Kutoka kuwa rais wa nchi mpaka kuwa ombaomba mtaani
Пікірлер: 229
@vivardagesa84205 жыл бұрын
From somewhere in AFRICA,i love your voice and this beat you used in ithis story,big up bro
@aishachambo32935 жыл бұрын
Kweli malipo ni duniani kwaiyo alishindwa hata kumjengea nyumba mama yake duh🤣🤣🤣
@marckozakayo59875 жыл бұрын
I like your educative staffs
@kogotamedia58325 жыл бұрын
unaumiza sana akili kuleta vitu vya maana ambavyo wengi hawezi kwa uvivu wa fikra. kila siku habari za diamond na kiba tu azitunufaishi kitu
@edwensimon62836 жыл бұрын
Ahaa hii nimependa,bigup huko juu sana mdogo wangu
@hassanhashim39085 жыл бұрын
Yahh
@machaineomahe66975 жыл бұрын
hongera sana maan mnatujuza tulikotoka kwa ajil ya kujifunza
@mcharomshana21675 жыл бұрын
Fundisho zuri sana kwa wote
@yonakiza14716 жыл бұрын
I like it
@stanleykomba75506 жыл бұрын
mmm noma hihi iwefundisho kwawengine
@betramart5 жыл бұрын
Uko vzuri ila jitahidi kutafuta vielelezo zaidi ambavyo vitafanya watu waendelee kufuatilia zaidi bila kuchoka,vielelzo ninavyomaanisha ni kama vile picha za kutosha na video footage chache zitakazo fanya story yak ice ya kuvutia kama wafanyavyo global tv online,but all in all uzo vzuri sana
@suwedilibaba5575 жыл бұрын
Vip tafsili moves mzee baba upo ok sana
@mohamedjakaya53556 жыл бұрын
Amepata laana. Adhabu nyingine zipo hapa hapa duniani
@jamesokari97874 жыл бұрын
ahsante sana kwa historia ambayo sikujua
@christianbaba99715 жыл бұрын
Safi sana... Nakutakia kila la kheri.. Ufanikiwe ktk kazi yako Good Voice. "Note" Unajua kutangaza Broo.
@getajo11536 жыл бұрын
We ni kati ya Wachache wenye kipaji na uwezo wa Kutoa #SIMULIZI ikavutia ...
@goldengilbertmunge44566 жыл бұрын
Upo vzr aiseee sio kila dk stori za akina diamond
@florentbunzaly63913 жыл бұрын
Good lesson to other leaders
@kithikimanyaki98496 жыл бұрын
What a lesson for one to learn
@husaynamri70065 жыл бұрын
maisha yana stori ndefu sana.... na kwa matukio kama haya twajifunza.... viva africa
@amaniramadhani38676 жыл бұрын
Tatizo waswahili tunapenda ubishi bila ya kufanya utafiti, fanyeni research ndo muanze kubisha hayo anayosema ni ukweli mtupu
@sadamomary77246 жыл бұрын
Kwel
@mpulitv80115 жыл бұрын
Iko poa brother
@wiliammemba49206 жыл бұрын
Mwenyezi mungu kamuadhibu hapa hapa duniani kuonesha mfano kwa binadamu wenye Tabia kama zilivyokua zake.
@petronasken75045 жыл бұрын
Aliye juu mgoje chini
@elkanaalkado76255 жыл бұрын
Xo amazing
@neemaamon49605 жыл бұрын
Una sauti nzuriiiii😍😍
@freddymo6 жыл бұрын
Napenda hadithi zako zapendeza aizee kweli
@elkanaalkado76255 жыл бұрын
Unapokuwa unafanya mambo kumbuka kuwa kunayakesho
@Ishengoma16 жыл бұрын
Una sauti nzuri ya kutangaza. Sasa tutafutane nikupe story kisha uzitangaze wewe.
@Ishengoma16 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM sawa kaka.
@hamismbonia92435 жыл бұрын
p
@silasmzawa85226 жыл бұрын
Kk unajua keep it up kweli unachimbua
@johncharles11806 жыл бұрын
tatizo lako hukutaka kujilimbikizia Mali ona sasa mwanangu
@godfreykatunzi96806 жыл бұрын
Safiii miatisaa inapendeza
@stonyshipind77776 жыл бұрын
komesha laana zinafanya kazi
@user-wo2gd5su4q5 жыл бұрын
mungu so kipofu wala kiziwi 2muogope mungu sana alimpa pia amempokonya kuna weng vyeo walivyonavyo hawajui Kama mungu anaweza kuwashusha Kama unamuogopa mungu sema amennnnnnnnnnnnnnnnnnnnn!
