын
Mashaallah nimefurah kuona unahishim iman ya upande mwingine
@zaharabubakar4983
@zaharabubakar4983 3 жыл бұрын
MashaAllah president Uhuru respecting the Azan JazakaAllah kheir prezo.
@teresiamutua4487
@teresiamutua4487 3 жыл бұрын
Woow awesome respect,God bless u president Uhuru Kenyatta
@amouryshaaban3473
@amouryshaaban3473 3 жыл бұрын
Maashallah Allah akuafikishe kuwa muislam madhubuti rais mzuri kenyatta ambae umestopisha kuzungumza kwa Ajili ya kumpa heshma Aliekupa cheo hicho Allah SUBHAANAHU wataala ninamuomba Allah akupe hidaya wewe na familia yako kabla ya kufikwa na mauti . Karibu sana kwenye uislam ili upate mafanikio ya duniani kaburini na kesho aakhera inshaallah na nyote mliosikiliza hiyo adhana nawashauri tafuteni maana ya hayo maneno uwenda Allah akawapa ibra na mazingatio nanyi mkaufuata uislam
@fundijrtv
@fundijrtv 3 жыл бұрын
Allah akuonyeshe njia upate nuru ya wiislam ewe Rais Uhuru kenyatta
@zainabrajab9608
@zainabrajab9608 3 жыл бұрын
Mashaallh mungu kwanza
@tundakid1852
@tundakid1852 3 жыл бұрын
Na hii iwe funzo kwa waislamu mnao zitharau na kuzipaka tope dini za watu.. Heshimu dini mungu ni mmoja mungu wetu sote.
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 3 жыл бұрын
Hakika mungu akuongoze Rais kenyatta maana umetushinda Ata baadhi ya waislam hatuheshimu adhana umekua mfano wakuigwa Asante Sana mungu akubariki kwa kuheshimu wito wake na ukasimamisha kuongea nakupenda kwaajili ya ALLAH
@nabahaniabbdy925
@nabahaniabbdy925 3 жыл бұрын
Man shaa Allah,,umetoa mwangaza kwa wale ambao hawajui samani ya sauti hiii.
@sabrinahassan7832
@sabrinahassan7832 3 жыл бұрын
maashaallaah
@maryamibrahim4039
@maryamibrahim4039 3 жыл бұрын
MashAllah,big up,Allah akuongoze ktk njia ilonyooka
@hamadikombo1492
@hamadikombo1492 3 жыл бұрын
Mashaallah
@ramadhanimustafa8790
@ramadhanimustafa8790 3 жыл бұрын
Allah akibar
@jumambwana7247
@jumambwana7247 3 жыл бұрын
Mashaallah mungu akuzidishie maisha marefu akulinde namaadui
@abigailkighombe1960
@abigailkighombe1960 3 жыл бұрын
Respecting ones religion is so Respectable and important..wow president Uhuru
@hamadmazuri1446
@hamadmazuri1446 3 жыл бұрын
Ahsante Sana,Sana Kenyatta,for your respect!
@jumakiggundu8935
@jumakiggundu8935 3 жыл бұрын
President Uhuru is among the great leaders we have in Africa. He is a very humble guy!
@hemedwow8802
@hemedwow8802 3 жыл бұрын
kuna Elim kuuubwa sana hapo,kwa akili lkn!!
@kibasengasu5729
@kibasengasu5729 3 жыл бұрын
Allah akujalie kila la kheri hustler Uhuru
@saidswalehe2907
@saidswalehe2907 3 жыл бұрын
Sijawah kusikia speech ya huyu Mzee hakika anazungumza vizur saanaaa na ujasir wa hali ya juu kabisa
@somekesafari9693
@somekesafari9693 3 жыл бұрын
R.I.P MAGUFURI, tulikupenda sana ila mungu amekupenda said.
@mrgeorgeisdory5277
@mrgeorgeisdory5277 3 жыл бұрын
Safii Mungu ni mkubwa must Respect
@nicholasrubando8148
@nicholasrubando8148 3 жыл бұрын
Tunakupenda sana president Uhuru Kenyatta..
@aminaabdiabdi7112
@aminaabdiabdi7112 3 жыл бұрын
Subhannallah😭 Allah amuongoze mja wake pamoja na cc amiiin yarrab 🤲 Ilahi tunakuomba umpe kauli thabit kabla l maut.🤲💞
@mdamuhamis7059
@mdamuhamis7059 3 жыл бұрын
Mungu akuongoze kenyatta rais wa Kenya aufanye mwisho wako kua mwema🙏🙏🙏
@nataemsuya
@nataemsuya 3 жыл бұрын
Mashallah ..kajizolea baraka zake,mungu atambarik kwa namna anavyojua🙏😘🌷
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 жыл бұрын
Maashaall kenyata hongera kws heshima
@joharhamis855
@joharhamis855 3 жыл бұрын
Mashallah 🙏🙏🙏
@littlelostpubg621
@littlelostpubg621 3 жыл бұрын
Very respectful and intelligent leader 👏.
@fatmamshangama9824
@fatmamshangama9824 3 жыл бұрын
Mashallaah nimempenda bure rais kinyata jamn inapendeza
@sadahramadhani6046
@sadahramadhani6046 3 жыл бұрын
MashaAllah, MashaAllah Tabarakallah
@nassranassor8699
@nassranassor8699 3 жыл бұрын
Mashallah Allah amuongoze katika njia iliyonyooka
@badranhafidh35
@badranhafidh35 3 жыл бұрын
Thank you my president for respecting Adhan
@fadhilismnekajr8514
@fadhilismnekajr8514 3 жыл бұрын
Mungu akusimamei katika uwongozi wako uhuru kinyata amen
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
Heshima kubwa sanaaa kwako Kenyatta 👊🙏
@bakarikolumba3477
@bakarikolumba3477 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah daah that is very nice I wish marahis wote wangekuw hiv Allah amzidishie na aipe Kenya amani na nchi zote za Africa masharik na kati..
@yahyafumbwe1642
@yahyafumbwe1642 3 жыл бұрын
Mwenyeezi mungu akulipe rais Kenyata na muomba mwenyeezi mungu akupe zawadi kubwa nayo ni kusilimu mpendwa rais Kenyata saluti kwako rais
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 3 жыл бұрын
Allah amuongoze katika uislam inshallah
@ramadhanimohamed154
@ramadhanimohamed154 3 жыл бұрын
Big up Kenyata may Allah give u a long life
@ramak.9587
@ramak.9587 3 жыл бұрын
Ndio mjue kila soko halikosi wendawazimu kuna viumbe 46 kufikia sasa wamedislike (thumb dwn)hii video. Inna lillah wa inna ilayhi. Kipi kibaya chakupelekea mtu ku dislike video kama hii??? Kweli tunaishi na watu mashetani.
@moahmmedhassanpanjwani3808
@moahmmedhassanpanjwani3808 3 жыл бұрын
Salutes to our beloved president UHURU KENYATTA, ( MY BEST LEADER )
@halaphaologi8301
@halaphaologi8301 2 жыл бұрын
Allah akuzidishie baraka
@tatunjenje5365
@tatunjenje5365 3 жыл бұрын
Yaa Allah,Yaa Rahman,Yaa Rahm
@nackishmwana2304
@nackishmwana2304 3 жыл бұрын
JazzakaLLah khair our Prezo
@mwanajumamohammed6327
@mwanajumamohammed6327 3 жыл бұрын
Uhuru kinyatta umeniacha hoi leo
@abuubakaraliy6738
@abuubakaraliy6738 3 жыл бұрын
Masha Allah raisi Uhuru wa Kenya Allah anakuita katika uislamu
@alialsiddiq783
@alialsiddiq783 3 жыл бұрын
Mashaa Allah
@martinkariuki9363
@martinkariuki9363 3 жыл бұрын
Our president is just a pretender,,,, Anapenda sifa sana,,,😂😂😂
@abigailkighombe1960
@abigailkighombe1960 3 жыл бұрын
Uhuru is now speaking some sence❤️❤️❤️❤️I now love you more than ever before
@hanzurunikazunarichilyenga9150
@hanzurunikazunarichilyenga9150 3 жыл бұрын
Taqbiriiiii!!..
@ismailkatala4792
@ismailkatala4792 3 жыл бұрын
Allah Akbar
@shabbymakapane1910
@shabbymakapane1910 3 жыл бұрын
Allahuakbar
@aliyah.m.hussein941
@aliyah.m.hussein941 3 жыл бұрын
Allah akbar
@abdulishaban7795
@abdulishaban7795 3 жыл бұрын
Allaah akbar
@aminamwakio2299
@aminamwakio2299 3 жыл бұрын
Allahu akbar
@kijonalusay
@kijonalusay 3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah🤲
@sayfllahsayfllah6226
@sayfllahsayfllah6226 3 жыл бұрын
Doooh .... I thought so much until I shed tears wallah .. President may god give you good health and give you faith and lead your country adi when your time is up, I am certainly a role model for every human being ..... I love you so much Kenyan leade.......
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Allah akulipe kher baba ang 🤲💕👏👏nikweli tumifunfishwa ivo tunaposkia adhana tunamanze mpaka itakapo isha ndio tuendelee na maongez. Nawe umefanya mashaallah 👏Allah akuzidishie barka namwisho mwema rais wetu tz tunakupenda pia
@abdulazizkhamis333
@abdulazizkhamis333 3 жыл бұрын
Mashaallah allah akubarq kiongozi nimependa hiyo dah!!! kwakweli sikutegemea allah akubarq
@guyatugale3969
@guyatugale3969 3 жыл бұрын
Asanti Sana our hero kwa kubisha adhan, enye hakuna mkubwa kushinda mungu,
@pinchesmbuche4354
@pinchesmbuche4354 3 жыл бұрын
Kwa hayo yote manafik alshabab bado wanapigana na yeye.
@maryiammohammed4254
@maryiammohammed4254 3 жыл бұрын
Subhana allah
@dechaggagirl1614
@dechaggagirl1614 3 жыл бұрын
MashaaAllah na ajua ilipoisha adhana japo c mwislamu allah akubariki
#MAKONDA" MAJONZI YAMETAWALA ARUSHAV WATU WAVAMIA OFISI ZA MKOA
29:56
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 57 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 27 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 3,6 МЛН
Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa
18:54
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
IBADA YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI KUHUDHURIA ST. PETER
7:43
Millard Ayo
Рет қаралды 95 М.
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
RAIS KENYATA BAADA YA KUPISHA ADHANA SHEIKH KISHKI ATOA NENO
6:20
Kishki Online TV
Рет қаралды 339 М.