KISHIMBA avunja wabunge mbavu kwa hoja zake: Trafiki wahamishiwe hospitalini mtu akikosa dawa aende

  Рет қаралды 232,097

Gilly Bonny Tv

Gilly Bonny Tv

3 жыл бұрын

Пікірлер: 404
@GaudenceRaphael
@GaudenceRaphael 3 жыл бұрын
Pale Mbunge anapoongea kama Raisi wa Nchi au Waziri Mkuu....Gonga like twende mbele
@dayanimwamwimbe7966
@dayanimwamwimbe7966 3 жыл бұрын
Mzeee kamanda sana
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 2 жыл бұрын
Iyu mzee jamani mungu amuweke atutetee
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 2 жыл бұрын
Tunaomba titibiwe bure jaman
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 2 жыл бұрын
Kweli doo mana aliazia UDP
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 2 ай бұрын
Kishimba yuko sahihi japo Kuna wanaomcheka
@pascalmstaarabu4372
@pascalmstaarabu4372 3 жыл бұрын
Wasukuma wana akili sana haijalishi wamesoma au hawajaenda darasani wanaokubaliana na Mimi wagonge like
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 Жыл бұрын
100%
@nassoroabdallah3670
@nassoroabdallah3670 3 жыл бұрын
Mh Rais wangu huyu mbunge anaweza kuwa mshauri nzuri Sana mpe nafasi ktk ofisi yako Kama itakupendeza inshaallah.
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 жыл бұрын
Kishimba tajiri hana ndio maana hana shida ya uwaziri.
@saimonbundala6096
@saimonbundala6096 3 жыл бұрын
Umeona mbali sana mtu wangu👊
@hadijasaid9463
@hadijasaid9463 3 жыл бұрын
Nakupenda mbunge wetu kishimba unatuhurjmia sana wspiga kura wako natamani uendelee kutoa mada
@hadijasaid9463
@hadijasaid9463 3 жыл бұрын
Mama SAMIA mpe nafasi awe mshauri wako
@leonardemmanuel9249
@leonardemmanuel9249 3 жыл бұрын
CHF bima ya afya ya jamii kwa mwaka wanalipa 30000 watu 6 ,inaamaana kuwa ni 5000 kwa mtu mmoja kwa mwaka ,na mtu mmoja anaweza kuhudumiwa zaidi ya mara 4 kwa mwaka ,na kila awamu anaweza kuhudumiwa kwa shilingi 8000 kwa awamu zidisha mara 4 sawa na 32000 zidisha mara 6 sawa na 192000 kwa hali hii serikali mtaionea sana ,huu ni mfano tu ,janga la dawa hospital za serikali bado litakuwa ni tatizo
@raymondjimmy2712
@raymondjimmy2712 3 жыл бұрын
Huyu Mzee ni wa kuangalia vizuri Point zake zipo strong
@jaliabahat1520
@jaliabahat1520 2 жыл бұрын
Sana nawe umeona
@manenoibrahim980
@manenoibrahim980 3 жыл бұрын
Yani unaweza kufikiri huyu mzee ni mwananchi wa kawaida toka kijijini kaja bungeni kuwakilisha wanyonge wenzie, big up sana kisimba
@robertchuma6408
@robertchuma6408 3 жыл бұрын
Aisee Kishimba ni Kichwa cha Ukweli maana anatoa hoja na mbadala wake. He is Real Genius Professor thanks so much Professor Kishimba
@fadhiliswidhun9779
@fadhiliswidhun9779 3 жыл бұрын
Kwa utaratbu umeongea vzur sana mh mb kishimbaa afya ndyo usalamaa wetu
@jericomgaya8282
@jericomgaya8282 3 жыл бұрын
Mzee wangu Kishimba namkubali kitambo sana na hajawahi kuniangusha kwa kweli! Tangu aseme mtoto umemsomesha halafu baada ya kupata kazi anaanza kukukwepa kwepa anafaa ashitakiwe! Na ikiwezekana tubadilishe utaratibu tukiwalipia ada wasaini mikataba ya kulipa madeni ya ada baada ya kumaliza chuo!! Hongera sana Mhe. Kishimba kwa strong points unazozitoa Bungeni
@emmanueldutuleo3992
@emmanueldutuleo3992 3 жыл бұрын
Du nakuunga mkono professer kishimba uko vizuri kabisa penda sana wewe
@upendoj
@upendoj 3 жыл бұрын
Asante Kishimba Mh.
