HII NDIO VIDEO RASMI YA LILE SOMO AMBALO TULIRUSHA LIVE NA LIMEBADILI MAISHA YA MAELFU YA WATU NDANI YA MDA MFUPI.
Пікірлер: 112
@lilianlima86093 жыл бұрын
Ni kweli na hakika Jina la Bwana lihimidiwe, ukitembea kwa imani mambo yote yanawezekana katika jina la Yesu, tubarikiwe sote.
@costernyamba37524 ай бұрын
Nabarikiwa sana na somo hiri ninapitia hayo katika familia yangu nahitaji kubadirika kupitia somo hili
@kelvingallo82624 жыл бұрын
Ninakushukuru sana kwasomo hili maana najiona nami nimiongoni mwahaya manung'uniko kuanzia sasa yashindwe kwajina la YESU
@albertinemacimu12475 жыл бұрын
Kuanzia leo naacha manu'guniko kwa jina la yesu nahitaji baraka kutoka kwako🙏🙏🙏🙏
@lydianyaboke5645 жыл бұрын
Amen
@eliyaraphael104 жыл бұрын
@@lydianyaboke564 wazo zuri sana shikilia hapo hapo.
@asheriniyongabo23855 жыл бұрын
Mchungaji Mungu na Akubarikisana tena sana, Umenifungua macho. Mimi si msabato, ila Mungu akinisaidia sa sa na ahidi kuwa adivantista, je? Nimeona kwenye video hii, je,nihalari kuva kofiakwenyekutataniko la wakristo?
@neemangere1168 Жыл бұрын
aasante sana kwa somo zuri Pr
@priscalmichael85795 жыл бұрын
Umebadilisha maisha yangu Mungu anisamehe maake hata mimi huwa nalalamika sana Mungu akubariki Pr kwa ujumbe huu
@callenonderi1708 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri naona nikipiga hatua katika maisha yangu
@chloecallie3619 Жыл бұрын
Amen Amen Amen. Be blessed Pastor
@hellenbarnaba90693 жыл бұрын
Ee Mungu wangu utupe moyo wa unyenyekevu.
@hellenbarnaba90693 жыл бұрын
Kwa jina la Yesu Mimi na Nyumba yangu naomba badiliko katika ulimi na ndimi zetu ziwe Baraka, Ee Yesu mwana wa Daud unirehemu Uturehemu.
@bobog97325 жыл бұрын
napenda mahubiri Tv sana Mungu azidi kuwabariki kwa mahubiri ya kila siku
@eustina0 Жыл бұрын
Mungu anisamehe kwa kunungunika niliona nikawaida Mungu ahimidiwe siku zote🙏🙏🙏🙏
@janetmassawe84475 жыл бұрын
MUNGU ni wa ajabu...Kweli anatenda....japo ni muda umepita, BWANA amenitendea na mimi.JINA LAKE Litukuzwe
@albertinemacimu12475 жыл бұрын
Amina nahisi na moyo umetulia sana huku mwisho Mungu akubariki sana.
@marysongorwa65943 жыл бұрын
Nimebarikiwa na hubiri manunguniko ni shida
@mercynyanchoka62833 жыл бұрын
Hapo kwa kunungunika pastor umenena nami, na nimepadilika mungu aniweseshe kabisa
@princiadeborah52703 жыл бұрын
nakufuatilia makundisho yako saaaana nikiwa canada najengwaga sana Mungu akuongeze upako mtumishi Mbagwa
@mmungamleci4876 Жыл бұрын
Je suis béni , et que l'Éternel vous bénisse notre cher pasteur Merci pour un bon message édifiant
@konkmaster63545 жыл бұрын
Asante pastor kwa kuliweka vizuri hili somo muhimu
@moniquenimbabazi45285 жыл бұрын
Naelewa Mungu hutujali sana ila ikiwa tunashida twamwangalia yeye ndie msaada kwetu kwayote
@alitechsolutions88645 жыл бұрын
napenda mahubirio yako pastor mungu akubariki yvon night kutoka kenya
@maureenjovial62374 жыл бұрын
Amen asante kwa hili Mungu wangu nifundishe kunyamasa kutolalamika Mungu akuinue sana mchungaji
@rwasamanzikanyindi63194 жыл бұрын
Kuanzia leo naacha tabia ya manung'uniko,Mungu anisaidie.
@amossamwel22665 жыл бұрын
amina
@joyestherbagarura9544 жыл бұрын
I tell you; this man isnt only blessed with the word; he must be born a very bright en brilliant person!!!
