FURAHA + HUZUNI KWA MIAKA ZAIDI YA 20 KIJANA AKUTANA NA MAMA YAKE | SHANGAZI MTU AIBUA SAKATA

  Рет қаралды 65,799

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

2 жыл бұрын

Пікірлер: 282
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 2 жыл бұрын
Waandaji wakipindi Mungu awape maisha maisha marefu
@EsterBernardoVumo
@EsterBernardoVumo Жыл бұрын
Jina La Bwana YESU Libarikiwe Mungu Wetu Ni Mema
@hadijamshimbula7616
@hadijamshimbula7616 2 жыл бұрын
Daah leo nimemkumbuka marehemu mamangu. Rip mom
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 2 жыл бұрын
😭😭😭 Mama ni mama tu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Pole sana
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
Mama pole Sana unaongea huku unatetemeka na pressure just ni jinsi gani umeumia daaaaaa pole Sana mama Mungu atakulipa kwa uliyo yapitia
@estherokombo1086
@estherokombo1086 2 жыл бұрын
Daaah hii imenitowa machozi mm jamani🇰🇪
@dorahmwambemba9032
@dorahmwambemba9032 2 жыл бұрын
Jamani msituuimize tunawaumiza watoto😭😭😭 wifi Kwa mdomo huo mama asingefiti kwenu
@rwamboking.3253
@rwamboking.3253 2 жыл бұрын
Allah awajaalie kina mama wote wanaotelekezwa na waume zao
@happymau2809
@happymau2809 Жыл бұрын
Nafurahi sana kufatilia kipind hiki..shida nazidiwa na machozi jmn naumia
@susannesusie3217
@susannesusie3217 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sad story uyo mtoto amtunze mamaake ampoze machungu mamake Nampenda saana Mama yangu Mungu amtunze Mama yangu ukiangalia video kama hizi inaongeza mapenzi kwa mama
@justicedamaru3016
@justicedamaru3016 2 жыл бұрын
Nyie machozi yananitoka
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Saana Yani
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 2 жыл бұрын
Shangazi acha chuki maana ww ni baba. Nampenda sana shangazi yangu maana hata mimi nimelelewa na shangazi. MUHIMU "SHANGAZI NI BABA" Msamehe mama anuari
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Pole sana mama, kwnn hy mjomba alikupiga alitakaje sasa na wkt kwk kakufukuza, mama unaongea kwa uchungu hadi unatetemeka
@evainnocent9520
@evainnocent9520 2 жыл бұрын
Daaaa! Nimelia mnoo ila Baba ndio aliesababisha hayo uyo shangaz nae anaongea tu ila kosa la kaka yake
@aminaam281
@aminaam281 2 жыл бұрын
Kabisa my
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Anamtetea udugu wake
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Hongera pia shangazi kwa kumlea hadi kukua Mungu akubariki ila mawifi daah
@nadhifajuma6485
@nadhifajuma6485 2 жыл бұрын
Wallah imeniliza mno sina la kusema clouds nawapendaaaa woootee
@dkmhamilawa
@dkmhamilawa 22 күн бұрын
Shangazi ulijitahidi kumsitiri kakavyako lakini usimlaumu wf yako mwamke menzako. Hongera ka malezi. Anuar wewe ni mwanaume chunga matendo kama ya babako. Utamuumiza mzazi mwenzio
@sifangwira90
@sifangwira90 2 жыл бұрын
Nimelia sana hii story imenikumbusha mbali sana,haya yalinitokea nikamwacha mtoto wa miezi 7,ila mungu alinifungulia milango nikamchukua mwanangu baada ya mwaka,namuomba Anwar amsikilize mama yake shida hua zinatenganisha watu,huyu mama alimuacha mtoto Ili akue labda angekaa nae kwa magumu angekufa
@gulfomanbb2119
@gulfomanbb2119 2 жыл бұрын
2napitia magum sana wkt mwingin ata unaona bola uishi mwenywe2 mm pia nimekosana nae lkn nashukulu nilienda muachia mama yngu kamlea kwa shd mpk ss nipo nnchi za kiarabu wana2umiza mno wanaume
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Sasa watuwengine hawajui maisha tunayopitia wao alhamdulilah hawajapata changamoto washukuru ila hakuna mama anaetaka kukaa mbali na mwanawe ila ugumu wa maisha jamani wazee wanyonge hawana uwezo unamtowa mwanao kwa uchungu huku ukilia
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 ай бұрын
​@@gulfomanbb2119 baadhi ya wanaume wabaya mno na wanawake wengine pia wabaya sana
@gracemgeni721
@gracemgeni721 Ай бұрын
Huyu mama naye.....