@robertnicodemas5853
@robertnicodemas5853 3 жыл бұрын
Tukipata wabunge 50 tu.kama kishimbi,Hakika matatizo madogomadogo inayotukabili sisi wananchi wakipato cha chini yatapungua.asante sana mh
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 3 жыл бұрын
Kishimba upo vizuri sana, ninakukumbuka sana kuhusu swala la Elimu ya Taifa letu inavyowachelewesha vijana wetu. Haswa elimu ya juu.
@issamohammed8298
@issamohammed8298 3 жыл бұрын
Mh,Kishimba huo niukweli kabisa tunaenda Hospital unaambiwa Hakuna Netwek Mara unaambiwa Kifurushi hichi hakiwezi Kukupa Huduma Hongera sana Mh,Kishimba
@andrewvedastus6958
@andrewvedastus6958 3 жыл бұрын
You are a genius mr Kishimba, and i think you should be granted an honour to be a professor, according to your big iq! congrats.
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 3 жыл бұрын
moja ya wabunge makini sana, ni swala ambalo hata mie huku uswazi nililiongelea sana masikini tunakufa kwa kukosa 50 elfu tu dah
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 3 жыл бұрын
MZEE UMEONGE KITAIFA SISI WA
@titonkwabi7430
@titonkwabi7430 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni super genius,
@benatusrupili9521
@benatusrupili9521 3 жыл бұрын
Umetisha sana mbunge 2025 tunakuhitaji ugombee urais👍👍👍👍👍👍👍
@nzellahhamis1504
@nzellahhamis1504 3 жыл бұрын
Lamadar Hotel hujazijenga kwa bahati mbaya. Genious sanaaaaaa. Nahisi mtu smart sana aliye karibu na wewe ni KATIBU WAKO WA MBUNGE.
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 3 жыл бұрын
MZEE ANAJIAMINI SANA😊😊🙏🙏
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 3 жыл бұрын
Kahama oyeeee inapendeza sana
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 3 жыл бұрын
Ni kweli bima haileweki hasa tunaolipa binafsi mara usiende hosp fulani mpaka rufaa mara kifuru hiki hakina haya matibabu na umelipa laki 6 serikali iliangalie hili ni shida
@ndalahwadigijaga84
@ndalahwadigijaga84 3 жыл бұрын
Mashimba oyeeee , inteligent person ,
@deusijohn3863
@deusijohn3863 3 жыл бұрын
Asante sana hapo kwenye matibabu umegusa sanaaaaa, serikali ichukue hatua
@officialsteeve2384
@officialsteeve2384 3 жыл бұрын
Kweli elimu sio kuingia darasani tu, we mzee ni genius🙏🙏
@mayasasaid7743
@mayasasaid7743 3 жыл бұрын
wake
@gracekasambala4712
@gracekasambala4712 Жыл бұрын
Kweli professor Kishimba anawakilisha wananchi
@melasdekas825
@melasdekas825 3 жыл бұрын
Hongera sana Msukuma mwenye busara. Wewe ndiye mbunge wetu mwenye kutoa taswira nzuri.
@happynesskimt6249
@happynesskimt6249 3 жыл бұрын
Asante sana kwa kuliona Hilo mana huku yako mengi nyuma ya pazia, traffic waamishiwe hospital 🤝🤝japo😅😅😅 ila ni kweli kabisa ndio maana wengine hatuoni manufaa ya bima😢😭😭
@ashamaneno6639
@ashamaneno6639 3 жыл бұрын
I wish akuna mbunge shupavu kama uyu mungu akulinde ndugu yangu kila oja zako zipo vizuri saaaaaana napenda sana kusikiliza kaka.
