MWIGULU toka umekuwa navijisent umekuwa namambo yakiwak,unadhan wenzako hawatak kuish maisha bora eeh
@kayumbasosthenes3596Күн бұрын
MWIGULU toka umekuwa navijisent umekuwa namambo yakiwak,unadhan wenzako hawatak kuish maisha bora eeh
@user-vr6lu8tq1n2 күн бұрын
Kwanini wanamn'gan'ngania
@bornifacecharles24 күн бұрын
Akitoka Sami atake fata urais ni Tulia
@johnparkr5 күн бұрын
Mawaziri wote kulipa Kodi kwenye mishahara zao, seating allowance na manufaa zingine wanazozipata..........
@christophermpogole49445 күн бұрын
Kama hamtaki matusi basi msingeweka habari hizi maana ni uchochezi!
@rojasshemweta19816 күн бұрын
Maisha magumu nduguzangu
@bishoppetermugendi55466 күн бұрын
kzfaq.info5kSJFhYpZOw?si=otSCuzo-iDga0DmT
@bishoppetermugendi55466 күн бұрын
Congratulations 👏 My SISTER MARTHA MWAIPAJA
@user-uz9mw1ie6z7 күн бұрын
Acha GIZA liongozeke kusudi kupambazuke mapema.... Ma-ccm wamechoka na hawana jipya ktk ubunifu wa kuendesha serikali wamebakia uwizi tu. Siku moja tutawaonyesha hasira zetu ndio mjue wenye NCHI ni wananchi. Kinachendelea Kenya Bado hakijawa funzo kwenu eeh! Kenya Kuna GENZ hp Tanzania Kuna watoto wa 2000 si muda tutaelewana tu. Hamko kusikia kilio chetu Wana wa NCHI.... Vikokotoo kwenu wabunge na mawaziri na mama wa znz hamjaweka Bali kwa wananchi masikini hd mtukaishe damu eeh! Dawa yenu yachemka si muda mtajua hamjui. Maisha magumu ninyi mmekalia wezi kwa kuuza NCHI yetu pamoja na rasilimali zake. Chadema tupo bega kwa bega ukombozi ni Leo na si kesho. Ipo siku kwani haki kwetu wananchi haipo na ipo kwenu tu. Double standard imekuwa kubwa wenye nacho wanaiba na jela haiwahusu eeh! Jela zipo kwa maskini ! Wafujaji wa Mali za UMMA na wauza NCHI wanakula wali wa rangi. Wageni NCHI imekuwa Yao.... Hasa wahindi wanasumbua sn ktk NCHI hii na hatuna Cha kuwafanya . TAIFA linazama huku tunaona. Ombi langu watanzania tuchukue hatua na wkt ni huu.
@piusmelkizedeck98237 күн бұрын
Unapokuwa na gari linalokusumbu kila siku unatafuta lingine au unaliuza kabisa usilione sas,kinachotuumiza zaidi ni katiba tu,na kubadilisha ni ngumu maana 90%kma siyo100% inawalinda viongozi wetu lakini siyo mwananchi na ndyo maana wanafanya wanavyotaka😢😢
@piusmelkizedeck98237 күн бұрын
Mnataka watu wasitumie mkaa na kuni lakini mnaendelea kupamdisha gesi bala ishuke na hali ya maisha ya wananchi kma vile hamzion sababu nyie mnapa kila kitu mnachotaka,huko si kumsaidia mwananchi hta kidogo
@user-tb3xq2cu3o7 күн бұрын
Feisal wangu mzr sana mpenda sana huubby wangu nakupenda piaa pole sanaaa Kwa ajali love you too
@swareheabasi427 күн бұрын
mbona uwanja haumaliziki
@mosesferdinand18048 күн бұрын
Huyo ndiyo mzee wa propaganda
@GeazKatabi8 күн бұрын
Kunawakati ninamshukuru sana Mungu hasa pale anapotuondolea wanafiki kama hawa kati yetu, em fikilia huyu ndiye alikua anataka kuwa mwenyekiti wa Chadema Taifa huu ungekuwa ndio ujinga sana
@GeazKatabi8 күн бұрын
Chadema nikubwa kuliko Msigwa, nenda katetee tumbo lako,
@yahayaramadhani64189 күн бұрын
Mwigulu nikatiri sana, hana huruma
@boniventurehussein72769 күн бұрын
Mwigulu 😢 yaan wewe ningekuwa Rais walahi hata ubaloz nyumba kumi hupati
@FainessUhai9 күн бұрын
Martha kweli mim ninahamu ya kukuona kweli
@FainessUhai9 күн бұрын
Martha nakupenda nambako ya WhatsApp mama Nina lakuongea na wewe dadangu Martha wangu na ubalikiwe ngomba Zaki zinanijenga kabisa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ndukulusudikucho_9 күн бұрын
Kadri bei inapopanda mapato ya Serikali yanakuwa Makubwa lakini Hela inashuka thamani, Bora Serikali ikusanye Bilioni 100 Kwa mwaka lakini Hela Ina thamani, Hela ikiwa na thamani mishahara Nchi nzima mnaweza Lipa bilioni 10 tu , lakini Hela iwe na thamani Sasa hata mkusanye matrilioni alafu fedha ikiwa haina thamani inakuwa Ni shida, I wish I noti iwe mwisho sh 100 kama Zamani tulikuwa na mia nyekundu lakini ilikuwa inamaliza mahitaji yote ya nyumbani
@liannsambu72649 күн бұрын
Upewe ulinzi Kwa kusema na wengi anaoongozana nao kwenye zile kashfa kubwa wapo ,Sasa unajiuliza kama ndege warukao pamoja wanafanana inakuwaje huyu kila sehemu anaruka nao na ni Kodi zetu jamani , WANANCHI WA TANZANIA HATUFURAHISHWI NA MWENENDO WA SERIKALI KILA SEHEMU MATUMIZI MAKUBWA ALAFU HATUONI MATOKEO , JAMAN SAFARI 24/7/360 MMMMM HAPANAAAA MUNGU FANYA KITU JUU YA HAWA VIONGOZI ,MUNGU TAIFA LA TANZANIA NI LAKO SIYO LA KIONGOZI YEYOTE WALA MTU FLAN BALI NI LA WATANZANIA LAKIN WATAWALA NA VIONGOZI WETU WAMETUGEUZA WATUMWA , WAMETUGEUZA NGURUWE PLS , LORD DONT BE QUITE ON THIS FANYA KITU , WAKRISTU NA WAISLAMI WOTE TUFANYE MAOMBI JUU YA HAWA VIONGOZI WETU wanatugeuza WATUMWA , MUNGU USINYAMAZE MKONO WAKO UWAONE HAWA VIONGOZI NA WATAWALA WANAOTUTUMIA KWA MASLAHI YAO WAONE MPAKA VIZAZI VYAO , MKONO WAKO UNYOOSHE KWANZIA JUU MPAKA chini ,HII NI NO UNYANYASAJI NA WIZI WA TAIFA JILI HAPANAAAAA MUNGU HUKUWAHI KUNYAMAZA ,NAOMBA UJIBU
@r14kgroup689 күн бұрын
Profesa kishimba
@r14kgroup689 күн бұрын
Kama wanataka tulipe kodi watuletee na mvua ya bure
@Edger-bn2mt9 күн бұрын
Hv kwann magufli hakuruhusu hyu mwguru awe wazr wa fedha
@sajurumassawe74319 күн бұрын
kwa kweli kama Hawa ndio walisomea uchumi basi Tanzania tumeisha huyu hata mchunga ng'ombe anamshinda na kufikri huyu hafai kbs kuwa kiongozi ndio maana magu kamfukusa na ww unamrudisha angalia ss nn anafanya kama ujinga
@sajurumassawe74319 күн бұрын
jamani rais wetu huyu warizi wako wa fedha hafai kbs
@Esterkomba-ef7eb10 күн бұрын
Tutakutana 25ndiyo mtajua
@suleimanhemed954310 күн бұрын
Hivi niwaulize tra, kwa nini mnakusanya kodi kutokana na mtaji wa mfanya biashara na sio faida ?
@neemamwasomola866310 күн бұрын
Tunashida hasa mbalari ndio shida gunia moja linalipwa mala tatu mkulima analipa ilo gunia mfanyabiashara anaeenda kwauyo mkulima analipa uyu mfanya biashara alienunua uwo mpunga unaenda kukoboa nakuuza mchele iloilo gunia la mchele linaenda kulipwa ushuru hii shida inafika tunamkumbuka mh magu mama samia unalijua hili lakini uko kimya uwo wakurugenzi unawowatuma wanatutesa ila hakuna jambo lisilo na mwisho tunateseka sio kidogo sana mbalari
@OmaryAndunje-y8r10 күн бұрын
Michezoenibisitazaniya
@abubakaranwar33710 күн бұрын
Wewe Kuma mwiguru mchumba zakayo umetuzoea
@calvinloveambroce84210 күн бұрын
Mwigulu ni sawa na Israeli mtoa roho afai kabisa kuwa waziri
@calvinloveambroce84210 күн бұрын
Mbona sisi tuna mitaji ata million tano haifiki lakini tumepewa mashine hii ipoje
@FatmaAli-dh1pd11 күн бұрын
Punda afe mzigo ufike
@godfreymwikola823211 күн бұрын
Safi sana
@Garusahir11 күн бұрын
Huyuu sio mtanzania anakosaa hurumaa inaa onekanaa hanaa jamii inayo jihusisha na kilimo
@MaunganyaOmary-ce7pn11 күн бұрын
Uko sawa baba mwigulu
@saidimohamed435712 күн бұрын
Watu wanavunjiwa nyumba zao
@laurentraphael547012 күн бұрын
Majizi tupu
@jumannemsengi219512 күн бұрын
MWIGULU akili yke sio ipimwe na pima maji
@user-ml5tq8hj2x12 күн бұрын
Na kweli hatutamuelewa mama hii ikipita ya efd kwa wakulima hakika
@user-ml5tq8hj2x12 күн бұрын
Kweli sijui mama alimrudishaje mwigulu jamani hii ni shida tunateseka sana vitu viko juu umaskini ni mkubwa hakuna unafuu wowote halafu leo wakuluma watozwe kupitia mashine ya efd ni aibu
@user-ml5tq8hj2x12 күн бұрын
Mwigulu jamani anajua hata wakuluma tunavoteseka hatupati hata gunia 20 ni pata potea wakati mwingine hapana huyo waziri aondoke awekwe mwingine
@user-kx7ob5rx4p12 күн бұрын
Hawa wanataka ya kenya
@kalengashoppingcenter110812 күн бұрын
Piga pini,,, rushwa mkasomeshe watoto wenu shule za millions 10 kwa wek matahira wanasomesha st kayumba
@isaliisu340811 күн бұрын
Kwanza nyinyi wabunge sisi hatukuwachaguwa munakumbuka hilo
@kalengashoppingcenter110812 күн бұрын
Nyinyi Kopeni,, walipakodi ya madeni ni wafanyabiashara na sio wabunge wala c wakulima
@RazakiMstafa12 күн бұрын
Wakuu. Wa mikoa yote Tanzania wangekuwa Kama makonda nchi injekuwa raisi