Shekhe Omar anajua vitu vingi sana vinatusaidia kujua siri za Shetani. Asante Yesu!
@johnbaraka37433 жыл бұрын
Karibu sana Mnyeshani thanks for coming back
@geofreypaul1633 жыл бұрын
Huyu Bwana ninakupenda sana...natamani siku moja...nionane naye ..MUNGU ambariki sana
@mchopaluka43193 жыл бұрын
Namfuatilia na namkubalu sana Mtumishi Omary
@user-fu6fx8if6w17 күн бұрын
Tunakupenda sana shekhe wetu ,acha Jehova Akulinde na familia yako.
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Welcome back Sheikh Omar we missed u
@user-hw7ce8gf6v9 ай бұрын
Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa mno. WAGALATIA 3 26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu. 27 Maana nyinyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. 28 Hapana Myahudi wala Myunani, hapana mtumwa wala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nyinyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. 29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahim, na warithi sawasawa na ahadi. Amen !!!
@koperawasona9551 Жыл бұрын
Nakuja Tanzania 🇹🇿 from USA 🇺🇸 kuwaona weye na yohana Ramathani,yohana kibavu na ule dada msomalia nawapenda sana nitumiye namba za simu tuongeye live
@user-fu6fx8if6w17 күн бұрын
Uliwahi pata nambari zao?Nina nambari ya Moja wao
@upendoluv71973 жыл бұрын
Leo Rangi nzuri sijui camera mpya... All in All I'm happy 2 see mnyeshani again
@alicekarimi61683 жыл бұрын
God bless you man of God🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sallo27.703 жыл бұрын
Waooo....! Karibu Sana Shekhe.
@moussashamba7193 жыл бұрын
MM NI MMOJA YA WATU WALIOKUWA WANAMUULIZIA SHEKHE OMMAR KIUKWELI NASHUKURU SANA..SOMO LAKE TUNAENDELEA NALO KUJIFUNZA 🙏🙏🙏
@thb95613 жыл бұрын
😷🤙Nawatakia Eid Mubarak.. follows wote Wa davistar..
@pilimusa77703 жыл бұрын
Asante. Nawe pia
@ole_larusai5873 жыл бұрын
Ewaaaaa. Davistar nashukuru. Mungu ni mwema
@jossyayielo75763 жыл бұрын
Hapo SASA asante Mr everything 🇰🇪🇰🇪
@bensonryoba59683 жыл бұрын
She mnyeshan namuelewaga sana kwa kweli anafundisha anaelimisha.
@mchopaluka43193 жыл бұрын
Ni moja kati ya waalim ninaowafuatilia mno na nimejifunza mengi toka kwa huyu Mtumishi.
@heritier51193 жыл бұрын
Mnyeshani na Latino ni wazungumzaji Big up sana
@geofreypaul1633 жыл бұрын
Niandikie hiyo ya Latino niisikilize
@lamerckmsuya55132 жыл бұрын
Halleluya, God bless you
@olphamoraa66833 жыл бұрын
Mhh mungu nifundishe kunyamanza kila mtu na mungu wake🇰🇪
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Amen 🙏
@nhlnaturehumanbeingsandlif9780 Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@KariukiRoysambu3 жыл бұрын
Shukrani kaka tunakuelewa tu kazi nzuri unayoifanya tena kwa utaratibu
@starbizyousuf83703 жыл бұрын
Inna lilahi wa iyna ilayhi rajiun
@heritier51193 жыл бұрын
Mungu utumia watu kutufunulia ya gizani kupitia mitandao
@florachuwa3013 жыл бұрын
Daaah afadhali umemrudisha Uyu Bwana....big up
@eldkibeh3 жыл бұрын
Tafathali Tafathali shehe naomba sana unieleze pale uliachia Yani mamma sita Shetani anavyomjua Yesu!!
@utafitiimanitv66413 жыл бұрын
Hongereni kwa kaz nzuri
@seasonepisode33283 жыл бұрын
😭😭😭😭😢😢😢binadamu sisi ni chakula cha majini..jamani akuna jini zuri woteeeee ni maadui zetu wanakuja kwa njia tofauti ya uongo 😢😢😢😢😢😢
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@seasonepisode33283 жыл бұрын
@@josephemmanuel3175 nasikia uchungu kweli aiseee
@michaelmikemike4673 жыл бұрын
Hakuna jini nzuri bro,majini ni malaika waliomuasi mungu
@seasonepisode33283 жыл бұрын
@@michaelmikemike467 😭😭😭😭😭😭
@shizaarfred40593 жыл бұрын
Wallah umejua kunifurahisha dav
@kahindiwanje903 жыл бұрын
Safi Sana broo
@ijuekwelitv31502 жыл бұрын
Samahani huu ushuhuda ni wa muda mrefu ila nina ombi moja ndo nimeuona Kuna mahala alisema kuwa alimpakaa dawa binti akapotea akawa haonekani Sasa hajatupa jibu je baada ya kuokoka alimuombea binti na kumrudisha au alimuacha apotee hivyo??
@faizamohamed69933 жыл бұрын
Nice story
@agnesmwaizinga54013 жыл бұрын
Hii ni part 1, tungonje part 2345.........
@angelbenjamin73263 жыл бұрын
Am so happy
@bartazarideogratius5611 Жыл бұрын
Mwenye Namba za shehe Omary mnyeshani naomba anisaidia
@odhiaodhia98983 жыл бұрын
Kwa sababu ya shekhe nimebonyeza kengere
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Pamoja dav endelea kutuelimisha 🙏
@venantmshema10003 жыл бұрын
Big up Mr fact!!!!!
@straightkonect16133 жыл бұрын
Shekheeee sasa hapo ndipo but Davistar bado umrudishe na jamaa Wa BAKORA ZA KIMKAKATI
@reyyathu89783 жыл бұрын
Haha liked his story too
@straightkonect16133 жыл бұрын
@@reyyathu8978 😀
@heritier51193 жыл бұрын
Yupo Radio Free Afrika anatiririka KILA jumapili kipindi cha sintofahamu
@straightkonect16133 жыл бұрын
@@heritier5119 nipo kenya haifiki huku nilitoka border
@heritier51193 жыл бұрын
@@straightkonect1613 sikiliza online inafika
@kakajoss24643 жыл бұрын
Asante sana davista kwa kumrejesha shekhe tena. Then I request you to start working on kuanzisha mahojiano ya live ili nasi tuwe tukiuliza mhusika maswali live pia
@Dutchez3 жыл бұрын
Safi sana subira huvuta heri na ndio yamefika
@evalineawary36043 жыл бұрын
Mambo ndo kama haya Sasa mr everything
@josephmungai5443 жыл бұрын
Hapo sawa!
@johnassilvester16003 жыл бұрын
Hapo sawa tulimmisii mnyeshani
@joycesycherlwy38353 жыл бұрын
Jamaani nimefurahi sana mnyeshani yaàani siwezi kuelezea
@rahaisacl99543 жыл бұрын
Jmn sijui nikubebe kunirudishia mnyeshani
@aliceondeko34553 жыл бұрын
Yess
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Story nzuri sana ✨
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
dav apo sawa twaeza tekwa
@raphaelmassawe79403 жыл бұрын
Nimekubali
@presenttruthloudcryforthel53382 жыл бұрын
Davista tuandalie Kanyerere na shekhe omari watuambie zaidi kama walijuana wakiwa humo au vpi
@brenda10833 жыл бұрын
Tuendelee Sasa
@meckylucy2153 жыл бұрын
Nimefurahi sna kukuona tena Mnyeshani
@babyboss28863 жыл бұрын
Mr DM kipenzi asante ku leta Bwana Omari
@omarimziya3903 жыл бұрын
Diamondi vs stamina
@ramayasly45843 жыл бұрын
Nawasalim sana kakangu zangu
@videozaaj10693 жыл бұрын
Hapo kwenye baiskeli angekuwa bwana zablon angeeleza in details kwanza angeitaja jina la baiskeli,angesema alinunua wapi,lini na shilingi ngapi hahahahaha
Daaa nmekumbuka zabron bwana misosi ndo maaana ananenepeana sana
@upendoluv71973 жыл бұрын