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 3 жыл бұрын
Genius kama hawa wachache umefikiria parefu sana.... 🤗🤗 Serikali iangalie kwa macho mawili kabisa
@mursalsaid3327
@mursalsaid3327 3 жыл бұрын
Umeongea point , miaka iliyopita matibabu yalikua bure ,ukiandikiwa doze zote ulikuwa unapata ,hata upasuaji ulikuwa bure , lakini Sasa hivi imekuwa shida Sana ,
@leonardemmanuel9249
@leonardemmanuel9249 3 жыл бұрын
Nimelike comment yako japo miaka ya nyuma sikuwepo wala uhakika sina
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 2 жыл бұрын
Na hapo zamani sisi tunakua ukienda hospitali unapewa dawa lkn sasa ivi msiba mkubwa afya afya ni muhimu sana
@khalidtv6200
@khalidtv6200 3 жыл бұрын
"WANAIPITA NYAMA HAPO WANAFUATA MCHICHA PALE TENA BILA MALALAMISHI"(mwisho wa kunukuu)
@naturelle1097
@naturelle1097 2 жыл бұрын
😆 kwa hiari
@Youngkassaby
@Youngkassaby 2 жыл бұрын
Mashallah allah akuweke mzee wetu
@princejosephat8316
@princejosephat8316 3 жыл бұрын
Hakika wewe ni mbuge wa pekee unayejua maisha ya watanzania na adha tunayoipata sisi wananchi wenu,hawa ndo wabunge wazalendo wanaofuatilia maisha ya kila siku ya wananchi wao...safii sanaaa...naktakia maisha marefu ili ufundishe wengi ktk kujenga hoja hapo mjengoni.
@shabanfelix4273
@shabanfelix4273 3 жыл бұрын
Yani wakati mwingine ccm kuna wambunge wenye akili timamu nauzalendo toka nianze kusikiliza bunge uyu mzee niwakwanza kusema maisha halisi yamtanzania
@mariachombo7316
@mariachombo7316 3 жыл бұрын
Yani wewe ni mbunge mmoja, katika wote, nakukubali sana , nitakuombea aisee uishi milele tutetee baba
@dorisjulius4951
@dorisjulius4951 2 жыл бұрын
L
@lyimohilda7880
@lyimohilda7880 3 жыл бұрын
Umewatetea vizuri mno wanyonge kwa busara na hisia, hata Mungu amefurahi.
@z.nalnabhani7194
@z.nalnabhani7194 3 жыл бұрын
Kweli uhai ni kitu muhimu kuliko yote
@johnleonard4835
@johnleonard4835 3 жыл бұрын
Mzee big up kwa mawazo yako maana daaah sio kwa kuwaza parefu na nimeamini utu uzima dawa
@mtoto_wa_Mfalme12
@mtoto_wa_Mfalme12 3 жыл бұрын
Nchi Duniani zinafilisika kwa vitu viwili; 1. Vita 2. Ujenzi NOTED
@matindembaratani6221
@matindembaratani6221 3 жыл бұрын
Huyo mbunge akili nyingi Sanaa namfatilia Sana uko vnzr
@babayao3791
@babayao3791 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius
@benderamateso8244
@benderamateso8244 2 жыл бұрын
My best Member of Parliament ever, so genius - hoja za msingi zinazogusa, kahama mnaye mbunge
@jaykimoga1888
@jaykimoga1888 3 жыл бұрын
Đâh! Tunawataka hawa darasa la saba wenye busara na akili kama zote
@devothalasway7717
@devothalasway7717 Жыл бұрын
Uyu ni Rais mtarajiwaa,,🙏
@edwardmaumau9455
@edwardmaumau9455 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mheshimiwa kishimba kwa suala la matibabu bure
@mohamedally1594
@mohamedally1594 3 жыл бұрын
Hiyo Tsh 30 ya mafuta ikipanda bado ni mwananchi wa kawaida ndiye atayeilipa. Labda tufikirie watu wachache watolewe 30,000 directly kutoka kwenye posho/mshahara
@hilarykawa1880
@hilarykawa1880 3 жыл бұрын
Hii ndio maana halisi ya uwakilishi ... yani kishimba ndio man of the match kwenye bunge la Tanzania tangu kuzaliwa kwake
@julianasanga9548
@julianasanga9548 3 жыл бұрын
Mbunge wewe upo vizuri sana unajuwa tabu zetu huku chini tunateseka sana Mungu akutunze hakika wananchi wako wanajivunia wewe
@zengomunguatuepushenajanga7416
@zengomunguatuepushenajanga7416 3 жыл бұрын
Nakubari sana wa daraja 7 tunafaida
@gmdecoration6044
@gmdecoration6044 3 жыл бұрын
Mzee namuona kwenye uwaziri🙏🙏
@rahmarahma920
@rahmarahma920 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba
@gmdecoration6044
@gmdecoration6044 3 жыл бұрын
@@rahmarahma920 🙏🙏
@doiabel3793
@doiabel3793 3 жыл бұрын
Wakati ninaishi kijijin na babu yangu tulikua tukiumwa anasema mkamnunulie mgonjwa sukari akorogewe uji, kweli maisha yanabadirika sana,, kishimba ngosha wane wawiza sana ngosha.
