#LEOTENA

  Рет қаралды 34,959

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Ай бұрын

#LEOTENA: MAMA ALIVYOTAKA KUMBEBA MWANAE ALIYEPOTEZANA KWA MIAKA 36, SIJUI MIAKA YANGU

Пікірлер: 183
@SalhaIradukunda
@SalhaIradukunda 26 күн бұрын
Aliye lia kama mm nipeni like hapa jamani
@user-em4zz3lh1h
@user-em4zz3lh1h 21 күн бұрын
Nimelia kwanguvu yaani
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 29 күн бұрын
Huyu mama sasa ndo mama yaan anahisia kari sana na mwanae yaaani kijanawake hata juta kumpata mama yaan wana chemistry moja matata❤❤❤❤❤
@judyngowi391
@judyngowi391 29 күн бұрын
Clouds kitu mnafanya ni kikubwa , nawapa maua yenu, Mungu awabariki sana
@cocorita8367
@cocorita8367 Ай бұрын
Hichi kipindi chenu ni kutuliza tu jamni mungu awabariki sana Dahuu na Geah😢
@Sonia_abass
@Sonia_abass Ай бұрын
Na jose
@RayChausa
@RayChausa Ай бұрын
😢😢Chatuliza kwa kweli
@upendogreutert199
@upendogreutert199 29 күн бұрын
Kipindi hiki kinaliza jamani siwez vumilia kwa kweli
@phebbyshayo9099
@phebbyshayo9099 29 күн бұрын
Kipindi Bora Sana ...nampenda Sana bint yangu Meghan❤
@oman1oman179
@oman1oman179 29 күн бұрын
Hiki kipindi kinaliza sana 😢😢😢😢😢Yani nimeshalia mmpaka basi na fikia kuumwa kicwa juu ya kulia
@user-bo5qp9gz8m
@user-bo5qp9gz8m 20 күн бұрын
Mama waziri honge sana kwa kumpata wifi mwenye hofu ya Mungu ubarikiwe shangazi uishi miaka mingi ❤❤❤❤❤
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 29 күн бұрын
Kipindi kinaliza hikiii,nyie tumshukuru Mungu jamanii😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 29 күн бұрын
Kabisa
@user-kh7mx7up4w
@user-kh7mx7up4w 22 күн бұрын
Wallah kipindi ni kizuri sana na kinaliza allah awalipeni kila lenye heri inshallah
@nenenongi66
@nenenongi66 23 күн бұрын
I wish engekuwa inatokea wale wazazi walishafariki wanaenda huko mbinguni wanakaa kwa mda then wanarudi wakaanza kututafuta watoto wao waliotuacha huku duiniani ,mimi ningekuwa naingoja hiyo siku kwa hamu sana yakuwaona wazazi wangu tena,pumzika kwa amani wazazi wangu😭
@festusbokoro1615
@festusbokoro1615 22 күн бұрын
R I p pole Sana
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 29 күн бұрын
Kiukweli Mungu awabariki sana.Kipindi hiki kinanitoa machozi sana.Naumia nikiona wanawake tunaroho ngm.mm nakufa nawanang.maradhi aukifo ndo kinitenganishe.Japo napitia shida nyingi ila najua mungu hatoniacha
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 29 күн бұрын
Jamanii wamamaaa,hii inatufundisha kitu wapendwa,afadhali wamekutana wakiwa hai, Mungu ni mwema jamanii🙏🙏🙏
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn Ай бұрын
Najikuta. Nalia. Jamani. Timu. Ya gea. Hongereni sana
@rehemaathhmani357
@rehemaathhmani357 Ай бұрын
Mungu awabariki sana kwa kazi zenu ❤🤲
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 25 күн бұрын
Nimelia sanaaa
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 22 күн бұрын
Kwa mara ya kwanza, ninafuata kipindi hiki nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩. Nimekifurahia sana. Mbarikiwe sana na Mungu kwa kazi mnayo itenda. Watu wengi tumepotezana nao. Mmenifanya nilie kama mtoto mdogo.
@oman1oman179
@oman1oman179 29 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤mungu awwzidishie wote mnawo fanya kazi hii ya kukutanisha watoto na wazazi ,sasa wazazi wakiume wako wapi
@isunga1964
@isunga1964 29 күн бұрын
I wish nisikie mama yangu na baba wananitafuta nikutane nao tena R.I.P wazazi wangu mpumzike kwa Amani😭😭😭
@user-uz4kc5he7v
@user-uz4kc5he7v 29 күн бұрын
😭😭💔
@zaitunichzi5241
@zaitunichzi5241 28 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭mungu akulinda
@rahmasaid2350
@rahmasaid2350 27 күн бұрын
Pole sana mdogo wangu 😢
@isunga1964
@isunga1964 25 күн бұрын
@@zaitunichzi5241 asante wangu yao mbele yetu nyuma
@isunga1964
@isunga1964 25 күн бұрын
@@rahmasaid2350 asante wangu yao mbele yetu nyuma kikubwa unawaombea hiki kipindi napenda kuangalia ila nalia pia
@NoelaNdibalema
@NoelaNdibalema 29 күн бұрын
Wakati wengne wanatafutwa mama zao sisi wengne tumetelekezwa na Mama zetu.Aiseeeeeeeee mmeweza kuniliza jamani
@user-hq9tm8ph9z
@user-hq9tm8ph9z 29 күн бұрын
Iseeey mama unaachaje watoto mm labda uibe
@user-vm4xx6uu4j
@user-vm4xx6uu4j 29 күн бұрын
Ata akutelekeze ww mtafte kutakua na sababu mm awezi kumuacha mtoto
@user-vm4xx6uu4j
@user-vm4xx6uu4j 29 күн бұрын
Mungu ambariki huyu shangazi
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 29 күн бұрын
Mtafute mama yako
@JosephKileo-wy1rc
@JosephKileo-wy1rc 27 күн бұрын
Dah
@JUDITHGEORGE-zs7oq
@JUDITHGEORGE-zs7oq 25 күн бұрын
Mungu awabariki sana
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 17 күн бұрын
Shangazi hongera Allah muweza wa yote 🤲 akurinde na hata clouds mungu awabariki 🥀🥀🥀
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Ай бұрын
Jaman 😢😢najikuta nalia aki mama aamin kama mwanae
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 29 күн бұрын
Hongera SHANGAZI kwa ulezi
@oman1oman179
@oman1oman179 29 күн бұрын
❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah nimempenda shangazi mungu ammoe maisha mema yarabii
@salamaalihemed6220
@salamaalihemed6220 29 күн бұрын
Wallh mashaallh thabrk allh mungu awalinde kw kazi yenu ❤❤❤😢😢😢
@oman1oman179
@oman1oman179 29 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤mungu amzidishi moyo mwema huo shangazi alokulea kuna shangazi manshallaah kama baba
@RoseMhando-kc5ls
@RoseMhando-kc5ls 27 күн бұрын
Hongera Radio Clouse Fm,kipindi kizuri mnoo keep it up
@rhodaangetile2781
@rhodaangetile2781 20 күн бұрын
Kiukweli katika vipindi mnafanya ya kibinadamu nakuonya mioyo. Hongereni sanaaaa
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 29 күн бұрын
Kiukweli mitihan ni mingi na maisha nimagum lkn siachi wanang.Kirauz Mungu awabariki.