😂😂😂😂Angekuambia kama ilikuwa phonex Au ya gia
@jamalshabani12933 жыл бұрын
Hauna dini
@aminsalimali7933 жыл бұрын
SAFI KABISA DAVISTAR MATA MTU MAKINI KABISA
@salumabdi31272 жыл бұрын
wakiristo wa saiv bwan wte ni watakstifu na wana bahat sana mn mpka saiv wao wanapata manabii na mitume wapya kila siku na kila anaeokoka anakutana au anafatwa na mungu chakusikitisha hii miujiza ya kushukiwa na mungu ni wao tu lkn kwa waislam hakuna icho kitu sio kwa mashekhe wala waumin wa kawaida hamn alieshukiwa na mungu....kwa mtazamo wangu hawa wanafatwa na mashetan wao wanasema mungu ndio hapo wanapoanza kupotea na kunza kutuletea maigizo hawajamaa ni wajuz wa maigizo ,,, haya huyu nae ametengua kifo duh huu mtihan sn istoshe huyu jamaa alipotea kwa kwnda kukamilisha hii story yake saiv ashatunga tyr amerud tna yaaan hawa wakiristo kirahis rahis tu wao wanaonana na mungu duh
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
Davi hapa mic yako iko far sana
@charlesmapunda590511 ай бұрын
Hii stori meamua kurudia kusikiliza upya, ila kila comment ya Muislam humu zimejaa chuki kwa huyu Mtumishi. Kiukweli kama kufunikwa ufahamu Waislam wamatia huruma, hasa wa huku Afrika. Waarabu wa bara Arabu walipigwa marufuku wasisome Biblia wala kuikalibia ili tu wasijue ukweli, sasa kutokana na muingiliano wa kusafiri na mitandao ya kijamii kujaa imefungua Waarabu wengi na wamempokea Yesu sasa hawa Maamuma wa huku hawajui kitu ila ndo vigego vya ubishi eti wamadai wanaweka misimamo bila kujitambua kama Majini ndio yanawafanya wawe hivyo.
@lenardkenedy54210 ай бұрын
Safi 🙏
@wilsonwilson24173 жыл бұрын
Vizuri kabisa,atueleze yule jini wake alienda wapi?
@davidochieng70553 жыл бұрын
Pamoja sana
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Afadhal umempata tumalizie story yetu
@heritier51193 жыл бұрын
Funua Siri za wachawi
@lauriantemba79393 жыл бұрын
Hatuna udin sis
@ghatynyantebu5923 жыл бұрын
Faida nyingi za mbaazi tunaomba tuambiwe jamani.
@djbullah25563 жыл бұрын
Nilikua nimeisubilia sana hii
@shaabanrobertwapili80453 жыл бұрын
Njia ya mrongo ni fupi
@elephasadalamaimaadante71153 жыл бұрын
God is great
@shaadenshaduni77553 жыл бұрын
Mnavyo pepesa macho utasema kuna maaskali wanakuja kuwakamata
@nazfatyabdallah10413 жыл бұрын
Kaka mpemawazo afunguw chanli yake atowe mafuzo
@erikimethod62463 жыл бұрын
Nataman neema ya wokovu inishukie
@neemameshack2758 Жыл бұрын
Ikushukie katika Jina la Yesu kristo alie hai
@credo78373 жыл бұрын
Nilikuwa namsubiri sana
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kumbee🤣
@IGL-x1d3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤝🤝🤝
@namanga97863 жыл бұрын
Njaaa itakufanya usemee owomgoo
@editrudesmbonde90513 жыл бұрын
Acheni ujinga,eti UKRISTO siyo dini!! Hivi,Uislam ndiyo dini?? Hata huwezi kulitoa pepo kwa jina la Mohammad,sasa hicho nini? Wala humuombi MUNGU kwa jina la MOHAMMAD maana hakusikii. Mtawapata hao wenye njaa wanafiki lakini sisi tunaouona umuhimu wa huyu CHRISTO YESU,hutuambii kitu. Kila mtu aamini dini anayoitaka,hamna haja ya kudharau dini za wengine. Dini haimpeleki mtu mbinguni,maana dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta MUNGU na si mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu. Mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU tu. Mungu awabariki sana.
