Waandaji wakipindi Mungu awape maisha maisha marefu
@EsterBernardoVumo Жыл бұрын
Jina La Bwana YESU Libarikiwe Mungu Wetu Ni Mema
@hadijamshimbula76162 жыл бұрын
Daah leo nimemkumbuka marehemu mamangu. Rip mom
@efrahfarahahmed89602 жыл бұрын
😭😭😭 Mama ni mama tu
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Pole sana
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢
@abdibilali41862 жыл бұрын
Mama pole Sana unaongea huku unatetemeka na pressure just ni jinsi gani umeumia daaaaaa pole Sana mama Mungu atakulipa kwa uliyo yapitia
@estherokombo10862 жыл бұрын
Daaah hii imenitowa machozi mm jamani🇰🇪
@dorahmwambemba90322 жыл бұрын
Jamani msituuimize tunawaumiza watoto😭😭😭 wifi Kwa mdomo huo mama asingefiti kwenu
@rwamboking.32532 жыл бұрын
Allah awajaalie kina mama wote wanaotelekezwa na waume zao
@happymau2809 Жыл бұрын
Nafurahi sana kufatilia kipind hiki..shida nazidiwa na machozi jmn naumia
@susannesusie32172 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sad story uyo mtoto amtunze mamaake ampoze machungu mamake Nampenda saana Mama yangu Mungu amtunze Mama yangu ukiangalia video kama hizi inaongeza mapenzi kwa mama
@justicedamaru30162 жыл бұрын
Nyie machozi yananitoka
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Saana Yani
@nicolauswandao89882 жыл бұрын
Shangazi acha chuki maana ww ni baba. Nampenda sana shangazi yangu maana hata mimi nimelelewa na shangazi. MUHIMU "SHANGAZI NI BABA" Msamehe mama anuari
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Pole sana mama, kwnn hy mjomba alikupiga alitakaje sasa na wkt kwk kakufukuza, mama unaongea kwa uchungu hadi unatetemeka
@evainnocent95202 жыл бұрын
Daaaa! Nimelia mnoo ila Baba ndio aliesababisha hayo uyo shangaz nae anaongea tu ila kosa la kaka yake
@aminaam2812 жыл бұрын
Kabisa my
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Anamtetea udugu wake
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Hongera pia shangazi kwa kumlea hadi kukua Mungu akubariki ila mawifi daah
@nadhifajuma64852 жыл бұрын
Wallah imeniliza mno sina la kusema clouds nawapendaaaa woootee
@dkmhamilawa22 күн бұрын
Shangazi ulijitahidi kumsitiri kakavyako lakini usimlaumu wf yako mwamke menzako. Hongera ka malezi. Anuar wewe ni mwanaume chunga matendo kama ya babako. Utamuumiza mzazi mwenzio
@sifangwira902 жыл бұрын
Nimelia sana hii story imenikumbusha mbali sana,haya yalinitokea nikamwacha mtoto wa miezi 7,ila mungu alinifungulia milango nikamchukua mwanangu baada ya mwaka,namuomba Anwar amsikilize mama yake shida hua zinatenganisha watu,huyu mama alimuacha mtoto Ili akue labda angekaa nae kwa magumu angekufa
@gulfomanbb21192 жыл бұрын
2napitia magum sana wkt mwingin ata unaona bola uishi mwenywe2 mm pia nimekosana nae lkn nashukulu nilienda muachia mama yngu kamlea kwa shd mpk ss nipo nnchi za kiarabu wana2umiza mno wanaume
@sabraabdilnasir88262 жыл бұрын
Sasa watuwengine hawajui maisha tunayopitia wao alhamdulilah hawajapata changamoto washukuru ila hakuna mama anaetaka kukaa mbali na mwanawe ila ugumu wa maisha jamani wazee wanyonge hawana uwezo unamtowa mwanao kwa uchungu huku ukilia
@shifaaal-baity45032 ай бұрын
@@gulfomanbb2119 baadhi ya wanaume wabaya mno na wanawake wengine pia wabaya sana
@gracemgeni721Ай бұрын
Huyu mama naye.....