@mariammassawe3274
@mariammassawe3274 3 жыл бұрын
Mungu hakujalie baba kweli ww magu wapili
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 3 жыл бұрын
Ubarikiwe Mh: Juma Kishimba
@babayao3791
@babayao3791 3 жыл бұрын
Una akili kubwa sana @ mh kishimba........✍
@ezrashukuru7511
@ezrashukuru7511 3 жыл бұрын
Hallelujah.namtukuza Yesu Kristo kwaajili yako Mbunge wa Taifa
@z.nalnabhani7194
@z.nalnabhani7194 3 жыл бұрын
Uko vizuri
@khalfanabasi695
@khalfanabasi695 3 жыл бұрын
Unawza mbali sana mzee kishimba nakuelewa sana sema tu hawakuelewi hao nataman raisi akuone walau uwe mshauri wake
@petrokisasi4935
@petrokisasi4935 3 жыл бұрын
Hili n wazo kubwa Sana,"Awe mshauri wa Raisi"
@johnwoshi3459
@johnwoshi3459 3 жыл бұрын
Umewalecture mpaka Basi hongera mweshimiwa JK
@pascarmwatosya6815
@pascarmwatosya6815 3 жыл бұрын
Safi Sana kiulahisi utaona hajaongea pointi,Ila huyu mbunge Nimekuelewa Sana Hongera sana mbunge kwa kuwa umetambua umetumwa nini na Mbos wako wabunge Kama awa ndio wanaotakiwa bungen huyu atakuwa hakupita bila kupingwa,Hongera Tena mbunge
@Micpaul.o
@Micpaul.o Ай бұрын
Wewe mzee ni hazina ya Taifa, ni vile tu mifumo ya nchi bado ...
@shangwehalisi7659
@shangwehalisi7659 3 жыл бұрын
Prof katika ubora wake
@mariethamkulo1983
@mariethamkulo1983 3 жыл бұрын
Kweli mbunge wangu safiii sanaaa
@fintanmkesha1077
@fintanmkesha1077 3 жыл бұрын
Mm nakuelewa Sana mzee
@yasinmtangi5140
@yasinmtangi5140 Жыл бұрын
Mama kwanini uyu mtu haupi uazili
@bidayo1058
@bidayo1058 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius,💯💯💯
@jumasaid7471
@jumasaid7471 3 жыл бұрын
Mzee nakukubali sana
@yusufaaramadhan7316
@yusufaaramadhan7316 3 жыл бұрын
Umeona
@felisilohay9138
@felisilohay9138 3 жыл бұрын
Wabunge wetu wakibaki kuwa wabunge huwa wanakuwa na point sana, ila wakianza kuwaza uwaziri ndipo wanapotusahau na kila mara wabunge wa namna hiyo hoja zao bungeni ni kukejeli wapinzani na kumsifu rais na serikali. Ila huyu mzee Prof Jay ni wa tofauti sana. Excellent prof
@danielbalele7093
@danielbalele7093 2 жыл бұрын
Huyu mh anastahili kuwa mbunge ni mshauri mzuri wa Serkali hoja za msingi zikimlenga mwananchi wa kawaida.
@naturelle1097
@naturelle1097 2 жыл бұрын
Safii sana !
@eliyahubi1887
@eliyahubi1887 3 жыл бұрын
Uko vizuri.sana kishimba. Wabunge mwengine. Ni maslahi yao tu. Afya tu ndo. Mtaji wa Maskini.
@salmamgeta1599
@salmamgeta1599 3 жыл бұрын
Nakupenda sana sichoki kuku sikiliza baba
@mariammassawe3274
@mariammassawe3274 3 жыл бұрын
Dah kweli umeongea point baba mungu hakujalie uwe kiongozi mkubwa
@hadijasaid9463
@hadijasaid9463 3 жыл бұрын
Kweli mbunge wetu mwema. Wazee wanakufa kila saa hasa tinde hakuna dawa kabisa
@firdausfofofirdausfirdaus4040
@firdausfofofirdausfirdaus4040 3 жыл бұрын
Hapo umesema kweli nakukubali
@eddydauson7525
@eddydauson7525 3 жыл бұрын
Unapokutana na la saba kama huyu na digrii zako lazima ujikaushe
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
Tatizo sio dawa tatizo dawa zinabinaifishwa na haohao na kuyauza ktk pharmacy zao ! Unaambiwa dawa Hakuna Ila nenda hapo nje utapata kwenye pharmacy fulani
@wilfridaezekiel375
@wilfridaezekiel375 3 жыл бұрын
Jamani huyo mbunge nampenda
@mtoto_wa_Mfalme12
@mtoto_wa_Mfalme12 3 жыл бұрын
Kwa nini hakuna regulatory kwenye Dawa? NOTED
@elizawamainge8623
@elizawamainge8623 3 жыл бұрын
Umenikosha sana.wa vijijini tupo na wewe kwa swala hilo
@kelluadam5790
@kelluadam5790 3 жыл бұрын
Safi sana kishimba kwa kuwa mzalendo
@johnlikoo5973
@johnlikoo5973 3 жыл бұрын
Daaaah Mzeee mashimba 🔥🔥🔥
@Kristofanitv
@Kristofanitv 3 жыл бұрын
Chumi wana Mafinga tunakutaka utusemee kwa nini umejitoa?
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 2 жыл бұрын
Mhe, kishimba unaongea pont zaidi ya rais nakupenda sana
@barakanyamafu5937
@barakanyamafu5937 3 жыл бұрын
Kweli watani nzangu wasukuma mnaakilisana
@marleyemmanuel2546
@marleyemmanuel2546 3 жыл бұрын
Professor kishimba nakukubali natamani niwe mpiga kura wako unafaaa kuwa ata raisi sijui tunakukosaje huo ndo mfano wa wasomi sio uprofesa wa maneno
@lewisshemboko2106
@lewisshemboko2106 2 жыл бұрын
Sahihi sana
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 3 жыл бұрын
Hongera sana Kishimba
@stevenleonce9416
@stevenleonce9416 3 жыл бұрын
Ukifika kwwny kilimo naomba uzungumze kwa uwazi kwa mapana zaidi naona unauelewa mkubwa na matatizo y wananchi weka namb mtandaon tuwe tunakupigia mheshimiwe. Mungu akulinde
@lewisshemboko2106
@lewisshemboko2106 2 жыл бұрын
Asanteeee
@petrokisasi4935
@petrokisasi4935 3 жыл бұрын
Aisee ww Mzee n level nyingine kabisa,hoja zako zinaonyesha elimu ulonayo ya ustaarabu halisi w maisha na mazingira na sio vyeti vya mashulen,mawazo yako n mapana mno
@shabaniamadi4138
@shabaniamadi4138 3 жыл бұрын
Yan Mungu amempa vyote
@faroukrashid5507
@faroukrashid5507 3 жыл бұрын
Huyu ndie Alie tumwa na wananchi.
@errydeo8865
@errydeo8865 3 жыл бұрын
Masuala ka haya,wabunge kimyaaaa..
@stephendaniel4715
@stephendaniel4715 3 жыл бұрын
wakinamama wanajifungua kwa hela kwani wakizalishwa bure selikali inapata hasara gani?
