No video

KIJANA WA KITANZANIA ALIETAJIRIKA KUPITIA MBWA "NINA MBWA WA MILLION 100"

  Рет қаралды 757,110

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 651
@fatimamohammed2332
@fatimamohammed2332 3 жыл бұрын
kusoma sana sio kuwa na maisha mazur gonga like km wakubal hili
@annalfonce259
@annalfonce259 3 жыл бұрын
True
@rugendorunene545
@rugendorunene545 3 жыл бұрын
Baraka 🙏🙏 Kaka🇹🇿, nataka nikutembelee hivi karibuni kutoka kajiado🇰🇪🇰🇪. One of the best interview I have ever seen for those who understand the language.
@tambwe
@tambwe 3 жыл бұрын
Usikosi kutazama filamu ya kiswahili kutoka burundi kwenye compny ya TAMBWE kzfaq.info/get/bejne/heB3o8aQ2bDLhqM.html
@SPrivy
@SPrivy 3 жыл бұрын
Embu kwenda fanya maisha yako wakenya mnawashwa na nini shida zenu
@felixochieng6813
@felixochieng6813 3 жыл бұрын
Nataka kuwa mteja wako ndakupata aje🇰🇪
@mnyangabejowrlicecy3881
@mnyangabejowrlicecy3881 3 жыл бұрын
Nakumbuka ulimuuzia baba yangu mbwa ,,Alikuwa mkali hata mmi nilikuwa siingiindani namkumbuka Sana yule mbwa..
@tatalyzer382
@tatalyzer382 3 жыл бұрын
Hiyo siyo nyumba ya kuishi. Hiyo ni site ya kufugia. Km umeona mtangazaji kashangaa gonga like
@jumawakishuw6273
@jumawakishuw6273 3 жыл бұрын
We we mjinga
@jafreezhasheem6376
@jafreezhasheem6376 3 жыл бұрын
Tunapenda sana hivi, mafanikio kwa vijana wetu Asante Mungu. Hongera nondoz Big up
@tambwe
@tambwe 3 жыл бұрын
Usikosi kutazama filamu ya kiswahili kutoka burundi kwenye compny ya TAMBWE kzfaq.info/get/bejne/heB3o8aQ2bDLhqM.html
@michaelramadhan9466
@michaelramadhan9466 3 жыл бұрын
Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake. ____________________ 🙏📖📖📖🙏(Wafilipi 2:3)
@dyno4tz
@dyno4tz 3 жыл бұрын
Great.
@barakajoseph2798
@barakajoseph2798 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@gililwise
@gililwise 3 жыл бұрын
Jamani mbwa anakula vizuri kuliko binadamu.hongera kaka kwa kujali biashara yako.
@nasibumkorongwe3988
@nasibumkorongwe3988 3 жыл бұрын
ongera sana,kweli anayesubiri kuajiriwa hajajitambua bado licha ya elimu yake. Good job excellence idea
@rastapeace9616
@rastapeace9616 3 жыл бұрын
Good job
@salimahmed6005
@salimahmed6005 3 жыл бұрын
@gilli mwanaume anapewa kongole...
@gililwise
@gililwise 3 жыл бұрын
@@salimahmed6005 amina
@manwoka4078
@manwoka4078 3 жыл бұрын
Kwani huko nyumbani kwenu mnakula nini?
@bozzabeka2240
@bozzabeka2240 3 жыл бұрын
Tunamahukuru raisi wetu magufuli kwa sababu amesema "HAPA KAZI TU" na sisi vijana tumeipokea na tunafanyakazi" yani hii video itabaki kuwa kumbukumbu kwenye makablasha yangu hakika umenena na umeonyesha..!! Heshima sana mzee baba hakika magufuli alikuwa ni true leader na vijana wengi wenye akili tulimkubali ila mungu kamkubali zaidi..."#salute bro.... Much respect..." @la pweza Rip mr president.
@meddymd255
@meddymd255 3 жыл бұрын
Nimependa Sana, Kikubwa kupambana, Ila usije kuiga ukahisi utatoboa haraka ndugu yangu, Kikubwa fanya ambacho unaweza wewe kiwe mfano kwake na kwawengine.
@siostinijohn3226
@siostinijohn3226 3 жыл бұрын
Broo dah , Asante Sana mungu ,nanikweli hapa kazi tu
@mahadaziz5793
@mahadaziz5793 3 жыл бұрын
Serekali tumekuskia na kuanzia sasa wafugaji mbwa wote kusajiliwa.
@reginaldmasato9932
@reginaldmasato9932 3 жыл бұрын
😂😂😂TRA
@seifking7581
@seifking7581 3 жыл бұрын
Hahahaaaa
@ronaldmandari3084
@ronaldmandari3084 3 жыл бұрын
Jicho la tatu wewee
@franktesha7064
@franktesha7064 3 жыл бұрын
😄
@munashaloood4152
@munashaloood4152 3 жыл бұрын
Mungu akujalie kazi ya mikono yako
@kajilugwisha5943
@kajilugwisha5943 3 жыл бұрын
Wewe unawauzaje?
@issamen3920
@issamen3920 3 жыл бұрын
Plo hongela sana
@ngilini9509
@ngilini9509 3 жыл бұрын
Ote mlio komenti ujinga hamjielewi ila mimi niliewahi kufugatu mbwa koko wa wakuuza 10000,najua hesabu anazozipiga huyo jamaa ila mlioshidwa maisha tokea huko mmesha ingiza yenu daaaa watanzania bwana nishida sana hamchelewi hata kumpachika mtu mambo ya ajabu ajabu mungu awafanye mshindwe kwa kila mkifanyacho msifanikiwe kwa chochote katika maisha yenu mwacheni jamaa apige pesa na mbwa wake.
@henrymsoka515
@henrymsoka515 3 жыл бұрын
Hawa sasa ndo ma motivational speaker sio wale wengine waleee!! Big up broh, una inspire watu kufanya kwa moyo na kufikiri zaidi
@owlbig
@owlbig 3 жыл бұрын
Good interview ❤️🇧🇮
@shekhalban8168
@shekhalban8168 3 жыл бұрын
ukweli tuseme kwa sisi waislamu tumekatazwa kuuza au kununua mbwa allah atuongoe na atuepushie kuingia ktk biashara hio
@m-tatu1050
@m-tatu1050 3 жыл бұрын
Kweli?
@Craftiummah123
@Craftiummah123 3 жыл бұрын
I think all these dogs use for helping poice,Stay connected.
@lilig5959
@lilig5959 3 жыл бұрын
Jamaa ametuinsper sana vijana ila tunakuomba millard uende arusha kumuoji zaidi tunaamini utatuonyesha mali zake nyingi zilizo tokana na mbwa ili tuwe proud na tujifunze zaidi kazi iyo.Ndo maombi yangu mm kama fans wa millard
@eventelias3566
@eventelias3566 3 жыл бұрын
Mtangazaji jitahidi kufanya mahojiano katika njia ambayo ni kama na wewe unataka kujua yaan zungumza(make conversations) sio kuuliza swali moja moja hivyo unamfanya anayehojiwa nae akae mkao wa kujibu maswali na si kuelezea pia hapo kwenye aina za mbwa ungeenda akuoneshe kila aina ili wasiojua wajue..Ni mawazo tu.
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 3 жыл бұрын
Heri ii kuliko wizi.congrats boo
@niwemugenimediatrice5640
@niwemugenimediatrice5640 3 жыл бұрын
Nazi ngumu mbona unafikiri kazi ndogo.Chakula
@eggysulle7988
@eggysulle7988 3 жыл бұрын
Unaeza ukalinganisha kaz ii Na wizi?
@georgeigogo9259
@georgeigogo9259 3 жыл бұрын
Nimekushangaa sana kwa kufananisha kazi hii na wizi
@MrJevelson
@MrJevelson 3 жыл бұрын
Pia bora hii kuliko kuvuta
@nimrodsigulu2053
@nimrodsigulu2053 3 жыл бұрын
We ndio mjinga kweli ..sasa hii kazi na wizi unaifananishaje?
@adammjomba7112
@adammjomba7112 3 жыл бұрын
Juhudi ndio msingi wa mafanikio na sio fina wala tunguli. ( BY ADAM MJOMBA)
@hawaramadhani4435
@hawaramadhani4435 3 жыл бұрын
Tunashukuru kwa maelezo yako mazuri sana sasa jiandae mwezi wa 3 ujilete mwenyewe TRA kwa makadirio ya biashara yako sasa uache kuja sheria itafuata mkondo wake ...asante sana kwa uhujumu uchumi sio ombi amri ripoti babaangu .
@leonellykweka7165
@leonellykweka7165 3 жыл бұрын
NILIWAZA UNAPOJITANGAZA HIVI HUONI TRA WANAKUANGALIA
@hawaramadhani4435
@hawaramadhani4435 3 жыл бұрын
Aje na mashine au kitabu cha risiti za mauzo
@aminielyohana3052
@aminielyohana3052 3 жыл бұрын
Kaka nimejifunza jambo kwako nashuru sana mungu akutangulie
@swedinjaidi4658
@swedinjaidi4658 3 жыл бұрын
Lakini umeelewa kuwa mbwa wa kwanza kamto wap?
@thomasdavid3378
@thomasdavid3378 3 жыл бұрын
Plan ni mtaji mungu akupiganie
@mariacosmas5061
@mariacosmas5061 3 жыл бұрын
Kaka Yuko vzr mbwa anakula wali nyama Hongera Sana kwa Kaz nzur
@hanceysamuel5475
@hanceysamuel5475 3 жыл бұрын
Inahamasisha kwa kila mweny ndoto za mafanikio!! 🙏🙏🙏
@neemamayasek3855
@neemamayasek3855 3 жыл бұрын
Naomba namba mm nataka uxhauri nifuge
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 3 жыл бұрын
Chochote unachofanya ukiweka juhudi utafanikiwa
@rugendorunene545
@rugendorunene545 3 жыл бұрын
Nakubariana Nawe🇰🇪🇰🇪✔
@anganilekajigilikajigili2641
@anganilekajigilikajigili2641 3 жыл бұрын
Hata kuloga pia 😂😂😂
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 3 жыл бұрын
Na ukimweka Mungu mbele yess
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 3 жыл бұрын
@@anganilekajigilikajigili2641 kam ni unapenda yes ahhhh
@anganilekajigilikajigili2641
@anganilekajigilikajigili2641 3 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty unasemaaa
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 2 жыл бұрын
Safi sana ,,kazi nzuri kwa watu wanaopenda kujishulisha🤝
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Hongera sana kaka Mungu abariki kazi ya mikono yako
@leonarddeus5897
@leonarddeus5897 3 жыл бұрын
Mh kwenye mke hapo bro umeteleza tengua kauli.
@soaregttz65
@soaregttz65 3 жыл бұрын
msipende sana kuuliza shule ya mtu,elimu ni mafanikio ya mtu aliyonayo
@zuberihussein4375
@zuberihussein4375 3 жыл бұрын
Mafanikio yana siri kubwa ,, unaweza fikiria haraka kuwa Mbwa ndo zimemtoa lakini anasita kueleza,,but all in all Good plan,Creativity and innovation,,,,,NB:Don take things for Granted
@rasvegas8991
@rasvegas8991 3 жыл бұрын
Peleka mawazo mabovuu kale unaitwa na uncle
@officer1208
@officer1208 3 жыл бұрын
Bora wewe umewaza vyema,watu wanadanganywa na yale wanayoyaona au kusikia. Nyuma ya mafanikio makubwa kuna siri kubwa mnooo.
@zuberihussein4375
@zuberihussein4375 3 жыл бұрын
@@officer1208 vizuri Mwamba,, kuenda south na kumnunua Mbwa kwa bei ile sio mchezo bdo ajasema target yake ni kuwauzia akina nani na wapi kuna demand but kaongea vzri uend ukajifunze kwake
@bakarimwashiuya6244
@bakarimwashiuya6244 3 жыл бұрын
Nimekukubal Sanaa. Huo ndio ukweli. Mafanikio hayasemwi UKWELI.
@zuberihussein4375
@zuberihussein4375 3 жыл бұрын
@@bakarimwashiuya6244 umeona eeh,, watu washaanza kuwakejeli Magraduate kuwaona kma wao wnategemea kuajiliwa tu,,
@naimaalhagreya7119
@naimaalhagreya7119 3 жыл бұрын
Pongezi sana bro...mungu akubariki kwa upambanaji wako...mungu akufungulie zaidi ya hayo...
@abubakarsimon7456
@abubakarsimon7456 3 жыл бұрын
Mtangazaji upo vizuri sana kaka
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Alianza kutafuta mapema ndo kama kaka zangu wameanza kujuwa maisha mapema Wana akil shule wenyew Lakin wameanza kujishugulisha na biashara hila nimesema wasiache shule kwasababu Wana akil wasome Kwanza tutawasaidia Kwa kipind hichi
@edwinsirchidunda5658
@edwinsirchidunda5658 3 жыл бұрын
Big up brother umenishangaza
@JB-eu7sb
@JB-eu7sb 3 жыл бұрын
Mtangazaji be like after this interview i'm going to open my own dog shop.
@kpetres2872
@kpetres2872 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@kalimojanswila407
@kalimojanswila407 3 жыл бұрын
Hongela sana kwa kazi swali kwanini mbwa wamekatwa mikia
@teacherd
@teacherd 3 жыл бұрын
Mwanfunzi ujisikii Kusoma?? Huna mood ya Kusoma? kzfaq.info/get/bejne/ocyDn5urmL69oas.html
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Wewe unajiita TEACHER na unaandika " Ujisikii kusoma"🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄 sasa wewe ni Mwalimu gani!!!!@
@teacherd
@teacherd 3 жыл бұрын
@@minskbelarus7255napenda kujifunza nielekeze boss wang
@ramadhanimsowello9021
@ramadhanimsowello9021 3 жыл бұрын
Kama umesukia mtangazaji aliposikia elfu stini kastuka gonga like
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Hongera sana bro 🤩
@safhe-mpungi6075
@safhe-mpungi6075 3 жыл бұрын
Kuiga sio kitu kizuri. Hongera sana bro kazi nzuri sana.
@bablojakitalambo504
@bablojakitalambo504 3 жыл бұрын
Aya maish ni hatali sana respect mzee nondo
@sarongajulius2718
@sarongajulius2718 Жыл бұрын
na swali kwa mr.Ndoto ....ni vyakula gani unapaswa kumpa mbwa ukiwa kama kijana anayetaka kuanzisha biashara ya mbwa
@alvinahavitus8538
@alvinahavitus8538 3 жыл бұрын
Brooooo Nondo uko vizuri!! Mbwa akikuzalia watoto kumi😄😄😄😄😄😄
@ElephantEchoesEntertainment
@ElephantEchoesEntertainment 3 жыл бұрын
Jamaaa kitambo sana aisee enzi ana duka la simu stand kuu pale arusha sijamwona mpk leo kumbe kawa millionaire
@seciliarenatus8657
@seciliarenatus8657 3 жыл бұрын
Kaloleni primary school ♥️♥️
@nyandapatrick1239
@nyandapatrick1239 3 жыл бұрын
Hongera kwa fulsa yako ya ufugaji ingawa inaonekana ni gharama sana, nahisi inahitaji utaalam sana na ingefaa fulsa hii iwahusu vijana wanaotokea sua
@zawadmwinyi1272
@zawadmwinyi1272 3 жыл бұрын
Dah Yan uyo Kaka Yuko vizur kwel maana tunao majilan zetu wanafunga mbwa lakin wanakula mifupa na vichwa vya dagaa mpaka sauti zao azibweki vizuri jaman tuangalige na vitu vya kufuga Kama atuna uwezo tusiige kwa wenzetu
@melangongo2829
@melangongo2829 3 жыл бұрын
Uyu kijana hana akili sana courage👏👏👏👍
@boscocharlesmkandawire4895
@boscocharlesmkandawire4895 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni noma Boerboels anakula sio mchezo kweli huyu jamaa ni jembe😂😂Wangu nipo naye mmoja tu natokwa na jasho 😂😂
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
😂😂
@HASASON
@HASASON 3 жыл бұрын
Hivi we jamaa ndio nikuona umevimba kwenye harrier flani hivi white?
