Hivi ndivyo viongozi wanavyo pasawa kuwajibika kwa wananchi wake mungu amuongoze ktk kazi zake
@StellaMwashaКүн бұрын
Ubarikiwe mnoooo mtumishi wa haki
@bizimungumgassa44552 күн бұрын
Kwa kweli mungu akutie nguvu mh Makonda unatatua matatizo ya wanyonge!
@user-mr8vl9cy8i2 күн бұрын
Mungu akubariki sana kiongozi wetu shujaa wetu. Kaza buti songa mbele
@user-zi1gp6dc2q2 күн бұрын
Mie nawambia uyo makonda ni mtume katumwa namungu tunakuomba mama samia makonda uyu umlete kila mkoa akae miez sitasita ili anyooshe Dunia mama
@user-fp9ei8gg8s2 күн бұрын
Muheshimiwa makonda Nakuaminia ww nizaid ya kazikaz Ww ilitakiwa uwe rais wa tz tunakutaka sana watanzania Ujekua kiongoziwetu wa taifa❤
@chusseboywcb280813 сағат бұрын
Mwandishi niboya Askal anae chuana na makonda yukwapi chanel zinashindwa kukua sababu ya uongo boya mwandishi
@user-bz5ti6op6z2 күн бұрын
Makonda MUNGU azidi kukulinda,
@AbdalahAlly-pw4dtКүн бұрын
Hongeramkuu nakuwaminikwaziyako
@valenakomba76862 күн бұрын
SASA HUYO MENEJA WA BANK NAYE, . WATANZANIA YAANI UNAFHULUMU MPAKA MZEE? . MUNGU AWALAANI KWA KWELI.
@femidayahaya9293Күн бұрын
Hv mama samia uliwaza nini kuturudishia bro makonda..ukwel kabisa kupitia makonda umepata kupendwa hata ww mwenyewe ukituletea watu wenye hofu ya mungu hata taifa unaloliongoza litampendeza MUNGU kwakwel japo misukosuko ni mingi ila tutacmama tu imara
@maliyusiosika9457Күн бұрын
Uko vzr
@aboudasilver6541Күн бұрын
Huyo ni zaidi ya makufuli
@MauBonde2 күн бұрын
Huyu jamaa tunafanana misimamo kuhusu utamaduni wa mwafrika ila kuna kuna busara na uchunguzi kwa sababu hatuko utawala wa Nyerere,kila kitu kiko wazi kupitia technology uongozi ni wito,mimi nashangaa viongozi wengi wa taifa wanakimbilia fedha ,kuna kifo,namkubali huyu jamaa kupinga ushoga afrika ila mambo mengine anahitaji mafunzo ya kiutawala zaidi......
@user-mr8vl9cy8i2 күн бұрын
Una wachapakazi wawili slaa na makonda tu wengine ni vichomi tu
@user-mr8vl9cy8i2 күн бұрын
Mama samia fukuza wakuu wote wa mikioa hawana jipya
@paulmaganga97002 күн бұрын
Jembe Makonda
@user-pz1qn7re3b15 сағат бұрын
Mimi naomba ugombee Urais mwaka 2025 tumekufatilia sana mitandaoni upo vzr tupo nyuma yako makonda
@VeronicaMsengaКүн бұрын
Lazma nikaonane na MH Makonda walah
@user-xk7vy4gb6gКүн бұрын
Makonda jembe jeshi
@nsiamasawe4578Күн бұрын
Bank haizulumu mtu. Tabia za wateja kupeana namba za siri wanaibiana wenyewe.
@GreysonMheni-ln9rmКүн бұрын
Kwahyo hizo walizorudisha wao benki ndo walipewa namba za Siri au unamaanisha nn
@sarahpallangyo4076Күн бұрын
Na alikua muajiriwa
@user-oy9wr2zc6xКүн бұрын
Sasa kama wanapeana namba za Siri, hizo walizorudisha zimetoka wapi?na alivyosikia yupo kwa makonda amempigia simu asiongee kwa nini? Kama watu wanaibiana wenyewe?