@rebeccarebeccachristine31822 жыл бұрын
Maskini wa maman tuheshimike 😭😭😭
@swaiseif29892 жыл бұрын
Khaa nimelia Sana wallahi 🙌 mpka macho kuvimba 😭😭😭😭
@mdzainb37222 жыл бұрын
Wanawake tunapitia magumu sana imeniuma sana😭😭😭
@JerusaMkuyu-pw1zo6 ай бұрын
Anuary Mungu akuongezeee
@hassansadiki2172 жыл бұрын
Pole sana, Hilo, janaume halina hofu ya mungu,kwa Lina kataa damu yake,
@khadijakhalfan29222 жыл бұрын
Mashaalah ❤️🙏 mungu Ni mwema
@auntdorah91412 жыл бұрын
😭😭😭 Mungu ambariki sana huyo mama na watoto wake waliokaa nae baada ya kaka yake kufariki mpk kujifungua.. Ni vgm kukubali kuishi na binti wa watu mjamzito usiyemjua! Nendeni na mama mkamuone ikiwezekana kuonesha japo moyo wa shukrani, na hata huyo mzee Anuari alikutoa pagumu sana. Yote kwa yote ashukuriwe Mungu hukupata wazo la kuitoa mimba, mabinti wengi kwa mapito hayo wangetoa tuu, Anuar mama yako hana makosa ...hakukutupa aliteseka ki mwili na kisaikolojia...utakua umesikiliza upande mmoja, msikilize na mama sasa
@jafarmlawa9627 Жыл бұрын
Asa kumbe ulimtupa!Acha kulia
@latifakalunga Жыл бұрын
Umetuliza kwakweli
@wemakalama64582 жыл бұрын
Jamani nimelia mwenyeezi mungu awatangulie kwa kweli
@agnesisimon31542 жыл бұрын
Pole nimelia Sana pole mwanamke mwenzangu
@chellynpanja39702 жыл бұрын
Hata Baadhi ya wanawake ni wakatili sana mimi wangu kaniachia watoto wawili..mmoja anayenipenda sana kaondoka nae... Sometimes nalia sometimes najipamoyo watakua..na tutaonana..
@beathaeustace26382 жыл бұрын
Usijal tunza watoto watakufaa baadae
@chellynpanja39702 жыл бұрын
Ni kati ya baraka nayo ipenda sana toka kwa Mungu..naamini wananifaa hata sasa
KUZAA SIO KAZI' KAZI NI KULEA! HONGERA SANA SHANGAZI. HII NDIO MAANA HALISI YA ULE WIMBO KWAMBA NI BORA KUMPENDA MUNGU KULIKO MZAZI! MAANA MAMA ANAWEZA KUKUZAA NA KUKUTUPA!
@ndeshukurwamoses207726 күн бұрын
Mungu awape maisha marefu Clouds, nimelia hadi kichwa kinauma.
@HalimaHalima-id2cb2 жыл бұрын
Clouds hongereni sana nawapenda 😭😭😭
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Pole shangazi umefanya sehemu yako. Imetosha
@abdibilali41862 жыл бұрын
Kila sifa njema ni za Mwenyeezi Mungu Alie wapa afya na maarifa ya kuwakutanisha watu na hi yote ni mipango yako Allah Aqbar Mungu ni Mkubwa , hakuna atakae kufa mpaka mapenzi ya Mungu yatimie.
@feykimaro46152 жыл бұрын
Uwiiiiiiiiii 😭😭😭😭😭 inatia uchungu jamaniii 😭😭😭😭😭
@angle360026 күн бұрын
Haya yote kasababisha babake,ila kijana ushauri wangu walee wote,mama na shangazi
@robbyman62132 жыл бұрын
Mungu Awatie Nguvu
@hadijahadija61292 жыл бұрын
Wallahi nimelia sanaaa😭😭😭
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Yani Acha Tuu 🤔🤔🤔😭😭😭
@zakiaferuz45612 жыл бұрын
Alhamdulillah 🤲 mwenyeezi mungu mwema hakika machozi yamenitoka jamani😭
@legarecephas59352 жыл бұрын
Umuunganishe na ndugu gani wakati walikataa kukusaidia kulea
@happyngonyani70652 жыл бұрын
Hongera kwa kumpata mama ila usimsahau Aunt
@ashurabihongo14982 жыл бұрын
Allah awalipe inshaallah nimelia sana
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Bwanaeee mama ni mama tu ata iweje.❤❤
@rehemakanyere4188Ай бұрын
Kbsaaaa
@hamidsoud24362 жыл бұрын
Mashaalah kaka mwijaku leo amepoa
@user-uk4ll3su3g20 күн бұрын
Shangazi hayaoni Makosa ya kaka yake😢
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Ukiangalia huyo shangazi alivyo tuu mama kapitia magumu kwa hyo familia ya mume3
@giftpamelagiftpamela44942 жыл бұрын
Mungu wambinguni amubariki sana 🙏🏼🙏🏼
@roseshonyera99295 ай бұрын
Hongera Shangazi japo unadukuduku ila kaka yako ndo chanzo
@rehemaothman22002 жыл бұрын
Nimejikuta nalia 😭😭😭😭😭
@bintmrisho3526 Жыл бұрын
Uyu shangazi lengo lake anuari amkatae mama ake au 😢mi sijamuelewa
@hassinaalharthi59842 жыл бұрын
Pole saana mama mungu akusaidie
@fatmaallyabdul173226 күн бұрын
Kuna mahali ukiwaza unapitia magumu lakini ukisikiliza ya wengine utaona afadhali ya kwako....😢😮
@aishaally66022 жыл бұрын
Poleni na watangazaji naona mko katika hali ngumu inauma sana
@mamertarweyemamu3438 Жыл бұрын
Pole sana
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Subuhanallah polesana mama inauma jamani basitu
@dkmhamilawa22 күн бұрын
Clouds mbarikiwe
@dafrosamsonge20072 жыл бұрын
Raha Sana kukutana na mama nmelia Kwa furaha
@raphaelsikumbi55172 жыл бұрын
Nimejisikia vibaya sana kutokana na hii story na nimejifunza vitu vingi sana ki ukweli sisi wanaume tunawakosea sana wanawake nimeumia sana nawapongeza sana ninyi watangazaji hii ni elimu kubwa sana kwetu
@hopesesilius61042 жыл бұрын
Ur right kk
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Uko Sahihi Kabisa Kakaangu Yani Kuna Muda Tunaumizwa Saana Na Baadhi Ya Wanaume Na Waotaabika Ni Watoto😭😭😭
@sunnamickdady53832 жыл бұрын
Miezi3🙌🙌🙌🙌
@mimahtv297426 күн бұрын
Jamani nimelia sana😭😭😭
@mrsferuzi7443 Жыл бұрын
Wallah nimelia 😭😭😭
@kelvintembo7342 жыл бұрын
Nimelia sana jaman 😭😭😭😭😭😢😢
@enockmaige8936Ай бұрын
Leo nimemkumbuka marehemu mwl Agatha Shigongo mama yangu mzazi rest in peace my mom😢😢😢😢
@mamajaphety16242 жыл бұрын
Nampenda sana mwanangu jamani tena sana sintamwacha kamwe labda nife jamani
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Kweli kbs my
@missmoona44972 жыл бұрын
Shangaz ana sumu kwa mtt sijapenda yaliopita si ndwere
@zuenasaidy79162 жыл бұрын
Hongereni kipindi kizuri
@kidawakindamba24342 жыл бұрын
Dh pole sana
@zulfasaeed74452 жыл бұрын
Nimelia sana daaah😭😭😭😭😭
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Pole sana mama
@Niabebewamor413Ай бұрын
Hakuna mzazi anaependa kuacha mtotot wake Jamani ni maisha tu 😢😢😢😢😢
@yascodesimple2 жыл бұрын
CLOUDS MEDIA GROUP LEO TENA JOSEPH KUSAGA💪🏾💪🏾
@nadinnmugisha51682 жыл бұрын
Naliya sana namaneno kijana anamwambiya mamayake 😭😭😭😭😭from 🇧🇮🇧🇮
@sailfishish2 жыл бұрын
Bora kaongea hajawa mnafki
@user-uc1re1oo4e Жыл бұрын
ndioooo duh nimelia dah bc tyu😢😢😢
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Anuary kijana muelewa sana❤❤
@khneesajumaa20522 жыл бұрын
Da yani nimelia sana 😢😢😢
@halimakimis27312 жыл бұрын
Jaman😭😭😭😭😭😭
@glorymutalemwa2962 жыл бұрын
Nimelia sanaaa
@kiri58072 жыл бұрын
Huyu kijana katiwa sumu kwao anaamini km mamaake kamtupa tu hajui kuwa alikuwa na sababu yakumsave yeye uhai wake .
