Kisa Cha Mama Mkwe Kuitwa Mchawi | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro

  Рет қаралды 15,891

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

27 күн бұрын

Пікірлер: 34
@felistamwashibanda7764
@felistamwashibanda7764 25 күн бұрын
Nikweli kabisa!! nimeshuhudia mama yangu mzazi alivyotupambaniapaka baadh yetu tunafanikiwa,lakini baada ya mafanikio vikainuka vikwazo vyaibilisi mama yangu akaugua akafa😢😢😢😢😢 bila kula matunda ya watoto wake 😢hakika inauma
@neemataris3273
@neemataris3273 22 күн бұрын
Acha tu mama yangu pia yaani niliumia sana kama mshale aliondoka
@JacksoniJoseph
@JacksoniJoseph 5 күн бұрын
Mungu akubariki sana
@lizpallangyo8057
@lizpallangyo8057 25 күн бұрын
Bwana Yesu akubariki mchungaji akuinue zaidi na zaidi,roho chonganishi zimetenganisha familia
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 25 күн бұрын
Kwa kweli hizi tabiri chonganishi sio nzuri sana,Amina
@nicksonshoo429
@nicksonshoo429 21 күн бұрын
Mch.Kimaro hili jambo limeniumiza sana sana.Hawa MANABII wanachonganisha sana watu hata zaidi ya Waganga wa Kienyeji.
@user-oy2fi5qz9n
@user-oy2fi5qz9n 20 күн бұрын
Nawachukia sn wanawake wa style hii, yaan wakiolewa wanawadharau wakwe zao,wanasahau kuwa bila kusomesha hao waume zao,wasingewaona, ila malipo ni dunian,unawasahau wazazi wako kisa mwanamke😢😢
@user-rr3qb1jg3f
@user-rr3qb1jg3f 6 күн бұрын
Hao wanabii wa uwongo kweli Mungu awashughulikie kwa namna iwayo Wachonganishi wakubwa
@restitutapetro4705
@restitutapetro4705 24 күн бұрын
Amen, Nayakubali maneno yako, na mimi nina mtoto mmoja, Mungu anikumbuke!!
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 20 күн бұрын
NAMI pia
@mariamluther9219
@mariamluther9219 10 күн бұрын
Kweli kabisa, inasikitisha Sana kuona wanawake nyakati hizi wanavyodhani kuwa wana uhalali wa waume zao kuliko familia iliyompa support mpaka alipofika.
@user-tn3oe6ig8w
@user-tn3oe6ig8w 20 күн бұрын
Asante mchungaji kwa ujumbe mzuri nikweli nisingemzaa huyo mme angempata wapi na kwanini nimroge mjukuu nisimroge baba yake
@JulianaChacha-k5b
@JulianaChacha-k5b 19 күн бұрын
Mmhhhhhh mungu awaone hao wanaogawa familia za watu!wawe wakamwana au wakwelima! M/mungu asiwacheleweshe kuwalipa ubaya wao😮
@user-ik5pw9ju8h
@user-ik5pw9ju8h 18 күн бұрын
Yaani Mungu atupiganie wazazi
@neemakijazi2363
@neemakijazi2363 19 күн бұрын
Amen Mungu anisaidie na mimi sasa hivi naitwa mchawi ninaua watoto wa mwanangu wa kwanza wa kiume mwanamke anayeishi naye ananiita mchawi hivyo sithubutu kwenda kumhona mjukuu wangu japo moyo unaniuma na anadai amekwenda kwa nabii akamwambia watoto wako Wanatogwa na mama wa mwanaume wako. Mungu atusaidie.
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 19 күн бұрын
Pole sana pole Tena naelewa mapito yako,Kaa utulie ukihisi maumivu Sali,majibu watayaona! HAYA mambo yapo sana Tena Kwa wingi
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 19 күн бұрын
