#TheStoryBook #SodomaNaGomorrah Hadithi kamili ya kisa cha Mji wa Washenzi Sodoma na Gomora, na jinsi Mungu alivyouangamiza.
Пікірлер: 1 800
@jugerulikira16983 жыл бұрын
*Akisha uta kuta mtu anasema eti Mungu ayupo🤔 kama wewe una amini kama Mungu yupo gonga like tujuwana*
@buyiyichangesdeus9173 жыл бұрын
Amen
@saidikhalfani83733 жыл бұрын
Mungu yupo
@matumoomari18123 жыл бұрын
Allah yupo na hukumu ipo waache tu waendelee kukufuru
@UfunuoSt2 жыл бұрын
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@suzanjohn4591 Жыл бұрын
Amen.
@itstwinshi21794 жыл бұрын
Nimependa sana hii episode. Inafundisha *MUNGU BABA hadhihakiwi yeye ndiye mwenye nguvu, uweza na mamlaka kuliko chochote wala yeyote* 👏👏
@abuuhemed482 жыл бұрын
Quranshehminshaw
@emmanuelmbelele89542 жыл бұрын
🙏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏
@jamesonkabage2887 Жыл бұрын
P
@floramacheva5855 Жыл бұрын
Waah 😭 Yesu kristo, utuokoe maana Wana wetu wanaishi haya maisha ya hiki KIZAZI Cha sadoma na komora, 😭😭😭uturehemu Mungu wetu
@whitetigerprincy58823 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@atusamwely77714 жыл бұрын
Ata siku moja usiruhusu hasira ya bwana ikawaka juu yako .. Mungu atuhurumiee😥😥😥😥
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@yusuphmohamed5297 Жыл бұрын
Nikweli tuzidi kumuomba mungu natujitaidi kukemea mabaya ata kwakuchukulia Shelia Kali unimtian
@user-zy2ot3dm2p2 ай бұрын
Amen
@rubylifestyle74634 жыл бұрын
wangapi huwa wanasubiri the story book like hapa tujuane😍🥂
@extraordinaryfacts71994 жыл бұрын
Sanaa
@injiniastudios4 жыл бұрын
Yes
@stephenandayi11194 жыл бұрын
Mimi hapa,
@marzymarcy964 жыл бұрын
Yes
@deogratiousmbilinyi95754 жыл бұрын
Mambo
@rukiapatrick33764 жыл бұрын
Tunae mkubali abdallah mtiga hapa tucoment na kulike hapa 👊👊👊👊
@longidastephen92794 жыл бұрын
Mtiga abdalah tunaomba urudi uwendelee na simulizi hizi,kuna mtu amekuja kwenye nafasi yako haiwezi kbs hana sauti ya simulizi na msisimko wa simulizi!kwaujumla wakurudishie nafasi yako maana unaiweza vyema 100%
@josephbalayata45064 жыл бұрын
Toka jamaa aondoke stoory book at a aipandi walanini
@magrethlugiana79804 жыл бұрын
Yeah up
@saraholuche11173 жыл бұрын
Amen, imenikumbusha ya kwamba, mungu huchukizwa sana, wakati ambapo, binadamu hukosa, kutii neno lake, na kutenda jinsi ambavyo anataka, jameeni dhambi ni mbaya, na pia inamkasirisha mungu wetu
@tanephatanzania5356 Жыл бұрын
Ameen
@user-tt6cg9ey6x5 ай бұрын
Tuach mapenz ya jinsia mmoja
@ramamanyama29444 жыл бұрын
abdallah usiwe unakaa mda mref san kutuletea the story book tunapenda sn hil show gonga like apo chin kama unaikubal the story book
@mickdaddeus36344 жыл бұрын
Dah imenifundisha sana the story book
@yusuphmussa34473 жыл бұрын
Kwel
@MasudiChips2 ай бұрын
Kweri
@eneolatukio84934 жыл бұрын
Daah mtangazaji God bless you! Very nice voice na presentation!! Asante kwa kutukumbusha Sodoma na Gomora walivoteketea
@swahiliandculture65994 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa uchambuzi huu wewe ni Mjumbe wa Mungu... umeileta Sauti ya Mungu kama ilivyo... mwenye sikio na asikie Roho wa Mungu anena na watu wake.....ni kweli ushoga sasa unapamba moto... Mungu atusaidie na kutuokoa na vizazi vyetu. BARIKIWA SANA MTU WA MUNGU.
@khamismohamed31002 жыл бұрын
Ccpco jhcohvcppv cc. 😊😶😪✨😜💖😚🍏😄😙😶😙😚🙂😙😙😙😙✨✨😜😄💖💖💖💖😙😋😋😋😶😙😶😙😘🙂😙😚✨🙂💖💖😄😙😄😁😄😄😇😘😘😚😁✨🍎🍎🙂🙂😙😚😙😄😙😄😄😙😙😙😇😇😇😇😇😙😙😚😙😋😱✨😁😁✨✨😊😊✨✨✨😄💕😊💕✨💕😄😊✨✨😁😊✨😪😄😪🍏😄😋🤣😇😁😄💕💕😁💕😄😁😁😄✨😄✨
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@msafirimoses8815 Жыл бұрын
Amini
@martinaelia17683 жыл бұрын
MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI NINAKUOMBA UNIUPUSHE NA KIZAZ HIKI CHA LAANA JALIA FAMILY YANGU IWE YENYE KUKUJUA WEWE NA KUJIFUNZA NENO LAKO KTK MAISHA HAYA YA DUNIANI, AMEEEN👏👏👏👏👏👏👏
@chrisboateng84584 жыл бұрын
Kama unasikiliza na kusoma coment kama mimi naomba like zenu MTIGA. Keep it up broo
@mwaminmussa94613 жыл бұрын
Nawapenda sanaaaaa mnatuletea mambo mazur
@lescokaziulaya44563 жыл бұрын
Pamoja
@venisteveniste69743 жыл бұрын
Jiunge frimanson numéro whtpppp+25768361373
@UfunuoSt2 жыл бұрын
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@GeorgeMtei Жыл бұрын
Pamoja
@obagoabhiathan35654 жыл бұрын
Daaah! Mungu atuepushe na hiyo life style sodoma na gomora katika dunia hii ya Leo..... Plz like hapa kama una amini
@youngweezy38464 жыл бұрын
Sebastian Abhiathan ndo tunakoelekea sasa
@micamathew64334 жыл бұрын
Ombea mataifa haya, wala usitake like, simama mbele za Mungu, Bwana Yesu ili akuokoe na atuokoe sisi kwa ujumla. Ombea mataifa yote, usitake like. Itakusaidia nini??
@joycechaz28404 жыл бұрын
Dah kumbe mashoga walikuwepo tangu enzi hizo!!! Mungu tusaidie
@micamathew64334 жыл бұрын
@@joycechaz2840 iko hivi: vyote uonavyo ktk sasa, vilishakuwepo tangu zama za zamani sana. Hakuna jipya. Kinachotakiwa ni kwamba, msilale usingizi wa kiroho. Soma1Wathesalonike5:6. Kisha umalizie kwa kusoma Yohana15: 7.
@micamathew64334 жыл бұрын
@@joycechaz2840 hakikisha unayasoma hizo mstari, kisha niambie maana kuna vingi nataka kukueleza.
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Shukran sana kwa Maelezo, Nimejuwa Nini Maana Ya Sodama na Gomora.lnna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Msiba Mkubwa.
