Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma
@neemataris327322 күн бұрын
Acha tu mama yangu pia yaani niliumia sana kama mshale aliondoka
@JacksoniJoseph5 күн бұрын
Mungu akubariki sana
@lizpallangyo805725 күн бұрын
Bwana Yesu akubariki mchungaji akuinue zaidi na zaidi,roho chonganishi zimetenganisha familia
@neemalaurent983625 күн бұрын
Kwa kweli hizi tabiri chonganishi sio nzuri sana,Amina
@nicksonshoo42921 күн бұрын
Mch.Kimaro hili jambo limeniumiza sana sana.Hawa MANABII wanachonganisha sana watu hata zaidi ya Waganga wa Kienyeji.
@user-oy2fi5qz9n20 күн бұрын
Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢
@user-rr3qb1jg3f6 күн бұрын
Hao wanabii wa uwongo kweli Mungu awashughulikie kwa namna iwayo Wachonganishi wakubwa
@restitutapetro470524 күн бұрын
Amen, Nayakubali maneno yako, na mimi nina mtoto mmoja, Mungu anikumbuke!!
@user-eu6ql9zl7n20 күн бұрын
NAMI pia
@mariamluther921910 күн бұрын
Kweli kabisa, inasikitisha Sana kuona wanawake nyakati hizi wanavyodhani kuwa wana uhalali wa waume zao kuliko familia iliyompa support mpaka alipofika.
@user-tn3oe6ig8w20 күн бұрын
Asante mchungaji kwa ujumbe mzuri nikweli nisingemzaa huyo mme angempata wapi na kwanini nimroge mjukuu nisimroge baba yake
@JulianaChacha-k5b19 күн бұрын
Mmhhhhhh mungu awaone hao wanaogawa familia za watu!wawe wakamwana au wakwelima! M/mungu asiwacheleweshe kuwalipa ubaya wao😮
@user-ik5pw9ju8h18 күн бұрын
Yaani Mungu atupiganie wazazi
@neemakijazi236319 күн бұрын
Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.
@jovanafidelis280219 күн бұрын
Pole sana pole Tena naelewa mapito yako,Kaa utulie ukihisi maumivu Sali,majibu watayaona! HAYA mambo yapo sana Tena Kwa wingi
@LusajoKabuka19 күн бұрын
Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni
@TumpeFord-om1wv19 күн бұрын
Mungu atusaidie
@user-sv4wj5be1b23 күн бұрын
Inaumiza kwa kwelii
@ChristerKoku11 күн бұрын
Mchngaji Kimaro umenena ukweli,ni ulimbukeni tu,wamama tunamaneno mengi mno wengine uwachukia wakwe zao bila sababu,ni ujinga na ushamba.huo ni upande mmoja,mchungaji angalia upande wa pili wa muolewaji anayotendewa.
@EvenaManjira16 күн бұрын
Lanye oko
@RehemaKawogo6 күн бұрын
Actually wanaoona wapo ,semw huyo bint alikosea pa kwenda
@VeronicaRugoyi23 күн бұрын
Malipo ni hapahapa dunian
@user-eh3lq8nx1i17 күн бұрын
Ukimfanyia mama wa mwenzako vibaya na wewe utafanyiwa hivyo hivyo
@sonicaghendewa988625 күн бұрын
Sina hamu na hao wanaojifanya wanaona Wanagombanisha watu sana muda mwingine
@BettyGeorge-sn2nn22 күн бұрын
Mm niliambiwaga ni mganga yan
@annamwakibinga52720 күн бұрын
Kabisa mchungaji kama siyo mama wewe ungemkuta huyo mume wako? Jamani kumbukeni wa mama waliozaa hao waume zenu.
@tinamwashilindi680725 күн бұрын
Kwa kweli
@happiness_71325 күн бұрын
🥹😭😢🥺
@user-cv7vm1mx9d20 күн бұрын
Haya mambo yapo kwa kuhani mussa
@annamwakibinga52720 күн бұрын
Na kiboko ya wachawi
@user-ik5pw9ju8h18 күн бұрын
Yaani mimi sijawahi kwenda kwake ila rafiki yangu anaabudu huko kila house girl wake anaambiwa mchawi