Mungu wa rehema unajua taabu na mahangaiko yetu. Unapokuja kutupa msaada tunaanza kulalamika na kutoa vijisababu vya kulaumu wengine. Uturehemu tupe neema ya kujitwika vigodoro vyetu twende mbele. Maana umeshatuponya na kututengenezea njia tayari. Asante Pastor na timu yako. Mungu aibariki huduma hii
@liliankeruboq69484 жыл бұрын
Ukwel binadamu twajiroga wenyewe, shukran muhubiri. Funzo nzuri kwel.
@francisthomas74811 ай бұрын
Asante pastor uko namahuburi masuri sana ninakusilisa sana kutoka hapa Kenya 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana.
@beatricemageka79724 жыл бұрын
Nashukuru pastor kwa funzo la hekima kwamba majibu ya shida na najaribu yetu tunayo ila tu hatutambui,Mungu atusaidie tuweze kujitambua na tusonge mbele kimaisha na kiroho pia,amina
@mussaharuni2250 Жыл бұрын
Ubarikiwe mch nakupataga vizuri kwenye mafundisho Yako yananibariki.
@rubias29782 жыл бұрын
Asante pst kwa mafunzo mazuri ameni mungu atie nguvu uendelea kuhubiri neno la mungu
@rachelmanema90444 жыл бұрын
Asante mchungaji hubiri lako limenifungua kwa mengi Mungu akubariki sanaaaaa
@trustalid59684 жыл бұрын
Asant mchungaji kwa neno, kweli akili imefunguka kwa Siku ya leo, Amen
@elizabethtondo51784 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu naomba unisamehe kwani nimekuwa mlamimishi sana KATIKA maisha yangu. Pastor Mungu akubariki kwa somo hili hakika nimepata silaha ya kusimama tena kwenye maisha yangu.
@user-pi5bj9qz2m5 ай бұрын
Tunashukuru kwa mahubiri yako, tunabariiwa Mungu wa mbinguni akubarikiwa
@JC-lk3me3 жыл бұрын
The best teacher on the tv Mwalimu kweli. God is good.
@shaniachanceline27514 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji napenda mafundisho yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓💗😍🥰
@vivatiki53313 жыл бұрын
Jamani mungu anatupenda kwa kutupa mafundisho kwakila njia hatunabudi kumwambia mungu asante kwa yote hasa kwamchungaji huyu David mbaga asantemungu
@EulaliaChristopher-qs9mn3 ай бұрын
Mungu asante kutuletea mcjungaji
@vicknessngenzi61464 жыл бұрын
Nabarikiwa sana Pastor na mahubiri haya kweli Mungu amenitoa sehemu na kunisogeza karibu na yeye kupitia mahubiri haya.
@MiriamSando-fe9ll5 ай бұрын
Nabarikiwa sana pr,mmbaga
@judithmakoye65924 жыл бұрын
Amina pastor Mmbaga ubarikiwe na timu yote pia, nakuelewa pastor majibu ya shida zangu yako ndani yangu
@alicemjomba26444 жыл бұрын
Amen, Mtumishi nashukuru kwa Neno Hili nimefunguka macho nakuelewa zaidi, Barikiwa Mungu azidi mukutumia Asante.
@loicesalano931Ай бұрын
Naamini kabla miaka 38 nitapata mume Nina watoto wanne outside wedlock.God is faithful 🙏
@upendomasasi32184 жыл бұрын
Pastor mungu akubariki Sana na kukulinda ili uendelee kutubariki kwa masomo yanayobadilisha maisha yetu na kutupatia tumaini jipya la uzima wa milele
@kakajaymoe8713 Жыл бұрын
Ameen aksante sana kwa mafundisho yako pastor🙏🙏💓
@rastarasim5810 Жыл бұрын
Nazidi kujifunza mengi ,,,,,,,,,mungu awabariki watumishi wake,%🙏
@elizarodrick73564 жыл бұрын
Kwa kweli ni mara yangu ya kwanza kusikiliza mafundisho yako pastor, lakini yamenivusha sana Mungu wa mbinguni akubariki sana.
