Kocha bora kabisa kuwahi kuifundisha simba tumuunge mkono "simba nguvu moja"
@eriaschares94664 жыл бұрын
wanafunz wakicheza
@mahadshekh3985 жыл бұрын
Mmesahau ya Masoud mmekuja na mapya.Hakuna timu isiyofungwa.Mmekuwa magwiji kuliko Patrick Aussems? Mbona waliposhinda na KMC hamkusema? Wacheni ushabiki maandazi .Ungeni mkono timu au tafuteni timu yenu isiyofungwa. Man City amefungwa mara mbili mfululizo husikii mashabiki wao wakilaumu tu. Batambuze amesajiliwa na Gor Mahia na wala hana ubora wa zaidi ya Zana Coulibaly.
@samnaborliwemba78195 жыл бұрын
Rangi nyeusi inatumika na timu gani hapa TZ naona kama inakuja kwetu kidogo kidogooo
@neemaraphael660 Жыл бұрын
Makocha fanyeni kazi yenu wachezaji Kila la hero nawaombea majeruhi wetu wapone bila kumsahau mwamba chama
@citystyle63385 жыл бұрын
Nibaraaaa
@dshynermcongo15644 жыл бұрын
Km umeonaa mfuko wa Rambo unapepeaa sec ya 40 like apa
@issayasin10154 жыл бұрын
Vipu
@jonasmathayo54194 жыл бұрын
Kocha wa simba anafaa kabisa
@nelsonnjenga10775 жыл бұрын
mwanz
@brightjulius58515 жыл бұрын
Hivi chama kasajiliwa na kocha au kamati
@mbesinghabi19945 жыл бұрын
Huyu kocha, inabidi aangaliwe upya hilo ni beki lake zana coulibaly hakuna kitu, alikosa mafull back hapa nchini?
@tanzaniafootballers42525 жыл бұрын
MBESI NG'HABI acha ushabikk maanadazi ile mechi wote wamecheza ovyo umeuona zana tu
@mahadshekh3985 жыл бұрын
Shabiki maandazi wameanza. Kufungwa ni sehemu ya mchezo.
@imanndimbwa98075 жыл бұрын
Sio libeki hilo, bora wamsajili shafic batambuze
@mbesinghabi19945 жыл бұрын
Me, sina ushabiki wa mitaani, ila ukiambiwa kitu elewa mechi na kmc haukuona zana coulibaly alipwaya wakatukosakosa2, siku ile na mashujaa mabao mawili yeye akiwa katikati