Jelly Silaa na Makonda pia na Mbunge Mpina Utendaji kazi wao nimzur Mungu awaongoze
@msafirimaulidi505423 күн бұрын
Mpina mchumia tumbo
@shabanikitula64519 күн бұрын
Mpina hamna kitu
@Mima-cl2im17 күн бұрын
@@msafirimaulidi5054Mpina ni Mbunge safi. Ni mbunge yuko upande wa watanzania. Mpina si muchumia tumbo. Wachumia tumbo wanajulikana. Katika wabunge Mpina ni namba one,
@Mima-cl2im17 күн бұрын
@@shabanikitula645Mpaka uwe na elimu ya kutosha, kuelewa Mpina anazungumuza nini.
@user-pw9ir4fg7x23 күн бұрын
Makonda na Slaaa majembe asantee mama kwakutuletea wanaich zawad yenye hof ya mungu
@BIGBOSS-hl3bu25 күн бұрын
WAZIRI pekee mwenye uzalendo na utu kwakweli mungu akuweke mh JERRY slaa huna baya kakangu
@user-tm5ls1ml6d22 күн бұрын
Nawapongeza sana viongozi wetu p makonda jery sillah kwakazi mnayo fanya nimakubwa ssna hafu nzinto mno hongereni
@ombeninnko180024 күн бұрын
Big up MH .Slaaa
@dotnatajoseph262019 күн бұрын
Muheshimiwa mwenyez mungu akuhifadhi inshallah 🙏 mtetezi wa wanyonge
@feruzyjumaАй бұрын
Wewe ni rais wetu WA future....Tanzania needs you more than you need us.
@mohamedimuhinga906414 күн бұрын
Haya mazao ya magufuli niliyatarajia na Bado wanakuja mungu awabariki sana jury slaa na p makonda nawengine tunao watarajia
@endwardntandu373626 күн бұрын
Mh,Silaa mungu wetu wambunguni akulinde akusimamie uendelee kutenda haki ya kuwatetea wanyonge
@lucykristensen714523 күн бұрын
Jelly Silaa ni baraka ilishushwa na Mwenyezi Mungu aliye hai. Asante sana Watanzania hatuna maneo ya kutosha ya kutoa shukrani zako kwako. Tunakuombea baraka tele kwa Mwenyezi Mungu wewe pamoja na familia yako.
@mr.yahzadochuno7914Ай бұрын
Makonda and salaa mungu awalinde ❤
@RenaldaZeramulaАй бұрын
Slaha Rais 2030.apewe ulinzi. Mkali. Rais.msomi.mtukivu.ana heshima mpole.
@AbdilahiMriri24 күн бұрын
Hongera sana Mhe Waziri wa Ardhi kwa Hotuba hiyo nzuri na Mungu akubariki sana.
@sasha-ri7tf22 күн бұрын
HIZI NDIO INJIN ZA MHE RAIS DKT SAMIA (AK) MAMA KIZIMKAZI # TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA MAMA NANI KAMA MAMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤ ?...
@HashimYahaya-hd3zmКүн бұрын
Mungu akurinde waziri wetu
@rajatially8628Күн бұрын
Mungu akulinde
@rajatially8628Күн бұрын
Mungu akutangulie
@uzimameditv814819 күн бұрын
Hiyo sauti yako waziri inanguvu ya Mungu ya kuiponya Tanzania
@shabanikitula64519 күн бұрын
Hiii kichwa Mungu ailinde
@EliasJohn-lc8nuАй бұрын
Kiongozi wangu Bora kabisa slaaa and makonda
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
jmi mwenzenu huyu mtu daah Mungu wetu amtunze jmni
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
huyu mtu amepania kufanya kazi..tumuombeeni jmni
@mr.yahzadochuno7914Ай бұрын
I love this man my god bless him
@user-my5yp6xx5sАй бұрын
Mungu wenu Samia mnamsahau ata muumba wa vitu vyote mnamsujudia mtu duuuuuu
@user-sw7tf1ob1b29 күн бұрын
Yuko wapi wasila hatuja wahi kusikia kazi yake laisi anazidi kupewa kazi anadawa sana
@user-mp4yt7ps5q29 күн бұрын
Piga kazi silahaa Mungu akulinde
@user-mp4yt7ps5q29 күн бұрын
Kunambi anakupiga vita silahaa piga kazi
@marthaswai118525 күн бұрын
Kuna mtu humo ndani huwa ana vita na mawaziri wa ardhi kila wakiingia.Ilikuwa aliyepita.Na sasa huyu.Piga Kazi Mheshimiwa Slaa. Mungu yuko upande wako.
@CizaDangoteАй бұрын
Huyu Waziri Slaa iwapo atapewa urais uwenda viato vyamagufuli vikamtosha au akawa zaidi ya Magufuli.
Je huyu Jaji ataendelea kuwa jaji? Nchi za kiafrica tutabakia masikini ikiwa matapeli na wezi wa mabilioni wanainunuwa sheria
@margarethsolomon982325 күн бұрын
Kungekuwa na ugombeaji wa urais 2025 ukaweka majina haya Mh. Mpina, Jerry slaa , H. Bashe na akaja P. Makonda ingekuwa ngoma ngumu. LAKINI kwa mizengwe ya CCM wamebana nafasi kwa makusudi. 2025 wanamwachia xxxx
@EsterEdward-eo6dsАй бұрын
SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO NI KWELI KABISA WANAFANYA UDHAMINI KISHA WANAPOTEA WAKIRUDI WANARUDI NA MBINU NYINGINE YA KUWAPA WANACNHI NOTSI HII SIYO HAKI KABISA NI KUWAONEA WANYONGE
@user-vf5gs7ik7w25 күн бұрын
Wizara imepata mwenyewe kafiti Kila kona
@michaelmwaiteleke9488Ай бұрын
Brother jer piga kazi achana na akina kanyasu hao wanataka kukuondoa kwenye mstar
@user-qg1tr8ub5pАй бұрын
Gip
@Don_Saleh_Ай бұрын
Kila tukija kwako unatupiga miezi mpaka watu tunaamua kumtafuta milady ayo labda tutasikika .
@fatmafatu1128Ай бұрын
Kwahy usaidiweje huku mtandaoni
@jacksonpriva7664Ай бұрын
Usichoke vumilia ipo siku yatakwisha
@syliviakente9460Ай бұрын
Nenda chuma No 303 ghorofa ya 3 iliyokuwa Wizara ya Ardhi kwa Bwana Jacob Ngowi atakusikiliza suala lako litafanyiwa kazi !
@Don_Saleh_Ай бұрын
@@syliviakente9460 sio kwenda kwake tuu nishaonananae mara nyingi na mpaka namba yake ninayo mpaka kukutana na waziri mwenyewe tayari lakini kilichobaki ni ninapewa kalenda tuu swala lishafikia mwisho lakini bado nazungushwa tuu .
@ZaycargoMovers-vx6lf28 күн бұрын
Bado hakuna haki
@user-er5to1ko1yАй бұрын
Mahakamani ni wengi waovu
@EsterEdward-eo6dsАй бұрын
DAWA YA DENI NI KULIPA .
@mpefu_4936Ай бұрын
Nyoosha wale wanapora aridhi za wanyonge
@SuleAmber-lw2txАй бұрын
Kuna Makonda na Slaa hawa watu ni wachapakazi
@mpefu_4936Ай бұрын
Hawa vijana Wana busara na akili sana wapeni vijana kazi mm