Рет қаралды 587
Chips zimekaangwa kwenye mafuta na chips zimetokana na viazi mviringo maana yake ukila chips unakula kiasi kikubwa sana cha mafuta. Na chips sio tatizo ila tunakula kwa kiasi kikubwa sana"- Kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania @tfncTanzania, Dkt Analice Kamala Mtafiti Sayansi ya Chakula na Lishe.