@azizamohamed76922 жыл бұрын
😭😭😭😭😭nimelia Sana jamani stori ya huyu mm Mungu ni mwema kwakweli
@pettywilliam44922 жыл бұрын
Hongereni sana clauds naona mmechukua staili ya ulaya
@ashnaom2270 Жыл бұрын
Uyu shangaz mbaya namuona kabisa ilA uyu dada alikua anawakati mgumu sana, wanaume sijui mnani nini ehe
@lizelizabeth64672 жыл бұрын
Dear God mkumbuke kila mama apitiaye magumu I can't hold my tears 😭 😭 😭 😭 😭 😭
@jafarmlawa9627 Жыл бұрын
Hamja mtendea haki shangzi jamani!
@MohammedAli-rh5si2 жыл бұрын
Na huyo Anwar kalishwa sumu sana kuhusu mama ila ampe nafasi mama yake angesikiza ushauri wa watu angemtupa au angetoa mimba
@agnesspaul1866Ай бұрын
Ukikosa baba mama basi piga goti muombe Munguu tu
@monicakayombo4770 Жыл бұрын
Daaah nimelia
@bahatihthoya80283 ай бұрын
So touching😭😭😭😭😭
@janemsamati67002 жыл бұрын
Kwa kweli clouds ni Radio ya watu Hongereni sana Leo tena kwa ubunifu wetu Mungu awabariki sana
@khneesajumaa20522 жыл бұрын
Mmmm nani kama mama😢😢😢😢😢😢😢
@angelankya5163Ай бұрын
Uyu shangaz ana mdomo sana
@surusuru19942 жыл бұрын
Baba ndo chazo walla sio mam shangazi tulia
@aisharamadhani19482 жыл бұрын
Dahhh imeniliza mno ,,, anuary anajitambua mungu awape umri mrefu na awape afya njema dahhhhhh,,,, ni wangapi wametelekezwa km anuary
@enockmaige8936Ай бұрын
Umeiona huyo mama anavoongea kwa uchungu had anatetemeka, uwe unasikiliza story kuanzia mwanzo had mwisho😢😢😢😢
@mgoledaudi60512 жыл бұрын
Jamani 😭😭😭😭😭😭
@naimanaima47152 жыл бұрын
Duuh 😢😢
@AgnessHabilo26 күн бұрын
Huyu mama anauchungu mzito...wanaume msiwanyanyase hivyo wanawake
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
Lzm utoe chozi Inauma Sana Lkn Mungu yu mwema
@keifatuke992 жыл бұрын
Story kama hii inahitaji muda why did you call her?
@ayshasaid1547Ай бұрын
😭😭😭😭😭daa
@omanoman2044 Жыл бұрын
Nikweli kabsa hakumuacha kwa ubaya alimuacha kufatan na changamota za maisha
@aishaomari9442 жыл бұрын
Lailahailallah mohamad rasuli llah pole mom anuari
@CosmasMdede27 күн бұрын
Mhhmm kiukwel haya maisha yanachangamoto zake japo hazifanan kuhusu wazaz jaman inauma
@CosmasMdede27 күн бұрын
Duu inauma sana jaman
@revinaaugustine30132 жыл бұрын
Daaaah kijan mpende mama ako jaman
@mwanaishamkindi77632 жыл бұрын
Inaumaaa jmn😭😭😭😭 ila mama n mama tu
@evachuw80922 жыл бұрын
Uyo shangazi mmmm
@enockmaige8936Ай бұрын
Shangazi ana gubu😢😢😢😢😢
@catherinemuhagama73382 жыл бұрын
Jamanii hiki kpnd chenu Geah si mnalia mpaka basiii🤣🤣🤣
@aishawaziri27012 жыл бұрын
😭😭
@mariamkomba72862 жыл бұрын
😭😭😭 kwakweli maisha yanachangamoto Sana
@HappynessJose2 жыл бұрын
Ukwel umeniliza jaman dada kijana nimekuped sana upo Makin