No video

KIMEITIKA KENYA, RUTO ATANGAZA MAAMUZI MAGUMU/KUHUSU KUJIUZULU

  Рет қаралды 79,131

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Күн бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 75
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Ай бұрын
dahh mambo ni hot Kenya..mabadiliko kwenye nchi yao yanasomeka vizuri kwa sasa...Mungu ibariki nchi ya Jirani../Tukumbuke nasi Mungu wetu Bariki Samia
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 Ай бұрын
Alilazimisha kushinda uchaguzi kimagumashi, cha moto amekiona. Majogoo wa Kenya maua yenu jamani💪💪💪💪💪
@George-jz3jg
@George-jz3jg Ай бұрын
Wewe ni mjinga kiongozi ambaye hakuwa rais anawezaje kulazimisha ushindi? Haya yanayoendelea ke
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 Ай бұрын
​@@George-jz3jgWhen the U.S is fully behind u to use u as a puppet,,hata kupindua serikali is not an issue
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 Ай бұрын
Hilo la kuondoa malipo ya wenza wa Viongozi Wakuu (mke/mme wa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu), malipo hayo yako pia Tanzania. Hivyo, Viongozi wa Tz bila shaka wajiandaye.
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf Ай бұрын
very wise people in Kenya
@MareMa-kb3iy
@MareMa-kb3iy Ай бұрын
Ruto must goooo
@RichardLyamuya
@RichardLyamuya 25 күн бұрын
Viongozi wetu wajifunze kuwasikiliza watu wanaowaongoza.Ruto angekuwa msikivu haya yote yasingemkuta na bado he must go .
@laburmoses6797
@laburmoses6797 Ай бұрын
Thank his Excellency for admitting for Kenyan cry especially gen Z. This time round you become sober. I appreciate you Ruto. First time the president has been very far from kenyan. I'm appealing to you sir lopetun/lopeitwaan. Turkana people from Turkana west has been cut short from 5000/_2000.where is the problem sir. Thank you. Turkana west sub county.
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 Ай бұрын
Talk about the oil money that's being drilled
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf Ай бұрын
very wise people in Kenya
@piusmwinzi178
@piusmwinzi178 Ай бұрын
Ruto must go ruto must go ruto must go
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r Ай бұрын
Uiii tret la misyer vann nation nwa pour lajean avek Obama
@tobiusjtz7607
@tobiusjtz7607 Ай бұрын
#RUTO must goooo
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Ай бұрын
Katika Ugtuzi anaozungumzia hapo akitaja Kaunt kwa Tanzania ni region/ Mikoa lakini wao Kaunt hizo hizo ni majimbo kwa hiyo magavana ambayo huku kwetu ni majimbo so magovana kwao huwakilisha kaunti kama jimbo
@TonyTony-tg1nz
@TonyTony-tg1nz Ай бұрын
Kaza kijana wangu by Warumi
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 Ай бұрын
Jambo zitooo ila uamuzi ni wako,kuachia ngazi,au kupambania kiti chako huku amani ikiwa hakuna nchini kwako,kipi bora kwa upande wako? Mungu awacmamie ktk yote 🙏🙏🙏🙏
@mbegembege
@mbegembege Ай бұрын
Good choice
@NdakiDoyi
@NdakiDoyi Ай бұрын
pole sana rais ruto
@TeamKRX
@TeamKRX Ай бұрын
Wanasema hawataki posho waongo wezi wakumbwa mauwaji jamani poleni eee 😬😬😬😬daah police hata huruma hawana wamenda achia risasi za moto aaah mungu atawauwa na nyie
@NaomiAwuorOnyango-jr5vf
@NaomiAwuorOnyango-jr5vf Ай бұрын
Never lose Hope Jesus is available every moment of day to give us guidance and direction through prayer Amen!
@hassanirambona7520
@hassanirambona7520 Ай бұрын
RUTO must goo
@RitaLoice
@RitaLoice Ай бұрын
Ruto ni mwongo sana hatwezi amini mambo yake
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 Ай бұрын
MNAKUMBUKA ALIILANI URUSI (PUTIN) HUYU RUTO' HAKUMALIZA ATA MWEZI TAYARI LAANA IMEMRUDI
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 Ай бұрын
Ndio ni mnafiki anangata na kupuliza hapo ndo nilimshangaa san ruto
@JesicahMoraa
@JesicahMoraa Ай бұрын
Ruto must go home tumechoka na yenye
@ubahamisi431
@ubahamisi431 Ай бұрын
Aamue yuendelee na maisha kama wakati wa kibaki au ajiuzulu
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r Ай бұрын
Aleeee
@user-hm9ve4ug3n
@user-hm9ve4ug3n Ай бұрын
Oii hiyo Ngoma hapo background ni gani
@margymuasa977
@margymuasa977 Ай бұрын
Ruto must go. Can' t be trusted. Too much cheating.
@ConsolathaKicheleri
@ConsolathaKicheleri Ай бұрын
MUNGU IBALIKI TANZANIA MUNGU MLINDE RAIS WETU.MUNGU TULINDE WATANZANIA WOTE. MUNGU ILINDE MIPAKA YETU NA WANA JESHI WETU WOTE.
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Ай бұрын
hio laana hata bongo ipo viongozi na wake zao wanalekebishiana shelia ili wapige mihela mungu ikumbuke nasi tz. hayo matumizi yabanwe
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r Ай бұрын
Ayiti gen plis tret wi
@samnice5ify
@samnice5ify Ай бұрын
Acha udaku baba.
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r Ай бұрын
Se ale liye
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 Ай бұрын
Tatizo waandamanaji hawana shida na haya anayorekebisha Ruto waandamanaji wanataka aachie ngazi of which wanaye president wao wanayemtaka na wameshamwandaa!
@user-yj7vu1oe7j
@user-yj7vu1oe7j Ай бұрын
Roto mast go
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Ile Katiba Mpya vipi?
@nassirmasoud2545
@nassirmasoud2545 Ай бұрын
Haki itendeke sio serikali itawaangalia
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r Ай бұрын
Wiii Ansyen dirijean sayo toujour nan koken Avek American se Ale viv pep kenya 🇰🇪
@user-xr4cd3ki4i
@user-xr4cd3ki4i Ай бұрын
Laana tupu
@ruginavenance3042
@ruginavenance3042 Ай бұрын
Bado kwetu sisi watanzania kupinga Kodi ya jengo ya Tanesco
@user-tf7hz6mw1o
@user-tf7hz6mw1o Ай бұрын
Kitakuramba ruto enda ukapumzike
@INNOCENTMOKUA
@INNOCENTMOKUA Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@levissamweli9005
@levissamweli9005 Ай бұрын
Waliokufa wanashughulikiwaje?
@gisthevictorperiod.9763
@gisthevictorperiod.9763 Ай бұрын
Yaani serikali itawalipa family za walotoweka Dunia fidia au malipo ya damu.wengine majeruhi pia watalipwa fidia.. Amani itawale Kenya amani itawale Africa and the whole 🌎 world 🌎
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r Ай бұрын
Misyer mechan
@TeamKRX
@TeamKRX Ай бұрын
Huyu ruto ana akili lakini damu si resign
@MartiniEnock-e2e
@MartiniEnock-e2e Ай бұрын
Wakenya mtamkumbuka huyu ruto Mtaniambia Nchi inaenda kwenye mkono wa chuma
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 Ай бұрын
What are u talking about? Who really cares about what happens? Utawala mtu akichukua kwa wizi na uwongo,mungu mwenye ndio huondoa amani na akaweka chuki na dharau katika roho za watu kwa ajili ya huyo kiongozi. Its better we all die kuliko kubebwa ufala na mtu mmoja,kibaka wa wazungu
@TeamKRX
@TeamKRX Ай бұрын
Mtanzania niko dar ila niko Kenya ruto must go atupishe uko ata uyu samia aende nae waizi hawa
@dareenpetro338
@dareenpetro338 Ай бұрын
kama alisema, kwa nini hamtaki afanye references? Mpeni nafasi afanye utekelezaji. hivi vurugu na kelele, na madai yasiyokuwa na kikomo, wala lengo la reconciliation, na matusi na ku kaza rais sijui nini matusi ya ku attack personality hadi imani ya Rais inachukua suala hili katika sura ya ujinga na vita kwa kanisa. Remain focused on the points, mwache afanye kazi, muendelee kumonitor na kussuport mipango ya mabadiliko. mkikataa reconciliation ninyi mnataka kuuana na kumpa faida shetani. mtaona nimewaonya mara nyingi
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 Ай бұрын
katiba yetu hatar sana kwa Rais ambae ni mtawala asiye na uongoz ndan ake
@josephwabita8662
@josephwabita8662 Ай бұрын
Kaka please be corrected because wamuratha has boy child mission for a very long time
@ShomarRajabu
@ShomarRajabu Ай бұрын
Atoke2
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Ай бұрын
Ruto LBQT na NATO wako wapi una support....Putin atakuondoa hao vijana sio Gez
@user-zc6gb5fk3q
@user-zc6gb5fk3q Ай бұрын
Hii kitu itupiliwe mbali nchini Kenya.
@AlimasiMalembe
@AlimasiMalembe Ай бұрын
NA WALIOKUFA WATARUDISWA AMA AJE???
@INNOCENTMOKUA
@INNOCENTMOKUA Ай бұрын
Ruto must go
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r Ай бұрын
Se voye vacabon saa ale tret
@harithimahmoud1577
@harithimahmoud1577 Ай бұрын
HUYU NI KINARAKA MTIIFU WA MARECANI
@user-sz4nj5tr3r
@user-sz4nj5tr3r Ай бұрын
Ale
@geoffreyembasa8483
@geoffreyembasa8483 Ай бұрын
Sasa huo ndio uchungu wetu kabisa. Hiyo finance bill imeandikwa na I.M.F. Vipengele mukichelewa kulipa deni wachukue mashamba. Raisi mwenyewe anakodisha ndege ya 2 million akisafiri kwenda kusamilia wazungu na waarabu wake almost every month. Halafu hati pandisha bei ya bread,diapers and every other basic commodity. This man is a curse to the land
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 Ай бұрын
Na wakenya wamejichanganya kuingilia vita yemen
@augustinekaio411
@augustinekaio411 Ай бұрын
😂😂😂
@user-gb9oo7hn2k
@user-gb9oo7hn2k Ай бұрын
This g.ment I say I don't no why why hi miskiniy people why killed Ruto know is dawn !!!
@ReginaJoseph-cm3cx
@ReginaJoseph-cm3cx Ай бұрын
Daah, nimesikitishwa na bajeti ya serikali kwa mke wa raisi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Unalijuwa analofanya mke wa Rais?
@dareenpetro338
@dareenpetro338 Ай бұрын
mnamwtwisha lawama kwa maisha magumu , rushwa na kukosa ajira ambako kumedumu kenya miaka mingi sana. hamwoni hilo, mnamsakama Ruto aliyeingia madarakani juzi, atekeleze mabadiliko yote na kufanya kenya kuwa paradise kwa miaka miwili. you re very irrational. Mpeni nafasi afanye kazi, muangalie na msim squeeze arekebishe makosa yote aliyoyakuta kwa muda wa miaka 2. yeye si Mungu. Acheni kumtesa huyu baba kwa sababu mnakwenda mbali hata kuattack kanisa na sasa mnakuwa Anti-Christs. Ishieni tu kudai haki na kuhakikisha mabadiliko yanafanyika lakini achni matusi na kuattack kanisa.
@juvenaryburchard719
@juvenaryburchard719 22 күн бұрын
Uko sawa,matatizo yao ni ya mda mrefu hawampi mda wa kuyatatua.Agenda yao ni Ruto Must go, kila siku fujo kila upande.wampe mda arekebishe serikari
@user-xn3uu5el7l
@user-xn3uu5el7l Ай бұрын
Ruto is not going anywhere,bado 50tena,we kalenjins ate behind him
@onpurpose292
@onpurpose292 Ай бұрын
@user fine if 43 tribes ni wakale. Mtujua hamjui
@MareMa-kb3iy
@MareMa-kb3iy Ай бұрын
Ruto must goooo
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 129 МЛН
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 21 МЛН
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 10 МЛН
"Breaking News: War Has Begun! Israel Attacked!"
3:42
Haber Global
Рет қаралды 582 М.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 129 МЛН