No video

Kijana wa Musoma abuni injini ya Ndege

  Рет қаралды 7,291

Daily News Digital

Daily News Digital

Күн бұрын

Kijana Emmanuel Mwenyeji wa Musoma Mkoani Mara na mkazi wa jijini Dar es Salaam ameweka rekodi ya kuwa kijana wa kwanza kutengeneza injini ya Ndege aina ya Jet yenye uwezo wa kutumia mafuta ya taa, diseli na mafuta ya ndege.

Пікірлер: 21
@yohanalaiser2667
@yohanalaiser2667 4 жыл бұрын
Hongereni sana !. Mngejaribu pia kupima vitu kama thrust ili tujue na power ya engine. Nafurahi kuona mtanzania kafanya hivi nimeziea kuona kwa wazungu tu and trust me kuna ambao huwa wanashindwa. Hongereni sana !.
@vagusnerve8797
@vagusnerve8797 4 жыл бұрын
Kwa ushauri wangu hawa jamaa wangetafuta wataalamu wa telecommunication ili wawatengenezee long range remote control kisha wangeanzisha workshop ya kutengeneza RC plane
@oscarmtavangu3053
@oscarmtavangu3053 3 жыл бұрын
Hongera sana kwa team yote, hongera kwa finishing pia, ni ya hali ya juu nimezoea kuiona kwa wenzetu tu, kumbe hata kwetu mpo!
@vagusnerve8797
@vagusnerve8797 4 жыл бұрын
Big up bro, this engine even me i can make it, but problem ni kudesign mfumo wa lubrication na pia kupata materials yanayo resist high temperature hasa kwny combustion chamber and turbine.
@yohanalaiser2667
@yohanalaiser2667 4 жыл бұрын
Lubrication kwa hizi engine ndogo sidhani....zaidi sana labda upate material ambayo ni heat resistant. Ila pia issue ni expansion ya gesi humo ndani kwahiyo boresha technique ili ugenerate less heat with more effeciency.
@francetrading8594
@francetrading8594 7 ай бұрын
Jaman serikali mlaaniwe kwa kuacha vipaji hv vipotee bure,,,
@ababuumwanazanzibar4908
@ababuumwanazanzibar4908 4 жыл бұрын
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae
@chugamantv8602
@chugamantv8602 2 жыл бұрын
Tanzania tuna weza
@williamuphilipo7447
@williamuphilipo7447 2 жыл бұрын
Pongezi nyingi kwenu, wakati umefika sasa kwa Serikali kufumbua jicho lake la tatu juu ya vijana wenye vipaji na kuwaendeleza kwani ni hazina kubwa mno kwa Taifa letu na Afrika yetu kwa ujumla.
@ahadimgedzi1910
@ahadimgedzi1910 5 жыл бұрын
Ningekuwa karibu ningewachangia chochote. Baba JPM watazame hao vijana na ikiwezekana anzisha shule maalumu kwa watu wenye vipaji vya namna hiyo.
@karimhamisi4627
@karimhamisi4627 2 жыл бұрын
Hizi engine si za ramjet zinauzwa
@maligisadotto8631
@maligisadotto8631 5 жыл бұрын
Wizara ya Viwanda na Biashara, SIDO, COSTEC inabidi muwafuatilie hawa vijana na kuwaendeleza ili watengeneze product itakayofaa kwa matumizi ndani na nje ya nchi. Tusiwe watumwa kwa kuthamini vya wazungu tu wakati na sisi tuna akili na uwezo tuliopewa na Mwenyezi Mungu, ni lazima thamini vya kwetu kuanzia sasa. Tuachane na mila potofu ya kudharau vya kwetu.
@karimhamisi4627
@karimhamisi4627 3 жыл бұрын
Africa nzima vyuo vyote kufeli du ! Umejua kujipa promo
@karimhamisi4627
@karimhamisi4627 3 жыл бұрын
Ubunifu sijauona mbona hizi engine zilishabuni miaka ya 80 kulushia drone
@francisgeda5192
@francisgeda5192 3 жыл бұрын
Mko vizur napenda kukutana na hawa jamaa 0684273175
@jaziumusa4131
@jaziumusa4131 4 жыл бұрын
Bado mko nyuma sana 0.0 asilimia
@charlesmataba8344
@charlesmataba8344 4 жыл бұрын
Nabiio hakubariki kwao
@josephemmanuel3175
@josephemmanuel3175 3 жыл бұрын
Huo ni unafki
@HASASON
@HASASON 5 жыл бұрын
Sasa mbona hairuki?
@phillipmatola6964
@phillipmatola6964 4 жыл бұрын
Kwani engine huwa inaruka pake yake....yaani kama moyo eti utembee peke yake😂😂😃😄😅
@wilfredkuyonza675
@wilfredkuyonza675 3 жыл бұрын
Jiongeze wewe engin itarukaje bila kua na body na mabawa
BBC BIASHARA BOMBA: 'Ndege Zinatengenezwaje?'
6:40
BBC News Swahili
Рет қаралды 7 М.
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 21 МЛН
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 7 МЛН
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA MUSOMA - 05/09/2018
1:08:30
HII NDIO HOSPITALI YA MWL. NYERERE - MUSOMA
32:00
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 1,4 М.
Mbunifu wa chanzo kipya cha nishati awaduwaza TANESCO/Umeme wa sumaku
6:02
Daily News Digital
Рет қаралды 30 М.
MAMA WA BILIONEA MSUYA 'AKATAA' KUFUTA KESI MAHAKAMANI, MTOTO ALIA..
12:58
"The Real Power of Google" (2018) | 60 Minutes Archive
13:23
60 Minutes
Рет қаралды 33 М.