KIVUMBI: WAZEE KOO YA BUKIRA WAJIBU MAPIGO"MBUNGE WAITARA ATOKE AJIBU HOJA ZETU SISI SIO WANAFIKI"

  Рет қаралды 8,092

MARA DIGITAL

MARA DIGITAL

Күн бұрын

Пікірлер: 37
@MATHAYOPETROGARYA
@MATHAYOPETROGARYA 17 күн бұрын
Kwa mfano huyu Mzee wa watu mnamfanyisha kazi ngumu2 na hajapendaa kabsaa😂😂😂😂😂
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 17 күн бұрын
Waitara. Umekwisha usizani hizi nizama zingine sio zama za magufuli aliye kuweka madarakani wewe waitara ni mnafiki Toka chadema ulikuwa hivi hivi Sasa ccm tuliwambia kuwa huyoo ni mgombanishi Leo jee mmeamini bado nahuyoo mgine WA iringa msigwa nae mtaona mambo yake ccm hawa wapinzani mnao wachukuwa mtaona matokeo yake ccm someni kwa waitara huyoo mbunge waitara ni mchonganishi na nimuwongo sana waitara Sasa chama tarime kaipasuwa pasuwa ccm nawaonea huruma ccm
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 16 күн бұрын
Uko sawa
@YassinRajabu
@YassinRajabu 17 күн бұрын
alaumiwe aliempa ubunge yeye ndio aliye waweka wabunge wa chama kimoja nchi nzima
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 16 күн бұрын
Kazi kwelikweli. Kilio kila kona na kila rika! Na naona kuna harufu ya kampeni ya kuipaisha CCM na m/kiti wake kupitia hawa wazee, kafara mbunge Waitara. Mbinu za CCM ni moto!
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 15 күн бұрын
Wazee mnazingua ccm inawatumia vibaya
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 14 күн бұрын
Waitara kwishaaaaaa.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 14 күн бұрын
AMELAANIWAAAAA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@adeltuszakumuha9618
@adeltuszakumuha9618 12 күн бұрын
Wazee hawa wametumika vibaya. Very sad
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 14 күн бұрын
WABUNGE WOTE WA PROMOSHEN YA MAGUFULI HAWAFAI... 😭😭😭😭😭😭😭
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 9 күн бұрын
Wazee mnatumika vibaya. Ccm ime kwisha.
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 14 күн бұрын
Waitara utajua hujui, kuita wazee wahuni, wewe ndiyo mhuni na wenzako.
@gatimakonge8678
@gatimakonge8678 14 күн бұрын
Ukija nyamongo tutakupigia mwanooooo uuuiiiiiiiiiiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 17 күн бұрын
Waitara kazi anayo
@user-gx4jx4gv9l
@user-gx4jx4gv9l 15 күн бұрын
Kweli kila jambo linamwisho akati anagombea ukonga atukulala siku ya kupiga kura na namba yake ya cmu akanipa ckuniliyo mpigia akiwa naibu waziri nikiwa na shida ofisini kwake nilichojibiwa nilimuachia mungu,afu baada ya mwezi nikawasikia cloud's FM power break fast wakisema awasikilizi wananchi na anakiburi na dharau.😂
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 16 күн бұрын
Aisee mnanikera sana mnaongea vzr halafu mnaanza kusifia sifia rais Kwani Samia yeye amezitoa wapi
@user-gx9jr5le2f
@user-gx9jr5le2f 16 күн бұрын
Ngoja huyu anayewadanganya muda ufike tumshughulikie kwani hatumjui maswi ajiandae
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 17 күн бұрын
Haya sasa
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 16 күн бұрын
Yani mwita waitara ameleta ubaguzi wa koo
@briankatani6770
@briankatani6770 16 күн бұрын
Mila na desturi zetu ameisha pigiwa yowe kwisha.Sio kiongozi tena hapo 😮
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 5 күн бұрын
Waitara.umeona.dhambi.ya.usaliti.mwanbie.mpupavu.mwenzio.msigwa..na.fala.silinde.muda.utaongea
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 16 күн бұрын
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 15 күн бұрын
Wazee mmetumwa na Heche acheni hayo
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 16 күн бұрын
Huyo mbunge Ni mhuni
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 16 күн бұрын
Waitara ni rahana kama umewaudhi wazee wetu
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 16 күн бұрын
Wewe Mzee nimhuni
@johnsonmria3824
@johnsonmria3824 16 күн бұрын
Jamani Vijana mkowapiii hadi wazee kama hawa wanatoka kutetea maisha yenu na nyie mpo kimya tuuu Aibu
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 16 күн бұрын
Vijana wengi nchi hii ya Tanzania hawajitambui kabisa. CCM na viongozi wake wakuu wanaiharibu nchi yetu na kupora Rasilimali zetu na kuiuza nchi yetu kwa wageni,lkn Vijana wamenyamaza tu na wengine wamegeuka kuwa machawa.
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 14 күн бұрын
​@@yassinnabwera4273na wenyewe wana nafas tena kubwa kuliko unavyodhani,hao ni Wazee wa kimila,Wazee wanaoheshimiwa na jamii ya Kikurya
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 14 күн бұрын
WAZEE TAFUTENI MBADALA HUYO KWISHA , ACHANE NAYE AMEPIGIWA HOYEE!! WAZEE NI TUNU, 😂 CHAMA CHA MAKUNDI, WATAMKUMBUKA JOHN MAGUFULI
@kibwetere1418
@kibwetere1418 16 күн бұрын
Kwanini mnafanyia kikao polini,,?
@harunamtiko117
@harunamtiko117 16 күн бұрын
😊 c unajua wazee, hapo washajinja kondoo pembeni kamoto kamewaka
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 14 күн бұрын
Wanaume wanafanya kikao poring, sio kwenye bar upewe rushwa.
@hajikadoma1652
@hajikadoma1652 16 күн бұрын
IVI HAWA WAZEE WA JIMBO ZIMA AU NI KIKUNDI CHA WATU WACHACHE KWA MASLI YAO NAJIULIZA TU NCHI HII SIJUI INAENDA WAPI
@adeltuszakumuha9618
@adeltuszakumuha9618 12 күн бұрын
Hawa wameandaliwa unasikia wanachosifia
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government.
43:38
SpiceFM
Рет қаралды 60 М.
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 18 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
HUYU NDIO MAGUFULI 1
49:39
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 10 М.
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН