Korea Kaskazini imewezaje kujenga mijengo bora hivi! Wanapewa bure! Jionee Mapinduzi ya Kim Jong UN

  Рет қаралды 34,839

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

5 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 235
@jerryndondole1965
@jerryndondole1965 3 күн бұрын
Sma ni mtu alonifungua sana kuelewa Geopolitics, God bless Sma
@soyamBay
@soyamBay 3 күн бұрын
Kwa kweli wanaumbuka vibaya wamagharb, Ahsante kwa kutufungua ubongo maana!
@user-eo6ou4zd4d
@user-eo6ou4zd4d 3 күн бұрын
Tupo pamoja Dj.Sma,siku hizi nimeacha kiangalia taarifa za habari. Habari zenu ni uhakika,hongera sana.
@appolonation
@appolonation 3 күн бұрын
Dj Sma nakukubali sana kbs!!! Nakusikiliza kutoka Rwanda Kigali 🙌
@FrancisDonald-go9cs
@FrancisDonald-go9cs 3 күн бұрын
Kigali wapi uko mbinde ndani ndani
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 2 күн бұрын
​@@FrancisDonald-go9csunaumia ww choko
@bahatihamissi1161
@bahatihamissi1161 Күн бұрын
From Mwanza nawakubali sana
@BushashaSwitch
@BushashaSwitch 3 күн бұрын
Asante sana 💥🥰🇧🇮🇧🇮 ndakwemera cane 💥 BURUNDI 🇧🇮 tunakupenda sana
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 3 күн бұрын
Hizi zama ukweli hata uufiche vip utajitokeza tu
@sadikiswidik
@sadikiswidik 3 күн бұрын
Nakukumbali 100%
@davidndaha9607
@davidndaha9607 3 күн бұрын
Mimi niko USA 🇺🇸 ila kuna city na state zimechakaa hapa huwezi jua kama ni USA
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 күн бұрын
True
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 күн бұрын
True 👍
@saidibuja5050
@saidibuja5050 3 күн бұрын
Nakufata sana kutoka DRC🇨🇩 kam sijapata abari kutoka kwako huwa najiisi vibaya sana
@mackjr5291
@mackjr5291 2 күн бұрын
Habari, maisha ya congo yakoje ndugu?, uko congo sehemu gani?
@graceKisomopepe
@graceKisomopepe 3 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤natoka Congo mimi nakukubali sana ndugu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 3 күн бұрын
Korea Kaskazini siyo masikini kama tunavyo aminishwa ila ni propaganda tu za magharibi
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 күн бұрын
Ni kweli Ile ni NCHI ya kijamaa uchumi unamilikiwa na serikali na sio wananchi
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm 3 күн бұрын
Dj smaa nakukubali sana uchambuzi wako
@JumaAyo-qp3fm
@JumaAyo-qp3fm 3 күн бұрын
upo poa ,👍kutoka pemba
@catprettyworld
@catprettyworld 3 күн бұрын
Swala langu la ICON DJ SMA , appreciate sana kazi yako🎉
@nsabimanaabedi541
@nsabimanaabedi541 3 күн бұрын
In'chi inavikwazo tena inamahendeleo kuzindi in'chi zetu ambazo hazina vikwazo
@zanzibarsmzenji
@zanzibarsmzenji 2 күн бұрын
Sisi kazi ni siasa tu
@user-nd5uf6lw4g
@user-nd5uf6lw4g 3 күн бұрын
Hiyo mijengo ni moto sana ❤🎉🎉 cjui MAGHARIBI na media zao wameona hii
@godwinmandary5116
@godwinmandary5116 3 күн бұрын
Magharibi wameipotosha Dunia kwa mda mrefu
@Zainab_salat
@Zainab_salat 3 күн бұрын
​@@godwinmandary5116kweli wanasemaga Waafrika ni maskini
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 3 күн бұрын
Tujishughulishe na maisha yetu tunapoteza muda kujadili magharibi hakuna aliyekuambiaufatilie media zao
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 2 күн бұрын
Maghreb media za mashoga
@Rey_D669
@Rey_D669 2 күн бұрын
@@goodluckmsoka3660 😂😂
@piusrweyemamu3900
@piusrweyemamu3900 3 күн бұрын
Mbona hata hizo picha wanazoonesha wa magharibi sio mbaya sana zinaonyesha kuna nafuu kuliko huku kwetu!
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 3 күн бұрын
Safi sana ndugu!! Haydom Manyara hapa. Team Russia!! Pamoja sana rafiki.
@Yayouselim
@Yayouselim 3 күн бұрын
Kama hawana chakula Sasa wanapata nguvu ya kujenga kutoka wapi😂😂
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 3 күн бұрын
Dj smaa hawa vichwa vigumu tuachie sie wana fuse tutawapa ngumu kumeza..😂😂😂 tutawapeleka BBCpropaganda bila nauli 🤗 🫢
@mansooranam831
@mansooranam831 2 күн бұрын
SNS ni wazungumza ukweli yaani facts and logics mungu awasimamie, amiin!!
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 күн бұрын
Hongera kwa kazi nzuri Dj Smaa. Team Russia, China, North Korea, Iran tukiongozwa na Vladimir Emirovic Putin lengo ni kuwaondoa Mabepari Barani Afrika kupitia Viongozi Vibaraka.
@surusuru1994
@surusuru1994 3 күн бұрын
Ila mee toka niazekujua manaya siasa sijawahi kuiugamkon ulaya yote kabis ❤
@RashidRajab-oz5ec
@RashidRajab-oz5ec 3 күн бұрын
Ruto kazi anayo
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 3 күн бұрын
Kutoka Zanzibar
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 3 күн бұрын
Pamoja sana 🎉❤
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 3 күн бұрын
Duh naomba nchi zetu za Africa japo moja kuwa kama hivi
@user-il6my8sp3i
@user-il6my8sp3i Сағат бұрын
Asante sma kwa kuzid kutup madini ambayo huyapt popote
@kyangwesignermohamed7867
@kyangwesignermohamed7867 3 күн бұрын
Dj Smaa mimi nimshabiki wako ninakufatilia kutoka Switzerland🇨🇭
@dengepandu9734
@dengepandu9734 3 күн бұрын
Kutoka Zenj ddj smaa tunakuelewa vyema
@Linsha1993-hw9kl
@Linsha1993-hw9kl 22 сағат бұрын
Nakupata vizuri kutoka mansa ZAMBIA
@ABDULShq-wv6st
@ABDULShq-wv6st Күн бұрын
Upo vizuri kijana good job 👍
@Expl0rer.
@Expl0rer. 22 сағат бұрын
Asante bro 👍
@franksiame8441
@franksiame8441 3 күн бұрын
Makonda anaweza rahisi tu kwake
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 3 күн бұрын
Jadili na matatizo yetu nn kifanyike kupata maendeleo sio kila siku kujadili nch za watu wakati nch Yako huvhambui na vp kuhusu mgogoro wa karikao
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 3 күн бұрын
Pamoja kaka frome Oman 🇴🇲 Al amraty
@Supremoji2
@Supremoji2 3 күн бұрын
Nchi pekee yenye mafanikio bila IMF na WB
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 3 күн бұрын
MWANETU DJ SMA THE GENIUS MAN
@niyibigiratimothy5448
@niyibigiratimothy5448 3 күн бұрын
Nakufuata kutoka Cape Town city center CBD, Cape Town 🇿🇦 ila mimi ni mwananchi wa Burundi 🇧🇮 Bujumbura.