@zamdambalilo9718
@zamdambalilo9718 29 күн бұрын
Da huu huwa nakupenda sana.unaroho ya huruma sana.mingu awabariki wote
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Nalia tu mimi sijui nalia nn😭
@zainabsulieman5181
@zainabsulieman5181 29 күн бұрын
Hata mimi sielewi nalia nini😢
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 29 күн бұрын
Kumbe tupo wengi
@darlenedada651
@darlenedada651 29 күн бұрын
MashaAllah iki kipindi nimekipenda kinanijenga nizidi Ku mpenda Mama .Mama Mngu azidi kukulinda
@RamlaAmiri
@RamlaAmiri 24 күн бұрын
Mh kama unaweza kuangalia hiki kipindi bila kulia una moyo wa peke yako ila timu leo ten Mungo awabariki kwa hiki mnachokifanya
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 27 күн бұрын
Nimempenda saana huyu kijana ni mwingi wa shukrani Anashukrani saana mno mno nami nililelewa na shangazi zangu nikiwa na umri wa mwaka mmoja na nusu mpaka miaka 15 Mwenyeezimungu awarehemu shangazi zangu na Bibi yangu mama yao shangazi zangu walikuwa binamu wa Baba yangu nawashukuru saana nami nilijaliwa niliwatunza kwa sasa hawapo tena Mwenyeezimungu awarehemu pamoja na wazazi wangu hata iweje Mama ni Mama tu huwezi kupata mwingine Mwenyeezimungu awarehemu wazazi wangu
@KaniOfficio-lk1rk
@KaniOfficio-lk1rk 27 күн бұрын
Ongera sana claudhi Mungu awape maisha malefu nilikuwa nikisikiliza ledio ongeran
@GraceReonad
@GraceReonad 23 күн бұрын
@sheruajafari1676
@sheruajafari1676 25 күн бұрын
Ongereni clous
@user-wh9zj7kf7h
@user-wh9zj7kf7h 26 күн бұрын
Shangazi Mungu akupe maisha marefu.
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 29 күн бұрын
Sawa Dahuu na Geah tumeelewa tutawalea vizuri
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 14 күн бұрын
Mungu akuride jamani kwa kazi zuri
@DativaMbowe
@DativaMbowe 28 күн бұрын
😭😭😭 l wish kama nisikie mamaangu ananitafuta maana alisafiri nikiwa mdogo akatuacha moshi akaenda bukoba kwenye msiba babu yaani babaake😭😭 siku anarud kutoka bukoba meli MV bukoba ikapata ajali ndio umatu ulipo mkuta😢😢
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx 27 күн бұрын
Pole sana
@zuenamikidadi9295
@zuenamikidadi9295 24 күн бұрын
Yani mungu awabariki sana nimeliya sana
@MahijaMohamedy
@MahijaMohamedy 22 күн бұрын
Nalia mwenyewe natamani nisiendelee kuangalia ila naendelea
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 29 күн бұрын
Ama mnajua kutuliza jamani😭😭😭hii dunia changamoto ni nyingi daaah!!
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 24 күн бұрын
Maa Shaa Allah yaan Allah awabark sana 😭😭
@winniejacob1784
@winniejacob1784 12 күн бұрын
Kila nikiangalia hiki kipindi mimi nalia tu najikaza lakini nashindwa jamani 😢
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 27 күн бұрын
Nimempenda uyoo shqngazi laminitis watu wana rohoo mbayaa
@CristinLyanga
@CristinLyanga 28 күн бұрын
Shangazi hongera sana.
@user-go8nm4mh1k
@user-go8nm4mh1k Ай бұрын
Hongera sana shangaz🙏🙏🙏🙏
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 28 күн бұрын
Jamani nimelia huyo nidada yangu kbs jeny jony
@ameenamohammed4413
@ameenamohammed4413 28 күн бұрын
hiii ni hatari jmn miaka39 nimelia sana😭😭😭
@marrynessbarthazary3144
@marrynessbarthazary3144 16 күн бұрын
jamani nyie wadada mnaoendesha kipindi hiki Mungu awabariki Muishi Maisha marefu sana nawapenda sana 🙏
@hanankhamis4517
@hanankhamis4517 26 күн бұрын
Jamani nimelia sana hakika mungu muweza
@aziza9093
@aziza9093 29 күн бұрын
Hiki nnokipidi chakutizama Allah awpe maishamaraf
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 29 күн бұрын
Hongera sana shangazi
@njuka3515
@njuka3515 28 күн бұрын
Nililekewa ba bibi na baba R.I.P kwao ❤
@athmankiama1133
@athmankiama1133 21 күн бұрын
Wtoto wengi baba yao askari!