@namsijonathan81564 жыл бұрын
Kabisa ..He knows a lot of things out of spiritual things anafuatilia kila nyanja ya maisha halisi of which ni vizuri kufundisha ukiwa unajua uhalisia ukoje
@florarose16263 жыл бұрын
True ❤️
@Shirimaneema10 ай бұрын
Indeed
@watwegopnina64803 жыл бұрын
Amen mchungaji wangu, Mungu akubariki, nahitaji neema za Baba
@labanmatoke2 ай бұрын
Baraka tu
@herip43002 жыл бұрын
Leo Kwa mala ya kwanza nalipanda jukwaa hili la comment kiukweli mungu anaowatu maalumu anaowatumia ili kuwafikia watu Wa wenye kila aina ya mitazamo na mapokeo mbalimbali " binafsi Mimi natamani kuwa na imani pia elimu ya kiroho kama wewe 🤓🤓
@judithcherono25955 жыл бұрын
Ili koza pastor tutafanyaje akituaje na ndio dhambi kubwa sana kunungunika☺☺
@thegospel175 жыл бұрын
Judith Cheroto Amua kuacha
@sheilaombongi80865 жыл бұрын
Aminaa
@mbiutv5 жыл бұрын
Amen pastor mbaga
@robartmwangomalecharnel78603 жыл бұрын
Amina tunabarikiwa
@dicksonwambura98404 жыл бұрын
Nimemruhusu yesu atawale maisha yangu kuanzia leo nimeelewa kuwa yesu alikufa kwaajili yangu , dhambi zngu namuachia yeye nimeazimia kumrudia mungu wangu
@edithmakwakwa94893 жыл бұрын
Kumbe manung'uniko siyo mazuri pastor nimekusoma sana
@angel-y5 жыл бұрын
Amen. Barikiwa Pastor.
@shishshikoh49794 жыл бұрын
.nimekupata vizuri Sana pastor..Mungu nisaidie niache manunguniko
@rwasamanzikanyindi63194 жыл бұрын
Najifunza vitu vingi sana kupitia mahubiri yako,Mungu akubariki sana.
@josephinelusambo45934 жыл бұрын
Mungu akuzidishie pastor maumbiri yako nimazuri good bless you
@julianapetro38975 жыл бұрын
Asante nimebarikiwa umeniokoa mchungaji
@asooraaasooraa48163 жыл бұрын
Somo hili hamna sauti
@perismoraa60135 жыл бұрын
Amen
@justinreponse8343 жыл бұрын
Master mbaga ninatamani sikmoja nije nikuone kwasababu yakuniongezeya Mimi namushukuru Mungu kwakukulinda kwasababu afunzoyako yananiokowasana ilamungu akubaliki
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@justinreponse8343 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga pasteur naendbatizwa kupitiya mafunzoyako naomba maombiyakokusudinaminikomaekirohokamkimwili Saidi yako jusiezinikajilinganishanawe Bali Mungu tu kwamusahadawake
@georgemoshi76425 жыл бұрын
Amen, nimebarikiwa sana from Shenyang,China.
@thegospel175 жыл бұрын
George Moshi Amen
@florarose16263 жыл бұрын
Amen 🙏🏾
@dennisontita47525 жыл бұрын
Mungu nizaidie niache kunungunika Amen
@jamesmedard55384 жыл бұрын
Amina kaka. Somo hili limenigusa moja kwa moja.
@danielmatengamaranda83075 жыл бұрын
Amina sana
@msafirimhehe4 жыл бұрын
Amina...
@emmanueljoseph80182 жыл бұрын
Ts amazing
@joycemashikolo90965 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@lilianikerubo79094 жыл бұрын
Amen Ewe mungu nizaidie niaje kunungunika.
@farajilyambafu19535 жыл бұрын
pastor injili nimeielewa
@gloriatoo223 жыл бұрын
Mungu niondelee manunguniko,nimekushuhudia
@edwardadam27945 жыл бұрын
amina pastor
@salamaizungo46445 жыл бұрын
kati ya watu waliobarikiwa ni mm
@florarose16263 жыл бұрын
Amen Sana 🙏🏾❤️
@markongatunga45202 жыл бұрын
Amina sana mtumishi wa Bwana Yesu
@subiralendaiga57915 жыл бұрын
Amen! This is amazing and blessing to all!