@habarinamichezo6427
@habarinamichezo6427 3 жыл бұрын
Wivu utaniponza aliwezaje kutembea tembea nje za nchi kwa hy nyuma ya panzia bdo hatujui kijana usikulupuke kuona flani kafanya fanyia research kwnza.
@fredsengo4122
@fredsengo4122 3 жыл бұрын
Fact bro
@lucykalinga3254
@lucykalinga3254 3 жыл бұрын
Wee unaona mbali bigiapu
@beatricekyusa6517
@beatricekyusa6517 3 жыл бұрын
Kwao huyu inaonekana sio walala hoi
@kingnicky2568
@kingnicky2568 3 жыл бұрын
Hio gar la ku deliver mbwa kmmke😂
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 жыл бұрын
Pole saana
@janemwamba9093
@janemwamba9093 3 жыл бұрын
Hahahahahahahahhha
@leahgithua6728
@leahgithua6728 3 жыл бұрын
May GOD bless the work of your 🤲you have a very healthy dogs and puppies ooh like them their are soo beautiful with a very clean environmental
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 3 жыл бұрын
Well done Kijana..
@shafiihajjy435
@shafiihajjy435 3 жыл бұрын
tra hawachelewi kukuletea mashine ya efd kaka hahahaha
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
😂😂
@fridaywilly9395
@fridaywilly9395 3 жыл бұрын
True kaka
@patrickmarco964
@patrickmarco964 3 жыл бұрын
Safi sana broo
@johnsekimweli4080
@johnsekimweli4080 3 жыл бұрын
mtangazaji hana maswali ya msingi kabisa,yani wengi wetu hatujui hao mbwa kazi yao kubwa ni nn kama mtu akiamua kumnunua?,wanauwezo gani mwengine zaidi ya ulinzi?,je wana mafunzo yyte wanapatiwa mbali na huduma za kawaida? hayo ni baadhi ya maswali tu.kuna vingi tunahitaji kujua kabla ya mafanikio,UNA VINGI VYA KUMUOMBA MUNGU KABLA HUJAMUOMBA UTAJIRI.
@gilbertmanimo1125
@gilbertmanimo1125 3 жыл бұрын
Nimependa interview Sana TRA mkusanye Kodi Sasa
@cenzohmovies2057
@cenzohmovies2057 3 жыл бұрын
💥💥💥💥nakubal sana
@anoelinamwilili2094
@anoelinamwilili2094 3 жыл бұрын
Good ideal big dro
@dullahmagnifico8439
@dullahmagnifico8439 3 жыл бұрын
Huyo si tunamjua mbwa ameanza kufuga juz juzi na hiyo nyumba alikua nayo tayari asitudanganye
@stevdwin8014
@stevdwin8014 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wabongo Wana mbwembwe kwa sauti ya @raymondmshana
@violethmtalemwa5190
@violethmtalemwa5190 3 жыл бұрын
kaka nimekukubali sana sana umechagua biashara ya pekee big up
@mathewlive77
@mathewlive77 3 жыл бұрын
Amken amken amkeniiiiiii graduates wa mwaka jana wamesema bila milioni moja hawafanyi kazii. 😂😂😂
@wilbertmmary9076
@wilbertmmary9076 3 жыл бұрын
Tuwaache kwanza mkuu, usiwashtue.
@zerotempa
@zerotempa 3 жыл бұрын
Not easy ivo inatakiwa uhaso ao mbwa chakula chao zaid ya binadam
@animusstudio3302
@animusstudio3302 3 жыл бұрын
Yeah...ukiconsider gharama iliyotumika kusoma halafu unataka unilipe laki tatu kwa mwezi....ASA c Bora nisingesoma chali yangu...meenda kupoteza kwa muda tyu
@henryjohn2913
@henryjohn2913 3 жыл бұрын
Kamtembelee natty dogs yupo moshi utaona kila aina ya mbwa mchek insta@ natty dogs
@dismasmtui729
@dismasmtui729 3 жыл бұрын
Uko juu mkuu
@ezekiachaffu282
@ezekiachaffu282 3 жыл бұрын
Heshima kwako broo
@eddogeorge9670
@eddogeorge9670 3 жыл бұрын
Respect for you Brother
@siriyangu4724
@siriyangu4724 3 жыл бұрын
Masha Allah vjana wawe wambunifu kama nondo wwache wizi taifa iendelee nguvu za kazi ni vjana ongera brother mungu azindi kupambania amiin
@gaudencegeorge4622
@gaudencegeorge4622 3 жыл бұрын
Safi sana
@omarnicesang5507
@omarnicesang5507 3 жыл бұрын
Nakukubali nondo
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
Motivation speaker
@benmagaya6610
@benmagaya6610 3 жыл бұрын
Congratulations 🎊
@imbaragamuguhimbazaofficia3832
@imbaragamuguhimbazaofficia3832 3 жыл бұрын
Hizi mbwa zinauzwa polisi halafu zinatu check Airport 🤣🤣
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Kiswahili fasaha ni MBWA HAWA na sio Mbwa hizi
@mbarakawesu6213
@mbarakawesu6213 3 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 Hongera sana kwa kumrekebisha. Wapo wengi sana humu.
@imbaragamuguhimbazaofficia3832
@imbaragamuguhimbazaofficia3832 3 жыл бұрын
Asante Sana 🙏🙏🙏🙏
@imbaragamuguhimbazaofficia3832
@imbaragamuguhimbazaofficia3832 3 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 Hawa MBWA WANAUZWA Polisi halafu Wanatu Check Airport .Hapo safi ?
@imbaragamuguhimbazaofficia3832
@imbaragamuguhimbazaofficia3832 3 жыл бұрын
@@mbarakawesu6213 yes
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 жыл бұрын
Ongera kaka
@labanijr5195
@labanijr5195 3 жыл бұрын
Kwanza jamaa siyo mchoyo wa idea anakwambia watutembelee wajifunze duh 🙇🙇🙇🙇👏👏👏
@chifuthedoni8889
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Mambo mengine ni uongo mtupu, Hivi mbwa anasaidia nini hadi umnunue milion saba? Kama ni ulinzi mungu yupo! Kama we sio mtu wa mungu, uchawi upo unaweza kutumia tena kwa garama ndogo, kwa mganga ukienda ni laki nne tu anakuzindikia mji hakuna mchawi na mwizi hatoboi! Sasa mbwa sangapi?
@mwajumachao9151
@mwajumachao9151 3 жыл бұрын
Hatulii kama vile mkia wa mbwa🤣🤣 hongera sana
@niwemugenimediatrice5640
@niwemugenimediatrice5640 3 жыл бұрын
Si ndo society avyoishi!😝😝😝
@upendourio2847
@upendourio2847 3 жыл бұрын
Aki umenichekesha
@gadielpaulo8925
@gadielpaulo8925 3 жыл бұрын
hahahaha wewe
@nicksonndanzi573
@nicksonndanzi573 3 жыл бұрын
Jinga veve😂😂😂
@princessbatul7449
@princessbatul7449 3 жыл бұрын
Jomn🤣🤣🤣
@marymwacha995
@marymwacha995 3 жыл бұрын
Mmh! Amazing!
