Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa

  Рет қаралды 484,882

Azam TV

Azam TV

3 жыл бұрын

“Mwanamke aliyekuzidi kwa shughuli…hata kwa kimo…ni mama huyo...” - Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Mzee Ally Hassan Mwinyi akitoa salamu za pole wakati wa maziko ya Hayati John Magufuli.
#BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 162
@gracejohn4256
@gracejohn4256 3 жыл бұрын
Kama Bado unairudia hotuba ya Mzee wetu gonga like😂😂😂
@housnayousif780
@housnayousif780 3 жыл бұрын
Tupo mamy
@furahabeatrice2057
@furahabeatrice2057 3 жыл бұрын
Kweli tuna uzuni sana, lakini nimemfurahiya huyu mzee🤩 kwa ku mchekesha kidogo mama yetu mjane Janeti Magufuli. Mama ujipe moyo MUNGU anaweza yote, faraja pia ni kwake👏👏👏
@officer1208
@officer1208 3 жыл бұрын
Sawa Furaha Beatrice
@happinesskebaso8911
@happinesskebaso8911 3 жыл бұрын
@@officer1208 a
@sumashunda9711
@sumashunda9711 3 жыл бұрын
Hongera Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kazi kwa vitendo. Umemtumbua Waziri wa TAMIISEMI kwasababu ya kutoajibika ipasavyo. Wote Wanaofanya rushwa waondolewe. Tunahitaji serikali yakutekeleza Kazi zilizopangwa.
@isackkamondo7042
@isackkamondo7042 3 жыл бұрын
Amewainua wamachinga, kamemsumbua kutamka mzee wetu. Like kwa mzee wetu...
@matagilimbigili3018
@matagilimbigili3018 3 жыл бұрын
Mungu mjalie maisha marefu mzee wetu Ally Hassan Mwinyi aendelee kuwepo kwa Faraja na maliwazo sisi wajukuu zake waTz
@issamohammednassor8688
@issamohammednassor8688 3 жыл бұрын
Mwinyiiiiiiiiii dah Allah akupe kheri kwa kusuuza nafsi za watu Allah akupe afyanjema na umri mrefu wa baraja
@linuscharles964
@linuscharles964 3 жыл бұрын
Tanzania yangu nchi yangu. I love you Tanzania
@TarimoTarimo-pf5lo
@TarimoTarimo-pf5lo 6 ай бұрын
Ni wewe uliumia mzee lakini watu wengine walifurahi,😭😭😭😭😭
@mbandedenis575
@mbandedenis575 3 жыл бұрын
Uzee wote huu bado anasoma bila miwan hongera yako.
@user-gy8no9js2u
@user-gy8no9js2u 4 ай бұрын
Tunaongalia 2024 tujuane
@JumaMvungi-ot4ef
@JumaMvungi-ot4ef 4 ай бұрын
Kabisa
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 3 жыл бұрын
Mzee wa ruksaaaaaaa. Stay safe n healthy mr president Mwinyi😅🥰😍🤩😛❤❤❤❤💕💕💕💞💓💗💖❣❣
@georgerichard9590
@georgerichard9590 3 жыл бұрын
Kiswahili cha mzee kizuri sana..kinavutia kusikiliza
@abubakarshoka3799
@abubakarshoka3799 3 жыл бұрын
Unguja mjina ndiyo.kunako.ongewa kiswahiki fasaha
@shamzone388
@shamzone388 3 жыл бұрын
@@abubakarshoka3799 kiswahili fasaha kipo kwa watu wa pwani sio zanzibar tanga dares salaam tuna kiswahili sahihi
@samsonjudith3425
@samsonjudith3425 3 жыл бұрын
Tunakupenda Sana doctor Ally Hassan Mwinyi Rais WA pili WA Tanzania mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu
@adelen9937
@adelen9937 3 жыл бұрын
Mzee Mwinyi 🙏🙏🙏kwa humri huu atumie miwani???✌✌✌shikamoo mzee mungu hakujali.
@ibrahimjoseph2789
@ibrahimjoseph2789 3 жыл бұрын
Umeona mimi mwenyewe nimekoma iki chuma hakina gongo wala mawani na anasoma kaaaaa🇹🇿✋✋🕋
@leoniammasi6634
@leoniammasi6634 3 жыл бұрын
Nimefurahi sana mzee wetu mwinyi umejua kutufuta machoz. Mungu akupe baraka na maisha marefu
@nyirigirajbosco3250
@nyirigirajbosco3250 3 жыл бұрын
Mzee Mwinyi ni Mzee kijana kabisa hapa🇷🇼🇷🇼 tunampenda sanaaaa👍🏻👍🏻
@zainababdulrahman9246
@zainababdulrahman9246 3 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah Allah akujalie afya njema mzee bodyguard ana kazi hadi ya kumsaidia kuongea maneno mazuri babu Muheshimiwa Rais usimchoke msikilize😊
@kilalaurio9922
@kilalaurio9922 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Rais wate, mzee wetu tunakuhitaji uweze kukemea tunapopotoka.
@japharjuma3504
@japharjuma3504 3 жыл бұрын
Mashaa Allah mzee wetu Allah akupe maisha marefu Inshaa Allah
@kassabilahmakalala3121
@kassabilahmakalala3121 3 жыл бұрын
Mungu amlaze pema rais wetu
@issakawaya8315
@issakawaya8315 3 жыл бұрын
Hadhina ya taifa tutakuenze Allah akupe mwisho mwema
@omarimzora5640
@omarimzora5640 3 жыл бұрын
Musikilize mzee Mwinyi yani pamoja na msiba, utacheka utafurahi! Mungu azidi kumpa maisha marefu babu wetu wa faraja
@marympemba1829
@marympemba1829 3 жыл бұрын
Asante baba kwa kuwafariji wafiwa na watanzania wote 🙏🙏
@mutomubaya
@mutomubaya 3 жыл бұрын
Alisimama kidete kuimarisha na kutetea uzalendo wa kiafrika ki siasa, ki jamii na ki uchumi na kupelekea Kiswahili kupendwa na kutukuzwa kiasi cha kupelekea kufanywa kuwa ndio lugha rasmi ya nchi nyingi za Africa.
@matagilimbigili3018
@matagilimbigili3018 3 жыл бұрын
Hongera mzee kwa kuwa na afya njema hasa macho yenye uwezo wa kuona bila miwani
@juliusmushi6428
@juliusmushi6428 3 жыл бұрын
Man of the match msibani
@amit77
@amit77 3 жыл бұрын
Hahaha
@fredrickkibuba4627
@fredrickkibuba4627 3 жыл бұрын
Wajukuu wakikaa na Mababu zao ua wanafurahia kwa maneno ya Babu Yao. ONGERA Mzee Mwinyi Mungu akupe miaka mingi.
@rukiaali9183
@rukiaali9183 3 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu mzee wetu
@abuukhubeyb2763
@abuukhubeyb2763 3 жыл бұрын
Wenye kheri na yeye sio mrefu tu
@samuelalushula3364
@samuelalushula3364 3 жыл бұрын
A graceful old man, still strong!
@nuruhashimu7675
@nuruhashimu7675 Жыл бұрын
Panaitwaje APA Aaah chato mzee Wa ruksa maisha marefu
@browskymuba6923
@browskymuba6923 3 жыл бұрын
Mungu akulinde rais mama weye amin ya rabi 😭
@ClemenceMwenda
@ClemenceMwenda Жыл бұрын
Mungu ibariki tanzania uwabariki na viongozi wake🙏🙏🙏
@fatmamashua4789
@fatmamashua4789 3 жыл бұрын
Hongera bwana bodyguard inabidi aisome hotuba na awe makini kumsikiliza mzee wetu
@Directorjax55
@Directorjax55 3 жыл бұрын
Asante BABA YETU KIONGOZ WETU MZEE WETU MSTAAFU n kweli tumepotewa na Kiongoz Bora Rais wawanyonge ama kweli inauma sn Ila bas tumwachie MUNGU WATANZANIA tuzdn kujipa pole na kujipa Moyo wa huruma
@daudiangolwisye8473
@daudiangolwisye8473 3 жыл бұрын
Mungu akujarie maisha marefu Babu
@MihayoMageta
@MihayoMageta 4 ай бұрын
Mzee alitoa ya moyoni hasa. Na alimkubali sana Magufuli. Sasa wewe unayeponda kazi za Magufuli unataka kubishana na huyu mzee aliyeshika uraisi pande zote mbili za muungano.
@gamgangweesechota3589
@gamgangweesechota3589 3 жыл бұрын
Nataman sana mzee mwinyi hata ungekua babu yangu tuwe tunacheka tuu jaman Mungu akuweke
@geemushy1714
@geemushy1714 3 жыл бұрын
Mwiny tunakutakia Kila la kher mung akulinde umemfarij mjane janeth magfuli
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 3 жыл бұрын
Kweli Jungu kuu halikosi ukoko. Yaani katika hotuba zote watu hawakutabasamu kwa takribam week, ni vilio tuu vilikuwa. Ila wewe umekuja watu tumeona meno yao kwa mara ya kwanza hata ya mama mfiwa. Daah! Kweli uzee si mvi ni akili.
@riccohtiller8999
@riccohtiller8999 3 жыл бұрын
tet
@simondangote3245
@simondangote3245 3 жыл бұрын
Panaitwaje hivi hapa🤣🤣 asante babu
@VictorChesaro
@VictorChesaro 4 ай бұрын
Great speech. Rest in peace great man ❤
@luberengaerisa7437
@luberengaerisa7437 3 жыл бұрын
Thanks fomer presidol of tz
@farajibuteta6258
@farajibuteta6258 3 жыл бұрын
Mzee fundi sana huyu
@mahabsaid5324
@mahabsaid5324 3 жыл бұрын
Mzee who transformed Tanzania for the late to stabilize the government to serve it's citizens.Hongera Mzee Mwinyi
@godelivamuswahili2988
@godelivamuswahili2988 3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 4 ай бұрын
RIP, GOOD SPEECH
@mwajumaomari4383
@mwajumaomari4383 3 жыл бұрын
Allah akbar Mzee umeleta faraja mungu akuongezee umri
@Aidansimwanza
@Aidansimwanza 3 жыл бұрын
Love you Mwinyi
@gracejohn4256
@gracejohn4256 3 жыл бұрын
Alli Hassan mwinyi oyeeee
@mariammmbaga976
@mariammmbaga976 4 ай бұрын
Alhamdulillah
@anochrisskatabazirwe3861
@anochrisskatabazirwe3861 3 жыл бұрын
Nice mzeee
@daudiangolwisye8473
@daudiangolwisye8473 3 жыл бұрын
Miongoni mwa viongozi na wazee bora na hawatumii miwani kwa umri huu mzee mwinyi in bora sana
@josiahkessy6660
@josiahkessy6660 3 жыл бұрын
Good
@mussakidangi5510
@mussakidangi5510 4 ай бұрын
Pumzika kwa amani mzee wetu mwinyi.comrade
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 4 ай бұрын
Mwinyi alikuwa muungwana sana,Mungu amrehemu huko alipo
@dizzobnoor8609
@dizzobnoor8609 3 жыл бұрын
maisha marefu kwake
@ziadayasin711
@ziadayasin711 4 ай бұрын
Innalillah waina lillah rajuuni Allah amsamehe makosa yake baba aitu wa taifa Allah anhehemu amlahemu
@user-yy9ob9dg6l
@user-yy9ob9dg6l 4 ай бұрын
Good memories and is strikes 7:27
@rosemaryw2b
@rosemaryw2b 3 жыл бұрын
Safi sana Mzee wetu Mwinyi 👏👏👏... Wazee ni hazina ya Taifa
@danieldafaa981
@danieldafaa981 3 жыл бұрын
Huyu mwenetu anaitwaje vilee?
@daudmaganga5719
@daudmaganga5719 3 жыл бұрын
Daaah
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 3 жыл бұрын
Mji bila wazee haiwezekani
@harunabdallah1
@harunabdallah1 3 жыл бұрын
Allah awalinde viongozi wetu hawa
@majutojackson5718
@majutojackson5718 3 жыл бұрын
kumchekesha mjane aliefiwa na mumewe!tena rais
@majutojackson5718
@majutojackson5718 3 жыл бұрын
Mzee amejua kutupunguzia huzuni, kucheka kwenye majonzi makubwa mzee ulitusahaulisha kwa muda
@felicianbwinyende4884
@felicianbwinyende4884 3 жыл бұрын
Mwinyi mi5 tena
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 3 жыл бұрын
Wee!! Acha kumtania babu yetu bhana...alishakuambia siku hizi anasahau..tukimpa mitano atakuja kujisahau kuwa yeye ni rais..halafu unatarajia nini 🤝🤣🤣🤣🤣
@bahathnyoni6994
@bahathnyoni6994 3 жыл бұрын
Kenge
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 3 жыл бұрын
Babu yetu mwinyi
@johnkakui7255
@johnkakui7255 3 жыл бұрын
God bless you guys
@mkaligreen1875
@mkaligreen1875 3 жыл бұрын
Ilike that thank you azam tv
@mkaligreen1875
@mkaligreen1875 3 жыл бұрын
Good nice to here you
@mkaligreen1875
@mkaligreen1875 3 жыл бұрын
Good nice to here you
@leonardfabian4584
@leonardfabian4584 3 жыл бұрын
Buriani Baba Magufuli
@victorkabingo888
@victorkabingo888 3 жыл бұрын
Babu yuko poaaa mzee ruksa uyooo
@tanzanite9944
@tanzanite9944 2 жыл бұрын
Kicheko cha kwanza baada ya week nzima ya majonzi. Kweli wazee ni dawa.
@jumamkongowe2272
@jumamkongowe2272 3 жыл бұрын
Fulaha kwenye huzuni Asante nzee wetu kwakutufaliji msibani🙏🙏
@saimonmolel7089
@saimonmolel7089 3 жыл бұрын
Uzee mwema ni hazina njema.
@jacklinekanunu4667
@jacklinekanunu4667 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 babu yetu umejua kutufurahisha hata kama tunamajonzi yamepungua kupitia hotuba yako mungu akuongezee umri mrefu zaidi.
@bahaliasimango3034
@bahaliasimango3034 3 жыл бұрын
Ukitenda mema hapa duniani utaishi marefu kama mzee mwinyi.
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 4 ай бұрын
Kenyaaa chukuweeeni mfano wa mzee mwinyii kwa kuitangamanishhaa nchi kwa upend woo na Amani na imani….nchi ipateee kuendeleyaaaa….
@TarimoTarimo-pf5lo
@TarimoTarimo-pf5lo 6 ай бұрын
Mzee anatambua lakini wajanja hawatambui, pole baba
@abdulabdy6822
@abdulabdy6822 4 ай бұрын
Pumzika Kwa amani Mzee Ali Hassan Mwinyi..tumekupenda sana..mtu mwema na muungwana sana.. Allah akupe kauli thabiti insha Allah
@makamejuma2061
@makamejuma2061 3 жыл бұрын
I hi
@joshuakalinga344
@joshuakalinga344 3 жыл бұрын
Alie sikia kwamba sisi tulikua nakaubairi aweke like hapa👇
@joshuakalinga344
@joshuakalinga344 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwinyi nikiboko yao tulikua nakaubairi
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@sasamama7934
@sasamama7934 3 жыл бұрын
Ata sisi pia tumeemewa kwa huzni moaka leo 🇴🇲
@annageorge9725
@annageorge9725 3 жыл бұрын
Jina lake liimidiwe.
@rashidhassan6899
@rashidhassan6899 3 жыл бұрын
Somo
@SamuelChege-rt4vl
@SamuelChege-rt4vl 4 ай бұрын
.mzee anaye ongea kwa ukakamavu mwingi sana
@mwengatv3058
@mwengatv3058 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂hii ni zaid ya comedy
@muminually2846
@muminually2846 3 жыл бұрын
O
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 4 ай бұрын
Mama Siti yuko pale panaitwaje vile hapa? (Chato)
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 3 жыл бұрын
Uzee dawa
@bornthagylife3802
@bornthagylife3802 3 жыл бұрын
Malkiaasamiaa unafaaa kutuongozatz
@ashafundi2941
@ashafundi2941 3 жыл бұрын
Mungu akulinde mzee wetu
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 3 жыл бұрын
Mtu mzima dawa
@gracepatrick6389
@gracepatrick6389 3 жыл бұрын
😂😂
@ntuzuboy7342
@ntuzuboy7342 3 жыл бұрын
Mzee wa busara
@alhaji6094
@alhaji6094 3 жыл бұрын
Babu wetu wa Taifa❤️
@marckocharless4682
@marckocharless4682 3 жыл бұрын
. .
@joshuaalsel5828
@joshuaalsel5828 3 жыл бұрын
Pamoja na kwamba mimi si mtanzania, ila nashangaa kuamini ma rais watanzania wenye agenda ya africa ni wakristo na nasikitika tanzania kubaki mikononi mwa viongozi wastafu wote wa islam, kwanini iwe ivo, naweza nikaeleweka kuwa mbaguzi ila sielewi kwanini fikra kama hizi zinijie. Que Dieu me pardone
@shafiijafari3680
@shafiijafari3680 2 жыл бұрын
Unawaza mini mbona majibu unayooo
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 жыл бұрын
We nguruwe acha usenge na ubaguz
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
Joshua Alsel, nimekuelewa Sana Ila ukitaka kuishi umri mrefu nakushauri mfuate na kumuabudu Mungu wa kweli.
@samwelipmbise3877
@samwelipmbise3877 2 жыл бұрын
@@wazirisaid8326 Mungu wa kweli ni yupi?
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
@@samwelipmbise3877 Ni yuke alieumba mbingu na Ardhi pamoja na vitu vyote vilivyomo kati yake wakiwemo viumbe vyote vinavyoishi au vilivyo wahi kuishi ulimwenguni. Mungu wa kweli hajazaa Wala kuzaliwa na Hakuna mfano wake Bali ameumba vitu vingi kwa mfano wake autakao!Na hapa ndipo watu wanapojichanganya na kuhusu kuwa wao wanafanana na Mungu.Mungu Huyu hawahi kuka,kunywa,kwenda chooni, kushindwa, kuomba msaada Wala kulia machozi.
@edgaribrahim3931
@edgaribrahim3931 3 жыл бұрын
Mmezingua sijaona inatosha apo
@zamhatjuma5015
@zamhatjuma5015 3 жыл бұрын
Ama kweli ishi uzomewe kufa usifiwe.
@ramahamis5793
@ramahamis5793 3 жыл бұрын
Kweri kbs siku zote ukifa ndo unasifiwa
@nelsonimtaturu8115
@nelsonimtaturu8115 3 жыл бұрын
kweli kabsa yaani
@jasmnjoseph6331
@jasmnjoseph6331 2 жыл бұрын
Mitindo nywe
@glennmajanga57
@glennmajanga57 4 ай бұрын
Great Man. May his soul rest in erternal peace.
@ommyakili552
@ommyakili552 3 жыл бұрын
Board guard wa Hussein Mwinyi hana mbavu
@roberttyeflo6316
@roberttyeflo6316 3 жыл бұрын
Hahaa
@davidmakuke3922
@davidmakuke3922 4 ай бұрын
R I P
@jasmnjoseph6331
@jasmnjoseph6331 2 жыл бұрын
Mitindo nywele
#BurianiJPM: Hotuba ya Rais SAMIA SULUHU HASSAN - Dodoma
32:03
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 6 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 161 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 64 МЛН
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
Azam TV
Рет қаралды 93 М.
Kocha Simba amshangaza kiungo Awesu Awesu
3:22
Azam TV
Рет қаралды 10 М.