Kweli hao manabii baadhi wamekua wapiga lamuli wanaotumia jina la yesu wanaomjua wao SI yesu kilisto wa nazareti aliye hai miji mikubwa imevamiwa sana tunaomba mungu wakweli aonekani bila hivyo kunamadhala makubwa sana asante mtumishi kwa mafundisho mazuri ameni
@TumpeFord-om1wv
@TumpeFord-om1wv 19 күн бұрын
Mungu atusaidie
@user-sv4wj5be1b
@user-sv4wj5be1b 23 күн бұрын
Inaumiza kwa kwelii
@ChristerKoku
@ChristerKoku 11 күн бұрын
Mchngaji Kimaro umenena ukweli,ni ulimbukeni tu,wamama tunamaneno mengi mno wengine uwachukia wakwe zao bila sababu,ni ujinga na ushamba.huo ni upande mmoja,mchungaji angalia upande wa pili wa muolewaji anayotendewa.
@EvenaManjira
@EvenaManjira 16 күн бұрын
Lanye oko
@RehemaKawogo
@RehemaKawogo 6 күн бұрын
Actually wanaoona wapo ,semw huyo bint alikosea pa kwenda
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 23 күн бұрын
Malipo ni hapahapa dunian
@user-eh3lq8nx1i
@user-eh3lq8nx1i 17 күн бұрын
Ukimfanyia mama wa mwenzako vibaya na wewe utafanyiwa hivyo hivyo
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 25 күн бұрын
Sina hamu na hao wanaojifanya wanaona Wanagombanisha watu sana muda mwingine
@BettyGeorge-sn2nn
@BettyGeorge-sn2nn 22 күн бұрын
Mm niliambiwaga ni mganga yan
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 20 күн бұрын
Kabisa mchungaji kama siyo mama wewe ungemkuta huyo mume wako? Jamani kumbukeni wa mama waliozaa hao waume zenu.
@tinamwashilindi6807
@tinamwashilindi6807 25 күн бұрын
Kwa kweli
@happiness_713
@happiness_713 25 күн бұрын
🥹😭😢🥺
@user-cv7vm1mx9d
@user-cv7vm1mx9d 20 күн бұрын
Haya mambo yapo kwa kuhani mussa
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 20 күн бұрын
Na kiboko ya wachawi
@user-ik5pw9ju8h
@user-ik5pw9ju8h 18 күн бұрын
Yaani mimi sijawahi kwenda kwake ila rafiki yangu anaabudu huko kila house girl wake anaambiwa mchawi
@fleviahella9818
@fleviahella9818 25 күн бұрын
Tikskwcpa Hfujfjtfuaw
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 19 күн бұрын
Apandacho mtu ndicho anacho vuna utavuna tu
INTERPRETING OTHERS DREAMS || KISWAHILI SERVICE || REV.  JOSEPH WACHIRA  || CFF KIMBO CHURCH
1:19:24
CHRISTIAN FOUNDATION FELLOWSHIP - KIMBO
Рет қаралды 56
Sikiliza Shuhuda Hizi 4, ya Mwisho Inasikitisha  | Rev. Dr. Eliona Kimaro
9:13
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 8 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 104 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 4,6 МЛН
Rafiki Aliyeshambuliwa Na Majambazi Kwa Kuzuia Sadaka | Rev. Dr. Eliona Kimaro
15:05
MY WIFE LEFT ME WITHOUT NOTICE- PK KARITEI
1:19:01
JEFF KURIA
Рет қаралды 54 М.
Jane Muthoni gûcokia cîûria iria aingî mûragia na mîhehû
1:07:56
Wambui wa Mwangi
Рет қаралды 19 М.
MAMA HUYU AWATOA WATU MACHOZI KWENYE IBADA: BISHOP ELIBARIKI SUMBE
15:54
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 1 МЛН
Aogeshwa na Kupandishwa Mamba Mto Malagalasi Akitafuta Maisha Bora | USHUHUDA |
13:02