@user-fd5pb1dt4j
@user-fd5pb1dt4j Ай бұрын
Nice vizuri
@sein.208
@sein.208 29 күн бұрын
Masha Allah
@aminamohamed9955
@aminamohamed9955 28 күн бұрын
Maashaallah
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 29 күн бұрын
Mam ni mam❤️
@LenaMwangamilo
@LenaMwangamilo 29 күн бұрын
Uyu waziri alikuwa Anasoma mkombozi mbaliz _mbeya
@mashkadaniel1097
@mashkadaniel1097 26 күн бұрын
Jaman nasie hku hatujui familia ya baba yetu alikuja kutafta maisha kahama mpaka umauti imekumta mwaka 1998
@AnifaMwakilachile-ii6qd
@AnifaMwakilachile-ii6qd 29 күн бұрын
Jamani mnatuliza wenzenu huku daah
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 24 күн бұрын
Mungu ameweka kitu kikubwa kwenye ubongo wenu mpaka kufikilia kuanzisha hili jambo maana mmesaidia wengi
@AshaKassim-tu7gz
@AshaKassim-tu7gz 29 күн бұрын
Da geah hiki kipindi cheni kinaniliza mwanzo mwisho
@AnnaGotrip
@AnnaGotrip 12 күн бұрын
Duh mnatuliza
@tunkuh661
@tunkuh661 Ай бұрын
Wapo shangazi zangu watatu hao ni zaidi ya shangazi sijui niseme nini Mungu tu awalipe japo kubwa Lao alikwisha fariki Mungu amlaze mahali Pena peponi... Nimekupenda shangazi umenikumbusha wema wa aunt zangu
@mamasalhat
@mamasalhat 29 күн бұрын
Mie sijui nisemeje😢😢
@EsterBhoke
@EsterBhoke 29 күн бұрын
Najisikia uchungu sana navyo ona wenzangu wanakutana na mama zao afu wanafurahi pamoja mimi na dadaangu mama yetu alituacha tukiwa wadogo sana dadaangu alikuwa miaka 4 na mimi nilikuwa na miaka 2 tumemtafuta na tumempata lakini hataki hata kutuona anasema yeye anamtoto moja tu ambae amezaa na mwanaume mwingine sisi hatujui dah inauma sana usiombe
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo 28 күн бұрын
Poleni sana
@njuka3515
@njuka3515 28 күн бұрын
Pole sana
@EsterBhoke
@EsterBhoke 28 күн бұрын
Asante
@bahatinassorali5222
@bahatinassorali5222 28 күн бұрын
😢poleni sanna
@betyjoseph6812
@betyjoseph6812 22 күн бұрын
Kaathirika kisaikolojia tu hakuna mama asiyempenda mwanae
@happymasanja4113
@happymasanja4113 29 күн бұрын
Dah nyieee😭
@chire4574
@chire4574 26 күн бұрын
Mm nilichukuwa watoto wangu sasa ivi ni mwaka wa kumi....naishi nao Kenya...ila mama yao ajawai shugulika kuwatafuta .....namba as simu anazo.....huku Kenya ameshawai kuja sio mara moja.....lakini gafla akipata mawasiliano
@HusnahMaulid-wi8dl
@HusnahMaulid-wi8dl Ай бұрын
Mam umeniliza san jmn napat hisia kali najaribu kuvaa viatu vyko havinitoshi mama
@gloryhamidu9418
@gloryhamidu9418 28 күн бұрын
Dah Mimi sjui kama mama yang kafa au Yuko haii jamani dah aliacha mim n mdog wangu nikiwa mdog Sanaa simjui mama yangu hata kwa sura yani 😢😢😢dah sjui kma yup haii au amekufa jamnii dah naumia sana .natamani nami nimpat mama yangu mzazi😢😢😢 Joyce
@user-qg9nj2yw7e
@user-qg9nj2yw7e 28 күн бұрын
Aliyewalea ukimuuliza mama Ako yuko wapi anakwambiaje
@EmilykuvunaKonzi
@EmilykuvunaKonzi 29 күн бұрын
Waaaah poleni jamani😢
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio Ай бұрын
Hadi nimelia jamani!