@rebeccarebeccachristine3182
@rebeccarebeccachristine3182 2 жыл бұрын
Maskini wa maman tuheshimike 😭😭😭
@swaiseif2989
@swaiseif2989 2 жыл бұрын
Khaa nimelia Sana wallahi 🙌 mpka macho kuvimba 😭😭😭😭
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 жыл бұрын
Wanawake tunapitia magumu sana imeniuma sana😭😭😭
@JerusaMkuyu-pw1zo
@JerusaMkuyu-pw1zo 6 ай бұрын
Anuary Mungu akuongezeee
@hassansadiki217
@hassansadiki217 2 жыл бұрын
Pole sana, Hilo, janaume halina hofu ya mungu,kwa Lina kataa damu yake,
@khadijakhalfan2922
@khadijakhalfan2922 2 жыл бұрын
Mashaalah ❤️🙏 mungu Ni mwema
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
😭😭😭 Mungu ambariki sana huyo mama na watoto wake waliokaa nae baada ya kaka yake kufariki mpk kujifungua.. Ni vgm kukubali kuishi na binti wa watu mjamzito usiyemjua! Nendeni na mama mkamuone ikiwezekana kuonesha japo moyo wa shukrani, na hata huyo mzee Anuari alikutoa pagumu sana. Yote kwa yote ashukuriwe Mungu hukupata wazo la kuitoa mimba, mabinti wengi kwa mapito hayo wangetoa tuu, Anuar mama yako hana makosa ...hakukutupa aliteseka ki mwili na kisaikolojia...utakua umesikiliza upande mmoja, msikilize na mama sasa
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 Жыл бұрын
Asa kumbe ulimtupa!Acha kulia
@latifakalunga
@latifakalunga Жыл бұрын
Umetuliza kwakweli
@wemakalama6458
@wemakalama6458 2 жыл бұрын
Jamani nimelia mwenyeezi mungu awatangulie kwa kweli
@agnesisimon3154
@agnesisimon3154 2 жыл бұрын
Pole nimelia Sana pole mwanamke mwenzangu
@chellynpanja3970
@chellynpanja3970 2 жыл бұрын
Hata Baadhi ya wanawake ni wakatili sana mimi wangu kaniachia watoto wawili..mmoja anayenipenda sana kaondoka nae... Sometimes nalia sometimes najipamoyo watakua..na tutaonana..
@beathaeustace2638
@beathaeustace2638 2 жыл бұрын
Usijal tunza watoto watakufaa baadae
@chellynpanja3970
@chellynpanja3970 2 жыл бұрын
Ni kati ya baraka nayo ipenda sana toka kwa Mungu..naamini wananifaa hata sasa
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
@@chellynpanja3970 M/Mungu Aendelee Kukucmamia Ndugu Yangu 🙏🙏🙏
@margrethrhobi3973
@margrethrhobi3973 26 күн бұрын
KUZAA SIO KAZI' KAZI NI KULEA! HONGERA SANA SHANGAZI. HII NDIO MAANA HALISI YA ULE WIMBO KWAMBA NI BORA KUMPENDA MUNGU KULIKO MZAZI! MAANA MAMA ANAWEZA KUKUZAA NA KUKUTUPA!
@ndeshukurwamoses2077
@ndeshukurwamoses2077 26 күн бұрын
Mungu awape maisha marefu Clouds, nimelia hadi kichwa kinauma.
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 жыл бұрын
Clouds hongereni sana nawapenda 😭😭😭
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Pole shangazi umefanya sehemu yako. Imetosha
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
Kila sifa njema ni za Mwenyeezi Mungu Alie wapa afya na maarifa ya kuwakutanisha watu na hi yote ni mipango yako Allah Aqbar Mungu ni Mkubwa , hakuna atakae kufa mpaka mapenzi ya Mungu yatimie.
@feykimaro4615
@feykimaro4615 2 жыл бұрын
Uwiiiiiiiiii 😭😭😭😭😭 inatia uchungu jamaniii 😭😭😭😭😭
@angle3600
@angle3600 26 күн бұрын
Haya yote kasababisha babake,ila kijana ushauri wangu walee wote,mama na shangazi
@robbyman6213
@robbyman6213 2 жыл бұрын
Mungu Awatie Nguvu
@hadijahadija6129
@hadijahadija6129 2 жыл бұрын
Wallahi nimelia sanaaa😭😭😭
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Yani Acha Tuu 🤔🤔🤔😭😭😭
@zakiaferuz4561
@zakiaferuz4561 2 жыл бұрын
Alhamdulillah 🤲 mwenyeezi mungu mwema hakika machozi yamenitoka jamani😭
@legarecephas5935
@legarecephas5935 2 жыл бұрын
Umuunganishe na ndugu gani wakati walikataa kukusaidia kulea
@happyngonyani7065
@happyngonyani7065 2 жыл бұрын
Hongera kwa kumpata mama ila usimsahau Aunt
@ashurabihongo1498
@ashurabihongo1498 2 жыл бұрын
Allah awalipe inshaallah nimelia sana
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Bwanaeee mama ni mama tu ata iweje.❤❤
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Ай бұрын
Kbsaaaa
@hamidsoud2436
@hamidsoud2436 2 жыл бұрын
Mashaalah kaka mwijaku leo amepoa
@user-uk4ll3su3g
@user-uk4ll3su3g 20 күн бұрын
Shangazi hayaoni Makosa ya kaka yake😢
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Ukiangalia huyo shangazi alivyo tuu mama kapitia magumu kwa hyo familia ya mume3
@giftpamelagiftpamela4494
@giftpamelagiftpamela4494 2 жыл бұрын
Mungu wambinguni amubariki sana 🙏🏼🙏🏼
@roseshonyera9929
@roseshonyera9929 5 ай бұрын
Hongera Shangazi japo unadukuduku ila kaka yako ndo chanzo
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 жыл бұрын
Nimejikuta nalia 😭😭😭😭😭
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Жыл бұрын
Uyu shangazi lengo lake anuari amkatae mama ake au 😢mi sijamuelewa
@hassinaalharthi5984
@hassinaalharthi5984 2 жыл бұрын
Pole saana mama mungu akusaidie
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 26 күн бұрын
Kuna mahali ukiwaza unapitia magumu lakini ukisikiliza ya wengine utaona afadhali ya kwako....😢😮
@aishaally6602
@aishaally6602 2 жыл бұрын
Poleni na watangazaji naona mko katika hali ngumu inauma sana
@mamertarweyemamu3438
@mamertarweyemamu3438 Жыл бұрын
Pole sana
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Subuhanallah polesana mama inauma jamani basitu
@dkmhamilawa
@dkmhamilawa 22 күн бұрын
Clouds mbarikiwe
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 2 жыл бұрын
Raha Sana kukutana na mama nmelia Kwa furaha
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Nimejisikia vibaya sana kutokana na hii story na nimejifunza vitu vingi sana ki ukweli sisi wanaume tunawakosea sana wanawake nimeumia sana nawapongeza sana ninyi watangazaji hii ni elimu kubwa sana kwetu
@hopesesilius6104
@hopesesilius6104 2 жыл бұрын
Ur right kk
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Uko Sahihi Kabisa Kakaangu Yani Kuna Muda Tunaumizwa Saana Na Baadhi Ya Wanaume Na Waotaabika Ni Watoto😭😭😭
@sunnamickdady5383
@sunnamickdady5383 2 жыл бұрын
Miezi3🙌🙌🙌🙌
@mimahtv2974
@mimahtv2974 26 күн бұрын
Jamani nimelia sana😭😭😭
@mrsferuzi7443
@mrsferuzi7443 Жыл бұрын
Wallah nimelia 😭😭😭
@kelvintembo734
@kelvintembo734 2 жыл бұрын
Nimelia sana jaman 😭😭😭😭😭😢😢
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Leo nimemkumbuka marehemu mwl Agatha Shigongo mama yangu mzazi rest in peace my mom😢😢😢😢
@mamajaphety1624
@mamajaphety1624 2 жыл бұрын
Nampenda sana mwanangu jamani tena sana sintamwacha kamwe labda nife jamani
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Kweli kbs my
@missmoona4497
@missmoona4497 2 жыл бұрын
Shangaz ana sumu kwa mtt sijapenda yaliopita si ndwere
@zuenasaidy7916
@zuenasaidy7916 2 жыл бұрын
Hongereni kipindi kizuri
@kidawakindamba2434
@kidawakindamba2434 2 жыл бұрын
Dh pole sana
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 2 жыл бұрын
Nimelia sana daaah😭😭😭😭😭
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Pole sana mama
@Niabebewamor413
@Niabebewamor413 Ай бұрын
Hakuna mzazi anaependa kuacha mtotot wake Jamani ni maisha tu 😢😢😢😢😢
@yascodesimple
@yascodesimple 2 жыл бұрын
CLOUDS MEDIA GROUP LEO TENA JOSEPH KUSAGA💪🏾💪🏾
@nadinnmugisha5168
@nadinnmugisha5168 2 жыл бұрын
Naliya sana namaneno kijana anamwambiya mamayake 😭😭😭😭😭from 🇧🇮🇧🇮
@sailfishish
@sailfishish 2 жыл бұрын
Bora kaongea hajawa mnafki
@user-uc1re1oo4e
@user-uc1re1oo4e Жыл бұрын
ndioooo duh nimelia dah bc tyu😢😢😢
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Anuary kijana muelewa sana❤❤
@khneesajumaa2052
@khneesajumaa2052 2 жыл бұрын
Da yani nimelia sana 😢😢😢
@halimakimis2731
@halimakimis2731 2 жыл бұрын
Jaman😭😭😭😭😭😭
@glorymutalemwa296
@glorymutalemwa296 2 жыл бұрын
Nimelia sanaaa
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
Huyu kijana katiwa sumu kwao anaamini km mamaake kamtupa tu hajui kuwa alikuwa na sababu yakumsave yeye uhai wake .
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭nimelia Sana jamani stori ya huyu mm Mungu ni mwema kwakweli
@pettywilliam4492
@pettywilliam4492 2 жыл бұрын
Hongereni sana clauds naona mmechukua staili ya ulaya
@ashnaom2270
@ashnaom2270 Жыл бұрын
Uyu shangaz mbaya namuona kabisa ilA uyu dada alikua anawakati mgumu sana, wanaume sijui mnani nini ehe
@lizelizabeth6467
@lizelizabeth6467 2 жыл бұрын
Dear God mkumbuke kila mama apitiaye magumu I can't hold my tears 😭 😭 😭 😭 😭 😭
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 Жыл бұрын
Hamja mtendea haki shangzi jamani!
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Na huyo Anwar kalishwa sumu sana kuhusu mama ila ampe nafasi mama yake angesikiza ushauri wa watu angemtupa au angetoa mimba
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 Ай бұрын
Ukikosa baba mama basi piga goti muombe Munguu tu
@monicakayombo4770
@monicakayombo4770 Жыл бұрын
Daaah nimelia
@bahatihthoya8028
@bahatihthoya8028 3 ай бұрын
So touching😭😭😭😭😭
@janemsamati6700
@janemsamati6700 2 жыл бұрын
Kwa kweli clouds ni Radio ya watu Hongereni sana Leo tena kwa ubunifu wetu Mungu awabariki sana
@khneesajumaa2052
@khneesajumaa2052 2 жыл бұрын
Mmmm nani kama mama😢😢😢😢😢😢😢
@angelankya5163
@angelankya5163 Ай бұрын
Uyu shangaz ana mdomo sana
@surusuru1994
@surusuru1994 2 жыл бұрын
Baba ndo chazo walla sio mam shangazi tulia
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Dahhh imeniliza mno ,,, anuary anajitambua mungu awape umri mrefu na awape afya njema dahhhhhh,,,, ni wangapi wametelekezwa km anuary
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Umeiona huyo mama anavoongea kwa uchungu had anatetemeka, uwe unasikiliza story kuanzia mwanzo had mwisho😢😢😢😢
@mgoledaudi6051
@mgoledaudi6051 2 жыл бұрын
Jamani 😭😭😭😭😭😭
@naimanaima4715
@naimanaima4715 2 жыл бұрын
Duuh 😢😢
@AgnessHabilo
@AgnessHabilo 26 күн бұрын
Huyu mama anauchungu mzito...wanaume msiwanyanyase hivyo wanawake
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Lzm utoe chozi Inauma Sana Lkn Mungu yu mwema
@keifatuke99
@keifatuke99 2 жыл бұрын
Story kama hii inahitaji muda why did you call her?
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 Ай бұрын
😭😭😭😭😭daa
@omanoman2044
@omanoman2044 Жыл бұрын
Nikweli kabsa hakumuacha kwa ubaya alimuacha kufatan na changamota za maisha
@aishaomari944
@aishaomari944 2 жыл бұрын
Lailahailallah mohamad rasuli llah pole mom anuari
@CosmasMdede
@CosmasMdede 27 күн бұрын
Mhhmm kiukwel haya maisha yanachangamoto zake japo hazifanan kuhusu wazaz jaman inauma
@CosmasMdede
@CosmasMdede 27 күн бұрын
Duu inauma sana jaman
@revinaaugustine3013
@revinaaugustine3013 2 жыл бұрын
Daaaah kijan mpende mama ako jaman
@mwanaishamkindi7763
@mwanaishamkindi7763 2 жыл бұрын
Inaumaaa jmn😭😭😭😭 ila mama n mama tu
@evachuw8092
@evachuw8092 2 жыл бұрын
Uyo shangazi mmmm
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Shangazi ana gubu😢😢😢😢😢
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 2 жыл бұрын
Jamanii hiki kpnd chenu Geah si mnalia mpaka basiii🤣🤣🤣
@aishawaziri2701
@aishawaziri2701 2 жыл бұрын
😭😭
@mariamkomba7286
@mariamkomba7286 2 жыл бұрын
😭😭😭 kwakweli maisha yanachangamoto Sana
@HappynessJose
@HappynessJose 2 жыл бұрын
Ukwel umeniliza jaman dada kijana nimekuped sana upo Makin
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 2,8 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 15 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 55 МЛН
IBADA YA JUMATANO 3/7/2024 || with prophet TETEMEKO
30:26
PASTOR TETEMEKO TV
Рет қаралды 209
Mtoto aliyefariki na kuzikwa apatikana akiwa hai
52:00
Dina Marios tv
Рет қаралды 3,1 МЛН
Скромный парень наказал отморозка!
0:46
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 1,4 МЛН
The Euro 2024 ended with Spain's championship.  🔥🏆🇪🇸
0:39
hamid sahari
Рет қаралды 2 МЛН
Which national team are you rooting for at Euro 2024?
0:17
Boomerang Sportsbook
Рет қаралды 826 М.