@mtushindirena2981
@mtushindirena2981 2 күн бұрын
Aise hakika unajua from 🇨🇦🇨🇦
@FadhiliAlly-fy2tx
@FadhiliAlly-fy2tx 3 күн бұрын
Dj sma ningekuwa na pesa ya kuwapeleka Korea oya nyote mngeenda mukaimbia ukweli dunia mungu awabaliki sana
@user-lv4cx1sc5d
@user-lv4cx1sc5d 3 күн бұрын
Njaa hata marekani wanayo mbona Wana kuja afrika kuchukua chakula
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 күн бұрын
Tumekuelewa 💯
@talents7934
@talents7934 3 күн бұрын
Uzalendo na kauli moja Ndio imewafikisha hapo walipo😢
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 2 күн бұрын
From kigoma Asante tunakupata vzr
@AziziSelemani-t9x
@AziziSelemani-t9x 2 күн бұрын
Naskuliza kutoka chuga nakukubali sana mwamba
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 3 күн бұрын
Congratulations sana DJ Smaa na Hao maraisi Putin na Kim
@ahmedshariffu2108
@ahmedshariffu2108 3 күн бұрын
Awa jamaa ni kinyume na tunaviamishwa na mgarbi awa jamaa wapo na maendeleo wanalngana na baadhi ya inchi za maga4bi
@JohnCage-we6tp
@JohnCage-we6tp 3 күн бұрын
Kenya allies 😅😅😅😅😅Alf watu wanakuja North Korea maskin ety wanasem Nigeria ni Tajiri kuliko North Korea haya Walete hat Mji wenye kufanan na huuu
@brownshirima5924
@brownshirima5924 8 сағат бұрын
Sma. Hakika nakuambiah leo north ni watu brave sana. Na wanachokisema BBC n uwongo mtupu jua kuwa mwanamke awez msifia mke mwenzake bhnan. Ila big up una open sana mind za watu hakika
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 3 күн бұрын
Kazi nzuri big blaza
@user-dg8zi5gb1m
@user-dg8zi5gb1m 3 күн бұрын
Kwa majengo gani sasa ayo sikama ya NSSF tu
@rogatimushi689
@rogatimushi689 3 күн бұрын
Leo nakupata Thailand umetisha sana
@user-kz1jb2nc9t
@user-kz1jb2nc9t 3 күн бұрын
Very nice😊
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Күн бұрын
Thanks mr.dj sma
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Күн бұрын
Mashallaah ni mzuri sana
@valentiniradukunda
@valentiniradukunda 3 күн бұрын
From burundi kk❤❤❤
@HorebuKasuku-zz8cj
@HorebuKasuku-zz8cj 3 күн бұрын
Ukitaka kuwaelewa marekani vizuri ishi nao propsgsnda ndo chakula chao😂
@bakarussi5428
@bakarussi5428 3 күн бұрын
Hawa jamaa barabara zao nimezikubali sana kwanza ni safi sana
@kenochieng3098
@kenochieng3098 20 сағат бұрын
Dj sma wewe utaki mumerika kweli kweli amerika ako kwa power kwa ajili ya mungu
@davismuzahula907
@davismuzahula907 3 күн бұрын
Nchi zenye watu walio serious na maisha
@dominic4727
@dominic4727 3 күн бұрын
Mti unao pigwa mawe ndio wenye matunda
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 2 күн бұрын
Dj sma mtu Wa fact 👏
@mlelwatv5831
@mlelwatv5831 3 күн бұрын
Wa kwànza nipeni likes 😂
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 күн бұрын
Damn it, North korea is fuccin beautiful
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 3 күн бұрын
Yani wamagharib niwaongo sana
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 3 күн бұрын
Magharibi ni wa hovyo sana
@kingmtetezi6670
@kingmtetezi6670 3 күн бұрын
Nakufata vizuri kabisa nikiwa Mwanza Tz
@BeatriceBeat-hk5cy
@BeatriceBeat-hk5cy Күн бұрын
Yaani wako vizuri kuliko nchi ambazo hazina vikwazo
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq 3 күн бұрын
Africa tu ndio tupo nyuma ila nchi nyingi za Asia zimeendelea na licha ya vikwazo vyote Korea kaskazini sio masikini
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 3 күн бұрын
Moja kati ya sera za mashoga (west) nikuuhadaha ulimwengu yaani uwongo kila maali
@selemancokker4994
@selemancokker4994 3 күн бұрын
Dj smaa ubalikiwe
@hamzaally8038
@hamzaally8038 3 күн бұрын
Kaka upo vizur mwamba kwauchambuzi
@19ddr
@19ddr 2 күн бұрын
Sma kama Richard medhust
@SerwaLeina
@SerwaLeina 3 күн бұрын
Kweli mzungu mshenzi Korea wapo mbali sana
@user-yh6nz6ri2m
@user-yh6nz6ri2m 2 күн бұрын
No economic restriction
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 3 күн бұрын
Mimi binafsi habari za bbc france 24 huwa sitizami kabisa naonaga ni propaganda
@DANIELWILLIAM-jo5bw
@DANIELWILLIAM-jo5bw 3 күн бұрын
tuko live sma
@safitechnologies2000
@safitechnologies2000 3 күн бұрын
Lakini sisi tuna demokrasia😅😅
@jumaciza461
@jumaciza461 3 күн бұрын
Pesa za magharibi ndio zimejenga iyo mijengo.
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 3 күн бұрын
Namm nAamini hvyo
@mwlpierre
@mwlpierre 3 күн бұрын
Lakini anatumia magari kama Benz(Germany) pia naiona Land Cruiser V8(Japan) ni sawa uchumi wake anategemea zaidi malighafi za madini kama Congo ambazo anauza kwa nchi kama China na ulaya lakini ingekuwa na maana zaidi kama angeuza bidhaa za viwandani ingetoa tafsiri kubwa ya uchumi kama kiwango cha ukosefu wa Ajira
@malkavoice2570
@malkavoice2570 3 күн бұрын
Dah!
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 3 күн бұрын
We love uuu N Korea
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 3 күн бұрын
Nipo bagamoyo
@user-vt6du7ll8l
@user-vt6du7ll8l 3 күн бұрын
Napenda sauti yako
@Kagineemmanuel
@Kagineemmanuel 3 күн бұрын
Unapendaje sauti ya mwanaume mwenzako
@user-vt6du7ll8l
@user-vt6du7ll8l 3 күн бұрын
@@Kagineemmanuel una nyege wewe
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 3 күн бұрын
Keep it up
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 3 күн бұрын
Kutoka dodoma kaka
@DoctorBondia
@DoctorBondia 22 сағат бұрын
Kiufupi jamaa wapo vizuri sana Tanzania bamoja na kuwa hatujawekewa vikwazo lakini Korea iko mbali sana kiubora kuliko sisi (Tz) 😅😂 Hongera kwa Wakoroea wote. Wazungu wamejaa Propaganda😅😅
@milindiibrahim8285
@milindiibrahim8285 3 күн бұрын
Dj sma habari za geopolitics Drc-rwanda please
@ramauo4410
@ramauo4410 2 күн бұрын
wanatuletea abali za Nyerere kitambo hicho ana tuambia kaota kumbe kaagalia kwenye tv
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q 3 күн бұрын
Daah kama bongo KUBABAKE 😂😂
@STEVEN-f6g
@STEVEN-f6g 3 күн бұрын
Dunia imebeba mengi...
@technicalgearboxenginebysc1360
@technicalgearboxenginebysc1360 3 күн бұрын
Ngozi nyeusi tuna laana wizi ndio tunajua
@MasomeAbell-cr1um
@MasomeAbell-cr1um 3 күн бұрын
Halloo kweli
@josephjulio6112
@josephjulio6112 3 күн бұрын
Nimependa viji vyao
@abdaboking1463
@abdaboking1463 Күн бұрын
Mbona kwenye Group tukiingia hatuoni uptodat
@saidabou6342
@saidabou6342 3 күн бұрын
Du tunadanganjwa sana na hawa wahuni wa magharibi
@HamzaMbasha-xs2ky
@HamzaMbasha-xs2ky 2 күн бұрын
Wanavikwazo hila mji wao ni mizuri kushinda nchi nyingi vibaraka..
@wesakawesaka3516
@wesakawesaka3516 17 сағат бұрын
Ata dar haifiki hapo
@furahamwaseba7910
@furahamwaseba7910 2 күн бұрын
Bora nasisi tuwekewe vkwazo labda ndo tutapata akili ya kujinasua kamavmataifa yalio wekewa vkwazo ndo wanamaendeleo kuliko cc
@omariddi
@omariddi 2 күн бұрын
@mozeekamana
@mozeekamana 3 күн бұрын
🙌🙌
@salumkasongo7507
@salumkasongo7507 2 күн бұрын
Russia sanction zote hizoooo 😅😅😅
@jumamnumbwa9483
@jumamnumbwa9483 Күн бұрын
Nchibza kijamaa hazina hali mbaya ya maisha ,ni uongo
@jumaciza461
@jumaciza461 3 күн бұрын
Wakati putin anatembelea Urusi nilivyo ona Nika comment kwenye sky news. Wanavyo ponda north korera Eti hakuna maendeleo nimepata majibu zaidi ya 100 😂😂😂
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 33 МЛН
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН
God Is Not A Christian _ Shocking Revelation From Plo Lumumba
47:46
AFRICA OBSERVERS
Рет қаралды 432 М.
Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran
35:23
MKOJANI AMALIZA UTATA WA NDOA YA RINGO, ATOA WOSIA MZITO
8:19
Mbengo Tv
Рет қаралды 1,7 М.
Гидроудар на мерсе - спас деда Танком 300! #tank300
1:00
ТАНК ПРОТИВ ВСЕХ
Рет қаралды 8 МЛН
РЕМОНТ ДОРОГ В ШВЕЙЦАРИИ
0:17
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 4 МЛН