@karennyabuto79774 жыл бұрын
I wish this pastor could come to our church one day.God bless him.
@adjafamkungilwa1154 Жыл бұрын
X
@bentaonsomu64803 ай бұрын
Asante na Mungu akubariki. Hautajua hii maubiri yanamaanisha nini kwangu. Ila Mungu amenieleza mambo mengi. Na nimeshtuka kwa kuwa umerudia Jambo nililokuwa ninasema, lakini sasa kulisikia kutoka haya maubiri, ni green light kutoka kwa Mungu.
@rosepeter89964 жыл бұрын
😅😅👏👏🙏🙏🙏nimecheka,nimebarikiwa na mahubiri yako mchungaji wa mungu.🙏
@dianarobert79532 жыл бұрын
Jitwike godoro lako uende.yesu ametangulia mbele.aminaaa
Nimelipenda sana hili fundisho. Mungu akubarika sana pastar Mbaga
@wordskabadi64214 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana mchungaji na mafundisho ubarikiwa
@josephobedi59694 жыл бұрын
"Ukitaka usifanikiwe katika maisha tafuta mchawi" very informative sentence
@angelinaomare30554 жыл бұрын
Neno ili limenielimisha ajabu kwa kweli...nimejifunza kitu Kimoja “kujifunza kulalamika ila tu Kushukuru na kunyenyekea
@user-no2tw5vb8j2 жыл бұрын
Doreen Edasi watching from saudi arabia, wonderful teaching from the true man of God, it's touching my heart deeply, thanks alot and May God bless u and your family in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@josephinemwita88834 жыл бұрын
Ni kweli Pastor Mbaga. Mimi Dodoma siondoki nikistaafuu!
@dianamwalongo97322 жыл бұрын
Waoooooo someone zuri Sana balikiwa Sana mtumishi.
@neemaloy8894 жыл бұрын
AMEN AMEN MTUMISHI WA MUNGU
@itsmeanna82863 жыл бұрын
be blessed Pastor kwa ujumbe mzuri.
@millicentmashakamakungu51404 жыл бұрын
Ninabarikiwa na mahubir yako mtumish wa Mungu
@shackplustv74622 жыл бұрын
Nimefarijika na kubarikiwa sana na somo hili
@linetflorah68713 жыл бұрын
Amen Daddy nami nimejifunza pia nimejua niko kwenye nafasi gani
@josephinemwita88834 жыл бұрын
Nimejifunza mengi kutoka kwenye hubiri hili! Ubarikiwe sana pastor Mbaga mungu akulinde ,akutunze na uendelee kutulisha chakula cha Mungu
@teclamastone70983 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza pastor 💪🙏
@aloycegasper51884 жыл бұрын
Ni kweli PR,siyo PhD tu kuna watalaamu wa uchumi lakini wao masikini...MWENYEZI MUNGU NIONESHE KARAMA YANGU
@agneskhakali20694 жыл бұрын
Amina Amina. Asante sana mchungaji.
@lidiaawino4740 Жыл бұрын
Asante Yesu kwanzia leo nitajitwika godoro langu
@bonphasngasa46444 жыл бұрын
Nimekuelewa Pastor. Ni ujenzi bora tumeupata. God bless us!
@khadijaabdallah87754 жыл бұрын
Mungu akubariki PR. MTU akikutukana! Hilo limenijenga sana. Maana tunanung,unika sana juu yahilo. Hasa ukionewa! Aaa! Ahsante Yesu.
@alonto81592 жыл бұрын
Barikiwa sana lovely dad.
