Kwa mfano huyu Mzee wa watu mnamfanyisha kazi ngumu2 na hajapendaa kabsaa😂😂😂😂😂
@FadhiliMwaitete-ls2li17 күн бұрын
Waitara. Umekwisha usizani hizi nizama zingine sio zama za magufuli aliye kuweka madarakani wewe waitara ni mnafiki Toka chadema ulikuwa hivi hivi Sasa ccm tuliwambia kuwa huyoo ni mgombanishi Leo jee mmeamini bado nahuyoo mgine WA iringa msigwa nae mtaona mambo yake ccm hawa wapinzani mnao wachukuwa mtaona matokeo yake ccm someni kwa waitara huyoo mbunge waitara ni mchonganishi na nimuwongo sana waitara Sasa chama tarime kaipasuwa pasuwa ccm nawaonea huruma ccm
@infodigtechforcommunityemp410316 күн бұрын
Uko sawa
@YassinRajabu17 күн бұрын
alaumiwe aliempa ubunge yeye ndio aliye waweka wabunge wa chama kimoja nchi nzima
@stewartdyamvunye-wz6rn16 күн бұрын
Kazi kwelikweli. Kilio kila kona na kila rika! Na naona kuna harufu ya kampeni ya kuipaisha CCM na m/kiti wake kupitia hawa wazee, kafara mbunge Waitara. Mbinu za CCM ni moto!
@abubakarimussa913115 күн бұрын
Wazee mnazingua ccm inawatumia vibaya
@gatimakonge867814 күн бұрын
Waitara kwishaaaaaa.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏
@gatimakonge867814 күн бұрын
AMELAANIWAAAAA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@adeltuszakumuha961812 күн бұрын
Wazee hawa wametumika vibaya. Very sad
@gatimakonge867814 күн бұрын
WABUNGE WOTE WA PROMOSHEN YA MAGUFULI HAWAFAI... 😭😭😭😭😭😭😭
@TM-zs3rm9 күн бұрын
Wazee mnatumika vibaya. Ccm ime kwisha.
@simonnaivasha639314 күн бұрын
Waitara utajua hujui, kuita wazee wahuni, wewe ndiyo mhuni na wenzako.
Kweli kila jambo linamwisho akati anagombea ukonga atukulala siku ya kupiga kura na namba yake ya cmu akanipa ckuniliyo mpigia akiwa naibu waziri nikiwa na shida ofisini kwake nilichojibiwa nilimuachia mungu,afu baada ya mwezi nikawasikia cloud's FM power break fast wakisema awasikilizi wananchi na anakiburi na dharau.😂
@PhilipoMwita-b2x16 күн бұрын
Aisee mnanikera sana mnaongea vzr halafu mnaanza kusifia sifia rais Kwani Samia yeye amezitoa wapi
@user-gx9jr5le2f16 күн бұрын
Ngoja huyu anayewadanganya muda ufike tumshughulikie kwani hatumjui maswi ajiandae
@MathewNathan-yb2bz17 күн бұрын
Haya sasa
@PhilipoMwita-b2x16 күн бұрын
Yani mwita waitara ameleta ubaguzi wa koo
@briankatani677016 күн бұрын
Mila na desturi zetu ameisha pigiwa yowe kwisha.Sio kiongozi tena hapo 😮
Jamani Vijana mkowapiii hadi wazee kama hawa wanatoka kutetea maisha yenu na nyie mpo kimya tuuu Aibu
@yassinnabwera427316 күн бұрын
Vijana wengi nchi hii ya Tanzania hawajitambui kabisa. CCM na viongozi wake wakuu wanaiharibu nchi yetu na kupora Rasilimali zetu na kuiuza nchi yetu kwa wageni,lkn Vijana wamenyamaza tu na wengine wamegeuka kuwa machawa.
@bockerNyarusahi14 күн бұрын
@@yassinnabwera4273na wenyewe wana nafas tena kubwa kuliko unavyodhani,hao ni Wazee wa kimila,Wazee wanaoheshimiwa na jamii ya Kikurya
@simonnaivasha639314 күн бұрын
WAZEE TAFUTENI MBADALA HUYO KWISHA , ACHANE NAYE AMEPIGIWA HOYEE!! WAZEE NI TUNU, 😂 CHAMA CHA MAKUNDI, WATAMKUMBUKA JOHN MAGUFULI
@kibwetere141816 күн бұрын
Kwanini mnafanyia kikao polini,,?
@harunamtiko11716 күн бұрын
😊 c unajua wazee, hapo washajinja kondoo pembeni kamoto kamewaka
@simonnaivasha639314 күн бұрын
Wanaume wanafanya kikao poring, sio kwenye bar upewe rushwa.
@hajikadoma165216 күн бұрын
IVI HAWA WAZEE WA JIMBO ZIMA AU NI KIKUNDI CHA WATU WACHACHE KWA MASLI YAO NAJIULIZA TU NCHI HII SIJUI INAENDA WAPI