@emmanuelmbelele89542 жыл бұрын
🙏🙏🙏💞
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@aminihaji48564 жыл бұрын
Allah atuepushe na uchafu huu pamoja na vizazi vyetu
@stephanoelphas42782 жыл бұрын
Amen,tumesikia sauti ya Mungu kupitia sodoma na gomora,Jiji huu ulipigwa kwa sababu ya Dhambi,Amen🚌🎺🎸🎤🎻🏍👏👍👋🙏🍉🍌🍎☝👍🏆🎯🎹🎷🎧👾🎗🇹🇿🚗🚕🌦🔥🌪🌞🙏🙏
@gullaalex65904 жыл бұрын
Hakika umezid kuniongezea Iman yangu nizid kuomba mungu ktk kila jambo, kweli mungu yup na anaona
@jenifaaloyce69104 жыл бұрын
Ameni
@anthaall45824 жыл бұрын
MUNGU Yuko wanaofaa yakwawo wanajuwa jicorake hariko juuyawo tujirekebishe
@lightnessshayo17833 жыл бұрын
Kabisaaa M MUNGU NDO KILA KITU
@abdulimatimbwa31903 жыл бұрын
Shangwe
@christophewilondja37363 жыл бұрын
Luk 19:2_5
@bossshilla35964 жыл бұрын
Unajua sana Mtiga. Mungu atupe macho ya kuona!
@oscarmosha3833 жыл бұрын
mungu atuhurumie kizazi chaleo kimejaa uchafu na laana
@barakabakari83344 жыл бұрын
Kisa hikinatufundisha mambo mambo mazuri sana tumche rabuka
@plantp.o18234 жыл бұрын
DUUUH AYSEE MPAKA NMESHIKWA NA IMANI NA KUONA BORA 2RUDI KWA MUNGU JAMAN GUYS 2TUBU DHAMBI ZETU😢😢😢
@augustinomlowe80594 жыл бұрын
Na wewe huwa unakula boga
@plantp.o18234 жыл бұрын
Me silagi lakini ni mwenye dhamb pia
@gabrielkabuka47124 жыл бұрын
Kula boga ndo nini
@ramadhanimwanyumba29554 жыл бұрын
@dogo leo jifunze kuandika vizuri, hata kuandika vibaya wakati unaweza kuandika pia ni UHUNI
@plantp.o18234 жыл бұрын
Ramadhani Mwanyumba nifundishe kuandika mkuu😐😐
@johnrogasiani4 жыл бұрын
Kama habari hii imekugusa kama mm tushirikiane kusimamia amri za Mungu na tuishi maisha ya kumpendeza Mungu tangu sasa na hata milele, plz naomba like kama million moja endapo, kama unakubali ushauri wangu,, nawapenda wote, na ninawatakia amani.
@johnrogasiani4 жыл бұрын
@@reginambawi9010 nikweli Dada yangu yeye ni mwazo na ni mwisho ,atukuzwe milele na milele , nakutakia baraka na kibali lolote unalotaka kulitenda, mtangulize Mungu nawe utafanikiwa zaidi na zaidi.
@johnrogasiani4 жыл бұрын
@@reginambawi9010 asante na uwe na usiku mwema
@johncavishe3534 жыл бұрын
Kweli wakat umefka tmrudie mwenyenz mungu
@dainesssindiho29683 жыл бұрын
Unahak bro. God bless you
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@bakitakasanga18982 жыл бұрын
Utuhurumie ee mungu sisi Ni wenye zambi utuepushe na adhabu Kali Kama uliyo wapa sodoma na gomola utuepushe na mabaya ee bwana mungu wetu mungu akupe maisha marefu wew uliye jitolea kwa moyo wako kutoa simulizi hii mungu utarehem sis Ni Wana wako utuepushe na mabaya amen
@latifahjanja66794 жыл бұрын
Hz story zinafundisha pia zinarefresh mind big up sana wasafi na the story book
@gracefabian61144 жыл бұрын
Story imechelewaaa banaaa😭😭😭 Mtigaaa fanyaa kuwaishaa kdg aiseeh
@anonymouslyhidden954 жыл бұрын
Ee bwanaee ulete world war much love from Kenya please kama mnaungana nami jamani Like waonee
@fredkangethe74973 жыл бұрын
Bruno Niko hapa Makindu
@UfunuoSt2 жыл бұрын
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@calvincyprian56804 жыл бұрын
Sina mengi sana..ila unafany kaz nzur sanaaa; 1.unatukumbusha mambo muhimu juu ya maish yetu na uhusiano wetu baina ya sisi na Mungu 2.umekuwa sasa ni kiunganishi unatufanya waisalam kwa wakristo kujiona ni sawa kulingana na ufanano na ushahidi huo wa maandiko 3.unajarbu kudhihirisha na kuonyesha uwepo wa Mungu kwa wale wasio mwamini...!
@queenstarboy18234 жыл бұрын
Daaaah uyu mkaka ana sauti nzuri hatr yan imetulia hongera kaka
@fatumaabdallah5664 жыл бұрын
Naomba kwa Allah anitwae mimi na kizaz changu kabla iyo laana haijamkinai🙏🙏🙏
@dunduumaster48154 жыл бұрын
Kama huamini katika Kristo wembe ni ule ule
@fatumaabdallah5664 жыл бұрын
@@dunduumaster4815 jidanganye ivyoivyo huna ulijualo hata kuhusu uyo kristo😎
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Allah atakuhifadhi kwa unaloliomba kwake inshaallah
@iffahbahet14994 жыл бұрын
@@dunduumaster4815 Wewe subiri utakapo ufahamu ukweli utajuta sana
@jafariomary7454 жыл бұрын
Fatuma Abdallah maneno yakwajwakwambiwabiwa
@zechyulewagreenapple57054 жыл бұрын
One love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@danielsaimon47184 жыл бұрын
198004141412500005.
@chief21772 жыл бұрын
Tuko pamoja
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@dullahmbabe38694 жыл бұрын
Mungu hachezewi tumuogope
@RUBENOTIENO-bh8yo Жыл бұрын
so good muendele hivyo hivyo tu hadi watu waone wana tenda thambi mbele za muenyezi mungu asanteni wasafi muendelee 😊
@hadijambwan80924 жыл бұрын
Kam hii story imekushtua gonga like twend saw
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Haipo kwenye Kuruhani kwani? Maana ipo kwenye biblia
@rashidambari34684 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 ipo lakini kwenye Quran inahadithiwa kama kisa cha kaumu Luthi...
@sistitemu73464 жыл бұрын
Palikuwa sheda sana! Itabidi sasa Mungu arudi tena
@juliusmwinga40514 жыл бұрын
Yarabi Tusamehe sisi na waliotutangulia
@tyromonster56994 жыл бұрын
@@juliusmwinga4051 kwel
@rukiamwakinyo53244 жыл бұрын
Haya ni yakweli kabisa Allah atuepushe na haya mabalaa
@afrovisuals-ksv8944 жыл бұрын
Aamin insha Allah @Rukia Abdallah
@fatwimabintathmanbinthawa81554 жыл бұрын
Amiin Yarabi🤲🏼
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Aamin inshaallah
@aminaramadan1844 жыл бұрын
Amiin
@aloyceiluminata36504 жыл бұрын
Ni kweli lakini kwasasa hatuwez kuepuka dhambi ileile ndo ipo katika kizazi hiki Teena sfari hi ndo imeenea kwa kasi..chamsingi Ni kumwambini mwenyezi mungu na kutoshiriki dhambi hizo
@dibah6133 жыл бұрын
Wah mungu atuepushe mbali na moovu..shetani mbaya...Mshahara wa dhambi ni mauti..Ni vyema kutenda mema na kumwogopa/mcha mungu...mungu anapenda watoto wake bali afurahii maovu ni dhambi
@veronicaamela34792 жыл бұрын
Mungu anifungue kwa magojwa pia awafungulie watoto wangu kazi
@emmamarko25174 жыл бұрын
daaaaah huwa namuelewa sana huyu jamaa kama na ww unamuelewa gonga like
@twalibabdulkarim64634 жыл бұрын
ALLAH NI MKUBWA SANA......TUMUABUDU YEYE TUU...WALA TUSIMSHIRIKISHE NA VIUMBE WAKE...NA HAKIKA YA MUHAMMAD NI MTUME WAKE
@lusekelomwinsasu3184 жыл бұрын
Huyo allah ni nani? Maana hapo anaongelewa Mungu ambaye ni Jehova wewe unasema allah mkubwa ametoka wapi hapo?