@chibugamedia73134 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU Endelea kutuombea na sisi pia
@comembwelwa15183 жыл бұрын
Napenda sana mafundisho ya huyu kaka lakini watu wengi wanabeza kisa yy in msabato tatizo nn sijaelewa kabisa nampenda bule nashinda utubu kumsikiliza kila siku
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@janviershaminya24852 жыл бұрын
mungu ndiye anaye kuwa na na malipo piganisha usikose kuingiya nakuombeya tutaonana huko.SI
@safishimirimana94654 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi. Kwakweli uwaunanibariki
@janetkahada52064 жыл бұрын
😭😭God forgive me in my work give me a strong heart to be pertinent in every ways in Jesus name amen. Just a big points. Ubarikiwa muchungaji.
@sheilaombongi80864 жыл бұрын
Funzo la hekima kabisa pastor nina shukuru sana Mungu akubariki sana Amina
@suzanmwita17003 жыл бұрын
Barkiwa sana
@hassanmatumba52722 жыл бұрын
Mtumishi halisi wa Mungu, umenibariki sana na fundisho hili. ninatamani siku zote Bwana aka ndanj yng nifanane na mcha Mungu wa kweli.
@mtctz98442 жыл бұрын
Asante, nimebarikiwa, ubarikiwe
@brunomirambi87924 жыл бұрын
Mungu akudhindie PR.MMBAGA UMEFUNULIWA UMEPEWA KULIJUA NENO TUSAIDIE SANA MUNGU ATAKURUDISHIA
@carolynadhiambo25434 жыл бұрын
AMEN AMEN, BARIKIWA mtumishi MUNGU Azidi kuku BARIKI
@timothywandera16813 жыл бұрын
Hi Mtu wa Mungu, kila somo lako lanijenga sana, kana kwamba unayaona ninayopitia. Mungu akubariki sana, Timothy Wandera kutoka Kenya county ya Eldoret.
@dottodaniel75354 жыл бұрын
Pr. Mungu akubariki kwa ujumbe huu ni mzito .kwa kweli tumekuwa walalamishi mno Mungu atusaidie
@karennyabuto79774 жыл бұрын
A very good message.CARREN kisii Kenya.
@betykallomo5587 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@natihaikamjema61304 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor
@filorammbaga57102 жыл бұрын
Nitashinda ubaya kwa style hii. Asante Mtumishi Mungu akuinue juu Sana.
@ibrahimsiwale50592 жыл бұрын
IWE HELI KWAKO NA HATAKWETU.....MUNGU atupatie nemeema na ufahamu tuzidi kulijua neno la mungu na tuwe na uelewa nalo
@tabithamintextilefabricind98384 жыл бұрын
Mimi Sina Mtu imekuwa Kilio Cha watu wengi, iwe makanisani, misikitini, kazini, Vyuoni ,shuleni, kwenye Ndoa , katika familia nk. Acha kutafuta watu wa kulaumu..mpelekee Mungu shida zako, yeye ndiye anakujua maana ndiye aliyekuumba na kukukomboa kwa kukufia msalabani ,mwambie shida yako yeye. Acha kukata Tamaa, Jaribu kusimama uendelee mbele. Usikate tamaa
@shukranjs43073 жыл бұрын
Amina
@irenenyambeki30944 жыл бұрын
Amina barikiwa pastor mbagga nakufatilia kutoka kenya
@mashaeliazer74334 жыл бұрын
Barikiwa pr kwa kunibariki
@eliasbufula24823 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu, umesema na mimi.
@majaliwacosmas46323 жыл бұрын
,nikweri mch mungu azidi kukupabania
@jeniferliberatus30034 жыл бұрын
amina ndg zangu wasabato mmuobee huyo pastor
@tabithamintextilefabricind98384 жыл бұрын
Una maanisha Nini?
@sakirpenabel53384 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@damarisonserio47882 жыл бұрын
Thanx be to the Almighty God man of God your statements are very clear and loud
@sanurasadickmshana74813 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi,umenigusa sana maisha yangu.