@richmwaigombe1615
@richmwaigombe1615 3 жыл бұрын
Akil kubwa mno
@alphoncejuma9652
@alphoncejuma9652 3 жыл бұрын
Mheshimiwa mbunge hongera sana kwa hoja zako msingi
@masanjasweya703
@masanjasweya703 3 жыл бұрын
Wasomi wengi ni mafisadi darasa la saba wapewe uwazili wanajua shida zetu wamesoma bure kwa nyerere wanatutesa leo. JPM lala salama ulijitoa kwaajili yetu.
@amosyohana5351
@amosyohana5351 3 жыл бұрын
Kabisa kabisa kabisa
@estermathias8354
@estermathias8354 3 жыл бұрын
Jpm endelea kupumzika
@ikulutv622
@ikulutv622 3 жыл бұрын
Shida nayo haya masheria yetu yamekaa hovyo ynamlazimisha Rais ktk kuteua Waziri angalau awe na digrii na Sana siku hizi wanajali Sana masters na kuendelea!
@collinndabi2007
@collinndabi2007 3 жыл бұрын
Kasome na wewe
@Winstonfying
@Winstonfying 3 жыл бұрын
Sasa huyo JPM si ndiyo aliwajaza hao wasomi serikalini, mpk vyuo vikakosa walimu?
@radiusbakashaya2801
@radiusbakashaya2801 3 жыл бұрын
Jamani uko sawa
@amirimohamedi392
@amirimohamedi392 2 жыл бұрын
Kishimba mungu akjarie tunateseka eemungu nchi itabaki na Samia na watoto wake twafaa Samia angejiuzuru Samia jiuzuru jeshi uchukue nchi maoni yangu mm
@francisrukeisa6299
@francisrukeisa6299 3 жыл бұрын
Huyo mbunge Kishimba ameongea points za muhimu,wabunge wote inabidi mnakili kwakwe kwa kuzungumzia matatizo yanayotuhusu wananchi na sio kuongelea vitu visivyoleta manufaa hata kwa taifa. Kwa kweli kawapasha ukweli ulivyo.
@joshuajuma2977
@joshuajuma2977 3 жыл бұрын
Hakika mungu akulinde xana angalau umuelekeze mbuge wa busanda jix yakutetea wanainch wake kuliko kufuata. Pesa
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 3 жыл бұрын
Wabunge kama hawa ndo tunawataka...Wakutusemea Wananchi.Mungu Akutie Nguvu.
@johnpeterbariyeparesso6471
@johnpeterbariyeparesso6471 3 жыл бұрын
Mh. Kishimba mm ninawashangaa hao wabunge wanaokucheka, hivi mbunge unayecheka hoja ya mwenzako unafurahia nn? Nin kinakufurahisha? Au unamshangaa mbunge kama hayo mambo yapo jimboni? Au kwa sababu haushiki jembe na mshahara Mkubwa? Au sababu umetoka mjini? Nakuahangaa mbunge unayetukejeli. Kishimba mungu akubariki na uishi miaka 120 bungeni. Amina
@mpongomwenda1599
@mpongomwenda1599 3 жыл бұрын
Nimetokea kukupenda sana lillaah kiongozi wetu.
@samueljohn2210
@samueljohn2210 3 жыл бұрын
Akili kubwa mno hii!
@titojeremia8365
@titojeremia8365 3 жыл бұрын
Kweli ni kiongozi anaye Jenga hoja .Ni kweli kabisa yafanyiwe kazi siyo anasumbuka kuongea then linaachwa Kama likivo
@briansancedo9336
@briansancedo9336 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni mzalendo sana anastaili kuitwa Professor hoja zake siku zote ni kutetea masikini MUNGU akubariki sana kuwakumbuka masikini tuliowengi,🙏🙏🙏👩‍🍳👩‍✈️
@ngoiedward4176
@ngoiedward4176 3 жыл бұрын
Akili nyingi sanaa
@ambokilepaulo8876
@ambokilepaulo8876 3 жыл бұрын
Safi sana kishimba
Jumanne Kishimba: Hauwezi kuoa kwa friji au TV
10:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 27 М.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 11 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 2,9 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Why Starbucks Is Struggling
12:06
CNBC
Рет қаралды 555 М.
Walimu waliokuwa na sifa za utoro wawafundishe wanafunzi watoro
10:16
Daily News Digital
Рет қаралды 82 М.
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21