@hemedramadhani79464 жыл бұрын
Ipo siku tu utamjua Allah ninani
@CizaDangote4 жыл бұрын
@@hemedramadhani7946 mwambie uyo mjinga
@canibalgazaboy83254 жыл бұрын
@@lusekelomwinsasu318 atakuwa ni Mungu wa waislama ndugu Kama ilivokuwa Mungu baali ko Kuna Mungu wengi ila sisi wakristo tunamjua Mungu wetu na sifa zake hazifanani na za Mungu Allah muongo.
@fatmafeisal4424 жыл бұрын
@@canibalgazaboy8325 Hamna mungu wa waislam wala wa wakristo mungu ni mmoja ni ndio Allah s.w. na ndio mungu wa kila kitu ulimwenguni na mbinguni na hana mshirika wala msaidizi wa aina yeyote.
@PeterJulius-ej4lu3 ай бұрын
Mungu ni mungu pekee tuomben mwisho uwe mwema amèeen ❤pia ishaalaaa
@mohamedkagoma70663 жыл бұрын
Subhanallah zama ndo hizi tulokua nazo sasahivi yarabi tunusuru wajawako tunusulie watotowetuh duh had I naogopa maana dunia sasahivi imejaaa kila aina ya ovu
@nyatindwagerald46074 жыл бұрын
Hapa lazima ujifunze kitu kwenye hii story Asante Mtiga
@qaltumsaid30954 жыл бұрын
Tupe mastry tupate kufaidika kama umeikubali hii story book gonga like 👍tuende p1
@shabanally43783 жыл бұрын
Mmb
@Kimaro_Comedy4 жыл бұрын
Hii sauti ni best sauti, eeebwana Mtiga wewe ni kiboko napenda The Story Book kwa sababu yako mzee, Nani yuko Hapa na mimi tunacheki story book 👇👇👇👇😍😍😍😍
Kama unailudia story hii mpaka leo 2020 tuwe pamoja nipe like zako hapa
@angelmwandata22334 жыл бұрын
Wangap wameludia kuisikiliza na kuangalia hii story kama mimi like tujuane jmni
@titreevents87904 жыл бұрын
Story zako nzuri sana kila mtu anazipenda sasa tunasubilia naya SAMSON
@charityhalisi72124 жыл бұрын
Hakuna jipya chini ya jua.... Vyote tunavyovyiona vilikuwepo! Mungu niokoe mm nimekutenda dhambi
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Nawe ushafanyaga kma hivi 😁
@micamathew64334 жыл бұрын
Hii habari imenitoa machozi kwelikweli. Dahhh nimejikuta chozi yanidondoka, kuwahurumia walimwengu. Kweli Mungu wetu ana huruma ya ajabu. Sijawahi kuona huruma kama ya Mungu. Mungu aliwahurumia sana hawa watu lkn watu hawa kwa kiburi wakaendelea kufanya machukizo mbele za Bwana Mungu wetu. Hawakuwa na utii. Uwiiiii hadi nashindwa kuandika. Lkn ikafikia hatua Mungu Baba muumba wa Mbingu na nchi akakasirika. Ndugu mpendwa wangu, hasira ya Mungu haiwezi kufananishwa na kitu kingine cha aina yoyote. Nakuomba usiwahi kuomba hasira ya Mungu itokee. Mungu ni mwema jmn, Bwana ni mwema siku zote. Hadi sasa bado anasubiri tutubu dhambi zetu. Mungu Baba wa Mbinguni, tusamehe makosa yetu. Ameeeeen. Hivyo ndugu, na marafiki na wengine wote, tuogope dhambi. Ujue siku Bwana akikasirika ujue umekwisha.
@irenekerubo97912 жыл бұрын
Ni uzuni
@faimagulam9142 Жыл бұрын
Amen,,,Mungu yupo hakika nahukum ipo
@khamissathumany83924 жыл бұрын
Wangap wanapenda the story book like tujuane
@nicholaswafulawanyonyi94123 жыл бұрын
hello
@francistunakwishabilakujua88263 жыл бұрын
Hadi nimeshituka jamn
@UfunuoSt2 жыл бұрын
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@HABIBULLAH-nd9ft4 жыл бұрын
Inapendeza sana kwa msuliaji mwenye shauku na hisia kama hii kusikilia historian za ukweli wa vitabu vya dini EUNDELEE HIVYO EWE MTIGA ABDALLAH.
@christonchristian7448 Жыл бұрын
#ewe MTIGA ABDALLAH
@Jamie-2929 ай бұрын
Yu, have, to know about God bcoz wengi, wenu, you want to blike, at, that time
@AdacharityColeman4 жыл бұрын
Nimeona watu wengi mkiandika Mungu kwa herufi ndogo maana yake ni vimiungu ama kamungu . hata majina yetu yanaanza kwa herufi kubwa sembuse jina la Mungu mwenyezi na muumbaji wetu. Tafadhali tujifunze jambo hilo. Asnteni kwa story yenye kutukumbusha kumcha Mungu
@firdauskombo2650 Жыл бұрын
Ulichosema ni ukweli kaka watu wasicheze na Muumba
@thomasedward4878 Жыл бұрын
Muomben mumewang maana anaelekea hukohuko Mungu tusamehe sana
@vanessalaizer43638 ай бұрын
@@thomasedward4878😳😳😳Lord have Mercy 🙏🙏🙏
@MuniraShughuli-kc7vj6 ай бұрын
@@thomasedward4878 ya Rabby 🤔
@bulayaconfidential72124 жыл бұрын
Hakuna kipya chini ya jua, OMBI: :eeeh mwenyezi Mungu ulipaswa kuweka remote controller ili kwa wale watakao kwenda kinyume na mapezi yako basi na warudishwe ktk mstari, ila kwa sasa umetuachia Uhuru mno ndio maana tumegeuka mabaradhuri/hayawani. Huruma yako iwe juu yetu na kwa kizazi chetu maana janga hili ni kama mchwa utafunao fenicha taratiibu..🙏🙏
@timotheomassawe11024 жыл бұрын
Hakika
@isayagidion47143 жыл бұрын
The story book inatukumbusha kumrudia Mungu tuache dhambi wapendwa ipo siku haya tutashuhudia dahaaa mpaka ninaogopa
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@asiaissa9763 жыл бұрын
Asante sana ndugu mungu atunusuru na tabiya chafu amiin
@joxiahmendez13254 жыл бұрын
Kama unaamini akina Amberuty na bobyrisk walitoroka kutoka Sodoma na Gomora weka likes!....
@user-us9gl8jg4l4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@billylovebilly94184 жыл бұрын
Hahahaha akini mecheka atariiii
@nadyakisho8114 жыл бұрын
😀😀😀😀Duuuuu
@timotheomassawe11024 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@timotheomassawe11024 жыл бұрын
Warudi huko wasijetuletea kisanga
@joharhamisi91404 жыл бұрын
Subbuhana allah allah atupe mwisho mwema amin
@nawihadj66744 жыл бұрын
Jina la Mungu andika kwa herufi kubwa
@VerifiedComment4 жыл бұрын
@@nawihadj6674 allah sio Mungu.
@snoda80564 жыл бұрын
Aamin Yaarabul Aa'lamin
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Aamin
@mshedyjr4604 жыл бұрын
Amin
@josephngwale62513 жыл бұрын
Ambao tunapitia leo hii story ya Sodoma na Gomola Like zenu plz
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@youngchella43224 жыл бұрын
Xo talented hyu jamaa wanaocheki hapa neno la Mungu gonga like✊
@manofgodbabazero92374 жыл бұрын
Leo wa Kwanzaa... Plz like Naomba kwa heshima ya kuwa wa Kwanzaa plz like......
@SammyNjorogeVisionary4 жыл бұрын
To be honest I like the voice of this man
@mudrick_2 жыл бұрын
Nice
@alexjohn11893 жыл бұрын
Kama umeangalia historia hii mwezi kam huu gonga like twende sawa wapendwa
@sophierseyyd11622 жыл бұрын
Daaah 😭😭😭 ya Allah tunusuru vijana wetu sikuiz imekuwa fashion watu kutembea kwa jinsia moj wanawake wameona fashion kuingiliwa nyum ya maumbili dah 😭😭😭
@margrethemanuel7501 Жыл бұрын
Hadi naogopa hii lawiti lawiti ya watoto, wanaume kuoana, Mwenyenz Mungu turehemu
@wilsonmutethia9276 Жыл бұрын
MUNGU wangu namba ukaniurumie mim na family nyangu pamoja
@Simonkasero-ij6sz10 ай бұрын
@@wilsonmutethia9276mi Hy KO Jo use use pi of ln l of la
@westgagus64174 жыл бұрын
Na tumeacha katika mji huo ishara iliyo wazi kwa watu wanao tumia akili zao. -Alqur'an, sura ya 29, Aya 35.
@nuratumary673 жыл бұрын
Alafu kuna mijitu inakuja hapo inauliza allah ni nani 😱 innalilahi waina ilaihii rajiun,,,IPO cku watamjua allah ni nani
@mrpeace51704 жыл бұрын
Kama unawakubal wasaf media weka LIKE
@abdallahmohd71633 жыл бұрын
Hxucjh
@neemagabrieli-ff4mq10 ай бұрын
Mungu ni mwenye huruma sana wangetubu huenda wangesamehewa hata sasa tunaitaji kutubu sana maana pia huku wapo wengi sana tunahitaji kutubu juu sahii ni nyakati za mwisho
@winifridathomas50813 жыл бұрын
Ee mungu tuepushe na family zetu tusikubwa na sodoma 🤲
@sudymalema23134 жыл бұрын
Haya ndoo yapo sasa mungu yatupasa tumuombe mungu atunusulu🙏🙏🙏
@tonijr82294 жыл бұрын
Sudy Malema a wapi saiv mbna Hamna uovu mzeee .....fuatilia vzr ishu ya sodoma na gomora ndo utaona saiv Hamna dhambi .....we fikiriw hadi Mungu alishindwa kuvumilia sio poa
@jamessuka58454 жыл бұрын
anina
@snoda80564 жыл бұрын
@Sudi Malema, Umesema Kauli thabiti
@zedfahmomyy88093 жыл бұрын
Amein
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Amen 😭😭😭
@amrimalumbo17124 жыл бұрын
Kila MTU gonga like duh mnapenda like ushambaa tupe story Baba
@fatumamkuzi14753 жыл бұрын
Mungu tumbe mwisho mwema Amiin yarabb 🤲🤲
@dottosebastianophilipo26933 жыл бұрын
Story hii nairudia mara kwa mara coz ninajifunza kitu kikubwaa saana be blessed
@Pratnumzsimba4 жыл бұрын
Kiukweli tumuogope mungu dhambi ni mbaya sana tumuombeni sana mungu atuepushe na hiki kikombe
@alkenyjanson47784 жыл бұрын
Story tamu!!!!! Duuu awa wasafi wanatimiza subscribers milion moja soon
@UfunuoSt2 жыл бұрын
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@pioneerchunga63474 жыл бұрын
Yesu kristo ndie njia na wokovu wa binadamu U kwake pekee
@aklamramadhan10423 жыл бұрын
Unakosa kumsifu aliye kuumba unamsifu asiye umba....sa Kama yy n muokoaji mbona hakujiokoa akiwa msalabani
@aminamohd6043 жыл бұрын
Hauna swaga
@sadickchakka63503 жыл бұрын
Watu Wang wanaangamia Kwa kukosa maarifa
@pioneerchunga63473 жыл бұрын
@@aklamramadhan1042 Kwa upendo wake ndio ulimshikilia msalabani. Hii ni kwa sababu alikuwa na uwezo wa kujiokoa kwa kuwa yeye ni MUNGU.
@millionairejeffreysunofbez37663 жыл бұрын
@@pioneerchunga6347 acha izo Yesu sio MUNGU, bali amepewa mamlaka makubwa kuliko kiumbe chochote, anaweza hata kufufua naweza fanya lilote la kimungu,.
@NiceErasto-ni8wi4 ай бұрын
Thank you God bless my family 🙏🙏💞💓🙏🙏🙏
@estheronyoro14524 жыл бұрын
Sauti yako iko poa kwakusimulia story 🔥🔥🔥👍
@mirrabeloduor20164 жыл бұрын
I wish we could download and watch it offline sometimes when we less busy. I love it
@wilsonkarisa5029 Жыл бұрын
Sodoma na Gomora
@mariamathumani17812 жыл бұрын
Wapendwa wa Mungu hebu kila mmoja wetu akiulizwa tangu azaliwe umempa nini na je,umejiaandaaje katika maisha yako
@SubilagaKabango-bu8tu11 ай бұрын
KWA kweli ukuu wa Mungu ni wa pekee! Maana jinsi alivyoumba Dunia na vyote vilivyomo Inatiisha!
@yussufabdul-rahman56014 жыл бұрын
Laanatullah, hasbiyallah waniimal wakil mungu atuepushia cye na kizaz chetu😖🙏
@abdurrahimislam40834 жыл бұрын
YUSSUF ABDUL-RAHMAN Allahum Amn
@user-pe5ko5mp3b2 жыл бұрын
Amen tumepaza na tumeskia sauti ya mungu kitokana na hadithi hii.Tuache dhambi na tutubu.
@calvarytv73383 жыл бұрын
Mtegemee mungu kwa kila kitu
@festovenas5024 жыл бұрын
Nakubali stor book mko juuu
@abdullahhashimu23804 жыл бұрын
Allah atuepushe cc na familia zetu Aamiin
@alfredmosoti1142 жыл бұрын
Thanks bro, Hii ni hadithi ya kusikitisha lakini kweli.... Yafaa hii habari itufunze kwamba , hatuwezi kufanya dhambi na kuepuka adhabu ya Mungu..... Ingawa tunaweza kuwa na ujanja ya kujuficha adhabu ya serikali na binadamu, MUNGU /ALLAH hawezi kudanganywa.......!!
@rehemashafi48094 жыл бұрын
Yarabi Mungu we tunusuru waja wako 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
@mudkhamis30784 жыл бұрын
Aamin
@stevohjohn15694 жыл бұрын
Sauti tamu...story tamu....more love from +254🔥
@sashaaishajamani19794 жыл бұрын
Anhansante Kwa story nzuri mungu atufanyie wepes yasijirudie tena all the best kaka
@goodluckjohn4924 жыл бұрын
Mungu anaangamiza wasioskia
@shabanshaban77424 жыл бұрын
Mungu nimwema
@mdindaoscar36314 жыл бұрын
Daaah! Saut ya mshikaji mirraldiayo Cha Mtoto
@sokoinesokoine74684 жыл бұрын
Astaghfirullah shirki huwezi kuonesha ya Malaika na Mitume ya M/ Mungu.... istoshe ukaenda mbali zaidi ktk kukufuru kuigiza sauti ya M/Mungu.... M/mungu subhaanahuu wataala alimzungumzisha Nabii Musa... lkn kuna ikhtilafu kua hayakua haya maneno tunayoongea mm na ww.. anajua mwenyewe alioumba mbingu na ardhi ni aina gani ya maneno... so bora kwako kutoonesha picha wala sauti... sauti yako inatosha kusimulia... ( tusijepata ghadhab za M/mungu na ndio ikawa sababu ya kugharakishwa waliokuemo na wasiokuwemo
@sokoinesokoine74684 жыл бұрын
@@farajijuma9204 Sikiliza kwanza kisha utauliza.. Au umejuaje nilichokisema km hukusoma comment yng... so sikiliza kwanza kilicoemwa dhen uulize
@ericksadock81764 жыл бұрын
a.I.c
@aminajacobs762 жыл бұрын
Very nice explanation dear.
@irenetarimo11623 жыл бұрын
Mungu sio wa mchezo
@allykaite3694 жыл бұрын
Hahaha...et mashoga lakini wababe kama umeisikia kama mm nipe like zangu
@iammusic34044 жыл бұрын
Wasafi media is the best indeed! 😍😍😍😍😍
@UfunuoSt2 жыл бұрын
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. kzfaq.info/get/bejne/mt15mb1z35jGeXk.html
@benjaminsepetu93353 жыл бұрын
Hasira ya Mungu mataifa hayawezi kustahamili kabisa