@mastermaarufu89875 жыл бұрын
jamidu kilolo
@jrcollins60735 жыл бұрын
Nakukubali sana kijana
@bizoskiyagistrapper24796 жыл бұрын
Asante kwa kutujuza mengi
@officiallyimo67725 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM Nifollow instagram
@officiallyimo67725 жыл бұрын
Jafary lyimo
@cyprianbernard9075 жыл бұрын
Da! Kuna wa2 vituko
@heritier51195 жыл бұрын
Walioumizwa wanashindwa vipi kumshughulikia kulipa kisasi kwa aliyowafanyia
@allyseifu46276 жыл бұрын
asante mwana habar wetu
@domydocta.5 жыл бұрын
Duuh hii imenishangaza kweli
@tamalalee21696 жыл бұрын
Alisahau kuwa Mungu ni wa kila mtu
@hamishamis99055 жыл бұрын
Magufuli na sheni jee mmewaona wakorofi wenzenu wanavozalilika hapa hapa duniani
@faridahhamza87045 жыл бұрын
Haaaaaa we huogopi wamchezea chui sharubu eee🙊👐akuuuu mi simu, shauri yko
Sima nni kaka sautu yako iko sawa ila music ulio uweka ungepunguza kidog saut mzee
@rosepiere18576 жыл бұрын
Mnaosema hii habari sio kweli tupeni basi ukweli
@carloskitheka54015 жыл бұрын
Hii ndo maana mie nikifanikiwa kuwa Rais hii leo ntaakikisha shinda hatutawahi kutana mahali..ntakuwa naona shinda kwa jirani.
@tolilahnathalie26586 жыл бұрын
golden voice bro
@gracefay20226 жыл бұрын
Anatholy Philipo
@tolilahnathalie26586 жыл бұрын
Mambw
@dpkessy91865 жыл бұрын
Maisha yanabadilika
@tinawilliam49615 жыл бұрын
Malipo yote nihapa hapa na huo ndo mshahara wake
@larickmtui28526 жыл бұрын
Wakuu nishaelewa Kwamba sio movie
@kasimugullum58626 жыл бұрын
Mamkubuka sana huyu jamaa,wakatiwake alitikisa.
@allybakari78886 жыл бұрын
Aisee
@ramadhanjuma24335 жыл бұрын
@larik mtuy kwani umeambiwa ni leo au week ilopota iyo had wayu wskarke kambi
@kinglance63656 жыл бұрын
POA POA hahari nzuri
@manonimshindikwa19745 жыл бұрын
Ana duniya taduru
@emmanuelmassawe70595 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani na mbinguni pia, wewe ua tesa, nyonga lkn one day utavuna tuu malipo ya damu za uliowaua na kuwatesa. Tujifunze kupitia kisa hki.
@shekilashekilaabudulha50385 жыл бұрын
Duuu!!! hiyo ni kal kutoka rais mpaka omba omba
@mecklaudmassawe62146 жыл бұрын
uko vzr ila punguza sound track
@aliabdallah22206 жыл бұрын
Ni mtihani kweli
@salymomar97936 жыл бұрын
Duh! Msaidien
@fadhilisaid88786 жыл бұрын
duu
@magynzioka11225 жыл бұрын
MUNGU ATAHATHIBU KILA MFALUM ANAE ONGOZA INJI YAKE KWA UBABE AMEPOKEA MALIPO YAKE
@raydiesel4246 жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa sio uongo kama mnavyodhani baadhi yenu
@mosesg.pendael83816 жыл бұрын
Raymond Msanga sio kweli bhana!
@raydiesel4246 жыл бұрын
Moses G. Pendael Cha kufanya chukua jina la huyo rais kisha kagugo mbona rahisi sana.
@mosesg.pendael83816 жыл бұрын
Raymond Msanga kuna vtu huhitaji kupoteza muda kugugo bro. Tumia akili tu. Alifuja mali nying za nchi. Akawa na pesa na almasi. Ada ya chuo ni trilioni ngap kwa mwaka ili asiweze kumaliza????? Inaweza kuwa true to some extent.....bt imetiwa chumvi
@ellynkwama86036 жыл бұрын
Moses G. Pendael Inawezekana pengine baada ya kupindoliwa akaunti zake zilifreeze,hatuwezi jua.tusibishe kika kitu.
@lucasmhagama81665 жыл бұрын
Ni kweli kabisa someni tatizo letu ni wavivu sana
@emmanuelshila98855 жыл бұрын
naomba jina la sound track
@donnajnr8926 жыл бұрын
Kitu kizuri simulizi tamu Sana ila uwe unaandika pia
@sabatojoshwa66845 жыл бұрын
Please! Arrange one day and tell us history of Mansa Musa
@kmkdirkaa21945 жыл бұрын
Mansa musa the richest man of all time
@sabatojoshwa66845 жыл бұрын
Yah! That man is icon of Africa, but his story is not much open. I do not know why!
@user-sq8pq1xj7m2 жыл бұрын
hilo nilaana la wananch alivyo wadhilm na pia hakujua maana ya uongozaji ni nini
@mylasadick51895 жыл бұрын
Duh
@badenbensoni75165 жыл бұрын
Safari bado, atapata pesa
@salimally68775 жыл бұрын
Nomasanaaaaaaaaa
@kingkongmadiba31745 жыл бұрын
Karma will end karma
@jumahakhimu83526 жыл бұрын
Doh.!! mitamaa k-bao
@rehemadani36006 жыл бұрын
Hayo ndiyo malipo yamadikteta
@lucasmhagama81662 жыл бұрын
Amesaidiiwa sasa hivi na Rais aliyepo madarakani
@joshuashalla13946 жыл бұрын
Duuu!!!
@allykigatta75645 жыл бұрын
HUYU MHESHIMIWA RAIS WAS JITU JINGA SANA...LINAKERA HASA
@JvSVevo5 жыл бұрын
Nahitaji namba yako ya WhatsApp tufanye kazi.
@ramadhaniomary46346 жыл бұрын
sio kweli iyo
@alphahappy35016 жыл бұрын
Kwanini
@lewisshemboko21066 жыл бұрын
how
@khamisimwinychum17255 жыл бұрын
Exi
@khamisimwinychum17255 жыл бұрын
Sesi
@dottoemannuel57125 жыл бұрын
inasikitixha sana
@alexodhiambo75115 жыл бұрын
Ya dunia ni hivo.
@stewartmillanzi15966 жыл бұрын
Kila kitu kina mwisho....ona sasa maisha yako yalivyoishia vibaya. Ahaaah....haaaah....haaaaah... .ukicheza na jeshi vibaya, utakiona cha moto.
@iosifconta81125 жыл бұрын
s
@anthonymgogo26516 жыл бұрын
Duh Life is a cycle
@Views-mf8ir6 жыл бұрын
Kwetu tunamuita #Mzalendo
@wacmber21316 жыл бұрын
Hili pia mnaamini kuwa kweli heeee.....kila rais akistaafu huwa bado analipwa kama pension sasa inakuaje awe ombaomba acheni kutubeba ufala
@abdulwalidali45676 жыл бұрын
cmber mtoto huyu kapinduliwa sio kastaafu
@mohamedabdallah89916 жыл бұрын
Huyu hajastafu kapinduliwa hawezi kulipwa
@khalifamtolea33836 жыл бұрын
Kupinduliwa na kustaafu ni vitu viwili tofauti
@aboudmsonde31375 жыл бұрын
Hata kulipwa inatrgemea katiba ya nchi husika
@fransiscamatemu9875 жыл бұрын
akuna uongo apa Jaribu kuelewa
@benjaminfataki68985 жыл бұрын
angesomeya ata ufugaji ao mkulima.
@emmaprotv10815 жыл бұрын
Mziki unalia mno ungepunguza
@jifunzekusamehe45276 жыл бұрын
mia mia
@utaani16 жыл бұрын
Wakati huo UK tuition fees ilikuwa ndogo hata £3000 kwa mwaka haifiki. Na nyumba kukodi zilikuwa sio ghali one bedroom hata £60 kwa wiki haifiki sasa nashangaa maisha ya UK yalimshindaje
@saleheinnocent76366 жыл бұрын
utaani1 ndivyo unavyoelewa
@sarafutatu59465 жыл бұрын
You're not serious??
@utaani15 жыл бұрын
Sarafu Tatu najua ndio nikasema. Hivi sasa tuition fee ni £6000 unapata tele tu. Mimi nasoma mwaka wa nne huu nalipa £6000 tu Kwa mwaka.
@utaani15 жыл бұрын
Salehe Innocent ndio kwa sababu naishi London najua
@robertabely57945 жыл бұрын
Nitafute nikupe story kama hizi, una sauti nzur sana kaka Hongera sana watsapp namba 0744547862
@simoncosmas2846 жыл бұрын
dadeq zako,ndo mana sikuzote tunaambiwa kuwa cheo ni dhamana
@janesuma21936 жыл бұрын
kutokana na upizi alio Fanya hawezi kupewa ata mia na serekali yake