@husseinkiruta17122 жыл бұрын
Wew unawaza toa pepo tu 3;19 Qur'an . Bila shaka dini ya haki mbele ya mwenyezi Mungu Ni uislam Wapi andiko Ukristo Ni dini ?
@husseinkiruta17122 жыл бұрын
6:125 Quran Na dini hii ya uislam ndyo njia ya mola wako iliyonyooka
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
@@husseinkiruta1712 Quran say so not God Almighty ok😎😂 Dini iliyonyooka,ya kuua wakristo?uchawi,wivu na chuki? Sasa kwa taarifa yako Mungu hana dini,yeye huuangalia moyo na matendo ya mwanadamu tu. Atakaye isikia sauti yake,kushika sheria na Amri alizoweka na kuzifa nyia kazi,MUNGU anamtaka mtu kama huyo tu friend,usijidanganye kwa dini yako ya kunyooka.😎
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
@@husseinkiruta1712 CHRISTIANITY IS FAITH NOT RELIGION. GOD ALMIGHTY HAS NO RELIGION. REMEMBER THAT😂
@laurineasira71953 жыл бұрын
Elimu haikamiliki when still living
@vaghoghontweki98273 жыл бұрын
Nmefrahi kumuona Mr Omary,,,lkn naomba mr #Dm muulize how comes yeye ameokoka na wakati huo huo Appearance inaoneshe he is muslim kuanzia mavazi na vingne,,au kazoea kuvaa kanzu,,,I'm sory kama ntamkera mtu🙏
@Laila-lz4ij3 жыл бұрын
Hata Mimi nilikuwa najiuliza hilo. Na sana anatumia lafidhi za ki Islam. Ananichanganya
@tabithakigongo78013 жыл бұрын
Mavazi na kuitwa shekh sio tatizo..!! Yote HAYANA ubaya ktk dini yoyote.. vazi la kanzu ni vazi la waarabu na watu walio na asili ya kuvaa ivo.. ambapo Pia lilivaliwa tangu enzi za karne ya 1. Sheikh maana yake MZEE.. - mtu aliezidi miaka 50 au anaejua mambo meengi ya ukuu hata kama ni mdogo. Hata kwenye bibilia neno sheikh ipo.. so sijaona kosa kwa OMARY apo
@denizamahongo85573 жыл бұрын
Amerudi aisee
@fidelbarutwanayo40683 жыл бұрын
Ulikuwa na mashetani ndio maana ulimuacha mkeo mrudie mkeo
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huo ugomvi ssa wa ngumi
@zainabmbarak10432 жыл бұрын
Shehe kadanganya nashetani
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Iyo heading inamaanishann
@masoudkatiba14843 жыл бұрын
Jamaa alienda wapi3?
@mustafahmansoorchapu5603 жыл бұрын
Mweke live siku moja
@katerelomkuyati67643 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 HUYU JAMAA NI MUONGO SANA, ANAONEKANA ALIANDALIWA KWAAJILI YA KUJIFANYA MUISLAM, NDIYO MAANA ANASEMA KUNA VITU AMESAHAU, YAANI HANA REKODI YA KUMFANYA KUWA ALIKUWA MUISLAM NAMSHAURI ATAFUTE KIKI YA NYINGINE
@makame35243 жыл бұрын
Mimi niwashaur tu kwamba mbali na kuskilza hiz stry tunatakiwa tujue pia mbinu au mipango anayoitumia shetan kumtoa mtu katika reli
@TITOtz3 жыл бұрын
@Mussa Salum Kiwango unachompimia ndicho utakachopimiwa
@makame35243 жыл бұрын
@@TITOtz kwa maana gani
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@sumamelody61973 жыл бұрын
Ata watoa wasio kuwa na elimu ya dini na wale wanao babaishwa na miujiza
@ummuhkhalfan55423 жыл бұрын
Ndo mana napendaga interview ya davista yan penye manufaa anapauliza hasa
@abdimohamed3953 Жыл бұрын
Sahihii
@matridalule64773 жыл бұрын
Duh
@ahmadisaid7318 Жыл бұрын
Kati ya watu wajanja wajanja ni walokole huyu anataka kusema yeye ni nabii Mungu anawasiliana na mtu kama huyo kweli huyu anatafuta hela kama mtu una akili msikilize 1 paka mwisho utagundua hataukimuangalia mdomoni au usoni stori yake niyaujanjaujanja kama yeye anavyoonekana
@scholamwasi27823 жыл бұрын
Mjilani zangu mpo
@IGL-x1d3 жыл бұрын
Hujambo wngu😘😘😘🇪🇭🇪🇭
@nooor11203 жыл бұрын
Huyu shekhe ni ni jina tu msifikirie ni sheikh wa waislam hakuna sheikh hasa wa kiislam alieingia dini nyengine wakati kishajua uislam ni dini ya haki haikutokea hio Muislam anaeingia dini nyengine ni muislam jina tu hana mvele hana nyuma.ila madri au askofu anaweza akiuona ukweli kwenye uislam huingia mzima mzima bila hongo wala tamaa ya kitu. Na mapadri wakiingia uislam wako radhi wanaacha mishahara yao mikubwa hawajali wanakwenda kuingia uislam kwa mola alie wa haki asiezaa na asie zaliwa na hana mfano wake. Ukweli ndio huo.
@johnzacharia23082 жыл бұрын
Ndugu yangu wewe bado upo gizani, ipo siku utajua ukweli ndipo utakapoona ulivyochelew kumjua MUNGU wa Kweli. usichokijua nisawa na usiku wa Giza.
@zuhuramuhanga54002 жыл бұрын
Siku yamwisho hizo ndevu itakuwa ndo kamba yako ya kubanikiwa motoni shekh mzima una danganyika na shetani
@mauricebaraka91192 жыл бұрын
Ukweli upi unaongea hapo
@wilfredlukowo9476 Жыл бұрын
Unajua hujaelewa ukristo ndio maana unaongea usiyo ya jua mtu ameishi maisha anayo simulia wewe unaleta Udini huo ni ujinga hata mimi nimewahi kuishi maisha kama hayo
@alibell52463 жыл бұрын
Inaaailah wainaailaih raajiwun yaan ww ni njaa tuu inakusumbua nakuombea kwa allah akuzndue akili yako mapastor wachungaj wote sasa wanaingia ktk din ya haki huku kenya kwetu tushajua ni ipi din ya hak ww upo unaweweseka na njaa yako
@medardissa62533 жыл бұрын
We umekazana na dini mpaka Leo badala ya kutafuta wokovu
@zuhuramuhanga54002 жыл бұрын
Hakuna alie okoka duniani mpaka kiyama tukihukumiqa ndo ukihukumiwa peponi ndo utasema wewe umeokoka kwa sasa huyo shekh kaangamia umelitadi
@user-hw7ce8gf6v9 ай бұрын
Acha kujidanganya mwenyewe Quran 46 : 9 mohammed hajuwi kitakachofanyika juu yake au weye Islam ilianzishwa 610-632 AD afu unasema ni dini ya haki Wokovu ni kwa Yesu Kristo pekee hakuna mwingine
@8pistons19416 күн бұрын
Your allah is not alive how can he save someone😂
@yustakipenya62313 жыл бұрын
Nilimsubir kwa hamu
@puritykibe30992 жыл бұрын
Mbaazi ni mti upi jameni?
@ulayaz Жыл бұрын
Mung atunusuru na njaa, maan inatufanya tuseme uwongo.
@rachelkadego89793 жыл бұрын
Mnyesha” hii niliisuburi Kwa hamu
@saadiaali56093 жыл бұрын
Sasa inamaanisha m'baazi hatakumbuka kana unaweza akasahau
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
hayanikuti mimi kabisa
@crescentvscross11323 жыл бұрын
Huyo alikuwa mchawi sio sheikh
@hoseapatrick2435 Жыл бұрын
Mlipoanza kuuliza mizigo mwishoni. Nikafikiri ndo mnaanza kutuma ile miskule tena. Kumbe matangazo ya biashara. MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI OMARY.