@florarose16263 жыл бұрын
Me too🙏🏾❤️
@paschalcassianoriginal94115 жыл бұрын
Aaamen pastar
@eunicelovey5 жыл бұрын
Amen kwanza leo silalamiki tena barikiwa mchungaji
@agnessshabani92835 жыл бұрын
Àsante sana
@sheilaombongi80865 жыл бұрын
Eunice nyandiko,amen pastor kwa neno zuri nimebarikiwa sana aminaa
@saturikinubi50194 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@janethmalenja Жыл бұрын
Aminaa
@mauricemainga79234 жыл бұрын
Mungu nisaidie kuyaacha malalamishi kwenye maisha yangu
@reginamwacha73614 жыл бұрын
kwanzia leo sitaki kumunungunikia tena Mungu .Mungu wangu ninayekuabudu kwanzia leo nimevua sanda ya manunguniko naomba Neema yako ya kushinda aya manunguniko Mungu wangu
@moniquenimbabazi45285 жыл бұрын
Asante kwa somo ila sojaelewa Unasema kulalamika sio vizuri na Mungu huchukia Swali nihili Ayubu mwenyewe alilaani kwanini alizaliwa Kingine ikiwa unakutana na shida ukararamika kosa niipi au kuwuliza Mungu ikiwa umefanya uovu koza liko wapi ? Kulalamika nivibaya namna ngani naomba majibu
@damianlugendo91614 жыл бұрын
Ayubu hakunung'unika bali alishukuru na kusema Mungu ni wamirere lknpia hamanishi kunung'unika juu ya maovu uyafanyayo balinikwa magumu yakufikayo kumbuka Paulo alimnung'unikia Mungu juu mapito yake lkn baada yakugundua alikosea alisema nitageuka nyuma nitazame wap ni mekosea huo nimtizamo wang!
@stephanoamos94574 жыл бұрын
Kulalamika kumlaumu Mungu kwa shida unazopitia kwa lugha nyepesi ni kusema kwani magumu yananipata je Mungu hunioni? Unamaanisha Mungu ni kipofu
@stephanoamos94574 жыл бұрын
Unatakiwa kumwambia akusaidie ili magumu yakuondoke na sio kusema mbona mimi tu hizi shida ukisema hivo kesho tu unakutana na shida nyingine tena
@allennzota48684 жыл бұрын
Barikiwa saaan Pr...
@josephshikuku87754 жыл бұрын
Barikiwa sana Pastor
@dicksonwambura98404 жыл бұрын
Nimeenda kibada sda church naanza na bwana katika maisha yangu
@suzanmohere53114 ай бұрын
Amen
@jeanclauderukundo63515 жыл бұрын
Amina
@salamaizungo46445 жыл бұрын
kuanzia leo hii naazimia kutolalamika kwa JINA LA YESU NITAYAACHA ONDOA YESU LAANA ZOTE AMAN ITAWALE MOYONI MWANGU NA KATIKA KIZAZI CHANGU TAKASA YOTE
@danielmsambi89405 жыл бұрын
salama izungo
@gracejoel32455 жыл бұрын
Amina Pr
@nipaelmsuya52615 жыл бұрын
Amen.....nimebarikiwa.Mungu azidi kukubariki pia mchungaji
@imangregory83925 жыл бұрын
Amina!
@emmanuelmbwambo65713 жыл бұрын
Two years ago still on fire 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
@ezromnobety37154 жыл бұрын
Mungu ahsante kwa somo hili maana mie ndo mhanga wa ugonjwa huu. Mchungaji naomba namba yako coz naihitaji ushauri wako.
@pepchallanga36264 жыл бұрын
Blessings
@moniquenimbabazi45285 жыл бұрын
Naomba nisaidiwe hili somo la Zaburi:13;14;15 iyo sio malaumu na lalamiko ? Nisaidie
@vinapple60555 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌
@judithcherono25955 жыл бұрын
Amen leo umeubiri kweli points to
@eliyaraphael104 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor mbaga.
@nicholasmomanyi9594 жыл бұрын
nabarikiwa xn n mahuburi wako pastor
@stephentasani4608Ай бұрын
Mch, we watafata ili wakufikie levo yako bado utakua juu ukiziditu kuwavuta nasio kukufikia.
@davidogamba1604 жыл бұрын
Asante pastor kwamafundisho mazuri naomba namba yako kwamaana naitaji maombi kutoka kwako thafathari
@nyamweyaisaiah4505 жыл бұрын
A men
@wegesaelias95684 жыл бұрын
Santeee
@ameenadxd95094 жыл бұрын
Sitarudia kunung'unika tena,
@celinalyimo18704 жыл бұрын
Mungu naomba weka mngozi kinywani mwangu azue nisije nung'unika tena hususni tulioko U.S.A TUNALALAMIKA SANA
@josephinelusambo45934 жыл бұрын
Mungu akuzidishie pastor maumbiri yako nimazuri good bless you
@killystardwank67385 жыл бұрын
amina
@AzAz-sy6zp4 ай бұрын
Amen
@josephinelusambo45934 жыл бұрын
Mungu akuzidishie pastor maumbiri yako nimazuri good bless you