@rosehaule6765
@rosehaule6765 29 күн бұрын
Continue to rest well mama na baba yngu😢😢😢😢
@halimaa9367
@halimaa9367 28 күн бұрын
Mungu ibariki tazania
@user-sj8hn7jt7g
@user-sj8hn7jt7g 24 күн бұрын
Hongeren Sana hicho vipindi help kubwa kwenu
@user-lx8nl8hh3f
@user-lx8nl8hh3f 25 күн бұрын
Daaaàh!
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 29 күн бұрын
Me nalia tuuu 😢😢
@user-nc4ko3qz7t
@user-nc4ko3qz7t 29 күн бұрын
Dah😢😢
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 29 күн бұрын
mm mamdogo aliyonifanyia huwa kunamuda nalia mwenyewe
@setiseti5281
@setiseti5281 24 күн бұрын
Ongera sana
@user-ry2ix2pv4q
@user-ry2ix2pv4q Ай бұрын
Na kweli kopi yake
@user-it9se4tr3f
@user-it9se4tr3f 18 күн бұрын
Hawa wanaume mungu anawaona
@IssaMbaru-qw6ug
@IssaMbaru-qw6ug 15 күн бұрын
Allah akbar mpaka nimelia
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 28 күн бұрын
Tuko wengi mm ninaye mtoto wa mdogo wangu nilipewa ana mwaka na miezi minne paka hivi ananiita mama watu wanamwambia hy ni shangazi yy anajibu mm huyu ni mama yangu akina asiya abdarahamani ndio wataita shangazi mm siwezi kuita shangazi
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 29 күн бұрын
Da gea hongereni ila kina liza
@moneymaker215
@moneymaker215 29 күн бұрын
Jamani watu wa bara muache Tabia ya kukimbia na wtt
@FatumaJabu
@FatumaJabu 24 күн бұрын
Niseidieni na mm natafuta babaangu aniacha nikiwa na myaka mitano babaangu anaitwa saidi kwa ni hiringa mm niko kenya
@susannesusie3217
@susannesusie3217 17 күн бұрын
Ninalia apa mpak naulizwa unashida gani😢
@azizambise
@azizambise 16 күн бұрын
Duu sijui nalia kwa uchungu au furaha hata sielewi
@fatuma5208
@fatuma5208 26 күн бұрын
Nimelia sana
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 29 күн бұрын
Mwijaku Yuko wapi jamani
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
Vhuyu mama ana hisia kabisa sio mama ake athumani
@rhodangenzi
@rhodangenzi 26 күн бұрын
Nina wifi yangu anamtafuta mama yake zaid ya miaka 40, lakini hajui atumie utaratibu gani wa kutoa taarifa hiyo
@janembalinga7074
@janembalinga7074 29 күн бұрын
Mimi namtafuta baba yangu mdogo anaitwa thomas mbalinga kama familia tumemkumbuka sana popote alipo aje achungulie bas hata kaburi la mama yake ambaye ni bibi yetu sisi
@frankkulwa3981
@frankkulwa3981 25 күн бұрын
Kipindi kizuri sana🎉
@asnathaman
@asnathaman 29 күн бұрын
😮😮
@NoelaNdibalema
@NoelaNdibalema 29 күн бұрын
Clouds mnajua kunilozaaaa
@tinahminja2452
@tinahminja2452 27 күн бұрын
Kwan mm nalilia nn😢😢
@aziza9093
@aziza9093 29 күн бұрын
Shanzi❤❤❤
@JokhaVenance
@JokhaVenance 29 күн бұрын
Nimelia
@user-eh3lq8nx1i
@user-eh3lq8nx1i 29 күн бұрын
MUNGU AWABALIKI SANA
@CeciliaShauri-vc7up
@CeciliaShauri-vc7up 26 күн бұрын
Duuuh....najikuta nalia tu
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 16 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 10 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
Normal vs Psychopath vs Rich How to heal a cut on your finger ☝️❤️‍🩹
0:19
Funny cat woke up early 😂👻🥳
0:38
Ben Meryem
Рет қаралды 28 МЛН
Pringles chips 😱🤣 #demariki
0:25
Demariki
Рет қаралды 2,5 МЛН
Sion princess funny Haribo Donuts 🍊🚆😅🤣
0:35
SION /紫音
Рет қаралды 22 МЛН