@rosemutinda30764 жыл бұрын
Pastor huwa unachekesha😂😂😂hapo pa malaika pamenimbaba. Aki Mungu na malaika zake huwa wanajionea mambo 🤣🤣🤣
@damah84314 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@adrianarespicius86834 жыл бұрын
Napenda mafundisho yako yananibarki,, barkiwe pastor
@witnessmalangalila914 жыл бұрын
Barikiwa sn Mtumishi
@FrancisLyamuya-ou1eb7 ай бұрын
Asante sana ndugu
@zuberysaid92013 жыл бұрын
Mungu akubrk
@shukranjs43073 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@user-jg2sj1yc6n4 ай бұрын
Amen amen amen
@elvisomari6384 жыл бұрын
Uko sawa pastor ukweli huu
@jamesbaraka9403 жыл бұрын
asante pastor mungu akubariki
@julianajohn79173 жыл бұрын
Yaan umenielimisha mno nabarikiw sna na mahubiri yko Mungu azidi kukuongoz na kukulinda
@winnievienda16234 жыл бұрын
Ubarikiwe kwamafunzo masuri mungu hakutiye ngufu yakuendeleya gutu funza
@rachelndege38193 жыл бұрын
ASANTE mchungaji Mungu akubariki Sana
@jjss44934 жыл бұрын
Amen amen yesu wajua shinda zangu
@jackneymasamson83354 жыл бұрын
I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen
@cliffrmmbaga9157 Жыл бұрын
AMEN
@witnessmalangalila914 жыл бұрын
Amen barikiwa Mtumishi
@filorammbaga57102 жыл бұрын
Mtumishi nakukubali hasa kwa kipindi Cha akili,mwanangu Niko kati 6 da niambie nitokeje hapa. Aaa kwa mafunzo haya vichaa tuko mwengi ,Mungu atuhurumie.
@shemnyangate53064 жыл бұрын
we as christians we judge outside instead of we judging in the inside..hw does our relationship between us and God.. Nice sermon
@mwinamilapaul3524 жыл бұрын
Amina Mtumishi, asante kwa kutupa Neno la uzima
@onesmorichard48453 жыл бұрын
Ameeen mtumishi hakika nimejfunza kitu kikubwa sana
@lenatidagabriel33583 жыл бұрын
PR. NI mwaka umepita tangu ufundishe somo hili lakini kila SIKU ni jipya, unanibariki mno PR, MUNGU akutunze PR.
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMINA🙏
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mtumishi....
@Patience7638 ай бұрын
Amina
@heriethmbwambo82723 жыл бұрын
Pastor barikiwa kwamafundisho yako
@sammywanje26863 жыл бұрын
Kwa kweli Mchungaji umenifungua sana kwa mafundisho haya,, umenifungua minyororo niliyokuwa nayo,,,, Ubarikiwe sana mchungaji, na huyu MUNGU tunayemuabudu kila siku akupe nguvu na azidi kukubariki kwa mafundisho unayotufundisha mara kwa Mara,, aamen
@hoglawawuda81454 жыл бұрын
Nimejifunza kitu...asante Pastor
@user-wq9pv3uz8f4 жыл бұрын
Hakika nimejifunza mengi tangu nianze kuskiza mahubiri TV maisha yangu yanaendelea kubadilika sana nakishukuru sana.pastor
@enockbabu75023 жыл бұрын
NAMSHUKURU MUNGU KWA NAMNA ANAVYO MTUMIA BABA MCH, MMBAGA ,KWA MUDA MFUPI NILIO MFUATILIA AMENIJENGA KIROHO .
@getrudenabwayo4754 Жыл бұрын
@ANGELINA KALUKI NJOO HUKU DADA UJUMBE UKO HUKU MOTO MOTO🤣🤣🤣✊🏼✊🏼✊🏼✊🏼✊🏼✊🏼😇😇😇😇😇😇NAONA NARUDI KENYA NIKIWA MTU MWINGINE KIROHO 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾BE BLESSED MOG