Changia uwendeshaji wa chaneli hii kwa kutuma swadaka yako kupitia mitandao ya simu Tigo - 0716 563 705 :- Jina:- Abdallah Abdallah Airtel - 0789 699 235 :- Jina:- Abdallah Abdallah JAZAKUMULLAH KHAIRAH
Пікірлер: 13
@user-oc8uo9rl3u4 күн бұрын
Mawahabi chechei 😂
@user-rc7in6cs8b4 күн бұрын
Shekh suali lang ni hil kama allha yup juu ya arishi kabla hajaiyumb iyo arishi alikua wp
@IssaSimbilla-hw9ev4 күн бұрын
😂nakama yupo mahali popote alikua wapi kabla yakuumba mbingu na ardhi umelikumbuka hilo😂
@hafidhsalum-jp2mw4 күн бұрын
Uko wap ww na hadith ile ya mtume kua Allah huteremka adi mbingu ya mwisho wa dunia robo tatu ya mwisho wa usiku na kupokea dua za waja wake waliokua macho wakati kufanya ibada na kumuomba dua
@huseynmaitaya90024 күн бұрын
Hauja takwa kujua ali kua wapi kabla ya kuiumba hiyo Arshi, Na angetaka angekuambia
@malickyhussein90324 күн бұрын
Ile hadithi inayosema kuwa Mja hua karibu na mola wake wakati aliposujudu.. Hili limekaaje..?
@RuwaidaSaid-un3pc2 күн бұрын
@@hafidhsalum-jp2mw kwaiyo Allah hushuka sio anashuka tena taratibu kwa madoido duhhh mawahabi ni vibaraka wa makafiri kweli
@malickyhussein90324 күн бұрын
Kusema maimamu woote wanalithibitisha huo ni uongo abulfadhili.. Na ulete dalili katika hilo
@malickyhussein90324 күн бұрын
Lete dalili ya imamu shafiii Na Dalili kwa ahamad bin hanmbali Ya abuu hanifa na dalili kutoka kwa imamu maliki…. Halafu aqida ni kuwa Allah yupo bila mahala wala upande.. Haisemwi kuwa Allah hayupo juu hapana.. Inasemwa kuwa Allah hatagemei mahala wala upande kuwepo kwake.. Hakuiumba Aarishi ila yawe ndio makazi yake, huko sio kumpwekesha Allah.. Halafu kama shida ni maana ya neno istawuu.. Mbona linatumika hata na maimamu kutuambia tuziweke sawa swafu zetu na sio ziwe juu swafu zetu. Pale imamu akisema istawuu sufufukum.
@malickyhussein90324 күн бұрын
Lakini pia Dalili unayoitoa kuwa Mtume alimuona Allah kwenye sidratul muntaha ni dalili dhaifu…( na uzuri umeikiri hapo kuwa hiyi ni dhaifu) Lakini dalili ya kusema kuwa sababu aliambiwa na Nabiii musa kuwa “rejea kwa mola wako” ukawaombee tahfifu ummati wako bado sio dalili pia.. Kwasababu hata huku Duniani tunaambiwa kuwa mja rejea kwa mola wako, na panasemwa kuwa katika sijjida ndio mja hua karibu zaidi na mola wake.. Na hiyo ni dalili kuwa Allah yupo bila mahala wala upande, bila kujali wewe upo wapi Allah yeye yupo. Lakini bado naomba dalili ya kuwa maimamu woote wanne wamesema Allah yupo juu ya Aarishi..( hii uteletee na usipoilete itakuwa umekiri kuwa ni uongo uliyoyasema)