@wanawakeandwatototips397
@wanawakeandwatototips397 3 жыл бұрын
UGOJWA WA 🅿🆔 Pelvic Inflammatory Disease Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:- . Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivy wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi. Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe. DALILI ZA UGONJWA WA PID 1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa 2️⃣Kuwashwa sehemu za siri 3️⃣Uke kutoa harufu mbaya 4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu 5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana 6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa 7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi 8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi 9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa 🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula . . MADHARA YA PID •Ugumba •Kansa ya shingo ya kizazi •Mirija ya uzazi kuziba •Majeraha kwenye mirija ya uzazi. kwa msaada na tiba tucheki kwa no:0737166343
@brainjohsam2162
@brainjohsam2162 3 жыл бұрын
Life is secret something behind of this'
@kassimlungia6156
@kassimlungia6156 3 жыл бұрын
big yec
@shom1229
@shom1229 3 жыл бұрын
Kabsa
@fadhilinyengo7853
@fadhilinyengo7853 3 жыл бұрын
Stupid. Hamka kapambane acha kufikilia upumbavu
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 3 жыл бұрын
Nothing ,mbwa ni biasha nzuri wanasafirishwa nchi zingine then wanafukuza wachawi na mavitu mabye ndio maana eachawi wengi awapendi
@fridaywilly9395
@fridaywilly9395 3 жыл бұрын
Yesss hata mm ndyo nilikuwa ninakifikria kaka
@joewamwai315
@joewamwai315 3 жыл бұрын
Biashara ni siri,..mungu akubariki kaka...lol
@albertshao2584
@albertshao2584 3 жыл бұрын
Huyo ni zaidi ya mpambanaji kweli hapa kazi tu
@bihamatvjunior4771
@bihamatvjunior4771 3 жыл бұрын
Nondo unatisha kweli big up mkali
@remeniurasa4866
@remeniurasa4866 3 жыл бұрын
Great project
@juliuskato5100
@juliuskato5100 3 жыл бұрын
Mbwa kapanda ndege kutoka south mpk bongo sio poa
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@williammaganga2870
@williammaganga2870 3 жыл бұрын
Happy new year
@lenatiusjonas4714
@lenatiusjonas4714 3 жыл бұрын
daaah basi na wakina mwakarebela wafuge vyura pale jangwan wanafeli wapi
@brightonadam7142
@brightonadam7142 3 жыл бұрын
Bravo millionaire 🤗
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Hadi raha kafait mwenyew ya mbwa wanapewagwa nyama pia mdogo wake bibi alikuwa anafugaga nilikuwa napenda mbwa tangu mdogo
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Du anawaza, paka milion Saba🤔
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndo mana Kawa tajil
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Hongera Sana kaka
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio wanakuwa na dokta wao hata Kuna sehem walikuwa wanamwita dokta wa mifugo
@rameckatanasi6888
@rameckatanasi6888 3 жыл бұрын
Mm napenda sana kujihusisha na mambo ya ufungaji
@suleymanally4729
@suleymanally4729 3 жыл бұрын
Maisha yangu yote nanife maskini lkn mbwa hapana 😂😂😂😂😂najsi hii nauchafu
@hbaba.
@hbaba. 3 жыл бұрын
Kwa muislaam niharamu.kufuga mbwa
@cosmasdaud9088
@cosmasdaud9088 3 жыл бұрын
Safi Sana na hongera
@phiniasmugini9037
@phiniasmugini9037 3 жыл бұрын
Hongera sana ndg maaana watanzania wengi tunapenda kuajiliwa.....nami nitakuwa nawe katika ufugaji
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 3 жыл бұрын
Comment za chuki sasa ,kweli mbwa ni biashara nzuri na nchi tofauti wanasafirishwa na kuhuza the wanaulinzi mzuri yan mchawi augusi kwako wanapambana wanaona mtu yyte mwenye mavitu mabaya watapambana
@gilntihe4445
@gilntihe4445 3 жыл бұрын
Congratulations,
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 3 жыл бұрын
Maashaallah ,,,,all the best broo
@mshamurashidi4124
@mshamurashidi4124 3 жыл бұрын
Hongera kwakuwa mpambanaji na unaushauri mzuri.
@mariapetro8825
@mariapetro8825 2 жыл бұрын
Hongera sana kaka hapa kazi tu
@Louiskide
@Louiskide 3 жыл бұрын
nitafanya je mimi nataka mbwa mmoja
@allymahamudu9492
@allymahamudu9492 3 жыл бұрын
Kila kitu ni marengo
@hijazhija316
@hijazhija316 3 жыл бұрын
Marengo
@ramadhanimzava3479
@ramadhanimzava3479 3 жыл бұрын
Hongera saaaaana
@musakisebengo2939
@musakisebengo2939 3 жыл бұрын
Safi sana bro...
KIPINDI UFUGAJI SAMAKI KWENYE MAENEO YENYE UKAME NA OEVU
27:29
mifugouvuvi Online Tv
Рет қаралды 11 М.
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 21 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 109 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
MFANYABAISHARA ARUSHA AJENGA HOTELI YA KULAZA MBWA WA WATU WENGINE
19:14
Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael
27:26
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45